Mwinyi: "JPM Aliushangaza Ulimwengu/Suala la Kuhamia Dodoma Amefanya kwa Miaka 2, Sisi Miaka 40

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 25 мар 2021
  • #CloudsDigital​ Imekuwekea speech kutoka Chato Nyumbani kwa Hayati Dkt. John Pombe Magufuli #JohnPombeMagufuli​ #Chato​ #PumzikaBaba

Комментарии • 96

  • @rafikiwildlife4263
    @rafikiwildlife4263 3 года назад +10

    Barikiwa sana Mhe Ally Hassan Mwinyi, Rais mstaafu kwa hotuba nzuri na jinsi umewasilisha wasifu wa hayati Rais Magufuli, Umetufariji sana Watanzania kwa ujumla. Mungu akutunze na kukulinda Babu yetu

  • @pierreclaverhavyarimana8735
    @pierreclaverhavyarimana8735 2 года назад +3

    Asante Sana BABA WETU, RAISI MWINYI, Kukuona tena ukiutubia Wana Inchi Tanzania ata hapa kwetu Burundi. Tunammkumbuka Sana Raisi Magufuli. Mwenyezi MUNGU ammupokee veema kwake Mbinguni. Na Mungu azidi kuchunga vizuli, Familia yake na wa Tanzaniya wote kwa jummula.

  • @mohdndevu9910
    @mohdndevu9910 4 месяца назад +1

    Natuwe pole sana Kwa mzeewetu ambaye. Mwenye hikima nabusara Allah ampe peponchema yafiridausi

  • @believerswords579
    @believerswords579 3 года назад +5

    Mpendwa wetu Babu Ali Hassan Mwinyi hata Sawa tunakupenda Sana pia. Tumefurahi kukuona.

  • @kahmardintebe9266
    @kahmardintebe9266 6 месяцев назад +3

    Mzee mwinyi siyo mnafiki mungu ampe maisha marefu

  • @michaelkimamule7979
    @michaelkimamule7979 3 года назад +11

    Nifahari yetu watanzanzia tumuombee mwenyezi mungu aendelee kumlinda babu yetu kipenzi nafalijika sana wenzetu hawana

  • @Mimi-wf7mb
    @Mimi-wf7mb 3 года назад +13

    Mbona nazidi kumpenda huyu mzee?

  • @kassimmurji2872
    @kassimmurji2872 2 года назад +4

    Viongozi wa Tanzania tujifunze mfano kutoka kwa mzee Mwinyi uadilifu na wema niakiba duniani na aghera

  • @abcxyz3740
    @abcxyz3740 3 года назад +11

    Naangalia hii clip kwa mara ya nne sichoki ngoja kwanza kijana wangu mheshimiwa rais usinichoke

  • @sumaali873
    @sumaali873 3 года назад +4

    Huyu mlinzi anastahili sifa anajua kilakitu angalia anatoa ishara ss basi mzee hamudu tena big up sana mlinzi wa babuyetu

  • @eneamhama8311
    @eneamhama8311 3 года назад +7

    Daa tuko mwisho wa dunia askofu kavaa barakoa waumini hawana Sasa hapo Nani anaimani na mungu zaidi

    • @sa3dasa3da87
      @sa3dasa3da87 3 года назад

      Nami nimeona hata baadhi ya viongozi wameanza kuvaa wakati enzi za uhai wa jembe tulikua tunawaona wakiwa bila barakoa

    • @margarethsaramaki3966
      @margarethsaramaki3966 3 года назад +1

      Barakoa ni uamuzi wa mtu mwenyewe kuchukua tahadhari kuna mtu anaona ni muhimu na kuna mtu anaona siyo muhimu hivyo yaani

    • @shangwekamando2599
      @shangwekamando2599 3 года назад +1

      Wee inakuhusu nini ?

  • @epafrangweshemi4014
    @epafrangweshemi4014 2 года назад +4

    Mzee ruksa, uliwapenda sana watanzania na walipokusumbua uliwapa ruksa kufanya watakavyo. Hongera kwa wema wako. Mtoto akililia wembe mpe!

