DUDU BAYA AFICHUA MADUDU YA SARAH WA DIAMOND, WAMEFANYA UPUUZI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 май 2024

Комментарии • 50

  • @wapnewsTv
    @wapnewsTv 21 день назад +24

    wote tunaomkubali dudu baya like ziwe nyingi hapa

  • @AllenMwalimu
    @AllenMwalimu 20 дней назад +6

    Bro wew ni mkubwa Tanzania..be blessing bro

  • @user-jb7nh5pp2e
    @user-jb7nh5pp2e 20 дней назад +8

    Bigger up dude baya...unajua kuelezea....

  • @abelmbijima4324
    @abelmbijima4324 21 день назад +4

    Dudu baya nakukubali sana kijana wangu you're very very genius fanya tuwasiliane kuna vitu nataka ni share na wewe

  • @mustafamichenje7020
    @mustafamichenje7020 21 день назад +13

    Nazipenda sana interview za Dudu Baya. Najifunza mengi sana. Mustafa Michenje from Pemba Mozambique❤

    • @Admirah77
      @Admirah77 20 дней назад

      Wasalimie wa naz batata spensao na markado kariakoo😊

    • @Admirah77
      @Admirah77 20 дней назад

      Wasalimie wa nas batata imolansao na merkado kariakoo

  • @DonMooSTUDIO_Express
    @DonMooSTUDIO_Express 20 дней назад +3

    Mtangazaji unapendeza sana ukivaa hivyo. Nimefurahi kuona umeendelea kuvaa mpaka baada ya mwezi wa Ramadhan. Sidhani kama kukaa mwili wazi ndio kupata mafanikio katika jambo lolote. Vaa zako stara, piga kazi unapendeza sana 100% unavutia sana ukiwa umevaa stara ❤ Hongera kwa hilo dumisha stara ❤
    Lakini kwenye maswali jitahidini kuuliza maswali ya kimaisha. Anayehojiwa anaonekana anamambo mengi ya kuongea tatizo maswali ndiyo yanamrudisha kuongelea watu... Rekebisheni maswali hatakama mtu ni msanii kama anamambo ya kuongea nje ya sanaa muelekezeni huko huko 🙏

  • @user-xc5or1ph8x
    @user-xc5or1ph8x 11 дней назад +1

    chini ya utatu mtakatifu Ameen

  • @shukranisibale1739
    @shukranisibale1739 20 дней назад +3

    Eti kulinda walevi

  • @damianwambura8314
    @damianwambura8314 18 дней назад +1

    Mbengo TV wanampenda sana dudu

  • @shabansumaiya4770
    @shabansumaiya4770 20 дней назад +5

    Umepngea ponti sana

  • @user-el7vo4up8n
    @user-el7vo4up8n 21 день назад +8

    Muwe mnamlipa bhana

  • @GeraldSwai-ty1hr
    @GeraldSwai-ty1hr 20 дней назад +2

    ❤ mamba dudu baya

  • @blacksingapore
    @blacksingapore 21 день назад +2

    Leo nimekuwa wa kwanza eti ku watch,😂😂

  • @DonMooSTUDIO_Express
    @DonMooSTUDIO_Express 20 дней назад +1

    Mtangazaji jaribu kuwa unaangalia video zako ukivaa hivyo na zile ukivaa kihuni uone wapi unavutia... Hapo ukovizuri sana dada angu ❤ endelea kuvaa mavazi ya stara. Hata ZUHURA YUNUS aliyekuwa wa BBC alikuwa akivaa stara siku zote na alikuwa maarufu na aloporudi Tz kapata ajira nzuri tu na yupo ktk vazi lake. Raisi wetu mama Samia ❤ hadi raha kwa mavazi yake ya heshima. Hakuna vazi la kiisilamu na la kikristo sote tuvae nguo za heshima kwa wanawake wafunike vichwa vyao wataheshimika ❤

