"MNAPIGA POMBE SANA HALAFU MNALALAMIKA MAISHA MAGUMU"-RC MWANRI
HTML-код
- Опубликовано: 5 сен 2024
- Mkuu wa mkoa wa Tabora Aggrey Mwanri amewataka wananchi kujikita katika shughuli za kujiletea maendeleo na kuacha kuwalalamikia viongozi
Akizungumza na wananchi wa kata ya Miswaki wilaya ya Uyui katika ziara ya ukaguzi wa barabara zilizochini ya TARURA amesema "maana ya kulalamika ni kwamba umechoka kufikiria" RC MWANRI
Gonga like kama upo nyuma ya huyu mzee jpm4life
Ukiacha vichekesho ameongea point nyingi sana humo ndani
1. Kupima ukimwi
2. Wajibu wa mzazi kwa familia
3.Elimu bora
4.uchapakazi
5. Kuachana na ulevi wa kupindukia
6. Kuunga mkono juhudi za maendeleo
7. Kujenga taifa kwa umoja
8. Usafi wa mwili na mavazi
Dhamira zilizojitokeza @@@@
Kabisa🤘🏿👏🏿
yani mkuu unafurahisha kisha unaelimisha balikiwa sana
Kama umesikia kg Newton gonga like hapa twende sawa
Kweli ww msani sana God bless you.
Pank kama mkate umesikia like hapa
Mzee nakuelewaga sana
mzee rudi home siha bado twakuhitaji mno!
Hahaha huyu baba nanichekeshaga hatari magufuri wapili
Ni kweli Mkuu.
Exactly RC
Leo umenifanya nienjoy mzee dah upo safi
Kweli kabisa, kulalamika inamaanisha umeshindwa kufikiri, na unataka wengine wafikiri kwa niaba yako.
👍👍👍👍👍👍
KumuelewA inaitaj uwe muelewa sana huyu mzee
Jamaa comedian mzuri sana
Huyu mkuu siyo hivyo tu. Ni zaidi ya hapo, hata ofisini kwake ukienda ukiwa na shida inayohitaji maamuzi ya kiutawala hapepesipepesi. Anamaamuzi yalionyoka, kama Raisi wetu, Dr. JPM. Hongera Mkuu wa mkoa wa TBR na pia pongezi kwa Raisi wetu kwa kumteuwa huyui. Mh. Raisi na Agrey Mwanry MUNGU na aendelee kuwapa kibali cha kutumikia Taifa hili kwa moyo huo wa kizarendo, nasi tutaendelea kuwaombea. Barikiwa! Barikiwa!
zacharia mseswa nimeipenda meseji yako
@@bahishaalexander3641 Asante Kiongozi Bahisha Alexander. Barikiwa!
cku nyingine unacheka na wanao safi sana
Tuleteeni huyu kiongozi huku kwetu Mara tuna bahati mbaya ya kuletewa wakuu wa mikoa ambao hawaendani na changamoto za mkoa wetu
Mkuu
Nmekukubali mkuu wa mkoa
Hakuitajika MAGUFULI aje ili kazi zifanyike vizuri.MWANRI anatosha
Huyu mzee ni Comediani kwelikweli, Nilikuwa sijui kama hata kuchekesha anachekesha hivo ila bora yeye kuliko Bashite na sera zake za kusadikika. JPM tuletee huyu Mzee Dar es salaam tunamhitaji sana.
Mtasukumwa ndani
hahaAahaaaa kaa kaa yenu hiyo waza mambo makubwa
Huyu ndiye rais mtarajiwa baada ya baada maghufuli kustaafu mwaka wa 2025.
Kama umesikia tutako gonga like
Betriiii haichaji
hahahahahah eti betrii betrii hahha haijachaji vizur
😂😂😂😂😂😂😂😂nampenda huyu baba
Hahahahaahqha yaani watu wafikirie juu yako
Kamanda huyo
Vitako viko nje ha ha ha ha ha
Hahaaaa Mzee huyu bwana
Tabora sf
Kweli mzee huyu anatakia mji mazuri jamani watanzania unga yeye mkono
Me pank kama sufuria ndo hoi
mzee mwari unatukumbusha kipindi cha jiwe alipokuwa waziri ujenzi?
😁😁😁😁😁😁😁😁
Yaani wewe baba nikija kweli wine nitanunu sema ngapi unafurahisha pia unaelimisha kweli watavyopata kweli lazima wache ulevi wa kijinga na malamiko ubarikiwe sana
Hahahaha
Ya maana 😂😂
Kangara ina itwa kg hahaha mabutu wa mama
🤣🤣🤣🙏
😂😂ndo kusema