HOTUBA NZITO YA WAZIRI MKUU SIKU YA MEI MOSI MBELE YA VIONGOZI WA KITAIFA/AMTAJA MAKONDA
HTML-код
- Опубликовано: 30 апр 2024
- All the African Music. Hottest SHOWS... Mapinduzi Ya Burudani
Times FM Ni Redio ya Burudani Nchini Tanzania, Inayoongoza kwa kukupatia Habari za Burudani pamoja na Matukio yote yanayotokea ndani na nje ya Tanzania. #KiafrikaZaidi.
Follow us on twitter / timesfmtz and on instagram / timesfmtz - Развлечения
Waziri mkuu JEMBE letu, HONGERA sana.
Kikokotoo,wapeni waastaafu asilimia anagalau hamsini.
Raisumefanya mengi mazuri tunakuombea fanya kitu na kwenye kikokotooo
Ongeza na wastaafu walau20'000 kila mei mosi siyo mbaya
Kwenye madarasa ya Awali Tu, rais samia anatosha 2025/ 2030.
Do you?
Yote na yote tunaka katiba mpya
Mbona katiba tunayo! Unataka katiba ipi?
Katiba tunayo.