SARAH afunguka WALIPOKUTANA NA DIAMOND KWA MARA YA KWANZA HADI KUWA WAPENZI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 апр 2024
  • 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 166

  • @reinatustitus4444
    @reinatustitus4444 27 дней назад +27

    Umerudi kuangalia wimbo wa Nenda kamwambie vile umekuwa Pushed again 😂

  • @beatboy30
    @beatboy30 26 дней назад +32

    Coz Sara km linah sanga kwa mbaliiiiii km unakubaliana ma mm gonga like

  • @mimah2498
    @mimah2498 27 дней назад +20

    Ila uyu mdada n mzuri n pia Ako n busara snaa ❤❤

  • @user-hi8le2vb7z
    @user-hi8le2vb7z 27 дней назад +16

    KUNA MTU ALISEMA DIDA HAWEZ KUMUACHA SARA APITE....KESHO INTVW😊

  • @Lashymreal96
    @Lashymreal96 27 дней назад +27

    Sara ashakua star😂😂😂

  • @khamisrubea5083
    @khamisrubea5083 27 дней назад +25

    Huyu sister ni mzuri wa sura,ana sauti nzuri, anajua kujielezea ,mstaarabu na inaonekanwa anapendwa sana na watu

  • @shadidashafiu1965
    @shadidashafiu1965 27 дней назад +14

    sara u look so beautiful

  • @fatmasultan7638
    @fatmasultan7638 27 дней назад +12

    Katika wanawake wa mondi wotw huyu ndo anamwita jina lake halisi na analitamka vizuri sana saraa

  • @thamani5842
    @thamani5842 26 дней назад +8

    Hapa kikubwa kilichoongelewa UHUNI , UZINZI kwenda mbele. yaani ZINAA tuu

  • @Fathma-fg3vq
    @Fathma-fg3vq 27 дней назад +36

    Msiongee sana mana yakale haya achi kunukia... kwanza Sarah mzuri na pia anaheshima zake... kufikia hatua Nasibu kumuita on the stage... Alikua ana Maanisha... kwaiyo ata wakirudiana chaAjabu hakuna.....kama ilivyo...mtalaka hatongozwi...

  • @PanchoValentino-wh7wt
    @PanchoValentino-wh7wt 27 дней назад +9

    Sarah Mtoto mzuR kumbe ivoo Sema napenda unavo Muhita Chibu Nasibu 💪🔥💯Shem LETUUUU

  • @aishafrancis7714
    @aishafrancis7714 27 дней назад +24

    Wifi sara❤❤❤❤❤

  • @kaizachief4912
    @kaizachief4912 27 дней назад +5

    Ni mm Apa mack nauza uwono pangan🥺.

  • @khadijachacha3156
    @khadijachacha3156 27 дней назад +30

    Leo sara kapendeza tofaut na juzi kaisha kua staa anaanza kupendeza 😅😅😅😅

  • @fellybonny5618
    @fellybonny5618 26 дней назад +10

    Ndo maana diamond ataki kuoa anampenda uyu dada sana

  • @shadiwaigwa9230
    @shadiwaigwa9230 27 дней назад +6

    Sasa diamond awalete ma x wote tunataka kuwajua

  • @SanguyaKeiya
    @SanguyaKeiya 27 дней назад +4

    Uyo mark dah kama namuona akifanya yake 😂😂

  • @diva_20162
    @diva_20162 27 дней назад +7

    Jaman kwn watangazaji mna nn mbn mnakata vibe aseee 🤨🤨

  • @user-pu6pr5jt4n
    @user-pu6pr5jt4n 27 дней назад +13

    NAMFANANISHA NA MWANAMZIKI MBILIABEL WA CONGO SJUI NI MIDOMO❤❤❤❤

  • @anitavictor-ig1jp
    @anitavictor-ig1jp 27 дней назад +11

    Diàmond kama sara hajaolewa muoe, ni mzr

  • @happyjacline988
    @happyjacline988 16 дней назад

    Kila anaepita na mondi au aliyepita lazima awe 🌟

  • @jescambilinyi
    @jescambilinyi 26 дней назад +1

    Daaah hatimae sara kawa star,aiseee nyie raha kinoma

  • @natashasergo119
    @natashasergo119 26 дней назад +2

    Dah yaaani kama Chioma Wa Davido Diamond Fanya Jambo bwana

  • @MisifahassanPhilip
    @MisifahassanPhilip 27 дней назад +9

    Sarah mama wa taifa

  • @98Maktaba
    @98Maktaba 27 дней назад +2

    Presenters mnazingua mnaongea sana afu kwa pa1 bila ht wenyew kusikilizana mnamfanya hadi anashindwa kueleza vzur

