❤❤❤🙏🙏👍Mama Nassibu nakupenda sana yaan wewe sio mchoyo.Tabia ambayo mwanao anayo. Sarah ukawa unampa na chakula chako. Sarah ulimpata mama mwema.Sarah:mama Nassib nawapenda sana:kwanza mumefanana sana❤❤❤
radio ya Familia leo zamu ya ex wak kuhojiwa dah Kuna wat weng wanatesek Shda nyingi..... lkn kutwa mnafocus personal issue Sasa kil mtangazaj apo inamaan han ex so I that a big deal to talk abt we Don need to knw that guy radio ni nzur
@@zazalareinebosslady hakuna shida mbn mwanao kumleta mwanamke au mwananmme ndani ambae hawajaoana na ww unabariki husemi kitu n jmb zuri tu kubariki ZINAA, ck ya kiama mzazi atamkimbia mwanawe kw mmb km haya Allah atusameh na atuongoze
😂😂😂😂nan kasema kiama utakuwa na familia yako na mambo mabaya ni tabia ya mtu sio ya kabila fulan au familia ya mtu huyo ni tabia yake wazazi hawahusiki Kisha kubuu huyo kama anaona sifa na wao wanamuacha aendelee na alichochagua
Yani wasafi wajinga kweli kila tukio linalomhusu Diamond ni content na kipndi kabisa, basi mbna mnapotezea tukio la P Did muiteni Diamond ahojiwe vzr kama yamo
Nimempena Sara sana
Mi nampenda Sara jamani
❤❤❤🙏🙏👍Mama Nassibu nakupenda sana yaan wewe sio mchoyo.Tabia ambayo mwanao anayo. Sarah ukawa unampa na chakula chako. Sarah ulimpata mama mwema.Sarah:mama Nassib nawapenda sana:kwanza mumefanana sana❤❤❤
Namutaman sana uyo kaka kukutana nayo shida nipesa jaman npo Malawi wengi wao wananiita diamond
radio ya Familia leo zamu ya ex wak kuhojiwa dah Kuna wat weng wanatesek Shda nyingi..... lkn kutwa mnafocus personal issue Sasa kil mtangazaj apo inamaan han ex so I that a big deal to talk abt we Don need to knw that guy radio ni nzur
Sasa sara mngeoanaje mko wadgo hivyo ulikuwa mchezo jamani kijana 21yrs bint 18 mge weza famlia kweli????
Kubabakeee waliachana 2009 , MWAMBA 2010 akajipata 🙌🏾maisha haya
😂diva ngozi imekunjana sana....uzee huo😂
Ila diamon fanya ufanyalo,sara ndio mkeo huyu
Mashallah
TV ya kipuuzi sanaaaa na content zake zote za kipuuziiiiii mfyuuu
Sarah is a vibe
Hongea yake sara naipenda
Ongea yake.sio hongea yake
@@liberatusjackson5045🤣🤣🤣🤣🤣🤣mwalimu wake wa kiswahil alikuwa na shida
@@liberatusjackson5045mwalim wake alikuw na shida sana 😅😅
Juma shangilia tu zuu anakusikia
Jini limetoka wap iloo jaman mbona limebukaa sanaa daaah kwer tutfte pesa kwer mondi ulikua unapumzikia hapo 😂😂😂😂😂😂
Hutu ndie anaestahiki kuolewa na diamond MTU maana kabisa
Hili jina la sara silipend nilkua na demu aliitwa sara alinitesa sana alipojua nampenda
Anahadisia vizuri kama yule dada wa cmulizi
Kazur asilia
Aki hawa watu wanapenda umbea😂😂
Sara ananidhamu sana ndio mana myama alimuelewa interv mbona fupi
NASIBU KICHWA.
Yani Mama Dangote n mtu wa maana kabisa kw kubariki ZINAA😢 ila hawa watu wa bara n mtihani sn yani Allah atusaidie tu🤲
Kabisa
😂😂 kwani shida ipo wapii hasa😂😂
@@zazalareinebosslady hakuna shida mbn mwanao kumleta mwanamke au mwananmme ndani ambae hawajaoana na ww unabariki husemi kitu n jmb zuri tu kubariki ZINAA, ck ya kiama mzazi atamkimbia mwanawe kw mmb km haya Allah atusameh na atuongoze
😂😂😂😂nan kasema kiama utakuwa na familia yako na mambo mabaya ni tabia ya mtu sio ya kabila fulan au familia ya mtu huyo ni tabia yake wazazi hawahusiki Kisha kubuu huyo kama anaona sifa na wao wanamuacha aendelee na alichochagua
Audhubillah
Ungelikua na Maisha ya SS 🎉🎉🎉ungekubali kuolewa na kuzaa
Tuleteeni Mark
yes please😂
Wanaume wambea awa
Hao wote mashoga ndio maana wanatabia za wanawake
nakupenda sala
Yani wasafi wajinga kweli kila tukio linalomhusu Diamond ni content na kipndi kabisa, basi mbna mnapotezea tukio la P Did muiteni Diamond ahojiwe vzr kama yamo
Uongo mtupu Kiki
Ukute mdada katoa mpunga ili aende mjini