UTACHEKA UFE HAJI MANARA ALIVYOMZINGUA MKE WAKE ZAIYLISSA WAKATI ALIVYOSHINDWA KUONGEA MBELE ZA WATU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 24 мар 2024
  • UTACHEKA UFE HAJI MANARA ALIVYOMZINGUA MKE WAKE ZAIYLISSA WAKATI ALIVYOSHINDWA KUONGEA MBELE ZA WATU
    #manaratv #hajimanara #wasafimedia #bugati #millardayo #diamondplatnumz
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 194

  • @oman1oman179
    @oman1oman179 Месяц назад +8

    ❤❤❤❤eli bugati ujuwe kama mti wenye matunda ndo upigwa mawe

  • @machintangachibwena5922
    @machintangachibwena5922 Месяц назад +46

    Hizo ftari zenu za kualika watu wanao jiweza ili muonekane kwenye Camera sijui ftari za wapi hizo wakati kuna waislamu wengi wanaofunga na hawajiwezi munashindwa kuwaftarisha

    • @fimboonlinetv5282
      @fimboonlinetv5282 Месяц назад

      Ni bora haya mambo wawe wanatafuta mwezi mwingine kwa sababu yanayo fanyika sio katika malengo na maana ya ramadhani...
      Futari sio CHAKULA kama vyakula vingine bali ni kitendo kinacho fanywa na waislam baada ya kufunga siku Nzima...sasa hizi futari za kuailika watu wenye imani tofauti sio futari bali ni CHAKULA kama vyakula vingine
      Na dini ya uislam haikatazi kuwaalika wasio waislam katika mambo ya CHAKULA na mengineyo lakin sio katika mambo yanayo husu ibada na futari ni ibada

    • @belak999
      @belak999 Месяц назад +4

      Kwan siku nyingine nani huwa anawalisha? Mpk mtaje walishwe siku za Ramadan, msipangie watu matumizi ya pesa zao, wakati mia mia zenu hakuna anae wapangia, embu msipitie mlango wa dini

    • @swabramohammad4487
      @swabramohammad4487 Месяц назад

      ​@@belak999kabisa

    • @Judy-dy4zt
      @Judy-dy4zt Месяц назад

      Umehonae nikiki tu

    • @SuleimanKhdija
      @SuleimanKhdija Месяц назад

      Kwakweli watu ambao hawajiwezi ni wengu Subhanallah 😢

  • @winnieseba2257
    @winnieseba2257 Месяц назад +8

    Binadamu kwa lawama ukifiturish maskin kwa media ooh ana sifa ukifiturisha wenye nacho ooh hujaon maskin achen kuhukumu na kupangiana maisha bwana

  • @sultanaswaleh7813
    @sultanaswaleh7813 Месяц назад +7

    Mwanake mzuri. Ni tabiya na mwenye HAYA.. ( MWENYE KUONA AIBU ) Pongezi zako Bi ZAI. Nakupenda sana❤❤❤. Kuanzia Leo nita angalia JUWA KALI.Na nitakua shabiki wenu. 👏👏👏 From 🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @meowzna
    @meowzna Месяц назад

    Masha'Allah Tabarakallah🙏🤲

  • @chany9950
    @chany9950 Месяц назад +1

    Aaah safi sana mungu awaende mbere jmn

  • @fatmaabdallah7709
    @fatmaabdallah7709 Месяц назад +2

    Mashaallah nimependa menu😅

  • @user-xc4or2vp6l
    @user-xc4or2vp6l Месяц назад

    Ktk maisha JIFUNZE kuongea kitu unauhakika nazo. Usiongee kitu usichokiwa na UHAKIKA. Wamefunga, hawajafunga tumuachie Mungu. Hata wenye hela wanafutari. Mkeo ana haiba. That's good. Hongereni kwa kufuturisha❤. Mc Galab nampenda kazi zake ila nitakuja weza malipo yake, ngoja tuone Mungu asaidie.

