FULL VIDEO : NDOA YA HAJI MANARA NA ZAIYLISSA / NI BALAA TUPU FULL SHANGWE MATASHITITI NA RAHA TUPU
HTML-код
- Опубликовано: 15 сен 2024
- TAZAMA MWANZO MWISHO FULL VIDEO NDOA YA HAJI MANARA NA ZAIYLISSA / NI BALAA TUPU FULL SHANGWE MATASHITITI NA RAHA TUPU
#manaratv #hajimanara #diamondplatnumz #bugati #dottomagari #zaiylissa
Manara sasa unaona unachokifanya huwo ndo utu uzima. Jitaidi sana usimpe ibilisi nafasi kwenye maisha yenu mapya ya ndoa. Wewe ni dume lijali mkingie kifuwa mke wako sio kilajambo lifanywalo ama lisemwalo unalichukulia very serious . Umepata chombo nawewe ndie dereva tunawatakieni maisha mema namafanikio tele ❤
Hapana mapenzi hapo ni utapeli tu 😂😂
@@alawimohdNdio nyinyi 😂😂😂
Kuna clip ya Dudubaya imepewa jina Dudubaya ambomoa Haji Manara.
Imenifundisha mambo mengi makubwa na ya maana.
Alla akujalieni vizazi vyema akupeni furaha na mapenzi ya kudumu katika ndowa yenu mpendane msikilizane mpaka mzikane anaewakaliya kwa ubaya umrudi mwenyewe
Hakuna anaeoa au kuolewa akitegemea kuachana huwa inatokea binafs nawaombea kila la heri mdumu daima
Allahumma amiin
AMIIN🤲
amin nikweli
Aamin
Ameen Ameen
MashaAllah 😍 Beautiful 😍 👌🏽 Mwenyezi Mungu aifanye Ndoa ya Kheyr 🙏🏼 Hajji Manara, mtunze vizuri huyo mtoto, achana na Mitandao Please 🙏🏼 All the best 🙏🏼
mashaa Allah ....Allahumma baarik Mr mnapendeza mkiwa kidini kuliko kidunia Allah awaongoze muendlee kama hv
MashaaAllah mwenyezi mungu awatangulie kwenye maisha yenu y ndoa inshallah
Barakallah lakuma wabaraka alaikumma wajamma bainakumma fillkhairy🙏🙏🙏Allah aidumishe ndoa yenu muishi maisha yenye amani na furaha tele.. allah awape kizazi chema yarrab🙏🙏
Allahumma amiiiin yarab
Ila binaadamu tuna maajabu Sana...haramu mnazichekelea..Ila halali mnazichukia...😅simaanishi ila mnafurahisha..ndokashaowa. Na zai ndokashaolewa
Hawachukii shida ni kwamba wamekutana wote hao show off tu hakuna asiependa Jambo la heri kama ilo ila hao wote historia zao ndio tatizo
Mabrouk kka manara n daa zay❤ allah awajalie masikilizano mema na kizazi chema ❤
Kila la khri mungu awape Maisha ya kudumu nmefurahi San jambo la khri ❤❤❤❤🎉🎉🎉
Amin yarabialamin
Kaka haji kanzu imekaa mahala pake.kaka haji VERY SMART KICHWANI NA MWENYEWE Iwe ndoa ya kheri Inshallah mzikane.
Kaka Manara Ongera..InshaAllah Mujaliwe na vizazi
Mashallah Allah awape kheri jambo jema hilo. Sasa yule bwana chakacha aache utoto wake hapa tena aache ujinga wa kutafta trend ndoa ni kitu cha kuheshimiwa
Bwana Dula nakushauri tafta trending mpya lkn hii sasa ni ndoa uiheshimu sio trending tena so kua na heshima huku tuachie wenyewe kwenye uwanja wa watu wazima usilete utoto wako.
Ndoa imemshinda anatafuta vita na watu wenye pesa zao atulie mkao wakula 😂😂😂😂😂
Dulla 😂😂😂 alimuacha ili apauke sasa mm najiuliza alitaka asiolewe tenaaa??Yan watu wanamsaport dulla nawashangaa pia ni bora angetoa talaka moja kwanza kama alikuwa bado anamtaka
@@banguha ndoapo wanae msapoti niwanafiki kama Dulla, bada ya mwezi subiria atachwa mpaka basi ndo wabongo walivyo ,😀😀😀
😂😂😂😂 umenichekesha we jamaa 😂😂 tena akae kwa kutulia hana chake tena
Mashallahu.Allah awadumishe na atie barka na mufuate mifumo sahihi ya Qur-ani na sunna katika ndoa yenu na muepamoja peponi.Amiin.Mafanikio yenu musiyaoneshe mitandaoni wala mikwaruzano musiitangaze mitandaoni pelekeni kwa mashekhe hao pamoja na wazazi wenu.hii itasaidia mahasidi kupata la kuongea na kufitinisha.
