UTACHEKA UFE HAJI MANARA ALIVYOMZINGUA MKE WAKE ZAIYLISSA WAKATI ALIVYOSHINDWA KUONGEA MBELE ZA WATU
HTML-код
- Опубликовано: 24 мар 2024
- UTACHEKA UFE HAJI MANARA ALIVYOMZINGUA MKE WAKE ZAIYLISSA WAKATI ALIVYOSHINDWA KUONGEA MBELE ZA WATU
#manaratv #hajimanara #wasafimedia #bugati #millardayo #diamondplatnumz - Развлечения
❤❤❤❤eli bugati ujuwe kama mti wenye matunda ndo upigwa mawe
Hizo ftari zenu za kualika watu wanao jiweza ili muonekane kwenye Camera sijui ftari za wapi hizo wakati kuna waislamu wengi wanaofunga na hawajiwezi munashindwa kuwaftarisha
Ni bora haya mambo wawe wanatafuta mwezi mwingine kwa sababu yanayo fanyika sio katika malengo na maana ya ramadhani...
Futari sio CHAKULA kama vyakula vingine bali ni kitendo kinacho fanywa na waislam baada ya kufunga siku Nzima...sasa hizi futari za kuailika watu wenye imani tofauti sio futari bali ni CHAKULA kama vyakula vingine
Na dini ya uislam haikatazi kuwaalika wasio waislam katika mambo ya CHAKULA na mengineyo lakin sio katika mambo yanayo husu ibada na futari ni ibada
Kwan siku nyingine nani huwa anawalisha? Mpk mtaje walishwe siku za Ramadan, msipangie watu matumizi ya pesa zao, wakati mia mia zenu hakuna anae wapangia, embu msipitie mlango wa dini
@@belak999kabisa
Umehonae nikiki tu
Kwakweli watu ambao hawajiwezi ni wengu Subhanallah 😢
Binadamu kwa lawama ukifiturish maskin kwa media ooh ana sifa ukifiturisha wenye nacho ooh hujaon maskin achen kuhukumu na kupangiana maisha bwana
Mwanake mzuri. Ni tabiya na mwenye HAYA.. ( MWENYE KUONA AIBU ) Pongezi zako Bi ZAI. Nakupenda sana❤❤❤. Kuanzia Leo nita angalia JUWA KALI.Na nitakua shabiki wenu. 👏👏👏 From 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
❤🇷🇼
Masha'Allah Tabarakallah🙏🤲
Aaah safi sana mungu awaende mbere jmn
Mashaallah nimependa menu😅
Ktk maisha JIFUNZE kuongea kitu unauhakika nazo. Usiongee kitu usichokiwa na UHAKIKA. Wamefunga, hawajafunga tumuachie Mungu. Hata wenye hela wanafutari. Mkeo ana haiba. That's good. Hongereni kwa kufuturisha❤. Mc Galab nampenda kazi zake ila nitakuja weza malipo yake, ngoja tuone Mungu asaidie.
MashaAllah ❤❤❤❤
Namie nakupenda garab in Sha Allah utakuja kwa shuguri yangu nataka huwe EMS
Kuandika mwenyewe hujui eti EMS hapo e na s xina uhusiano hapo? Kuandika mwenyewe shida,hela watpata wapi umpe aje akufanyie kaxi???
😂🤣😂🤣😂🤣😂🤣😂🤣😂🤣 jamani@@yukundapeter8200
Nice one ila use gloves jamani mnaoshika chakula mara mtu ashike simu,ajipanguse kwenye nguo than unaokota maandazi
Avae gloves kwani yupo lebour anazalisha.
@@mwanaishaabubakar5013 you can't even spell labour bora ungenyamaza tu,gloves aren't only used for labour or you meant to deliver Abee?? thats why people like you who de Mumu head..
mwenyewe nimejisikia vibaya chakula kizuri sana kwa macho lkn usafi hakuna mwigine amebeba sinia kaegemeza kwa tumbo
Nawe lamata nae Habaliiii sema habari zenu ndo watakuelewa😂😂
Mashallah
Huyo aliyepika mkate wa kumimina mashaallah unaonekana mzuri sio wa kunata naomba namba yake
😂😂😂 Umeeona piaa
Yani wewe 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
uko wapi mm natengeneza km hutojali
Mke wa manara kaupika 😂.wee ukitaka uwe poa piga zako mayayi sana
@@user-vy2bc6xg3i kwani unatiwa mayai sio nazi?