  • @mrsab303
    @mrsab303 Месяц назад

    MashaAllah ❤❤❤❤

  • @user-mi7cd8ch1b
    @user-mi7cd8ch1b Месяц назад +2

    Namie nakupenda garab in Sha Allah utakuja kwa shuguri yangu nataka huwe EMS

    • @yukundapeter8200
      @yukundapeter8200 Месяц назад

      Kuandika mwenyewe hujui eti EMS hapo e na s xina uhusiano hapo? Kuandika mwenyewe shida,hela watpata wapi umpe aje akufanyie kaxi???

    • @beautifulafrica6886
      @beautifulafrica6886 Месяц назад

      😂🤣😂🤣😂🤣😂🤣😂🤣😂🤣 jamani​@@yukundapeter8200

  • @tuchannyitike
    @tuchannyitike Месяц назад +4

    Nice one ila use gloves jamani mnaoshika chakula mara mtu ashike simu,ajipanguse kwenye nguo than unaokota maandazi

    • @mwanaishaabubakar5013
      @mwanaishaabubakar5013 Месяц назад

      Avae gloves kwani yupo lebour anazalisha.

    • @tuchannyitike
      @tuchannyitike Месяц назад

      @@mwanaishaabubakar5013 you can't even spell labour bora ungenyamaza tu,gloves aren't only used for labour or you meant to deliver Abee?? thats why people like you who de Mumu head..

    • @redemptajerry5446
      @redemptajerry5446 Месяц назад

      mwenyewe nimejisikia vibaya chakula kizuri sana kwa macho lkn usafi hakuna mwigine amebeba sinia kaegemeza kwa tumbo

  • @fatmaabdallah7709
    @fatmaabdallah7709 Месяц назад +2

    Nawe lamata nae Habaliiii sema habari zenu ndo watakuelewa😂😂

  • @mwajumalubuva
    @mwajumalubuva Месяц назад

    Mashallah

  • @fatmaabdallah7709
    @fatmaabdallah7709 Месяц назад +23

    Huyo aliyepika mkate wa kumimina mashaallah unaonekana mzuri sio wa kunata naomba namba yake

    • @abumoyo840
      @abumoyo840 Месяц назад

      😂😂😂 Umeeona piaa

    • @SashaSasha-hd7qe
      @SashaSasha-hd7qe Месяц назад

      Yani wewe 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @aishaabdallah4560
      @aishaabdallah4560 Месяц назад

      uko wapi mm natengeneza km hutojali

    • @user-vy2bc6xg3i
      @user-vy2bc6xg3i Месяц назад

      Mke wa manara kaupika 😂.wee ukitaka uwe poa piga zako mayayi sana

    • @fatmaabdallah7709
      @fatmaabdallah7709 Месяц назад

      @@user-vy2bc6xg3i kwani unatiwa mayai sio nazi?

  • @aishaabdallah4560
    @aishaabdallah4560 Месяц назад +1

    Nimemuona chichi kavaa kishekh shekh😂

  • @uwimana6533
    @uwimana6533 Месяц назад +1

    Zai kwa bugatti ndiko sahihi kuliko kwa dulla makabila kunaukoo hustahili kuolewa nao 😂😂😂

  • @fatumamkuzi8051
    @fatumamkuzi8051 Месяц назад

    Maa shaa Allah ila mgeli futirisha wasio jieleza ingeli kua bora zaidi Allah atukabalie swaum zetu amiin

    • @user-rg8fq8fc3k
      @user-rg8fq8fc3k Месяц назад

      Hiii sio kufuturisha ni kutafuta content😅😅😅😅

    • @fatumamkuzi8051
      @fatumamkuzi8051 Месяц назад

      @@user-rg8fq8fc3k
      Nao wame pata

  • @Maryc2G
    @Maryc2G Месяц назад

    Haji manara ana roho nzuri ya kupenda watu.

