D Voice - Zoba (Official Lyric Audio)
HTML-код
- Опубликовано: 11 апр 2024
- Click👇🏾 Download The Song
dvoice.lnk.to/zoba
/ @itsdvoice
For Bookings:
dvoice@wcbwasafi.com
Follow D Voice On:
Instagram: / itsdvoice
Facebook: / itsdvoice
X / Twitter: / itsdvoice
TikTok: / itsdvoice
#DVoice #Music #Wasafi
Copyright ©2024 WCB Wasafi. All rights reserved. - Видеоклипы
Kama umerudia zaidi ya mara 1 gonga likes ya Dvoice
Mara elfu na sitoshekii
Love from mombasani, wapi likes za D voice jameni.....zobaaaaa
Love from 254 Kenya, wapi likes za D Voice jameni...?!!
Yaan wasafi ukiingia tu unajikuta unatoa vitu vizur walisema wasaf wamebugi kumsain huy dogo sasa kiko wapiiii
Wanao amini video ya huu wimbo itakua nzuri sana like hapa ❤️❤️❤️
Dvoice, 👑
Haya majinga yote dondosha like apa chap chap 🙌🙌🥰
😂😂😂😂😂
Shenzi zakooo huendi mbinguni 😂😂😂😂
Huyu dogo anajua Sana ila sema watanzania Wana tabia za kukatishana tamaa
Kwel kakaa
@@neyzartzumeona ee
Point
Niakazane tu ndio binadamu 😊
Hana ishu
D voice bro hili goma dahh limenikumbusha mbali sana
Goma la mwaka hili🎉🎉🎉watanzania kama mnalikubali goma litapenya mnipe like mbili tu na mimi bc😂
Dvoice mashaallah saut yak tu.mung akufanyie wepes katika safar yak 🙏🙏
Wanao amini di voice atapikabali tujuwane
Mazoba wote tudondoshe like hapa❤😊
Wimbo mzur d umebadirika naamin utazid badirika wasaf ni kampun kubwa yaupako
Who loves Dvoice and his voice, then shows love for this amazing song. 😍😍😍
Kama unaikubali hii nyimboo gonga like hapo from Kenya 🇰🇪
hatariii dvoice Ginni ZOBA ni yamoto sana umetisha kaka 🔥🔥🔥🙌🙌🙌💪
The future is bright boy, wapi likes za dvoice ❤❤?
Aliyesubiri toka Saa sita usiku kusubiria utoke tujuane hapa
National anthem out now... like hapa❤
Just out of this world 🌎 I love it nmeiruduia usiku mzima . Nicholas from Kenya 🇰🇪
Nimewah jamn Wimbo mzuri sana hongera kwa kaz nzuri🎉🎉
Gonga laiki nyingi hapa kama unamuelewa D voice💥💥💥
Fanya hima broo , Simba yuko upate na colabo na Africa before uende dunia
Mimi kwake zoba Mimi kweke zoba..I like d v.s..❤
Mi najua wasafi awakosei ngoma kali sana🔥🔥
Uyu dogo fundi sana huwezi amini alikuwa muimbaji singeli tu sio bongo fleva
yeye ni wangu mm, mm ni wake yeye, wengine sa wanin sitak nichezew ; daaa hatar sana 🥰🥰🥰
Midomo itawanuka kwa kununaaah walaiiiiiiiiiiiiiiii itawanuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuukaaaaaaaaaaaaaa wapi likes kwa hili gomaaaaaaaaaaaaa Dvoiceeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Mwimbie anaekufanya zobaaaa
I love this from 254❤
J'aime bcp wasafi wcb yeah am from 🇨🇩 congo DRCongo
WCB is a university of music
Singeri Kwisha Habari Yake Daaah Diamond anajua kubadilisha sana mziki na kuleta Mziki wa soko
Mziki imeenda shule....👌👌👌much love from Nairobeeeee
Hujmb
Huyo dogo kweri 😂😂😂 siamini kiukweri..ndiye atakuja kuendelea kuiongoza WCB baada ya Simba🎉🎉🎉🎉 maua yake d voice❤❤❤😂
From Mozambique 🇲🇿 🎉🎉🎉Saluty sana D Voice Umeticha ❤
Unyama ni mwingi sana hi ngoma kali sana 🔥 💯
Amina amina naiwe kheri daima
mdogo wangu dvoice nataka nyimbo hii video vixen awe shemeji yangu sawaaa
kuna ka flavor kwambali kama mondi
D voice the new lion in the jungle ❤❤
Unajua mpaka unajua tena
*Let us all express ourselves through the power of Love peace and Music.*
Oyah wee mwana ni Jini unajua mpaka unakela oyah oyah oyah D umeua👐👐
Ficou lindo lindo, maravilhoso... Ilikuwa nzuri, nzuri, ya ajabu.
