Leo nimetambua kwa nini Mungu alimchukua JPM mapema. Alitaka kuonesha kua Tanzania kuna hazina ya kutosha ya wazalendo. Mungu tujalie na umlinde Rais wetu mama Samia Suruhu Hassan
Baba Askofu umewasema watanzania asilimia 90% ambao walipenda kuyaongea hayo mbele za watu, lakini wewe umenena kila kitu kwa uwazi na Mungu akubariki sana, sana tena Sana. Hatuwezi kukubali ili wamshushe chini Magufuli halafu wao wapae juu kwa lengo la kuendeleza yao.!
Jamani askofu wa kanisa gani? Shikamoo baba askofu Mungu akulinde Mama yetu Samia mpendwa umesikia, tunaomba usijewasahau wanasiasa ukawateua kwenye hata nafasi ya ukilanja.👏👏👏👏👏👏
Samahani kwa usumbufu ruclips.net/video/ZdxcRPDbVIc/видео.html 👆Tafadhali naomba unisaidie kubariki Safari yangu ya Sanaa Kwa kunipa maoni yako juu ya wimbo wangu huo mpya UbArikiwe Thanks
Saaafi sana wstanzania ndicho tunahitaji, Sikh zote tukihubiri kwa majukwaa mbalimbali. By; makamu wa Askofu mkuu, wa makaniss ya Sinai mission's International, Edward Amosi Kalinga, wa makani
Kiakili ukiangalia sana hiyo kauli utagundua kwamba inamaanisha kuwa endapo mama ataunga mkono mtu wa aina hiyo na kumpa cheo inamaana anaunga mkono wanafiki hao .
Askofu umenifurahisha sana sana. Washenzi sana hawa wana siasa wa Tanzania. Wajinga kweli kweli. Cheo ni dhamana. Ni kazi ya muda mfupi sana. Wanataka kuanza kuiba. Walizoea kuiba kujaza mapesa wasiyokuwa na maana kwenye majumba yao. Wao pia watakufa washenzi, mapumba. Yaani nimekupenda sana endelea kuwapasha
Hakika maneno ya askofu KONGKI ametusemea wananchi wa hali ya chini ambo tusinge pata nafasi milele kusema hayo mbele ya wahusika. Wanasiasa wanatugawa . wamelewa posho na mishahara. Baba Askofu MUNGU akutunzee na kukuongezea ulinzi mara dufuuu.💪💪💪💪
mungu alituleteaa magufuli alipendwaa mnoo na alimpomchukuaa akatuonyesha kati ya waliokuwaa wanampendaa kuna waliokuwa wanamchukiaa wanafikiiiii kbsaaaaaa
Samahani kwa usumbufu ruclips.net/video/ZdxcRPDbVIc/видео.html 👆Tafadhali naomba unisaidie kubariki Safari yangu ya Sanaa Kwa kunipa maoni yako juu ya wimbo wangu huo mpya UbArikiwe Thanks
Tatizo la baadhi ya waTz ni wanafiki sana (wanyama na kupuliza) mama waangalie sana hawa wasikuchanganye. Kila Kiongozi mnamuona hafai, mlikuwa mnamfurahia Kikwete ameingia Magufuli mkawa mnapiga kelele oooh.. "vyuma vimekaza..."! Ameingia.mama anarekebisha mambo mnaanza kupiga kelele na akiondoka mama mtajifanya kumsifia mama !
Hadi viongozi wa dini mbalimbali huonekana wakijipendekeza kwa viongozi mbalimbali wa kisiasa ,kiasi kwamba hatakama Mungu amempa kiongozi wa dini Neno la kumuonya kiongozi hamuonyo Bali anampa maneno laini laini hata Kama kaona wazi uovu hausemi,
Leo nimetambua kwa nini Mungu alimchukua JPM mapema. Alitaka kuonesha kua Tanzania kuna hazina ya kutosha ya wazalendo. Mungu tujalie na umlinde Rais wetu mama Samia Suruhu Hassan
Baba Askofu umewasema watanzania asilimia 90% ambao walipenda kuyaongea hayo mbele za watu, lakini wewe umenena kila kitu kwa uwazi na Mungu akubariki sana, sana tena Sana. Hatuwezi kukubali ili wamshushe chini Magufuli halafu wao wapae juu kwa lengo la kuendeleza yao.!