  • @Abu-Hamza254
    @Abu-Hamza254 Месяц назад +4

    Hajji Manara aache kunywa maji na diamond

  • @user-qo8eu1br6f
    @user-qo8eu1br6f Месяц назад +1

    Mie nimemezea mate kitumbua safii hakina mafuta mengi

  • @user-xk7vy4gb6g
    @user-xk7vy4gb6g Месяц назад

    Mm samaki tu 😋😋😋😋

  • @farhannahomary5505
    @farhannahomary5505 Месяц назад +1

    Mvae gloss mkiwa
    Mnarekodi jikoni sawa Siri yenu

  • @MosiHassan-dx6gc
    @MosiHassan-dx6gc Месяц назад

    Kufuturisha wasiokua waislamu inaweza ikawa njia ya wao kuupenda uislamu

  • @vero57
    @vero57 Месяц назад +3

    Ndizi mbona hazina nyama 😂😂😂

  • @salemarahbi9171
    @salemarahbi9171 Месяц назад +1

    Misosi mashallah 😂😂

  • @mauamnobwa3519
    @mauamnobwa3519 Месяц назад +6

    Futurisha kwa watu wasio jiweza, ili upate thawabu kwa Allah

    • @Nailaty564
      @Nailaty564 Месяц назад +2

      Wanafuturisha au wanajifurahisha kuna masikin wanafuturu maji wenyewe wanatafuta sifa

    • @mauamnobwa3519
      @mauamnobwa3519 Месяц назад

      @@Nailaty564yani we acha tu alieshiba hamkumbuki mwenye njaa

    • @ZariheenaMsambaa
      @ZariheenaMsambaa Месяц назад

      Tunaambiwa tuwape wenye uhitaji,sasa hao wanauhitaji gani vyakula wanakuka kila siku

    • @zainabusaidi5982
      @zainabusaidi5982 Месяц назад

      Nyinyi mnajuaje kama hao hawana huitaji

  • @Octavinaelisa-fn6js
    @Octavinaelisa-fn6js Месяц назад +1

    Mungu akuongezee kaka manala

  • @aminathaabubakarmasoud565
    @aminathaabubakarmasoud565 Месяц назад

    MashaAllah madevu kapendeza ❤😂😂😂😂

  • @NusraHozza-qp8yy
    @NusraHozza-qp8yy Месяц назад +1

    Hakuna watu wana furaha wakishirikishwa ftari kama wakiristo nao pia ni watu na wanahitaji umoja kingine tusimuhukumu mtu hajawapa maskini wakati hatujui kawapa au hajawapa hiyo ni siri yake na muumba wake kwa sbb anajua sheria ya uisilamu ni kusaidia wasiojiweza tumuache aenjoy life na awapendao.

  • @mwambaadijira7190
    @mwambaadijira7190 Месяц назад

    Kwanini binadamu mko ivo lakini ivi kufuraiya neema za wenzenu binaitaji nn wallah hamutofanikiwa km hamubadiliki Allah awaongoze

  • @duasufiani2782
    @duasufiani2782 Месяц назад +4

    Alhaji ingependeza zaidi ungevaa balkashia kuliko kapelo

    • @user-uo8xw9kr4b
      @user-uo8xw9kr4b Месяц назад

      Inawezekana anajikinga na mwanga wa taa kwasabab wan uoni hafif mwanga unamsumbua.

  • @user-bd6rw7kl7r
    @user-bd6rw7kl7r Месяц назад +1

    Jamani hao wayoa vyakula mbona wanashika kwa mkono?wamejitia malipstik tu hawama Tungo bibi hahahahàa

  • @joycemuhoja4729
    @joycemuhoja4729 Месяц назад +1

    Mimi hamjanialika mnaita watu Maarufu 2

  • @ashurahaji4794
    @ashurahaji4794 Месяц назад +1

    Ningekuwa kunawasaidia wenye shida ingekuwa poa sana

    • @zainabusaidi5982
      @zainabusaidi5982 Месяц назад

      Hata ww unaweza kuwasaidia binadam hamna shukurani

  • @saniaidrisa3920
    @saniaidrisa3920 Месяц назад

    Dah ndoa hizi yani miezi 2 mtu anajipingeza duh 😳😳😳

  • @AsiaJuma-mn7se
    @AsiaJuma-mn7se Месяц назад

    Zai ukijitandaga ushungi unapendeza sana

  • @user-ls9lc4zu3z
    @user-ls9lc4zu3z Месяц назад +1

    Ivi buga kweli Thomas kakushinda adi bagarashia umetupoa cape kweli???!!!! Umechusha skunyingine jipange

  • @johnmichaellukindo21
    @johnmichaellukindo21 Месяц назад

    Mbona mimi nimecheka na sijafa?