Yooh d voice pull up
Mimi kwa jinga Kweli d forever ❤l❤
Unajua sana bro keep it 4life genii let's go
From USA ❤️
Whoooooooooo mamakeęeee hatariiiiiiu ahhhhhh ❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Ngoma kali sana kudadeki challange zianze🔥🔥🔥🔥
Moja moto moja baridi ngoma inakam fiti
Sasa umeanza kuimba...kidogo niulize wasafi wamesighn MTU gañi..kumbe ni the voice of Africa
TIMU WCB PLEASE LIKE 👍
YAJAYO YAÑAFURAHISHA🎉❤❤
Belle chanson bravo Divois❤❤
Dvoice ❤❤❤ hit After hit 🔥🔥🔥👊👊
Eeeish after a long waiting ❤😍much love from Kenya
Love from Rwanda🇷🇼. We need official Video
hili dude ni kali saaaaana
Daah unaweeza kbx❤❤❤❤
Zuchu kani fanya ni pende huu wimbo zaidi😊😊😊
Mashaallah I ❤ the song it is captivating
Let's show some love here❤❤❤.....miles from kenya
Congratulation d voice ❤🙌
Dogo vizuri ongeza bidiii
🎉🎉 I'm from Mozambique ,D voice🎉🇲🇿🔥🙏🇹🇿
Mmmmh kuna kitu nakiskia kabisa🎉🎉🎉
It's d voice Jin👍💯💯
I love this song❤❤
Umeuwa mwanangu sema Bridge ungeweka ile verse mkisema ananichuna nitampa mpaka B O T Much love bruth🔥🔥
Yani nikimsikiza uyu kaka naikuta n mmiss mume wangu sn 😢😢insha Allah tutaonana
big up mdog ang by hamad kibwendu❤
ngoma kali
umeua by prudent
D
Good job❤🎉
Alo alo from 🇨🇦 mambo byad si ati nn😮
The young buck is solid. Less is more 🔥🔥🔥
Nice dvoice and good song
Jingaaa 🎉
🙌🙌🙌midomo itawanuka Kwa kununa😂
My favourite musician nakupenda snaa d voice ❤❤❤
Wakenya kama nawona ivii🎉🎉
Napenda ngoma za iviiiii amn kelel I seeeweeew❤
Surely he's a pure Swahili kid ❤❤
Kuna wangese walikua wanamuongelea huyu dogo vibaya😎 hapa wanaskiza ngoma huku wanaona aibu maaamae bonge ya ngoma🔥
Nomaaa sanaaa nzuri nzuri sanaaa mashaallah mashaallah
Ah.. uyu kijana ameweza bana... ❤❤❤
Ngm yang pendw niamkp nilalap#🎉🎉🎉🎉🎉🎉 kabla hujafa
Bastic music congratulations kijana huna bayaaa
Simba ☠️ 🇱🇷
Love from 254 🇰🇪 🎉🎉🎉
Dvoice champion 💪💯
Nimeiyona nzur d voice umeniyuwa❤🎉
Nice song 💗💗
1 like 1 pushup ❤
And you better be doing ot
Love from 254 kijana unaweza❤
Fresh ❤❤🎉
nakubali hapo
Ngoma Kali sanaa hongera d voice 🎉❤🎉❤
Noma kinoma yaani🔥🔥🇰🇪🇰🇪
Wasafi formula❤
Nice song I really like ❤🎉