  • @jeremiamisholi1999
    @jeremiamisholi1999 2 года назад +3

    Asante mzee Mwinyi Kwa busara zako za kweli

  • @Mimi-wf7mb
    @Mimi-wf7mb 3 года назад +10

    Mzee yuko fiti mno💪💪 miaka 96 anasoma bila miwani👌👌👌👌

  • @Chombezaflava
    @Chombezaflava 3 года назад +6

    Mungu amuweke anasoma bila miwani na bado vitu havimpotei sana

  • @Chombezaflava
    @Chombezaflava 3 года назад +3

    Mzee mwinyi anazeeka na kuzidi kupendwa na watu walitamani aendelee na hotba yake wapate kujifariji kwa kupunguza machungu

  • @godlydanny1511
    @godlydanny1511 3 года назад +3

    Bodyguard wa Rais anacheka hadi anajishtukia 😅😅

  • @bonifacemtei2207
    @bonifacemtei2207 3 года назад +5

    Jamani mzee mwinyi ajengewe sanamu Kama mzee wa busara kamfanya Hadi mama Janet magufuli kusahau yupo msibani kumchekesha mfiwa sio kazi ndogo

  • @tumainimalkiori7142
    @tumainimalkiori7142 2 года назад +1

    Asante baba

  • @fumbukashangwe3173
    @fumbukashangwe3173 2 года назад

    Mzee Mwinyi hongera Mwenyezi Mungu azidi kukuhifadhi kweli maisha ni hadithi

  • @letshikuku39
    @letshikuku39 3 года назад +2

    Huyu mzee ruksa anapendwa sn na Watanzania kwa sababu ya ucheshi wake. Yupo poa sn babu yetu. Mungu akuweke mzee Mwinyi.

    • @suleimansadalla5606
      @suleimansadalla5606 2 года назад

      Big up Mzee wetu

    • @hassanmfaume4522
      @hassanmfaume4522 2 года назад

      alitukanwa Sana na mwalimu huyu kisa kutetea wananchi wanyonge wa nchi huyu ndiye alikuwa mtetezi wa kweli wananchi..!

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 5 месяцев назад

    MZEE MWENYE ROHO NYEUPE HUYOOO.❤❤ ❤. MUNGU AZIDI KUMPA NGUVU. HANA ROHO YA WIVU MZEE WA WATU. ROHO YAKE NYEUPEEE KWA KWELI. BABA LA BABAA.🎉🎉🎉🎉❤❤❤

  • @kalumbugideon4159
    @kalumbugideon4159 3 года назад +1

    Huyu Mtu Mzee Mwinyi....Safi Sana... Huyu anajua tulipotokea....Tz

  • @sadikingonyani315
    @sadikingonyani315 3 года назад +5

    Huyo ndio BABU wa TAIFA LETU

  • @meshackmalele5386
    @meshackmalele5386 2 года назад +1

    Hahaha mzee yupo peace sana, kasahau alipo na jina la marehemu

  • @michaelndilima6210
    @michaelndilima6210 2 года назад +1

    Safi sana rais mstaafu mwenye hekima kubwa sana nchini

  • @casmirpeter1293
    @casmirpeter1293 3 года назад +2

    Tunakupenda Sana babu yetu😍

  • @michaelndilima6210
    @michaelndilima6210 2 года назад +1

    Safi sana rais wetu mstaafu mkweli na mwaminifu.

  • @lucasalphonce7820
    @lucasalphonce7820 Год назад +1

    Mungu akupe heri ya miaka mingi baba.

  • @jeremiahburton8999
    @jeremiahburton8999 3 года назад +2

    Great leader!!!...Mzee Mwinyi uzee mwema kwako... hakika uwepo wako ni faraja kwetu kama taifa.

