Hakuna wakumuweza msemaji wa Yanga ujue ukishakua tajiri unajibu kwa vitendo Hawa wasemaji wengine wooote ni wanaropoka mana ukishakua na msongo wa mawazo ya timu unaongea ujinga huoni wengine wamekua comedy kama huyu Ahmed ally 😂😂😂😂😂
Polen sana kwa msiba. Ila yanga ni level nyingine hawatabirikiii ni shidaaa jaman inaweza kuona unashinda sasa wakianza visaa vyaooo wanakugeukia na hautaamin kipigo utakacho kipata
Ndugu yangu ww msemaji wa ihefu kumbuka mdomo uliponza kichwa ebu muulize ndugu yako Ahmed Aly alilopoka mwisho alibaki na Aibu Sasa na ww chunga huo mdomo
IHEFU kumfunga Yanga kwa mara nyingine tena ktk ardhi ya ugenini --- Halafu eti Yanga,waache kukariri,sasa nani anayekariri hapo --- wewe mwenyewe " umekariri eti kumfunga Yanga kwa Mara nyingine tena, huko ndiko kukariri " --- Halafu dishi limecheza anasahau " kono LA nyani " --- IHEFU mki delay kidogo," kono la nyani jingine "
Poleni ihefu Kwa msiba mkubwa mungu Yu pamoja nanyi
November 5
Hakuna wakumuweza msemaji wa Yanga ujue ukishakua tajiri unajibu kwa vitendo Hawa wasemaji wengine wooote ni wanaropoka mana ukishakua na msongo wa mawazo ya timu unaongea ujinga huoni wengine wamekua comedy kama huyu Ahmed ally 😂😂😂😂😂
Innshahllah.tutashinda
Huyu anateseka akiwa wapi jamani!,kasahau kono la nyani
Kijana acha mdomo. Yanga hii sio ile mliyoifunga mwaka jana 2-1. Hii ni Yanga nyingine kabisaaa
Ihef mnamtisha nani??
Nasisi kama wanamichezo young africans tuna dedicate mchezo huu
Kama mna msiba basi mtaenderea kulia sion nafas yakutoa machoz kwayanga hii ninayo iona
Polen sana kwa msiba. Ila yanga ni level nyingine hawatabirikiii ni shidaaa jaman inaweza kuona unashinda sasa wakianza visaa vyaooo wanakugeukia na hautaamin kipigo utakacho kipata
Kimataifa gani??
Mbona anaongea sana
Wasemaji wengine wanajizima data tu kama huyo pita hajuwi chochote ilimradi aropoke tuu
Mkiwa mbarali mnaloga, nje ya mbarali hamuwezi kuloga
WEWE UMEAMKAJE AU UTAAMKAJE UTAELEWA KESHO KUWA ULILALAJE
Litawakuta kitu nyie... Shauri yenu.
Semaji la dunia likizungumza wengne kimya
Mkono.wamepigwa.Ihefu
😢tunakwambia msemaji wa ihf punguza sifa
🤣🤣🤣🤣 Uyu Kalewa Anasahau Kama Mnara Wa 5G Ulisoma Kwake
Mkishaanza kudedicate mchezo kwa marehemu mtapata matokeo ya kifo
Kila la kheri leo yanga
Nakupongeza mwenyekiti wa wasemaji kwa namna ulituliza huyo dogo wa Ihefu
Mtafungwa kumbe mnakiburi kawaulize mtibwa sukari
Alli aujawai kusema uongo tmfunze adabu
Ndugu yangu ww msemaji wa ihefu kumbuka mdomo uliponza kichwa ebu muulize ndugu yako Ahmed Aly alilopoka mwisho alibaki na Aibu Sasa na ww chunga huo mdomo
Kasema kelelee telee hakukumbusha goli tano zilitoka wapi mbona alikimbiya baada ya mechi kakimbiya kuhojiwa
Wakandeni haooo
Umejitamba Sana utafungwa
November 5 kolo
YANGA MUWE WAANGALIFU IHEFU WATACHEZA KUFA NA KUPONA. MSIPOWATAHARADHISHA WACHEZAJI SIAJABU MKAFUNGWA AU KUTOA SARE.
Bas mtaendereza matanga
Ushindi muhimu
Kesho ihefu mnakula kumi
Hatuna stress
Kudedicate mchezo Kwa kocha wenu hakutawafanya mshinde pyeeee😂😂😂
Uwo ni wivu
@@AjiaMohamed-rt5pb niache na wivu wangu😂😂
See u
Wambie kamwe
Mavi ya kale hayanuki,hovyo😂😂😂
Amekula nini uyo marehemu munataka mumpumzishe kwa shida sio munampa marehemu uwo mchozo 😮
Ally kamwe 🙌😂😂😂😂😂😂
IHEFU kumfunga Yanga kwa mara nyingine tena ktk ardhi ya ugenini --- Halafu eti Yanga,waache kukariri,sasa nani anayekariri hapo --- wewe mwenyewe " umekariri eti kumfunga Yanga kwa Mara nyingine tena, huko ndiko kukariri " --- Halafu dishi limecheza anasahau " kono LA nyani " --- IHEFU mki delay kidogo," kono la nyani jingine "
Unajiweka kindege we subir uone
Bibi tu
Mdomo huponza kichwa
😂😂😂😂
Kwanza anaongea uku anatetemeka kitakachowakuta mtajuta mdomo Mali yako
Ihefu ni tawi la Yanga musitushulishe
Akili Yako kama ukoo chooni
iyo mechi ninyepesi kwasababu wanacheza mtu na shemeji yake
wewe umeoa wapi katika hao mashemeji mawili
Ndo kitu mlichobaki nacho makolo mdomo tu bado hamjasema
😢ushamba wa ubongo huu
Kaombe kazi huko ya kudeki choo kwa Ahmed Ally 😂