Msiongee sana mana yakale haya achi kunukia... kwanza Sarah mzuri na pia anaheshima zake... kufikia hatua Nasibu kumuita on the stage... Alikua ana Maanisha... kwaiyo ata wakirudiana chaAjabu hakuna.....kama ilivyo...mtalaka hatongozwi...
aaaaa kumbe salama rafiki ako namjua kwa sasa sijui yukwap alikuwa anasuka nywele Mwenge walikuwa wanasuka na dada angu bisha tuone kama salama sio msusi
Jameni😂😂mniachie like ndio nikamtembelee dada yangu zuhura naskia amebeba mabegi kuenda kwao 😂😂lazma naseebu amrudie uyu ata kama ni mechi Moja ya kistaarabu
Najiuliza umri huo hadi usiku wa saa 3 ni kubadiri wiwanja….😮😮wazazi wao walikuwa wapole…. Mimi kuingia kwetu saa 3 sikuwahi labda nilipokuwa chuo ndio niliweza kuwa free
Umerudi kuangalia wimbo wa Nenda kamwambie vile umekuwa Pushed again 😂
Coz Sara km linah sanga kwa mbaliiiiii km unakubaliana ma mm gonga like
Ila uyu mdada n mzuri n pia Ako n busara snaa ❤❤
Mzuri wp
KUNA MTU ALISEMA DIDA HAWEZ KUMUACHA SARA APITE....KESHO INTVW😊
Sara ashakua star😂😂😂
Huyu sister ni mzuri wa sura,ana sauti nzuri, anajua kujielezea ,mstaarabu na inaonekanwa anapendwa sana na watu
Ushasema
🤣🤣 eeh
sara u look so beautiful
Katika wanawake wa mondi wotw huyu ndo anamwita jina lake halisi na analitamka vizuri sana saraa
Sarah♥️😆😆💔
Hapa kikubwa kilichoongelewa UHUNI , UZINZI kwenda mbele. yaani ZINAA tuu
Umesema kweli kabisa
😅😅😅😂😂😂 uwii
Msiongee sana mana yakale haya achi kunukia... kwanza Sarah mzuri na pia anaheshima zake... kufikia hatua Nasibu kumuita on the stage... Alikua ana Maanisha... kwaiyo ata wakirudiana chaAjabu hakuna.....kama ilivyo...mtalaka hatongozwi...
Nimzuri kabisa
Bure ww
Sarah Mtoto mzuR kumbe ivoo Sema napenda unavo Muhita Chibu Nasibu 💪🔥💯Shem LETUUUU
Wifi sara❤❤❤❤❤
😁😁
Wifi wa saa ngapi na lini
Ni mm Apa mack nauza uwono pangan🥺.
Leo sara kapendeza tofaut na juzi kaisha kua staa anaanza kupendeza 😅😅😅😅
Mimi nimependaz amefaa vizuri
😂
Ndo maana diamond ataki kuoa anampenda uyu dada sana
Sasa diamond awalete ma x wote tunataka kuwajua
Uyo mark dah kama namuona akifanya yake 😂😂
Jaman kwn watangazaji mna nn mbn mnakata vibe aseee 🤨🤨
NAMFANANISHA NA MWANAMZIKI MBILIABEL WA CONGO SJUI NI MIDOMO❤❤❤❤
Wakenya
Diàmond kama sara hajaolewa muoe, ni mzr
Kila anaepita na mondi au aliyepita lazima awe 🌟
Daaah hatimae sara kawa star,aiseee nyie raha kinoma
Dah yaaani kama Chioma Wa Davido Diamond Fanya Jambo bwana
Sarah mama wa taifa
Presenters mnazingua mnaongea sana afu kwa pa1 bila ht wenyew kusikilizana mnamfanya hadi anashindwa kueleza vzur
Kwahivyo miaka 18 left 😮
She is so pretty
Diamond tunaomba tuletee mark bana Ili story iendelee
Hahaha
😂😂😂😂 kweli
😂😂😅
😂😂😂
😂😂😂😂 ila wewe khaaa
Watangazaji tulieni bass mtu aongee pumbavu shinziii
😂😂😂😂
😂
😂😂😂😂😂
😂
Nimeipenda hii story ❤❤❤❤❤❤❤❤
Astaghafrullah msisahau mauti tu
Shukran kwa ujumbe Allah akulipe
Uko sahihi
Itabidi Mark atafutwe atupee story
Mbona kama Queen Darleen😂
Af kweli
True
😂😂😂bonge moja la Kiki
Ex wa taifa amefika😂😂😂😂😂😂
Hawa kina diamond walikua nahasira na mademu kumbe kitambo dagh kumbe sio wakushangaa hawa kina diamond wanayo ya fanya
aaaaa kumbe salama rafiki ako namjua kwa sasa sijui yukwap alikuwa anasuka nywele Mwenge walikuwa wanasuka na dada angu bisha tuone kama salama sio msusi
X wa taifa tz bwana
I love Sarah ❤
Yaan kusikiliza interview ya wasaf wanakuw wanamakelele halaf wanaongea sn
Hongera sana kaka yangu yaan wewe ni mwanaume mwe upendo my ukujificha ficha isiazako..!!