  • @mrishojumaamrisho3212
    @mrishojumaamrisho3212 3 года назад +1

    Mzee mwinyi Allah Akuongoze

  • @abcxyz3740
    @abcxyz3740 3 года назад +4

    Mzee mwinyi pepo inakusubiri kwa kuwa mkweli na Busara nyingi sisi miaka 40 tumeshindwa mwenzetu 2 tu kajenga barabara nchi nzima kwa kipindi kifupi sana

  • @kanyamageorge7015
    @kanyamageorge7015 2 года назад

    Ugonjwa hukutaarifawa
    baba,kana kwamba alifariki basi na kuuguwa.Mwenyezi Mungu atatujereshea yaani kuwa yupo aliye au atakaye chukua mbadala.Kwakuwa Mungu huumba sie sote kwa binafisi tufanye kitakacho mpendeza

  • @abdulijongo1355
    @abdulijongo1355 3 года назад +1

    Hotuba Nzr Kabsa Na Yenye Mapenz Ya Kwel Kutoka Kwa Babu Yetu Mzee Mwinyi Tumekuelewa

  • @michaelndilima6210
    @michaelndilima6210 2 года назад +1

    Pepo hiyoo mzee mwinyi.

  • @AbrahamSekuza
    @AbrahamSekuza 4 месяца назад

    Wote nyie ndio mliokula bila kujali wana nchi mungu atawashughulikia tuu

  • @japhetdaudmaneno8440
    @japhetdaudmaneno8440 2 года назад +1

    Leo machinga wanalia na kujuta kuzaliwa Tanzania,kama si nchi Yao tena

  • @fumbukashangwe3173
    @fumbukashangwe3173 2 года назад +1

    Maisha ya mwanadamu ni hadithi ifanye basi kuwa hadithi njema kwa kuishi maisha mema watakosimuliwa hadithi yako watabasamu kwa hadithi nzuri

  • @eliamwankenja7087
    @eliamwankenja7087 2 года назад

    Ujumbe mamaafrica Mungu akusadie

  • @ChristopherMillanzi
    @ChristopherMillanzi 4 месяца назад

    Uombe mungu atupe umri na hekima kubwa Kama huyu mzeeeere

  • @aliymwazoa3051
    @aliymwazoa3051 2 года назад

    miaka uliyonayo na bado unaona vyema kiasi cha kuweza kusoma Mungu akubariki sana.

  • @francisskapufi4972
    @francisskapufi4972 2 года назад

    More Great Memory

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda1319 Год назад

    Ally hassan mwonyi former president number 2 on Tanzania leadership soon after late Julia's kambarage nyerere Alli Hassan mwinyi was the leader and respected man who driving Tanzania leadership on open darection of Tanzania people to know where we are

  • @bensonatumbwa745
    @bensonatumbwa745 Год назад

    Watanzania mungu amewabariki na ma rais wazuri tangu mpate uhuru .Kenya kwetu huku ni wakabila tu na matapeli

  • @JOHNKKULULINDA-pc6gy
    @JOHNKKULULINDA-pc6gy 6 месяцев назад

    KWELI, MZEE NDO MAANA KILA MWEMYE HEKIMA ANAKUPENDA. MUNGU AKUZIDISHIE AFYA NJEMA.

  • @leaherasto929
    @leaherasto929 5 месяцев назад

    Get well soon Rais Mwinyi

  • @washingtonmbiti9348
    @washingtonmbiti9348 5 месяцев назад

    Wapole hawa watanzania.Napenda mipangilio ya hotuba zao.Waadilifu wa maisha.

  • @michaelndilima6210
    @michaelndilima6210 2 года назад

    Hazina ya tanzania ni mzee mwinyi.

  • @ignasnyembo1256
    @ignasnyembo1256 5 месяцев назад

    Hahaha maisha bwana. Mzee ruksa amezeeka sana hajui anachoongea. Binadamu si kitu

  • @user-zm9ox5xu9p
    @user-zm9ox5xu9p 6 месяцев назад

    ❤❤

  • @levistv838
    @levistv838 5 месяцев назад

    inauma sana

  • @farajamwito7242
    @farajamwito7242 2 года назад +2

    Kikwete je?

  • @ZediKangulumira-pk2uu
    @ZediKangulumira-pk2uu Год назад

    Pliz current Samia suruhu (prezido) I kindly beg u to fullfil the late j p m plan Tanzania &Africa as large will pray for u allahuma amina

    • @ZediKangulumira-pk2uu
      @ZediKangulumira-pk2uu Год назад

      That's apoint mzee xprezido hassan mwinyi thx for your crutial speech long live mzee

  • @ramadhanmgaya1775
    @ramadhanmgaya1775 Год назад

    Rais Magufuli alifanya Yale ambayo viongozi wengi hawakuweza na hawaweezi fanya. Rip Jpm.

