Mwinyi: "JPM Aliushangaza Ulimwengu/Suala la Kuhamia Dodoma Amefanya kwa Miaka 2, Sisi Miaka 40
HTML-код
- Опубликовано: 25 мар 2021
- #CloudsDigital Imekuwekea speech kutoka Chato Nyumbani kwa Hayati Dkt. John Pombe Magufuli #JohnPombeMagufuli #Chato #PumzikaBaba
Barikiwa sana Mhe Ally Hassan Mwinyi, Rais mstaafu kwa hotuba nzuri na jinsi umewasilisha wasifu wa hayati Rais Magufuli, Umetufariji sana Watanzania kwa ujumla. Mungu akutunze na kukulinda Babu yetu
Asante Sana BABA WETU, RAISI MWINYI, Kukuona tena ukiutubia Wana Inchi Tanzania ata hapa kwetu Burundi. Tunammkumbuka Sana Raisi Magufuli. Mwenyezi MUNGU ammupokee veema kwake Mbinguni. Na Mungu azidi kuchunga vizuli, Familia yake na wa Tanzaniya wote kwa jummula.
Natuwe pole sana Kwa mzeewetu ambaye. Mwenye hikima nabusara Allah ampe peponchema yafiridausi
Mpendwa wetu Babu Ali Hassan Mwinyi hata Sawa tunakupenda Sana pia. Tumefurahi kukuona.
Mzee mwinyi siyo mnafiki mungu ampe maisha marefu
Nifahari yetu watanzanzia tumuombee mwenyezi mungu aendelee kumlinda babu yetu kipenzi nafalijika sana wenzetu hawana
Jamani Mzee Mwinyi
Mbona nazidi kumpenda huyu mzee?
Viongozi wa Tanzania tujifunze mfano kutoka kwa mzee Mwinyi uadilifu na wema niakiba duniani na aghera
Naangalia hii clip kwa mara ya nne sichoki ngoja kwanza kijana wangu mheshimiwa rais usinichoke
Mm huangalia daily sichoki🙈
Huyu mlinzi anastahili sifa anajua kilakitu angalia anatoa ishara ss basi mzee hamudu tena big up sana mlinzi wa babuyetu
Daa tuko mwisho wa dunia askofu kavaa barakoa waumini hawana Sasa hapo Nani anaimani na mungu zaidi
Nami nimeona hata baadhi ya viongozi wameanza kuvaa wakati enzi za uhai wa jembe tulikua tunawaona wakiwa bila barakoa
Barakoa ni uamuzi wa mtu mwenyewe kuchukua tahadhari kuna mtu anaona ni muhimu na kuna mtu anaona siyo muhimu hivyo yaani
Wee inakuhusu nini ?
Mzee ruksa, uliwapenda sana watanzania na walipokusumbua uliwapa ruksa kufanya watakavyo. Hongera kwa wema wako. Mtoto akililia wembe mpe!
Asante mzee Mwinyi Kwa busara zako za kweli
Mzee yuko fiti mno💪💪 miaka 96 anasoma bila miwani👌👌👌👌
Mungu amuweke anasoma bila miwani na bado vitu havimpotei sana
Mzee mwinyi anazeeka na kuzidi kupendwa na watu walitamani aendelee na hotba yake wapate kujifariji kwa kupunguza machungu
Bodyguard wa Rais anacheka hadi anajishtukia 😅😅
Jamani mzee mwinyi ajengewe sanamu Kama mzee wa busara kamfanya Hadi mama Janet magufuli kusahau yupo msibani kumchekesha mfiwa sio kazi ndogo
Asante baba
Mzee Mwinyi hongera Mwenyezi Mungu azidi kukuhifadhi kweli maisha ni hadithi
Huyu mzee ruksa anapendwa sn na Watanzania kwa sababu ya ucheshi wake. Yupo poa sn babu yetu. Mungu akuweke mzee Mwinyi.
Big up Mzee wetu
alitukanwa Sana na mwalimu huyu kisa kutetea wananchi wanyonge wa nchi huyu ndiye alikuwa mtetezi wa kweli wananchi..!
MZEE MWENYE ROHO NYEUPE HUYOOO.❤❤ ❤. MUNGU AZIDI KUMPA NGUVU. HANA ROHO YA WIVU MZEE WA WATU. ROHO YAKE NYEUPEEE KWA KWELI. BABA LA BABAA.🎉🎉🎉🎉❤❤❤
Huyu Mtu Mzee Mwinyi....Safi Sana... Huyu anajua tulipotokea....Tz
Huyo ndio BABU wa TAIFA LETU
Hahaha mzee yupo peace sana, kasahau alipo na jina la marehemu
Safi sana rais mstaafu mwenye hekima kubwa sana nchini
Tunakupenda Sana babu yetu😍
Safi sana rais wetu mstaafu mkweli na mwaminifu.
Mungu akupe heri ya miaka mingi baba.