  • @NoorynMuddy
    @NoorynMuddy Месяц назад

    Mie mwenye uchu nimeona kuku na samaki to😂

  • @hamidabarraball3162
    @hamidabarraball3162 Месяц назад +1

    Manara unapenda sifa Sana umeona GSM kafuturisha na wewe lazima ufanye sifa Zitakuuwa we mzee

  • @user-qm5un9yc8r
    @user-qm5un9yc8r Месяц назад +1

    Buggat una baya

  • @zainabhussein8142
    @zainabhussein8142 Месяц назад

    Mambo gani unachukua vyakula bila wageni kufika😂😂😂😂 mara maandazi mawili mara aandazi😂😂😂😂

  • @zainabhussein8142
    @zainabhussein8142 Месяц назад +2

    Zaylissa mm ni zainab wajina, mm sijui kuongea na watu wengi😂😂😂😂 maybe wawili or watatu sio crowd

  • @dojabia2918
    @dojabia2918 Месяц назад

    Sasa na mawig ya nini kichwani yani mtu kuvumilia mwezi mmoja tuu jaman mtihani😂

  • @user-tm5ls1ml6d
    @user-tm5ls1ml6d Месяц назад +1

    Bila hiv watu watakujuwaje kama unazo nakat wapo hawana hata sukar robo chakuftar hakui lalini wenzetu wajionyesha ila mungu yupo mbele wataenda semaje

    • @yusternyirenda7231
      @yusternyirenda7231 Месяц назад

      Kwa hiyo bugati ndio amewazuia kutafuta pesa?

    • @winnieseba2257
      @winnieseba2257 Месяц назад

      Siku zote mnakulaga kwa bugat 😂 binadamu kwa lawama acha kutegemea mwanadamu mtgemee Mungu ebooh

  • @fatmaali4921
    @fatmaali4921 Месяц назад +1

    Haji mkeo sio mtu wa mitandao mzid kumficha ana haya bado sana hivi dulla alifeli wapi?ila zay kina haya ss wakisema ndoa imekufa wapi?mbona wapo happy kwenye ndoa nataman wanaume hata awe maskin wote ila wawe na upendo km hajis kwa mke wake

  • @kulthumbintmsuwakollo838
    @kulthumbintmsuwakollo838 Месяц назад

    Mmefturisha au mlikua mnasheherekea birthday za watu?

  • @yukundapeter8200
    @yukundapeter8200 Месяц назад

    Kuandika kwenyewe shida eti nitamualiika EMS,Kweli inaandikwa hivyo?? E na S xina uhusiano??hela ndo uipate??

  • @user-iq7gx2ip7d
    @user-iq7gx2ip7d Месяц назад

    Hata ao wanaokiweza wakt wamewepewa sadaka bc thawabu wanazo muhim nia tu yakutoa sadaka

  • @songombingo108
    @songombingo108 Месяц назад +1

    Bughat bhana😂😂

  • @mwanamisimwangaro8001
    @mwanamisimwangaro8001 Месяц назад

    Manara mshari 😂😂😂 eti tunapo itwa waongeaji mbele za watu mtuheshimu😂😂😂

    • @rozeyousef9823
      @rozeyousef9823 Месяц назад

      Haswa kipaji tosha mimi nikianza tu nitacheka mpaka masaa yaishe bila kuongea kwa aibu😂😂