  • @judithkirenga9977
    @judithkirenga9977 27 дней назад +9

    Kwahivyo miaka 18 left 😮

  • @nancywanjiku1554
    @nancywanjiku1554 27 дней назад +2

    She is so pretty

  • @thehustlerafrica4368
    @thehustlerafrica4368 27 дней назад +22

    Diamond tunaomba tuletee mark bana Ili story iendelee

  • @FrankMushi-cs5js
    @FrankMushi-cs5js 27 дней назад +17

    Watangazaji tulieni bass mtu aongee pumbavu shinziii

  • @ramayonline2281
    @ramayonline2281 27 дней назад +9

    Nimeipenda hii story ❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @mohammadoman8963
    @mohammadoman8963 27 дней назад +18

    Astaghafrullah msisahau mauti tu

  • @Felix-sc8ku
    @Felix-sc8ku 24 дня назад +1

    Itabidi Mark atafutwe atupee story

  • @002RYE
    @002RYE 27 дней назад +7

    Mbona kama Queen Darleen😂

  • @002RYE
    @002RYE 27 дней назад +3

    😂😂😂bonge moja la Kiki

  • @RizzyBargoria
    @RizzyBargoria 27 дней назад +4

    Ex wa taifa amefika😂😂😂😂😂😂

  • @labunaabouna6122
    @labunaabouna6122 27 дней назад +6

    Hawa kina diamond walikua nahasira na mademu kumbe kitambo dagh kumbe sio wakushangaa hawa kina diamond wanayo ya fanya

  • @pyelesyamwakatika540
    @pyelesyamwakatika540 27 дней назад +6

    aaaaa kumbe salama rafiki ako namjua kwa sasa sijui yukwap alikuwa anasuka nywele Mwenge walikuwa wanasuka na dada angu bisha tuone kama salama sio msusi

  • @ramadhanimohamed4190
    @ramadhanimohamed4190 27 дней назад +5

    X wa taifa tz bwana

  • @user-dl5ye2gg3i
    @user-dl5ye2gg3i 27 дней назад +3

    I love Sarah ❤

  • @user-bk2hz5pq7s
    @user-bk2hz5pq7s 26 дней назад +1

    Yaan kusikiliza interview ya wasaf wanakuw wanamakelele halaf wanaongea sn

  • @neemapaul9073
    @neemapaul9073 27 дней назад +1

    Hongera sana kaka yangu yaan wewe ni mwanaume mwe upendo my ukujificha ficha isiazako..!!

  • @elinorahmwads58
    @elinorahmwads58 23 дня назад +1

    Wanawake hukua haraka

  • @user-jq9rj4dm5u
    @user-jq9rj4dm5u 27 дней назад +7

    Saraphina❤❤❤❤

  • @loiceshiko
    @loiceshiko 26 дней назад +2

    I'm looking for this mark naona ni type yangu 😂

  • @avamutoni7568
    @avamutoni7568 27 дней назад +4

    Diamond plz amusaidiye kbs ten huyu sarah bi wife material

  • @moviestars-gu4iw
    @moviestars-gu4iw 27 дней назад +2

    Jameni😂😂mniachie like ndio nikamtembelee dada yangu zuhura naskia amebeba mabegi kuenda kwao 😂😂lazma naseebu amrudie uyu ata kama ni mechi Moja ya kistaarabu