Great leader!!!...Mzee Mwinyi uzee mwema kwako... hakika uwepo wako ni faraja kwetu kama taifa.
Mzee mwinyi Allah Akuongoze
Mzee mwinyi pepo inakusubiri kwa kuwa mkweli na Busara nyingi sisi miaka 40 tumeshindwa mwenzetu 2 tu kajenga barabara nchi nzima kwa kipindi kifupi sana
Ugonjwa hukutaarifawa
baba,kana kwamba alifariki basi na kuuguwa.Mwenyezi Mungu atatujereshea yaani kuwa yupo aliye au atakaye chukua mbadala.Kwakuwa Mungu huumba sie sote kwa binafisi tufanye kitakacho mpendeza
Hotuba Nzr Kabsa Na Yenye Mapenz Ya Kwel Kutoka Kwa Babu Yetu Mzee Mwinyi Tumekuelewa
Pepo hiyoo mzee mwinyi.
Wote nyie ndio mliokula bila kujali wana nchi mungu atawashughulikia tuu
Leo machinga wanalia na kujuta kuzaliwa Tanzania,kama si nchi Yao tena
Maisha ya mwanadamu ni hadithi ifanye basi kuwa hadithi njema kwa kuishi maisha mema watakosimuliwa hadithi yako watabasamu kwa hadithi nzuri
Ujumbe mamaafrica Mungu akusadie
Uombe mungu atupe umri na hekima kubwa Kama huyu mzeeeere
miaka uliyonayo na bado unaona vyema kiasi cha kuweza kusoma Mungu akubariki sana.
More Great Memory
Ally hassan mwonyi former president number 2 on Tanzania leadership soon after late Julia's kambarage nyerere Alli Hassan mwinyi was the leader and respected man who driving Tanzania leadership on open darection of Tanzania people to know where we are
Watanzania mungu amewabariki na ma rais wazuri tangu mpate uhuru .Kenya kwetu huku ni wakabila tu na matapeli
KWELI, MZEE NDO MAANA KILA MWEMYE HEKIMA ANAKUPENDA. MUNGU AKUZIDISHIE AFYA NJEMA.
Get well soon Rais Mwinyi
Wapole hawa watanzania.Napenda mipangilio ya hotuba zao.Waadilifu wa maisha.
Hazina ya tanzania ni mzee mwinyi.
Hahaha maisha bwana. Mzee ruksa amezeeka sana hajui anachoongea. Binadamu si kitu
❤❤
inauma sana
Kikwete je?
Pliz current Samia suruhu (prezido) I kindly beg u to fullfil the late j p m plan Tanzania &Africa as large will pray for u allahuma amina
That's apoint mzee xprezido hassan mwinyi thx for your crutial speech long live mzee
Rais Magufuli alifanya Yale ambayo viongozi wengi hawakuweza na hawaweezi fanya. Rip Jpm.
Sasa huyo delila mbona kafirisi alivyotafuta.mwezake
Mzee rukhsaa i 😀
Shikamoo Babu
Kweli kabisa Mheshimiwa natamani hutob yako iendelee
Kisima cha busara na hekima
MUNGU akusidishie umri Tena Babu
Shaka na Mso....Shughuli zimezidi...zipi?
❤❤❤😂😂😂
Mung mlaze mh: jpm mahali pema peponi amina
Kwakweli tutakukumbuka daima hayati Rais Dr Magufuli, pia babu Rais mstaafu wa awamu ya pili Mungu azidi kukujalia miaka mingi zaidi. Amen
Hekima ni ya uraisi
Novena ya siku 54 na Padri Mbiku
Mama sitti hahaha
Baby wa jamhuri ya Tz ishi zaid bado tunahitaj ushauri wako babu mwema usiye naupendeleo kwa wajukuu zako
Namwenyewe magufuri alisema atakuja raisi wamana zaidi yake najiuliza aliyemsema ni uyu ama
Wazee ni hazina
Kmc yanga
Mkutano wotee huo sijaona mtu ambaye anauzuni sana kama mlinzi aliyosimama nyuma ya raisi mstafu mwinyi
Wote wamejaa wamefulahi naumia mm myonge JPM ameumiza moto wangu
Huyu mlinzi kama.ana hasira Sana kwn hajui Kama.huyu Ni mzee sna
Yuko kazini. Ni kawaida
Akicheka hapati mshahara
Hajanuna ndo alivo commando sura ya kazi
Oooh
Hata Mimi cmuelewi
It's long time since the late prezido jpm past away but I as a ugandan , Tanzania & Africa as large we miss him and we will miss him may Allah for give him his sins and give enough light kw kaburi yake
But you have a good president in your country(museven)...
Ningependa kwenye mazimisho ya mwaka Wa magufuli mgen rasmi away mstafu All Hasan mwiny
Watanzania tunajivunia kuwa na wewe Babu yetu wa Taifa
Wewe Ndiyo unajivunia Siyo Watanzania wote
Rais wa busara
M/mungu akujaalie Afya njema Mzee wetu