Nimemuona chichi kavaa kishekh shekh😂
Zai kwa bugatti ndiko sahihi kuliko kwa dulla makabila kunaukoo hustahili kuolewa nao 😂😂😂
Maa shaa Allah ila mgeli futirisha wasio jieleza ingeli kua bora zaidi Allah atukabalie swaum zetu amiin
Hiii sio kufuturisha ni kutafuta content😅😅😅😅
@@user-rg8fq8fc3k
Nao wame pata
Haji manara ana roho nzuri ya kupenda watu.
Hajji Manara aache kunywa maji na diamond
😂😂😂😂
😅😅😅😅
Mie nimemezea mate kitumbua safii hakina mafuta mengi
Mm samaki tu 😋😋😋😋
Mvae gloss mkiwa
Mnarekodi jikoni sawa Siri yenu
Kufuturisha wasiokua waislamu inaweza ikawa njia ya wao kuupenda uislamu
Ndizi mbona hazina nyama 😂😂😂
Si ukanunue upike zako
@@lilianestephanie7881😂🤣😂🤣😂🤣😂🤣😂🤣😂🤣
Misosi mashallah 😂😂
Futurisha kwa watu wasio jiweza, ili upate thawabu kwa Allah
Wanafuturisha au wanajifurahisha kuna masikin wanafuturu maji wenyewe wanatafuta sifa
@@Nailaty564yani we acha tu alieshiba hamkumbuki mwenye njaa
Tunaambiwa tuwape wenye uhitaji,sasa hao wanauhitaji gani vyakula wanakuka kila siku
Nyinyi mnajuaje kama hao hawana huitaji
Mungu akuongezee kaka manala
MashaAllah madevu kapendeza ❤😂😂😂😂
Hakuna watu wana furaha wakishirikishwa ftari kama wakiristo nao pia ni watu na wanahitaji umoja kingine tusimuhukumu mtu hajawapa maskini wakati hatujui kawapa au hajawapa hiyo ni siri yake na muumba wake kwa sbb anajua sheria ya uisilamu ni kusaidia wasiojiweza tumuache aenjoy life na awapendao.
Wallah
Kwanini binadamu mko ivo lakini ivi kufuraiya neema za wenzenu binaitaji nn wallah hamutofanikiwa km hamubadiliki Allah awaongoze
Alhaji ingependeza zaidi ungevaa balkashia kuliko kapelo
Inawezekana anajikinga na mwanga wa taa kwasabab wan uoni hafif mwanga unamsumbua.
Jamani hao wayoa vyakula mbona wanashika kwa mkono?wamejitia malipstik tu hawama Tungo bibi hahahahàa
Mimi hamjanialika mnaita watu Maarufu 2
Ningekuwa kunawasaidia wenye shida ingekuwa poa sana
Hata ww unaweza kuwasaidia binadam hamna shukurani
Dah ndoa hizi yani miezi 2 mtu anajipingeza duh 😳😳😳
Zai ukijitandaga ushungi unapendeza sana
Ivi buga kweli Thomas kakushinda adi bagarashia umetupoa cape kweli???!!!! Umechusha skunyingine jipange
Mbona mimi nimecheka na sijafa?
Mie mwenye uchu nimeona kuku na samaki to😂
Manara unapenda sifa Sana umeona GSM kafuturisha na wewe lazima ufanye sifa Zitakuuwa we mzee
Wivu tu
Hata ww km una uwezo wakuita hat wat 5 10 waalike ufuturu nao .
Buggat una baya
Mambo gani unachukua vyakula bila wageni kufika😂😂😂😂 mara maandazi mawili mara aandazi😂😂😂😂
Zaylissa mm ni zainab wajina, mm sijui kuongea na watu wengi😂😂😂😂 maybe wawili or watatu sio crowd
Nakuona tktk live
Sasa na mawig ya nini kichwani yani mtu kuvumilia mwezi mmoja tuu jaman mtihani😂
Bila hiv watu watakujuwaje kama unazo nakat wapo hawana hata sukar robo chakuftar hakui lalini wenzetu wajionyesha ila mungu yupo mbele wataenda semaje
Kwa hiyo bugati ndio amewazuia kutafuta pesa?