  • @jacksonsungwana2344
    @jacksonsungwana2344 26 дней назад +2

    Mleteni Mack ajibu haya

  • @nunniznurcky9724
    @nunniznurcky9724 20 дней назад

    Yani huyu sarah na ninna msani kisura kimbali nawafanaanisha hadi lips

  • @user-es7jn7cp5d
    @user-es7jn7cp5d 27 дней назад +2

    Dar zamani sana mungu akupe maisha marefu dada

  • @khamisrubea5083
    @khamisrubea5083 27 дней назад +2

    Tuleteeni mwamba mark tumsikie na yy

  • @sophiakimaro5174
    @sophiakimaro5174 26 дней назад +1

    Diamond nae kaanza mizagamuo zamani jamani.miaka hiyo tena kanauza Pete ya mama yake kanaenda kuhongea.😂😂

  • @AidahAlen
    @AidahAlen 27 дней назад +1

    Mmh

  • @user-df1cw2xl4h
    @user-df1cw2xl4h 23 дня назад

    Haya tuangalie kama mwisho yatafikia au laa😮

  • @swafiya254
    @swafiya254 27 дней назад +1

    Watz mna balaaa 😂😂ashakuwa staa tayari 😂😂

  • @nantaembanusurupia5674
    @nantaembanusurupia5674 27 дней назад +1

    Ndio maana bi dada kanuna😂 yeye alijipeleka😢

  • @ramadhanimohamed4190
    @ramadhanimohamed4190 27 дней назад +3

    NASSIBU TULETEE MAC NEA TUMUONE

  • @user-bu5gb8rk6j
    @user-bu5gb8rk6j 27 дней назад +1

    Nimejisikia kulia Leo 😭😭😭🙏😔

  • @elianzenge9500
    @elianzenge9500 24 дня назад +1

    Asa mbn shemeji yu2 anapua kama ya babalevo

  • @user-in1jy2is7d
    @user-in1jy2is7d 27 дней назад +1

    Jamani mbona leo camera 📷 giza? Ddd mko juu🎉

  • @alfredinafelix836
    @alfredinafelix836 26 дней назад

    Najiuliza umri huo hadi usiku wa saa 3 ni kubadiri wiwanja….😮😮wazazi wao walikuwa wapole…. Mimi kuingia kwetu saa 3 sikuwahi labda nilipokuwa chuo ndio niliweza kuwa free

  • @AbiTech96
    @AbiTech96 27 дней назад +2

    MAC huyo. I WANTED 😅😅😅

  • @user-fr6th1mu7e
    @user-fr6th1mu7e 24 дня назад

    Media ya familia

  • @QueenTowela
    @QueenTowela 24 дня назад

    Please someone to explain what she's trying to say in English please 😢😢

  • @user-pu6pr5jt4n
    @user-pu6pr5jt4n 27 дней назад +7

    Zuchu typing deletee😂😂😂😂
    Usjar zuchu kutesa kwa zam
    KA ulvompora Aaliyaah nawe subir labda uwahi kumroga dai😂😂😂😂 Yan simba ni mpiraaaa

  • @barakaelkaaya40
    @barakaelkaaya40 27 дней назад

    Ukipenda Mara ya kwanza,ndo imetoka hivyo.kama hii story imekufanya usikilize tena wimbo wa kamwambie, twende party 2

  • @salmamlokela1987
    @salmamlokela1987 27 дней назад +2

    Watu mnapenda umbea

  • @house_of_pics
    @house_of_pics 27 дней назад +25

    WAKWANZA MIMIAPA LEO NIPENI LIKE ZANGU

  • @ilhamkarama9518
    @ilhamkarama9518 24 дня назад

    Nacheka kama mazur sarahwangu nimekumbuka mbali 😂😂

  • @guylainenelly7624
    @guylainenelly7624 18 дней назад

    🔥🔥🔥🔥🔥

  • @salhamrishoi4943
    @salhamrishoi4943 27 дней назад +4

    Manzethe😊

  • @pendochimammy5013
    @pendochimammy5013 27 дней назад +1

    Jamanii dida udaku nao watanafasi😂😂😂😂

  • @YassinMwangulu
    @YassinMwangulu 22 дня назад

    ❤❤❤❤

  • @jaysaynamtap6032
    @jaysaynamtap6032 18 дней назад

    Atali

  • @nkoydavid9658
    @nkoydavid9658 26 дней назад

    Hivi Zuchu kawakosea nn Hawa watangazaji maana ?

