"MNAPIGA POMBE SANA HALAFU MNALALAMIKA MAISHA MAGUMU"-RC MWANRI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • Mkuu wa mkoa wa Tabora Aggrey Mwanri amewataka wananchi kujikita katika shughuli za kujiletea maendeleo na kuacha kuwalalamikia viongozi
    Akizungumza na wananchi wa kata ya Miswaki wilaya ya Uyui katika ziara ya ukaguzi wa barabara zilizochini ya TARURA amesema "maana ya kulalamika ni kwamba umechoka kufikiria" RC MWANRI

Комментарии • 50

  • @hashimusaid7695
    @hashimusaid7695 5 лет назад +35

    Gonga like kama upo nyuma ya huyu mzee jpm4life

  • @papafikiri
    @papafikiri 5 лет назад +23

    Ukiacha vichekesho ameongea point nyingi sana humo ndani
    1. Kupima ukimwi
    2. Wajibu wa mzazi kwa familia
    3.Elimu bora
    4.uchapakazi
    5. Kuachana na ulevi wa kupindukia
    6. Kuunga mkono juhudi za maendeleo
    7. Kujenga taifa kwa umoja
    8. Usafi wa mwili na mavazi

  • @zumbeshauri8114
    @zumbeshauri8114 5 лет назад +22

    yani mkuu unafurahisha kisha unaelimisha balikiwa sana

  • @luganojacob
    @luganojacob 5 лет назад +6

    Kama umesikia kg Newton gonga like hapa twende sawa

  • @jojoekiza5400
    @jojoekiza5400 5 лет назад +3

    Kweli ww msani sana God bless you.

  • @mwambietv7614
    @mwambietv7614 5 лет назад +7

    Pank kama mkate umesikia like hapa

  • @ellyjacob9897
    @ellyjacob9897 5 лет назад +1

    Mzee nakuelewaga sana

  • @godlovemrosso8715
    @godlovemrosso8715 5 лет назад +5

    mzee rudi home siha bado twakuhitaji mno!

  • @codestarcodestar-hn3kp
    @codestarcodestar-hn3kp 5 лет назад +15

    Hahaha huyu baba nanichekeshaga hatari magufuri wapili

  • @bahishaalexander3641
    @bahishaalexander3641 5 лет назад +1

    Ni kweli Mkuu.

  • @nickmoshi8243
    @nickmoshi8243 5 лет назад +1

    Exactly RC

  • @mwambietv7614
    @mwambietv7614 5 лет назад +2

    Leo umenifanya nienjoy mzee dah upo safi

  • @williamuphilipo7447
    @williamuphilipo7447 5 лет назад +2

    Kweli kabisa, kulalamika inamaanisha umeshindwa kufikiri, na unataka wengine wafikiri kwa niaba yako.

  • @manasemwakilasa5931
    @manasemwakilasa5931 4 года назад +1

    KumuelewA inaitaj uwe muelewa sana huyu mzee

  • @teamallyracing1780
    @teamallyracing1780 5 лет назад +1

    Jamaa comedian mzuri sana

  • @zachariamseswa8158
    @zachariamseswa8158 5 лет назад +3

    Huyu mkuu siyo hivyo tu. Ni zaidi ya hapo, hata ofisini kwake ukienda ukiwa na shida inayohitaji maamuzi ya kiutawala hapepesipepesi. Anamaamuzi yalionyoka, kama Raisi wetu, Dr. JPM. Hongera Mkuu wa mkoa wa TBR na pia pongezi kwa Raisi wetu kwa kumteuwa huyui. Mh. Raisi na Agrey Mwanry MUNGU na aendelee kuwapa kibali cha kutumikia Taifa hili kwa moyo huo wa kizarendo, nasi tutaendelea kuwaombea. Barikiwa! Barikiwa!