Mungu akuongezeee uwaz uendelee kuwaeleza ukweli watu wanafiki
Nimefurai sana Na baba Askofu kwakweli Tuache kujipendekeza hahahah handi Raha kwakweli hivi kweli Ndugai na wezake wapeipata hilo
Nimekukubali
Upendo wajabu Tanzania ndugu moja God bless us.
Umeongea ukweli baba mungu akuzidishie
Na kawaida ya mnafiki anataka awe rafiki wa kila mtu kwa kumfitini mwingine
👌🏿😂😂😂 kweeeeliiii
Yaani Askofu umetufurahisha saana watanzania na Mungu akubariki sana
Baba askofu umenena KWELI RIP MH JPM MWENDO UMEUMALIZA IMANI UMEILINDA
Chandra
Waambie hao baba unafik ni mbaya sana
Umenifurahisha sana Asikofu kweli ww ni Mtumishi wa Mungu
Jamani askofu wa kanisa gani? Shikamoo baba askofu Mungu akulinde Mama yetu Samia mpendwa umesikia, tunaomba usijewasahau wanasiasa ukawateua kwenye hata nafasi ya ukilanja.👏👏👏👏👏👏
Tanzania kwanza mengine badaye rip jpm
Umeongea kweli askofu wanasiasa ni wanafiki Sana!
napigia mstari
Kweri kabisa baba wambie ukweri wamezidi tunawaangaria tu tunawasubiri 2025
saaaaanaaaaaa hata mm nawaona sijui niwataje
@@athumanimhanga2053 nikweli kabisa
Asalamu Alaikumu Askofu. Kauli yako Ina nguvu ya mungu Hao Wanafki Washindwe.
Wape bababaaaaaaa👏👏👏👏👏👏
Haya makongamano yakifanyika mara kwa mara hakika hakuna mtu atakaekuja kutukugawa
Kabisaaa
Kutokumheshimu na kuacha kumzihaki JPM vitatugawa tena sana. Kumheshimu na kumheshimisha vianzie kwa huu Rais aliepo madarakani. Bila hivyo aisee!!!!
Samahani kwa usumbufu
ruclips.net/video/ZdxcRPDbVIc/видео.html
👆Tafadhali naomba unisaidie kubariki Safari yangu ya Sanaa
Kwa kunipa maoni yako juu ya wimbo wangu huo mpya
UbArikiwe
Thanks
umejua kuwanyoosha, akili zao wizi tu, wanasiasa malaya malaya washindwe kwa jina la yetu, RIP JPM 💔 daima kila la heri mama Samia💖#kaziiendelee
Kweli wanajipendekeza kabisa
Shekh jongo asante sana sana asiyeelewa haelewi tena mpaka aonfoke duniani
Kabsaa
Umesema ukweli baba ubarikiwe sana
Be blessed servant of God i agree with that servant of God
Uko vzr askofu
Asante sana mzee,umenena!..
Asante kwa kuwapa vidonge vyao.
Safi sana
Sheikh has critical thinking GOD BLESS U
Viogozi wa dini muhimu. wanatupa moyo na wanapo shirikiana mungu hubariki.nafurahia umoja
Ndiyo uwo uzalendo Big up askof 🙏🙏👍👍
Fact kwakweli Mungu akujalie maisha marefu.yenye Barak a Tele baba askofu
Congatrationn baba asikofu wanataja kujinufaisha kisiasa kupitia hayati raise wetu
Wewe ni mtumishi wa Mungu wa kweli.