  • @RizzikMsingiri
    @RizzikMsingiri 26 дней назад +1

    Unatafuta kiki mda wote ulikuwa wap wasenge nyie

  • @WivinaFrance-xn3mk
    @WivinaFrance-xn3mk 27 дней назад +2

    Tanzania tinapenda umbea jmn

  • @JulesWilondja70
    @JulesWilondja70 27 дней назад +1

    ❤❤❤😮😮😊😊

  • @denimk7660
    @denimk7660 27 дней назад +2

    Mmmmh kila muda😅😅😅😅

  • @SAUDAHNAMULINDWA-dy8te
    @SAUDAHNAMULINDWA-dy8te 27 дней назад +3

    One can only be this accurate on a ex when they still have feelings for the ex. I thought she was married

    • @Bravo-or8oy
      @Bravo-or8oy 27 дней назад +1

      No she isn't married but has a kid

  • @jizzotheking9238
    @jizzotheking9238 26 дней назад +1

    Hzo ni kiki, Diamond anasema ulimkataa, ww unasema ulimkubalia

  • @azimioalbertongellangella8970
    @azimioalbertongellangella8970 26 дней назад

    Hiv Zuchu atakua amesumbua kama alivyo sumbua SARAH??😂😂😂

  • @user-xo4xq6rr3f
    @user-xo4xq6rr3f 23 дня назад

    Hiyo sidiria vip

  • @GlobeGlitz_
    @GlobeGlitz_ 27 дней назад +1

    Et ex wa taifa fala nyinyi 😅

  • @AidahAlen
    @AidahAlen 27 дней назад +3

    Hapo Sasa mind alikuwa na umri gan jaman

  • @SAKAYONZA
    @SAKAYONZA 25 дней назад

    haya tuleteeni huyu mark

  • @minaelnathanael1846
    @minaelnathanael1846 26 дней назад

    Marck ni mcheshi tu alikuwa hatongozi kumaanisha

  • @Jibambeshow254k
    @Jibambeshow254k 26 дней назад

    Watanania watanzani kweli content ndio hamna daa yani vitu vya kitambo mumekita mizizi kweli hamna kazii

  • @bintimohamed2646
    @bintimohamed2646 25 дней назад

    Daah Juma🤲🤣🤣

  • @LuluMideko
    @LuluMideko 27 дней назад +1

    Sarah bwana ❤

  • @rerisamba
    @rerisamba 24 дня назад

    Sasa leo umevaa mawig haupendezi

  • @user-ci1sz5sk9p
    @user-ci1sz5sk9p 27 дней назад +2

    Mack ni mkuu

  • @SekelaJakson-ls7dd
    @SekelaJakson-ls7dd 27 дней назад +4

    Zuchu uko atakuwa anachoma picha tu mnazd kumvuruga na uyo sara😂😂😂

  • @user-ts1sp7ei6b
    @user-ts1sp7ei6b 27 дней назад +2

    Ex wa taifa

  • @jacksonmsendo3478
    @jacksonmsendo3478 27 дней назад +3

    Kumbe diamond mzee wa magoma ya manzese

  • @moniepaul8972
    @moniepaul8972 27 дней назад +2

    Mi napenda macho yake sasa kafunika jamn

  • @mohdkhamis3857
    @mohdkhamis3857 27 дней назад +3

    Ameshapataga umaaruf gafla,sema atapotea kama zuwena t

    • @user-yk8em1bh8g
      @user-yk8em1bh8g 27 дней назад +3

      Zuwena hajapotea anaigza huko mpendwa anapata maokoto.

  • @trillionthamani5736
    @trillionthamani5736 26 дней назад

    Diamond ni mimi kabisa alooo nikimwelewa manzi napambania ya hela ote

  • @SeifRupatu
    @SeifRupatu 27 дней назад +1

    Hahahahahhahahaaaaaaaaaaa aaaassalaaamu X Wa Taifaaaaaaaaaaa

  • @officialAlAbdul
    @officialAlAbdul 27 дней назад +3

    Tunataka kumjua mack ni nan kama ako ai

  • @ellys_star
    @ellys_star 26 дней назад

    Mandhethe