Siku zote mnakulaga kwa bugat 😂 binadamu kwa lawama acha kutegemea mwanadamu mtgemee Mungu ebooh
Haji mkeo sio mtu wa mitandao mzid kumficha ana haya bado sana hivi dulla alifeli wapi?ila zay kina haya ss wakisema ndoa imekufa wapi?mbona wapo happy kwenye ndoa nataman wanaume hata awe maskin wote ila wawe na upendo km hajis kwa mke wake
❤❤🙏🙏
Mmefturisha au mlikua mnasheherekea birthday za watu?
Kuandika kwenyewe shida eti nitamualiika EMS,Kweli inaandikwa hivyo?? E na S xina uhusiano??hela ndo uipate??
Hata ao wanaokiweza wakt wamewepewa sadaka bc thawabu wanazo muhim nia tu yakutoa sadaka
Bughat bhana😂😂
Manara mshari 😂😂😂 eti tunapo itwa waongeaji mbele za watu mtuheshimu😂😂😂
Haswa kipaji tosha mimi nikianza tu nitacheka mpaka masaa yaishe bila kuongea kwa aibu😂😂
Hongera sana bugatti
Wakumbukeni na masikini hawana cha kufuturia
Hiyo ni chakula sio futari inayo husiana na mwezi mtukufu wa ramadhani
😂😂 gara b❤❤❤❤
lulu mtoto wakislamu mwezi huu na hiyo miwigi jmn
Nikweli kabisa tunakosea kuna wasiojiweza wanafunga hawajui watapata wapi iftar yao sisi tunapeana wenyewe kwa wenyewe hiyo makosa
kuna shughuli gan tena jmn!??
Acheni midomo kama nyinyi hamna kitu shukuruni mnajuaje mtu anayo yafanya km ameshawapa hao masikini awambie au?
Watu wasio jiweza ni wengi mitaani kwakweli hao naona wanajiweza 😢😢
Huko nenda kafuturishe ww
@@zainabusaidi5982 jishushe mbon unapaaa juu
Lulu waswali vipi dada tattoo hizooo
Manara mke mvishe nguo za kujistiri zaid kifua kipo wazi hicho ktk hadhara hio ya wayu hebu ona wenzake walivyovaa vifua wamefunika vizur
Sikuhizi kufutilisha imekuwa ni matangazo ya kwenye mitandao da! Niheri ungeenda kinyakinya kuwapelekea watoto wa tima futari na wajane ,hapo wengi wao hawajagunga ni km sherehe tu
kwenda mshamba ww chuki tu
Sijasema mimi..tunafahamiana mtaani.. wamealikana wwnye nazo..aloandaa ameagiza naye aalikwe.. Mungu ana kazi sana@@user-qd2mn7ml4f
Yaani ni upumbavu mtupi ftari unamftarisha kafiri na promo za movie
@@user-qd2mn7ml4fwewe kafiri hujui nini maana ya kuftarisha kenge wewe
😅
Jana kuna boss mmoja hapa nairobi alikuwa anatoa pesa kusaidia wasiojiweza tena amewafuata sehem walipo wao akawasaidia bila hata kupiga picha sisi wapita njia ndio tulikuwa tunapiga picha
Ma Sha Allah utoe mikono wakulia wakushoto usijue
Ukitangaza pia sio shida huenda wengne nao wakavutiwa kufanya.
Unaalika watu hawajafunga sibora utoe Kwa mayatima sadaka
Mtihani mkubasana
Sio vibaya
Apo tu kwenye majini mayele aliwaambia mnamtumia vimbora
Bughati zombie amepiga tena
ftarisha wenye uhitaji upate darja kwa Allah....hizi kiki zitakupa darja hapa duniani ila kwa Allah 0.....hawa kina mc Gara B wamefunga? au wana uhitaji? au ni ilimradi tu tukuone?
Zaylisa angekuwa anashinda nyumbani, zamani sana mngesha timuana, lakini eti anashinda kazini tangu asubuhi hadi usiku
Manara ana mke hapo?