  • @D-Man.B-Free
    @D-Man.B-Free 16 дней назад

    Dudu baya ni level nyingine

  • @thebmcblackmiccatcher3949
    @thebmcblackmiccatcher3949 21 день назад +2

    Kwamba kama mbwa mwenye fangus 😂😂😂

  • @mariamalongo8803
    @mariamalongo8803 20 дней назад +2

    Du bara ni ❤❤

  • @user-zq2be4xr1o
    @user-zq2be4xr1o 20 дней назад +1

    Hapo umekoseya, nenda kamwambiye tayari walishakuwa namawasiliyano kitambo

  • @SamidaKhamis-vm7od
    @SamidaKhamis-vm7od 14 дней назад

    Yup know how to explain big up

  • @namukwayamweshihange8866
    @namukwayamweshihange8866 20 дней назад

    Nikweli kabisa

  • @hamzaismail14
    @hamzaismail14 12 дней назад

    Story Kama ya kwangu

  • @TuliyaKalunga9
    @TuliyaKalunga9 17 дней назад

    Dudu baya nakukubali

  • @user-qe3fs1xc3b
    @user-qe3fs1xc3b 15 дней назад

    Heee psa ya karatasi imebandikwa Kwa super glue!?😢

  • @abashamad9929
    @abashamad9929 20 дней назад

    Dudu baya unanifunza sana nakusikiliza nipo omani

  • @tupomwanjala6535
    @tupomwanjala6535 21 день назад

    😂😂😂😂😂😂nimecheka leo hii ila baba wille wee kiboko et anafinywa mpaka wipi

  • @yohanaibrahim4128
    @yohanaibrahim4128 14 дней назад

    Sasa unakata wese la nini konk

  • @ABDIKASIM-qe4lc
    @ABDIKASIM-qe4lc 17 дней назад

    Konki umepigaje hapo

  • @Yness-vh4yy
    @Yness-vh4yy 19 дней назад

    Diamond akamuoe Sara kwa kweli

  • @mdbosco1640
    @mdbosco1640 21 день назад +1

    🤙🙉

  • @bahatimanegabe1777
    @bahatimanegabe1777 20 дней назад +1

    Ninataka number ya Dudubaya

  • @fatumaabdul2278
    @fatumaabdul2278 13 дней назад

    😂😂😂😂😂🙌🙌

  • @milliardere9177
    @milliardere9177 19 дней назад

    DUDU ni jeshi hanaga ujinga

  • @mwanamkeshujaabongoflavama7180
    @mwanamkeshujaabongoflavama7180 21 день назад +2

    Wana tafuta content anatakiwa aanze kuchukuwa malipo

  • @awazioga1823
    @awazioga1823 21 день назад +1

    Oil chafu

  • @sifakenga7870
    @sifakenga7870 20 дней назад

    Konki nkubali

  • @farhatfatma12
    @farhatfatma12 12 дней назад

    Bora uvue mtandio usitiri mwili wako dada.

  • @shukranisibale1739
    @shukranisibale1739 20 дней назад

    Konki×3

  • @lucasbatano333
    @lucasbatano333 18 дней назад

    Dudu baya konki master mwamba putin

  • @Mariam-fm8vq
    @Mariam-fm8vq 20 дней назад

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @officialK-looh
      @officialK-looh 11 дней назад

      Wee ndo maria mwenyewe mtoto wa dudu😂

  • @Lewinglovbi6699
    @Lewinglovbi6699 20 дней назад +1

    Acha uwogo ww ndo mkorofi bhana ao wanawake wote akuna ata mmoja mwenye tabia nzuri?

  • @eriqemarson2362
    @eriqemarson2362 20 дней назад

    Sauti imeshaenda mrama! 😂😂😂 Pale leaders sijui kama tutajaa!

  • @shaloboy3861
    @shaloboy3861 21 день назад +1

    Wana habar bure kabisa amuna maswali ni daimond kila mara dudu apendi maswali ya kimapenzi muulize kuusu harakati