Mtangazaji unapendeza sana ukivaa hivyo. Nimefurahi kuona umeendelea kuvaa mpaka baada ya mwezi wa Ramadhan. Sidhani kama kukaa mwili wazi ndio kupata mafanikio katika jambo lolote. Vaa zako stara, piga kazi unapendeza sana 100% unavutia sana ukiwa umevaa stara ❤ Hongera kwa hilo dumisha stara ❤ Lakini kwenye maswali jitahidini kuuliza maswali ya kimaisha. Anayehojiwa anaonekana anamambo mengi ya kuongea tatizo maswali ndiyo yanamrudisha kuongelea watu... Rekebisheni maswali hatakama mtu ni msanii kama anamambo ya kuongea nje ya sanaa muelekezeni huko huko 🙏
Mtangazaji jaribu kuwa unaangalia video zako ukivaa hivyo na zile ukivaa kihuni uone wapi unavutia... Hapo ukovizuri sana dada angu ❤ endelea kuvaa mavazi ya stara. Hata ZUHURA YUNUS aliyekuwa wa BBC alikuwa akivaa stara siku zote na alikuwa maarufu na aloporudi Tz kapata ajira nzuri tu na yupo ktk vazi lake. Raisi wetu mama Samia ❤ hadi raha kwa mavazi yake ya heshima. Hakuna vazi la kiisilamu na la kikristo sote tuvae nguo za heshima kwa wanawake wafunike vichwa vyao wataheshimika ❤
wote tunaomkubali dudu baya like ziwe nyingi hapa
Bro wew ni mkubwa Tanzania..be blessing bro
Bigger up dude baya...unajua kuelezea....
Dudu baya nakukubali sana kijana wangu you're very very genius fanya tuwasiliane kuna vitu nataka ni share na wewe
Nazipenda sana interview za Dudu Baya. Najifunza mengi sana. Mustafa Michenje from Pemba Mozambique❤
Wasalimie wa naz batata spensao na markado kariakoo😊
Wasalimie wa nas batata imolansao na merkado kariakoo
Mtangazaji unapendeza sana ukivaa hivyo. Nimefurahi kuona umeendelea kuvaa mpaka baada ya mwezi wa Ramadhan. Sidhani kama kukaa mwili wazi ndio kupata mafanikio katika jambo lolote. Vaa zako stara, piga kazi unapendeza sana 100% unavutia sana ukiwa umevaa stara ❤ Hongera kwa hilo dumisha stara ❤
Lakini kwenye maswali jitahidini kuuliza maswali ya kimaisha. Anayehojiwa anaonekana anamambo mengi ya kuongea tatizo maswali ndiyo yanamrudisha kuongelea watu... Rekebisheni maswali hatakama mtu ni msanii kama anamambo ya kuongea nje ya sanaa muelekezeni huko huko 🙏
chini ya utatu mtakatifu Ameen
Eti kulinda walevi
Mbengo TV wanampenda sana dudu
Umepngea ponti sana
Muwe mnamlipa bhana
Kweli kabisa sio Wana patawao tuu
Unataka kumwaribu sasa. Sio maisha yake.
analipwa hafany bure anatoa content
❤ mamba dudu baya
Leo nimekuwa wa kwanza eti ku watch,😂😂
Mtangazaji jaribu kuwa unaangalia video zako ukivaa hivyo na zile ukivaa kihuni uone wapi unavutia... Hapo ukovizuri sana dada angu ❤ endelea kuvaa mavazi ya stara. Hata ZUHURA YUNUS aliyekuwa wa BBC alikuwa akivaa stara siku zote na alikuwa maarufu na aloporudi Tz kapata ajira nzuri tu na yupo ktk vazi lake. Raisi wetu mama Samia ❤ hadi raha kwa mavazi yake ya heshima. Hakuna vazi la kiisilamu na la kikristo sote tuvae nguo za heshima kwa wanawake wafunike vichwa vyao wataheshimika ❤
Dudu baya ni level nyingine
Kwamba kama mbwa mwenye fangus 😂😂😂
Du bara ni ❤❤
Hapo umekoseya, nenda kamwambiye tayari walishakuwa namawasiliyano kitambo
Yup know how to explain big up
Nikweli kabisa
Story Kama ya kwangu
Dudu baya nakukubali
Heee psa ya karatasi imebandikwa Kwa super glue!?😢
Dudu baya unanifunza sana nakusikiliza nipo omani
😂😂😂😂😂😂nimecheka leo hii ila baba wille wee kiboko et anafinywa mpaka wipi
Sasa unakata wese la nini konk
Konki umepigaje hapo
Diamond akamuoe Sara kwa kweli
🤙🙉
Ninataka number ya Dudubaya
😂😂😂😂😂🙌🙌
DUDU ni jeshi hanaga ujinga
Wana tafuta content anatakiwa aanze kuchukuwa malipo
Oil chafu
Konki nkubali
Bora uvue mtandio usitiri mwili wako dada.
Konki×3
Dudu baya konki master mwamba putin
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Wee ndo maria mwenyewe mtoto wa dudu😂
Acha uwogo ww ndo mkorofi bhana ao wanawake wote akuna ata mmoja mwenye tabia nzuri?
Sauti imeshaenda mrama! 😂😂😂 Pale leaders sijui kama tutajaa!
Wana habar bure kabisa amuna maswali ni daimond kila mara dudu apendi maswali ya kimapenzi muulize kuusu harakati