  • @mmassyferguson4959
    @mmassyferguson4959 Месяц назад

    Hongera sana bugatti

  • @mohammadoman8963
    @mohammadoman8963 Месяц назад

    Wakumbukeni na masikini hawana cha kufuturia

  • @fimboonlinetv5282
    @fimboonlinetv5282 Месяц назад

    Hiyo ni chakula sio futari inayo husiana na mwezi mtukufu wa ramadhani

  • @user-ds3os5qv4o
    @user-ds3os5qv4o Месяц назад

    😂😂 gara b❤❤❤❤

  • @simonitaagesti4765
    @simonitaagesti4765 Месяц назад

    lulu mtoto wakislamu mwezi huu na hiyo miwigi jmn

  • @user-nj5re9db3j
    @user-nj5re9db3j Месяц назад +2

    Nikweli kabisa tunakosea kuna wasiojiweza wanafunga hawajui watapata wapi iftar yao sisi tunapeana wenyewe kwa wenyewe hiyo makosa

  • @sarahmcharo1548
    @sarahmcharo1548 Месяц назад

    kuna shughuli gan tena jmn!??

  • @MosiHassan-dx6gc
    @MosiHassan-dx6gc Месяц назад

    Acheni midomo kama nyinyi hamna kitu shukuruni mnajuaje mtu anayo yafanya km ameshawapa hao masikini awambie au?

  • @SuleimanKhdija
    @SuleimanKhdija Месяц назад

    Watu wasio jiweza ni wengi mitaani kwakweli hao naona wanajiweza 😢😢

  • @user-pc8gf4ol1j
    @user-pc8gf4ol1j Месяц назад

    Lulu waswali vipi dada tattoo hizooo

  • @hawamohammed9740
    @hawamohammed9740 Месяц назад

    Manara mke mvishe nguo za kujistiri zaid kifua kipo wazi hicho ktk hadhara hio ya wayu hebu ona wenzake walivyovaa vifua wamefunika vizur

  • @ziadasalimu1730
    @ziadasalimu1730 Месяц назад +1

    Sikuhizi kufutilisha imekuwa ni matangazo ya kwenye mitandao da! Niheri ungeenda kinyakinya kuwapelekea watoto wa tima futari na wajane ,hapo wengi wao hawajagunga ni km sherehe tu

    • @user-qd2mn7ml4f
      @user-qd2mn7ml4f Месяц назад +1

      kwenda mshamba ww chuki tu

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 Месяц назад

      Sijasema mimi..tunafahamiana mtaani.. wamealikana wwnye nazo..aloandaa ameagiza naye aalikwe.. Mungu ana kazi sana​@@user-qd2mn7ml4f

    • @machintangachibwena5922
      @machintangachibwena5922 Месяц назад

      Yaani ni upumbavu mtupi ftari unamftarisha kafiri na promo za movie

    • @machintangachibwena5922
      @machintangachibwena5922 Месяц назад

      ​@@user-qd2mn7ml4fwewe kafiri hujui nini maana ya kuftarisha kenge wewe

    • @barakamjunangee9559
      @barakamjunangee9559 Месяц назад

      😅

  • @user-hz9tx1mi1h
    @user-hz9tx1mi1h Месяц назад

    Jana kuna boss mmoja hapa nairobi alikuwa anatoa pesa kusaidia wasiojiweza tena amewafuata sehem walipo wao akawasaidia bila hata kupiga picha sisi wapita njia ndio tulikuwa tunapiga picha

    • @SikudhaniKulonda-jy1bq
      @SikudhaniKulonda-jy1bq Месяц назад

      Ma Sha Allah utoe mikono wakulia wakushoto usijue

    • @user-uo8xw9kr4b
      @user-uo8xw9kr4b Месяц назад

      Ukitangaza pia sio shida huenda wengne nao wakavutiwa kufanya.

  • @ConfusedBalkhHound-on2mx
    @ConfusedBalkhHound-on2mx Месяц назад +1

    Unaalika watu hawajafunga sibora utoe Kwa mayatima sadaka

  • @kassimukipingu7917
    @kassimukipingu7917 Месяц назад

    Apo tu kwenye majini mayele aliwaambia mnamtumia vimbora

  • @user-jq9rj4dm5u
    @user-jq9rj4dm5u Месяц назад +1

    Bughati zombie amepiga tena

  • @shakilamohamed8179
    @shakilamohamed8179 Месяц назад

    ftarisha wenye uhitaji upate darja kwa Allah....hizi kiki zitakupa darja hapa duniani ila kwa Allah 0.....hawa kina mc Gara B wamefunga? au wana uhitaji? au ni ilimradi tu tukuone?