Kwani kasema ni kila siku???😢
Wapishi wabeba vyakula hawajafunika vichwa wala gloves nini hiki
Hata mi sijapendaa
Ni mait iyo
Ajabu wanafturisha hadi wasiokuwa waislam hio ni mualiko wa kawaida tu na hujakusudia hasa kufturisha walengwaa wanaohitaji kufturishwa
We futurisha
Weee acha ubaguzi kwan ujui pia ni kwaresma duuuu yan waisilamu wengi ni wa baguzi sana sisi tumeubwa na mungu mmoja uyo kafanya sio kidini na mungu ajasema ivo kwamba niwape dini yangu 2 daaaaaaaaa
Hahaha
Mke wa nini sasa Manara huna faida nae, mke akisha rudi usiku hoi hafai kitu, yote kisha yamaliza atokako kama kazini kweli au wapi
Babu jinga kaa ufikiri
Inaelekea inakuuma sana man coment mar 3 tatu alafu wenzio Wana enjoy tu ,sasa kazi kwako
Galab ana moyo kakaa na mume mwenzake Frank 😂😂
Haji mnunulie.mkeo shungi stara muhim usivae majukum kwa mkeo nunua mashungi kwa mkeo manara
Wanasika vyakula bila gloves mi vichwa wazi ..wachafu wapishi😊
Sijapenda kwa kweli
Huwa mnjikutanwajuaji kwani gloves ndo nini yaani wewe nyumbani kwako unavaa mkwende hukp na usafi wenu wa kipuuzi kikubwa kunawa mikono
Kichw kisiwe waz tu ila gloves sio muhimu noma kudharau rizik
Punguzeni kujifanya mnayajua sana loh,, uenda wenimchafu kuwaliko Wao fyuuuuuuu
@@ReginaKaizirege-sd3hn Msg yako tu Inaonyesha ulivyo mchafu
Lulu kazuri jmn
Kutana naye laev umuone utamkimbua😂😂
Vitumbua 😂😂😂vyeusiiiii
Binaadam hamuishi kutoa makosa hivyo vitumbua vikiwa vyeupe pia mtasema Mwenyeezi Mungu kawaumba na bado munashindwa kumshukuru itakuwa kutoa kasoro kila kitu? Mola awasamehe.
Yaani tena amesemehewe sana na Allah, kitumbua kina kasoro gani kwa macho kinavutia.Binaadamu
@@ashaali7154 kinachopostiwa sio wote kusifu hata kikiwa Kibaya na ndio maana kuna like 👍 na dislike 👎 hauwezi kuposti vitumbua vimeungua ukasifiwa bhana raha ya vitumbua viwe brown na sio vyeusi .
@@KhadijaMiteya-hh8xl lol
Ana njaa huyo amevitamani sema ndo Ivo 😂
Mbona nyumba ya manara tofauti na na umalufu wake
Mjengee ww yenye hadhi yake..
Ftari unamualika kafiri swawabu hizo tutazipata wapi Allah atuongoze katika mema Inshallah
Sasa kafiri ni nani hapo
Tz tupo mchanganyiko my dr acha kuita wenzio kafiri
Huyo ni muislamu mchoyo na sijaona muislamu mwenye roho chafu na ubaguzi kama huyo...inaonesha hata kwake ni lichoyo hilo....eti kisa kakaribisha wakristo ndo makafiri.....dini safi ni Ile ambayo watu hawatendi matendo machafu...peponi huingii kwa tiketi ya dini never ever..Kazana kutenda mema hiyo ndo tiketi yako
Duuuuu ngoja nikae kmy maana ila mungu akusanehe
Kafir mama ako na Baba ako
Garab kama garab
Women who handle or prepare Food, make sure you don’t touch food 🥘 on your hands, wear gloves 🧤 or use tongue spoons 🥄 to move the food from one container to another. Un unhealthy to touch with bear hand
Kuongea mbele zawatu kazi sana
Alhamdulillah Allah aendelee kuwasimamia nawapenda ❤❤❤
Robo tatu ya waliopo hapo hawafungi
Twala misosi 😂😂😂
Umeonaeeeh
Wala wadingeiita ftari wangesema tu kua kuna kula kujigalagaza
Ramadhani yote hio mtu anahudumia kichwa kikiwa wazi
Kufutulisha anayepeta swawabu aliyetoa ww hufunge ucfunge n ww ila aliyetoa hakinuia mambo yake wameenda
Jamani waislamu wenzangu kukaribisha futari watu wanaojiweza sio tatizo ni kuongeza mapenzi na kukutana kwa pamoja pia kuna fadhila mbele ya Allah msiwe hivyo wakifuturisha wasiojiweza hawaiti kamera
Mmh mmefunga mnapena mikono hvy jmn waislam wengii hatuinui dini na wala mpng wa kuisoma hatuna astaghafiruallah
Nawe lamata nae Habaliiii sema habari zenu ndo watakuelewa😂😂
9:11