Asante mtumishi wa Mungu 👃
Ahsante askofu..waeleze.wanafki.
Mungu akubariki sana wewe nimsema kweli
Haya maneno yataendelea kuishi. Tanzania ni moja
Masha allah 👏👏👏👏
Safi Sana baba askofu kweli una upako wa Mungu
Duh asante sana mtumishi wa Mungu uko vzr sana.Nimekuelewa
Ofcourse your right
Safi sana askofu waoe ukweli wao hayo machawa
Safe sana mtumishi wa Mungu.
Respect Askofu Konki, unatakiwa ulihutubie bunge!!!
Wamenifurahisha kwajuzingatia Afya zawatu wanaotumia mc kwakubadilisha cover ile
Tulijali Taifa letu.Vizur sana Shehe Jongo
Saaafi sana wstanzania ndicho tunahitaji, Sikh zote tukihubiri kwa majukwaa mbalimbali. By; makamu wa Askofu mkuu, wa makaniss ya Sinai mission's International, Edward Amosi Kalinga, wa makani
Shukrani sana sheikh sahihi kabisaa
Ubarikiwe saana mtumishi
Ubarikiwe baba Askofu
Asante Sana baba askofu
Yan umeongea ukwel mtupu mungu akuongezee umri mkubwa zaid
Kiakili ukiangalia sana hiyo kauli utagundua kwamba inamaanisha kuwa endapo mama ataunga mkono mtu wa aina hiyo na kumpa cheo inamaana anaunga mkono wanafiki hao .
Allhamdulah Askofu
Msema kweli ni mpenzi wa mungu
Safi sana, a routa continua 👏👏👏
Safi kumbe konki umeyaona hayo? Ubarikiwe
Askofu umenifurahisha sana sana. Washenzi sana hawa wana siasa wa Tanzania. Wajinga kweli kweli. Cheo ni dhamana. Ni kazi ya muda mfupi sana. Wanataka kuanza kuiba. Walizoea kuiba kujaza mapesa wasiyokuwa na maana kwenye majumba yao. Wao pia watakufa washenzi, mapumba. Yaani nimekupenda sana endelea kuwapasha
Mungu akubariki sn umeongea vizr mno
Tunakuombea Rais wetu samia Mungu akusimamie! katika maamuzi
Askofu konki oyeee! 🇹🇿🙏🏾👏💪
Oyeee
Oyeee
ubarikiwe baba mtumishi zimefika
Ndiyoooooo waambie wanafiki Sana. Aibu imewapata shame on them.
Sure Tanzania Hatuna viongozi wanaosimamia HAKI ni WANAFIKI sana.
Mama Anawaona Lakini Ametulia Tu
Hakika maneno ya askofu KONGKI ametusemea wananchi wa hali ya chini ambo tusinge pata nafasi milele kusema hayo mbele ya wahusika. Wanasiasa wanatugawa . wamelewa posho na mishahara. Baba Askofu MUNGU akutunzee na kukuongezea ulinzi mara dufuuu.💪💪💪💪
Ok askf wa mungu
mungu alituleteaa magufuli alipendwaa mnoo na alimpomchukuaa akatuonyesha kati ya waliokuwaa wanampendaa kuna waliokuwa wanamchukiaa wanafikiiiii kbsaaaaaa
Asanteeee Sana baba askofu konkiiiiiiiiiiiiii
Kweli kabisaaa
Wapeleke unafk wao mbli n sis
BABA ASKOFU NIMEPENDA SANA UMESEMA UKWELI KABISA KAMA NENO LA MUNGU LINALOTUONGOZA KUSEMA KWELI.
Amina
Kweli kabisa wanafiki hao chaja ya kobe aichagui betri
Konki Konki Konki fire 🔥🔥
Wawe wanapewa makavu,baadhi ya wanasiasa wanafiki Sana,Wamepata Elimu lakini hawajaelimika,Mungu atupe uhai tutakutana nao hukohuko juuu.