  • @tanzania4072
    @tanzania4072 5 лет назад

    cku nyingine unacheka na wanao safi sana

  • @wangwemseti7592
    @wangwemseti7592 5 лет назад +2

    Tuleteeni huyu kiongozi huku kwetu Mara tuna bahati mbaya ya kuletewa wakuu wa mikoa ambao hawaendani na changamoto za mkoa wetu

  • @njikuhr1875
    @njikuhr1875 4 года назад

    Mkuu

  • @mishaelmisana1973
    @mishaelmisana1973 5 лет назад

    Nmekukubali mkuu wa mkoa

  • @jeremiahmasunzu3437
    @jeremiahmasunzu3437 3 года назад

    Hakuitajika MAGUFULI aje ili kazi zifanyike vizuri.MWANRI anatosha

  • @pilatoonlinetv9660
    @pilatoonlinetv9660 5 лет назад +2

    Huyu mzee ni Comediani kwelikweli, Nilikuwa sijui kama hata kuchekesha anachekesha hivo ila bora yeye kuliko Bashite na sera zake za kusadikika. JPM tuletee huyu Mzee Dar es salaam tunamhitaji sana.

  • @joshuasamson4174
    @joshuasamson4174 5 лет назад +1

    hahaAahaaaa kaa kaa yenu hiyo waza mambo makubwa

  • @kingsolomon0
    @kingsolomon0 3 года назад

    Huyu ndiye rais mtarajiwa baada ya baada maghufuli kustaafu mwaka wa 2025.

  • @abdallahhamad4499
    @abdallahhamad4499 4 года назад

    Kama umesikia tutako gonga like

  • @stevestephano5043
    @stevestephano5043 4 года назад

    Betriiii haichaji

  • @dicksonaroka6961
    @dicksonaroka6961 5 лет назад +3

    hahahahahah eti betrii betrii hahha haijachaji vizur

  • @salmaothuman4799
    @salmaothuman4799 5 лет назад +1

    😂😂😂😂😂😂😂😂nampenda huyu baba

  • @mathiasmalimi4555
    @mathiasmalimi4555 5 лет назад +2

    Hahahahaahqha yaani watu wafikirie juu yako

  • @wanderaothumani4919
    @wanderaothumani4919 5 лет назад +1

    Kamanda huyo

  • @abimerckmpelembwa2422
    @abimerckmpelembwa2422 5 лет назад +4

    Vitako viko nje ha ha ha ha ha

  • @pretinesspastory9782
    @pretinesspastory9782 5 лет назад +1

    Hahaaaa Mzee huyu bwana

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 5 лет назад +1

    Tabora sf

  • @big-h-official
    @big-h-official 4 года назад

    Kweli mzee huyu anatakia mji mazuri jamani watanzania unga yeye mkono

  • @joseygaudence1886
    @joseygaudence1886 5 лет назад +1

    Me pank kama sufuria ndo hoi

  • @anthonyjohn6412
    @anthonyjohn6412 5 лет назад

    mzee mwari unatukumbusha kipindi cha jiwe alipokuwa waziri ujenzi?

  • @jeremiahmwasapilicharlie2926
    @jeremiahmwasapilicharlie2926 5 лет назад +1

    😁😁😁😁😁😁😁😁

  • @dn.n4983
    @dn.n4983 5 лет назад +5

    Yaani wewe baba nikija kweli wine nitanunu sema ngapi unafurahisha pia unaelimisha kweli watavyopata kweli lazima wache ulevi wa kijinga na malamiko ubarikiwe sana

  • @ngalawekikohingalawekikohi4768
    @ngalawekikohingalawekikohi4768 5 лет назад +1

    Hahahaha

  • @youngdady7901
    @youngdady7901 5 лет назад +1

    Ya maana 😂😂

  • @mcmpomaonlinetv3483
    @mcmpomaonlinetv3483 4 года назад

    Kangara ina itwa kg hahaha mabutu wa mama

  • @ismailmajala2802
    @ismailmajala2802 5 лет назад +1

    🤣🤣🤣🙏

  • @ezekielikuboja1413
    @ezekielikuboja1413 5 лет назад +1

    😂😂ndo kusema