  • @clarencehilary5588
    @clarencehilary5588 6 месяцев назад

    Sasa huyo delila mbona kafirisi alivyotafuta.mwezake

  • @samahamed2418
    @samahamed2418 3 года назад +1

    Mzee rukhsaa i 😀

  • @romanamassawe814
    @romanamassawe814 Год назад

    Shikamoo Babu

  • @safarisimukoko5089
    @safarisimukoko5089 2 года назад

    Kweli kabisa Mheshimiwa natamani hutob yako iendelee

  • @benedictmrisho5947
    @benedictmrisho5947 2 года назад +1

    Kisima cha busara na hekima

  • @brevickkanai8627
    @brevickkanai8627 Год назад

    MUNGU akusidishie umri Tena Babu

  • @kanyamageorge7015
    @kanyamageorge7015 2 года назад

    Shaka na Mso....Shughuli zimezidi...zipi?

  • @mohdndevu9910
    @mohdndevu9910 4 месяца назад

    ❤❤❤😂😂😂

  • @mickidadynhayo707
    @mickidadynhayo707 3 года назад

    Mung mlaze mh: jpm mahali pema peponi amina

    • @chakubutaedmond6298
      @chakubutaedmond6298 Год назад

      Kwakweli tutakukumbuka daima hayati Rais Dr Magufuli, pia babu Rais mstaafu wa awamu ya pili Mungu azidi kukujalia miaka mingi zaidi. Amen

  • @user-fe2ed5ej9f
    @user-fe2ed5ej9f 6 месяцев назад

    Hekima ni ya uraisi

  • @williamdaudi5588
    @williamdaudi5588 2 года назад

    Novena ya siku 54 na Padri Mbiku

  • @nathaliaerasmi5562
    @nathaliaerasmi5562 3 года назад +2

    Mama sitti hahaha

    • @biswalouniversal2586
      @biswalouniversal2586 2 года назад

      Baby wa jamhuri ya Tz ishi zaid bado tunahitaj ushauri wako babu mwema usiye naupendeleo kwa wajukuu zako

  • @makupeamri5659
    @makupeamri5659 2 года назад

    Namwenyewe magufuri alisema atakuja raisi wamana zaidi yake najiuliza aliyemsema ni uyu ama

  • @babulomitu140
    @babulomitu140 2 года назад

    Wazee ni hazina

  • @user-pg9lo3dz1f
    @user-pg9lo3dz1f 5 месяцев назад

    Kmc yanga

  • @dezasumailcostaricahamis5429
    @dezasumailcostaricahamis5429 2 года назад

    Mkutano wotee huo sijaona mtu ambaye anauzuni sana kama mlinzi aliyosimama nyuma ya raisi mstafu mwinyi

    • @tusaangulile1400
      @tusaangulile1400 2 года назад

      Wote wamejaa wamefulahi naumia mm myonge JPM ameumiza moto wangu

  • @pendojeremiah9111
    @pendojeremiah9111 3 года назад +4

    Huyu mlinzi kama.ana hasira Sana kwn hajui Kama.huyu Ni mzee sna

  • @ZediKangulumira-pk2uu
    @ZediKangulumira-pk2uu Год назад +4

    It's long time since the late prezido jpm past away but I as a ugandan , Tanzania & Africa as large we miss him and we will miss him may Allah for give him his sins and give enough light kw kaburi yake

    • @ibrahimomari2458
      @ibrahimomari2458 3 месяца назад

      But you have a good president in your country(museven)...

  • @kassimloav2402
    @kassimloav2402 2 года назад

    Ningependa kwenye mazimisho ya mwaka Wa magufuli mgen rasmi away mstafu All Hasan mwiny

  • @haitumikitena4978
    @haitumikitena4978 3 года назад +3

    Watanzania tunajivunia kuwa na wewe Babu yetu wa Taifa

  • @michaelndilima6210
    @michaelndilima6210 2 года назад

    Rais wa busara

  • @user-mt7cq4us3g
    @user-mt7cq4us3g 7 месяцев назад

    M/mungu akujaalie Afya njema Mzee wetu