Mashaalla❤❤❤❤❤❤ let her be the first one and last one. Inshallah ya Allah❤
Mashaka Mashaallah Mwenyeezimungu awaongoze kwenye safari mulioichukua na mudumu kwenye ndoa yenu
Hii inanikumbusha Abasia, Khairia na Mgaya madrasa! Sheikh Salum nimefurahi kukuona. Hajji hongera. Kaswida Imenikumbusha mbali sana.
Mashaallah mabrook 🎉manara ameozeshwa na baba wawatu Sasa Kaz kwako ukadumu na zai ,nae zai adumu asiwatie nongwa kwao,iwe kher InshaaAllah 🤲🙏
Tuliozaliwa January tunaupendo sana tukiacha atungeuki nyuma,wish you the best my twin ❤❤
Iwe ndoa ya kher ya allah waish milele jmni❤❤
Amina!!
Amiin inshaallah tumuombee bugati😂😂😂😂😂
Amiin
Mashaallah. Alf mabrukini. Muishi mpaka mmoja amzike mwenziwe
napendaga mnavyofunga vitambaa kichwan but manala umependeza sana na ikawe heri inshaalaah
Kwa ninavyoona manara anakupenda sana kipenzi nakuomba umpende na umvumilie na msikilizane Mungu awe mbele yenu daima
Maashallah mzee bugatiii iweyakheriii
Manshallah 🎉🎉🎉🎉❤
Bwana hana tatizo ana mpz ya kweli. Tatizo wanawake wakisha ekwa mjini basi. Bi harusi kaa vizuri na bwana huyo. Maana katumia hela nyingi kwa ajili yako. Allah ibariki ndoa hii amin.. hadi naona imani kwa huyu kaka Haji.
Yanabii ya nabii salaam alaika taibu WA moyo wangu....❤❤❤Allah aibarik ndoa yako kakangu akulinde na kila Shari na mahasidi....kila ajaye na Shari aijua yake Siri Allah akulinde kakangu na Aidimishe ndoa yako insha'Allah na Rajab hii🙏
Masha Allah bwanaharusi humependeza in sha Allah ndowa hiwe ya baraka
Mashallah kaka Angu Hajji
Ndoa ni mkataba, baina yenu wenyewe na baina yenu na Allah SWT. Muamrishane mena, mkatazane mabaya. Allah akufanyieni wepesi.
MASHALAH USTADH MANARA HATIMAYE AFUNGA NDOWA ALLAH AWAJAALIYE NDOWA NNJEMA NA YENYE KHERI NA WAKIJAALIWA KIZAZI KIWE KIZAZI CHEMA AMIN
Ndoa iwe ya kheir mwenyezimungu awajalie masikilizano na maelewano inshallah
Mashaallh thabrk allh Hannah minnah allh wanema wakili
Maashaallah.....nawatakia kila la heri katika maisha yenu ya ndoa........Baarakallahu kahairaat...💫🌟🌙
Nakupenda ❤ sana dada zai sema ndoivyo sina bahati ya kuonana na wewe mungu akuzidishiye shufaa ktk ndoa yaku I love sana
MABRUK ALF MABRUK NAIWE YA KHEIR IN SHAA ALLAH
Mashaallah
MaashaAllah Maalim Haji M.mungu awasimamie muishi pamoja mpaka kuzikana.
Hongera naira wa jua Kar Ila kwa dini yko inavosema huyakiwi kushikwa shikwa Tena na Mr kaka
Ndoa ni jambo la kheri Mungu awabariki
Mashallah barakallahu fik...alfu mabrouk ❤❤❤
Naam jambo letu limetimia Mwanangu Manara we na Alhaula zake mguuni
Asallam maalequ Maashalla Maashalla Allah hjelp you Familie Ishaala Ishaala Allahadulilah 🎉🎉🎉❤❤❤❤❤
mashaallah hongera san
Mashaalah ..namimi yangu soon japo bwana harusi simjui 😊
mimi hapa😁
𝑺𝒆𝒎𝒂 𝒖𝒌𝒐 𝒘𝒂𝒑𝒊
Njoo hapa
😂😂
Tunaiombea ikawe khery ❤
Mashallah Allah awajalie ndoa ya kheri awaondoshee husda na hasad awape kizaz amiin yarab
Kila la kheri mimi nawapenda na ninawaombea kwa imani yangu ya kikristo ndoayenu ikawe ya amani na upend na mdumu milele Ameen
Mashaa'Allah 🥰 ikawe ya kheri innsha'Allah 🤲🙏
Mashalaa mwenyezi mungu aijalie ndoa yenu ikawe yakheri nabaraka tele
Mashallah..hongereni sana ila bwana harusi umetisha mahari milion mbili
Mashaallah Allah ailnde ndoa yao ❤❤❤🤲😘🇹🇿🙏🏽
Awa watu jaman wana pendana. Trending couple number one in Tz❤❤
❤❤❤ألف مبروك والف سلامه عليكم ياااااااارب ❤
Ndoa iwe ya kheri muachane na mambo ya dunia. Mwanamke heshimu IJABU
Mashaallah bi harusi umependeza sana kwa vazi la heshima pia umezidi uzuri❤
Mashaallah beautiful brai khanifa fom🇿🇦
Mashallah hadji wetu from Rwanda❤❤❤
بارك الله لكما وبارك عليكما وجمع بينكما في خير
❤❤ماشاءالله تبارك الله الرحمن ❤❤
اللهم احفظهم ياااااااارب من كل شر واجعلهم خير في حياتهم ❤❤
اللهم آمين يارب، آآمين يارب العالمين
اللهم امين
Ma shaa Allaah Tabarak Allaah.....Allaah ajalie kila la kheir
Masha Allah tabaraka llah. Hikawe yenye kheri kwenu🙏💕💕
Zai nakuombea dua ukadumu kwa mmeo mana kushikwa kichwa kila siku ni nuksi mungu akutangulie
Mungu awabarikie Ndoa Yenu Milele Ameen🙏🤲
Ongera sana muwe na ndoa yenye mafanikio makubwa
Mabry Alf Mabry to the newly weds.