Wanawake hukua haraka
Saraphina❤❤❤❤
I'm looking for this mark naona ni type yangu 😂
😂😂
Diamond plz amusaidiye kbs ten huyu sarah bi wife material
Jameni😂😂mniachie like ndio nikamtembelee dada yangu zuhura naskia amebeba mabegi kuenda kwao 😂😂lazma naseebu amrudie uyu ata kama ni mechi Moja ya kistaarabu
🤭
Mleteni Mack ajibu haya
Yani huyu sarah na ninna msani kisura kimbali nawafanaanisha hadi lips
Dar zamani sana mungu akupe maisha marefu dada
Tuleteeni mwamba mark tumsikie na yy
Diamond nae kaanza mizagamuo zamani jamani.miaka hiyo tena kanauza Pete ya mama yake kanaenda kuhongea.😂😂
Mmh
Haya tuangalie kama mwisho yatafikia au laa😮
Watz mna balaaa 😂😂ashakuwa staa tayari 😂😂
Ndio maana bi dada kanuna😂 yeye alijipeleka😢
NASSIBU TULETEE MAC NEA TUMUONE
Nimejisikia kulia Leo 😭😭😭🙏😔
Asa mbn shemeji yu2 anapua kama ya babalevo
Hhhhhhhhhhhhh😂😂😂😂😂
Jamani mbona leo camera 📷 giza? Ddd mko juu🎉
Najiuliza umri huo hadi usiku wa saa 3 ni kubadiri wiwanja….😮😮wazazi wao walikuwa wapole…. Mimi kuingia kwetu saa 3 sikuwahi labda nilipokuwa chuo ndio niliweza kuwa free
MAC huyo. I WANTED 😅😅😅
😂
Media ya familia
Please someone to explain what she's trying to say in English please 😢😢
Zuchu typing deletee😂😂😂😂
Usjar zuchu kutesa kwa zam
KA ulvompora Aaliyaah nawe subir labda uwahi kumroga dai😂😂😂😂 Yan simba ni mpiraaaa
Ukipenda Mara ya kwanza,ndo imetoka hivyo.kama hii story imekufanya usikilize tena wimbo wa kamwambie, twende party 2
Watu mnapenda umbea
WAKWANZA MIMIAPA LEO NIPENI LIKE ZANGU
Unazipeleka wapi!!
😅😅
Unataka uzile au😢
Nacheka kama mazur sarahwangu nimekumbuka mbali 😂😂
🔥🔥🔥🔥🔥
Manzethe😊
😂😂😂😂😂
Jamanii dida udaku nao watanafasi😂😂😂😂
❤❤❤❤
Atali
Hivi Zuchu kawakosea nn Hawa watangazaji maana ?
Unatafuta kiki mda wote ulikuwa wap wasenge nyie
Tanzania tinapenda umbea jmn
❤❤❤😮😮😊😊
Mmmmh kila muda😅😅😅😅
One can only be this accurate on a ex when they still have feelings for the ex. I thought she was married
No she isn't married but has a kid
Hzo ni kiki, Diamond anasema ulimkataa, ww unasema ulimkubalia
Si mwazo alimkataaa
Hiv Zuchu atakua amesumbua kama alivyo sumbua SARAH??😂😂😂
Hiyo sidiria vip
Et ex wa taifa fala nyinyi 😅
Hapo Sasa mind alikuwa na umri gan jaman
haya tuleteeni huyu mark
Marck ni mcheshi tu alikuwa hatongozi kumaanisha
Watanania watanzani kweli content ndio hamna daa yani vitu vya kitambo mumekita mizizi kweli hamna kazii
Daah Juma🤲🤣🤣
Sarah bwana ❤
Sasa leo umevaa mawig haupendezi
Mack ni mkuu
Zuchu uko atakuwa anachoma picha tu mnazd kumvuruga na uyo sara😂😂😂
Ex wa taifa
Kumbe diamond mzee wa magoma ya manzese
Mi napenda macho yake sasa kafunika jamn
Anaona aibu
Ameshapataga umaaruf gafla,sema atapotea kama zuwena t
Zuwena hajapotea anaigza huko mpendwa anapata maokoto.
Diamond ni mimi kabisa alooo nikimwelewa manzi napambania ya hela ote
Hahahahahhahahaaaaaaaaaaa aaaassalaaamu X Wa Taifaaaaaaaaaaa
Tunataka kumjua mack ni nan kama ako ai
Mandhethe