Dudu baya mohamed hussein ndiye anaongoza kwa magoli ana magoli 26 kwenye msimu mmoja haijavunjwa hiyo rekodi hapo umeteleza mzee mwenzangu lakini uko poa
Mm huyo dudu napenda jamini anaongea vizuri maana anaa mapoti katika mahojiani yake nyingi tu nawashauri wasanii muige mufano kwake haki mutafika mbali mukizingatiya pia naomba namba yeke tafadhali
Interviews za dudu hazichoshi kusikiliza, you are the living legend even the industry hate you
Duh wasanii wazizi! Mungu aendelee kuku weka hai, safi sana dudu Baya. Malezi ya seminari yamekujenga
Wahenga ka Hawa mie ndo NAWAPENDA wanakua na story za motivatee sanaaa😂😂😂
Mamiwani makubwa typing.... 😂😂
Mlichokiandika na nilichosikia tofauti,ndo maana sipendagi kufungua ivi vitv vya online
Tuliosikiliza Hii Interview Uku Tunasoma Comment Gonga Like Tujuane.
Aaah hapana , Awillo longomba alikuwa Sukous stars ya kina Alous mabelle siyo Koffi Olomide .
Namukubali sana Dudubaya
Nimecheka sanaa dogo inanitafuta nini😂😂😂
Music tanzania uleta ujinga sana Bunge wali tizame hili sana....
Eti moto unawaka 😂😂😂
NAMPENDAA dudubayaaa❤❤❤Sema cjui ka hakosi mahusiano😂😂😂😂MIE na yy age Sawa. Hapo moto kuwaka🤣🤣🤣🤣Sema mie mwsilam Sasa din tatzo. But I like him
Anyoe hizo sasa khaa
Napenda hii kama uncle amekua anarap
Kapendeza jamana hadi nimrntaman
Mtangazaji umesema mwenyewe hawana ADABU.
Mamiwani makubwa afu usiku tena ya jua😂😂😂
Konk× 3
Miwani hata usiku ni utamaduni wa ⭐️ hapa Bongo
Bg up sana
Eti Mke wake ZUCHU… Kwani Zuchu kaolewa na Diamond???? Au unazusha hapo tu Mtangazaji??
Dudu Baya unasema kutoa mimba ni ushtani vipi kuzini
Sio swali we katoe kama unamimba. Utaelewana na mungu
Moto unawaka😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😂😅
Yani kaka umeogea
😂😂😂😂😂miwani kama usiku
Moto unawaka😂😂😂😂
KONK. KONK MASTAR❤❤❤❤❤ukweli.ndio huwoo
You're right 👍
Anoulizwa super.. Mtangazaji Mhhh 😂😂😂 vichekesho. Vitupu lazima wamtaje Zuchu.
Konki mkweli kabisa
Hapo na mm nimecheka "eti moto ukawaka
True Dudu
Nimekupenda bureeeeeeeeee njoo home
Kwenye Mpira hujui achana nao
Kuliko kuskiya nyimbo za machaw bola dudu baya anasema mambo ya mana sana
Fact
Konki masta
Nawaombeni mnipe maana ya Dudu Baya
Mamiwani wakubwa Alafu ni usiku 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Imeenda iyo
Hahaha mbona moto ukawaka?!🤣🤣🤣🔥🔥🔥
True fact 🤞🔥🔥🔥❤️❤️
Dah moto🔥 unawaka🤣🤣
ahahahahahahahahaa..duh dudi baya mbona unakwepa .ati dogo unanitafuta nn
Dudu hebu kohoa kwanza koo likawe sawa,hiyo sauti inanipa taabu kuiskiza
🤣🤣🤣
🧠 kubwa
Dudu baya🔥🔥🔥
MOTO UKAWAKA 😅😅😅😅WE HUOGOPI
😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂32 11:10
😂😂😂
Hii interview ni fupi sana ,hatuchoki kumsikiza konki
Dudu baya mohamed hussein ndiye anaongoza kwa magoli ana magoli 26 kwenye msimu mmoja haijavunjwa hiyo rekodi hapo umeteleza mzee mwenzangu lakini uko poa
Uja muelewa iko ivi kamaanisha toka ligi iwepo mchezaji amvaye ana magoli mengi mpaka mda huu ni Boko :: sio magoli ya msimu mmoja: so dudu yupo sawa
@@mkarukageorge6000 ohoooooo sasa nimekuelewa asante kwa ufafanuzi
Aujaelewa ww..amesema mwenye magoli mengi kwa ujumla....sio msimu mmoja
Boko ana magoli zaidi ya 100
Kichwa Cha habari sio
Interview iwe fupi tafadhali MSITUCHOSHE WATAZAMAJI. MEDIA NI NYINGI
😂😂😂😂😂
Sasa ww kwann unateseka, angalia zako nusu dakika Zima data lala😂😂😂😂😂
Kweli bhana
Mm huyo dudu napenda jamini anaongea vizuri maana anaa mapoti katika mahojiani yake nyingi tu nawashauri wasanii muige mufano kwake haki mutafika mbali mukizingatiya pia naomba namba yeke tafadhali
Tuchek Instagram kupitia mpalla_updetes,tutakupatia namba
Mapoti ni nini
@@JudyLee-hf9cyKAMA ANISHA KUA DUDU BAYA ANAONGEA ..POINT...SO UYU KAKOSEA KUANDIKA .. NDIO UKAONA .. AKISEMA DUDU ANAONGEA MAPONT
@@achouraachoura5763dudu sometime anakua duduwasha 😂😂😂
😂😂😂😂😂😂