  • @zayanazayana5518
    @zayanazayana5518 Месяц назад

    Zaylisa angekuwa anashinda nyumbani, zamani sana mngesha timuana, lakini eti anashinda kazini tangu asubuhi hadi usiku
    Manara ana mke hapo?

  • @OmanOman-dn6dj
    @OmanOman-dn6dj Месяц назад +1

    Wapishi wabeba vyakula hawajafunika vichwa wala gloves nini hiki

  • @user-eu4pk3eh5d
    @user-eu4pk3eh5d Месяц назад +1

    Ajabu wanafturisha hadi wasiokuwa waislam hio ni mualiko wa kawaida tu na hujakusudia hasa kufturisha walengwaa wanaohitaji kufturishwa

    • @ashurahatibu5069
      @ashurahatibu5069 Месяц назад

      We futurisha

    • @linnahmshama
      @linnahmshama Месяц назад

      Weee acha ubaguzi kwan ujui pia ni kwaresma duuuu yan waisilamu wengi ni wa baguzi sana sisi tumeubwa na mungu mmoja uyo kafanya sio kidini na mungu ajasema ivo kwamba niwape dini yangu 2 daaaaaaaaa

    • @mariammpamka
      @mariammpamka Месяц назад

      Hahaha

  • @zayanazayana5518
    @zayanazayana5518 Месяц назад

    Mke wa nini sasa Manara huna faida nae, mke akisha rudi usiku hoi hafai kitu, yote kisha yamaliza atokako kama kazini kweli au wapi
    Babu jinga kaa ufikiri

    • @mariamomary7758
      @mariamomary7758 Месяц назад

      Inaelekea inakuuma sana man coment mar 3 tatu alafu wenzio Wana enjoy tu ,sasa kazi kwako

  • @user-rv2gb1ym9d
    @user-rv2gb1ym9d Месяц назад

    Galab ana moyo kakaa na mume mwenzake Frank 😂😂

  • @user-tm5ls1ml6d
    @user-tm5ls1ml6d Месяц назад +1

    Haji mnunulie.mkeo shungi stara muhim usivae majukum kwa mkeo nunua mashungi kwa mkeo manara

  • @OmanOman-dn6dj
    @OmanOman-dn6dj Месяц назад +7

    Wanasika vyakula bila gloves mi vichwa wazi ..wachafu wapishi😊

    • @bennamush4616
      @bennamush4616 Месяц назад

      Sijapenda kwa kweli

    • @annalubango9899
      @annalubango9899 Месяц назад +2

      Huwa mnjikutanwajuaji kwani gloves ndo nini yaani wewe nyumbani kwako unavaa mkwende hukp na usafi wenu wa kipuuzi kikubwa kunawa mikono

    • @SikudhaniKulonda-jy1bq
      @SikudhaniKulonda-jy1bq Месяц назад

      Kichw kisiwe waz tu ila gloves sio muhimu noma kudharau rizik

    • @ReginaKaizirege-sd3hn
      @ReginaKaizirege-sd3hn Месяц назад +1

      Punguzeni kujifanya mnayajua sana loh,, uenda wenimchafu kuwaliko Wao fyuuuuuuu

    • @OmanOman-dn6dj
      @OmanOman-dn6dj Месяц назад

      @@ReginaKaizirege-sd3hn Msg yako tu Inaonyesha ulivyo mchafu

  • @chany9950
    @chany9950 Месяц назад

    Lulu kazuri jmn

    • @mariamomary7758
      @mariamomary7758 Месяц назад

      Kutana naye laev umuone utamkimbua😂😂

  • @rajabmsinzia1715
    @rajabmsinzia1715 Месяц назад +2

    Vitumbua 😂😂😂vyeusiiiii

    • @ashaali7154
      @ashaali7154 Месяц назад +2

      Binaadam hamuishi kutoa makosa hivyo vitumbua vikiwa vyeupe pia mtasema Mwenyeezi Mungu kawaumba na bado munashindwa kumshukuru itakuwa kutoa kasoro kila kitu? Mola awasamehe.