Hyo kweli
Bishop Konki baba nimekukibali umetusemea baba tumekuwa nyuma wapentekoste Sana Ila kuna hazina CPCT
Ujumbe umefika kwa hawa wanafiki
Kabisa
Kazi ya kiongozi wa dini kusema ukweli wewe unaesema anajipendekeza omba toba na mungu akusamehe
Nimelipenda kongamano la leo na nimejifunza kitu maana mungu alituagiza kazi moja tuupendo madhehebu yote pamoja mungu awabariki
Samahani kwa usumbufu
ruclips.net/video/ZdxcRPDbVIc/видео.html
👆Tafadhali naomba unisaidie kubariki Safari yangu ya Sanaa
Kwa kunipa maoni yako juu ya wimbo wangu huo mpya
UbArikiwe
Thanks
shehe safi sana
Tena ni unafiki kabisa!
Konki fayaaa😀😍
Mh.Rais hilo vibe liangalie Sana
Msipo wadhibiti kumkejeli Magufuli nikutengeneza Bom wakiendelea Litalipuka
Kumbe wengi tuona nilifikili mie tu ndio nawaona wanafiki
Spika Ndugai na January Makamba nadhani mumeckia nyie wanafiki wakubwa
Sahihi kabisaa askofu konk
Kumbe Tanganyika Ina watu wazuri tu vibaraka Ni wachache mwisho wao na Mali zao
Wengine kabla hata Hayati Rais JPM hajazikwa wakaanza kwa jazba kuipangia Serikali cha kufanya looh🤔😥
Duh,
Kweli baba askofu wewe ni mtumishi wa kweli na mungu hapendi unafiki
Konki, Konki, Konki Master 🔥
Kumbe umeona hilo baba eeehe ahsante sana kwa kuwa mkweli
Kweli kabisa
Bomu ilo askofu
Sheria za gharama za vibali vya ujenzi ziangalieni kwa makini,wizi mtu umejaa,watu wanakandamizwa
Tatizo la baadhi ya waTz ni wanafiki sana (wanyama na kupuliza) mama waangalie sana hawa wasikuchanganye.
Kila Kiongozi mnamuona hafai, mlikuwa mnamfurahia Kikwete ameingia Magufuli mkawa mnapiga kelele oooh.. "vyuma vimekaza..."!
Ameingia.mama anarekebisha mambo mnaanza kupiga kelele na akiondoka mama mtajifanya kumsifia mama !
Tumeshawaona ni wanafiki sana, sisi hatuna pa kusemea bora umelisema wazi wamesikia
Nimependa hiyo. Kongki MUNGU wa mbinguni amzidishie ulinziii.
Na wanajilendekeza sana hata hivyo walifanya hivyo hivyo kwa MAGUFULI LEO WAMEMGEUKA na Mama Samia watafanya hivyo hivyo muache kutuchanganya.
Yakweli kabisa mtu wa mungu
Ndiyooo kujipendekeza tena ni ushamba na fikra fupi, tabia mbaya sana!!!
Hadi viongozi wa dini mbalimbali huonekana wakijipendekeza kwa viongozi mbalimbali wa kisiasa ,kiasi kwamba hatakama Mungu amempa kiongozi wa dini Neno la kumuonya kiongozi hamuonyo Bali anampa maneno laini laini hata Kama kaona wazi uovu hausemi,
Alichoongea shoo na konki ni vitu viwili tofauti, angalia muitikio wa watu... Hapo.... Wazalendo wataelewa
Hapa wanafiki huwa wananishangaza , Katajwa Magufuli Wamepiga Makofi, Katajwa MamaSamia Wamepiga Makofi. Nadhani mme wajuwa wanafiki
🤣🤣🤣🤣
wanafki Wapo Tena Wengi Sana Mmoja Yule Wa Kusini Sijui Nani Na_y___
Tena wanajipendekeza haswaaa
😂😂😂kweli konki