Mashallah ikawe heri na baraka tele
Ifike mahali tuache wivu na makasiriko ndoa yenu idumu mzikane manshallah
Masha'Allah Umependeza Sanaa Bro' Manara👍🙏
Masha Allah
Mashallah mashallah mashallah ndoa idumu daima dawamu madogomalize wenyewe ndani yakotokeya makubwa yakitokeya yamekushindeni rudini kwa wazee watengeneze
Mungu awapiganie kwa kila hatua, hongeren sana mr&mrs Haji manara
Mingu awajaze kheri inshaallah ❤❤❤
Mwenyezi awajalie congratulations 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤
Mashallah barakallahu fik alf❤❤❤❤u mabrouk
Baraqallah
❤❤❤kila la heri Zai ukawe mke mwema kwa kaka
Yetu Haji na mke mcha Mungu❤❤❤
Mashaalah ndoa yenu ikawe yakheri nabaraka mungu akawajaalie muishi mile
Tatizo Wabongo Usanii hadi kwenye Ndoa, kwa kuwa siku hizi eti tunatafuta followers, basi ndoa zimekuwa mchezo wa kuigiza, Tumechoka kusikia eti Bugati anavalisha pete mala anaoa jamani hatupumui, ukiachana na huyu binti usitutangazie tumechoka, jitahidi muishi kwa taabu na raha hakuna aliyewalazimisha kuoana.
ALFU MABROOQ !!!!! INSHAA-AIIAH !.. MUGANDANE ZAIDI YA GUNDI..🙏🙏🙏👋👋👋👋👋🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
😂😂😂😂😂
MASHAALLAH❤❤❤
Masha Allah and Mabr0uq ❤❤
Mashaalah mungu akujalie ukazae mara hii na manara ishaalah upate mtoto wa kilibino ishaalah uwishi kwenywe ndowa yako bizai
😂😂😂😂
Ujue hiyo ni mungu ataanza na ww kukupa albino
Hakupenda kua hivyo ni mipango ya Mwenyezi Mungu kwake sote ni sawa yeye ni binadamu kama wewe acha kufuru yeyote aweza kuzaa muogope Allah dunia twapita tu.
Mashallah Mashallah inshaallah iwe ya kheri
Mashallah 🎉iwe ya kheri inshaallah
Hongera sana manara mungu awajalie ndoa yenu idumu inshallah
anamtesa tu mzee wetu Talimba
Kajaribu tena
Mabrouk manara Allah ajalie ndoa yako iwe ya kheri
😮pesa shikamoo😊
Marhaba
Mola awajaalie kher baraka upendo muishi miaka mingi muhitimishane amin yarab laalamin inshaalla
Nakutakieni baraka ktk ndoa yenu na Allah ailinde insha Allah ushauri shekhe manara mke huyu usimuhusishe kabisa ktk mitandao.Na umsimanlmie awe mwenye kufanya ibada insha Allah Hasada za waja ziwaepuke insha Allah.
Mashaallh tabaaraka Allha ikawe kheri inshaallah ❤
Ndoa iwe ya kheri Allah awakinge na mahasidi
❤❤❤ماشاءالله❤ ماشاء الله❤ تبارك الله ❤تبارك الرحمن❤❤❤
Thabaraka allh inshaallh amiin ❤🤲🤲🤲🙏🙏
Kwani aowa tena
Mmependeza sana inshaallah ikawe her kwenu na baraka tele
❤❤❤Masha Allah furaha hiyooo furaha hiyoooooooo ya harusi imeshatimia❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉Helloooooooooo mabiharusi❤
Mashallah tabarakallah kamfunga vizur
Masha Allah tabarAka Allah
Masha Allah Allah awalinde na vijemba❤
Mungu awajalie baraka na nehema❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉yusra vifungashio gongolamboto
Mashaallah Mashaallah