    • @KhadijaMiteya-hh8xl
      @KhadijaMiteya-hh8xl Месяц назад +2

      Yaani tena amesemehewe sana na Allah, kitumbua kina kasoro gani kwa macho kinavutia.Binaadamu

    • @rajabmsinzia1715
      @rajabmsinzia1715 Месяц назад

      @@ashaali7154 kinachopostiwa sio wote kusifu hata kikiwa Kibaya na ndio maana kuna like 👍 na dislike 👎 hauwezi kuposti vitumbua vimeungua ukasifiwa bhana raha ya vitumbua viwe brown na sio vyeusi .

    • @rajabmsinzia1715
      @rajabmsinzia1715 Месяц назад

      @@KhadijaMiteya-hh8xl lol

    • @bennamush4616
      @bennamush4616 Месяц назад +1

      Ana njaa huyo amevitamani sema ndo Ivo 😂

  • @user-ct2qp6ur9t
    @user-ct2qp6ur9t Месяц назад +1

    Mbona nyumba ya manara tofauti na na umalufu wake

  • @machintangachibwena5922
    @machintangachibwena5922 Месяц назад +3

    Ftari unamualika kafiri swawabu hizo tutazipata wapi Allah atuongoze katika mema Inshallah

    • @shangwefisima3993
      @shangwefisima3993 Месяц назад

      Sasa kafiri ni nani hapo

    • @ashurahatibu5069
      @ashurahatibu5069 Месяц назад

      Tz tupo mchanganyiko my dr acha kuita wenzio kafiri

    • @shangwefisima3993
      @shangwefisima3993 Месяц назад

      Huyo ni muislamu mchoyo na sijaona muislamu mwenye roho chafu na ubaguzi kama huyo...inaonesha hata kwake ni lichoyo hilo....eti kisa kakaribisha wakristo ndo makafiri.....dini safi ni Ile ambayo watu hawatendi matendo machafu...peponi huingii kwa tiketi ya dini never ever..Kazana kutenda mema hiyo ndo tiketi yako

    • @linnahmshama
      @linnahmshama Месяц назад

      Duuuuu ngoja nikae kmy maana ila mungu akusanehe

    • @monicagrayxon8104
      @monicagrayxon8104 Месяц назад

      Kafir mama ako na Baba ako

  • @farahali6041
    @farahali6041 Месяц назад

    Garab kama garab

  • @Maryc2G
    @Maryc2G Месяц назад +1

    Women who handle or prepare Food, make sure you don’t touch food 🥘 on your hands, wear gloves 🧤 or use tongue spoons 🥄 to move the food from one container to another. Un unhealthy to touch with bear hand

  • @leaherasto929
    @leaherasto929 Месяц назад

    Kuongea mbele zawatu kazi sana

    • @user-xo5lq7mw3n
      @user-xo5lq7mw3n Месяц назад

      Alhamdulillah Allah aendelee kuwasimamia nawapenda ❤❤❤

  • @fatmaabdallah7709
    @fatmaabdallah7709 Месяц назад +2

    Robo tatu ya waliopo hapo hawafungi

  • @user-td8bp9kz8d
    @user-td8bp9kz8d Месяц назад

    Jamani waislamu wenzangu kukaribisha futari watu wanaojiweza sio tatizo ni kuongeza mapenzi na kukutana kwa pamoja pia kuna fadhila mbele ya Allah msiwe hivyo wakifuturisha wasiojiweza hawaiti kamera

  • @nikrahayubu-sz3pw
    @nikrahayubu-sz3pw Месяц назад

    Mmh mmefunga mnapena mikono hvy jmn waislam wengii hatuinui dini na wala mpng wa kuisoma hatuna astaghafiruallah

  • @fatmaabdallah7709
    @fatmaabdallah7709 Месяц назад

    Nawe lamata nae Habaliiii sema habari zenu ndo watakuelewa😂😂