Rugemalira: sijawahi nyoa nywele, mke wake amshukuru Rais, Paroko aishangaa imani yake

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 сен 2021
  • Siku tatu baada ya kuachiwa huru mfanyabiashara James Rugemalira, leo Septemba 19 ameungana na waumini wenzake wa parokia ya Makongo Juu kushiriki misa takatifu ya jumapili.

Комментарии • 36

  • @nkubankuba8463
    @nkubankuba8463 2 года назад +4

    Ukweli anaujua yeye mwenyewe tusishuhudie uongo na mungu atamlipa mwenye haki

  • @husseinkarim7663
    @husseinkarim7663 2 года назад +3

    Mama mstaarabu sana amemshukuru Raisi Samiya . Mungu ndio mwenyewe na dua za waumini wako wamesaidia.

  • @paschalpaul3862
    @paschalpaul3862 2 года назад +2

    Kanisa haliwezi kuwa na majibu Bali Mungu ndiye anayejua

  • @bettygeyer6952
    @bettygeyer6952 2 года назад +2

    Mungu mkubwa, tunamtakia heri yake na familia, Asante kwa uvumilivu Benedicta.
    Tunawaombea

  • @marystanslaus8566
    @marystanslaus8566 2 года назад +1

    Ni Mungu mwenyewe ameingilia kati ( God intervention ) namaanisha when Jesus say Yes no one can say NO! Kwa imani ya huyu mzee naona ni Mungu tu amefungua gereza na si vinginevyo. Namwinua Mungu kwa ajili yake na si vinginevyo

  • @saliminasalim3751
    @saliminasalim3751 2 года назад

    Jamani hongereni sana Benedictor na mume wako Rugemalila pamoja na watoto MMungu azidi kuwapigania hapa Duniani mpaka ahera Ameen

  • @fantsonmpango7502
    @fantsonmpango7502 2 года назад +2

    Ashukuriwe Mungu, Marais wa ccm ni wajanja sana yani, huyu anatekenya akija huyu anacheka

  • @josephinegravasiano8860
    @josephinegravasiano8860 2 года назад +1

    Mungu ni mwema

  • @MegaCaeser
    @MegaCaeser 2 года назад +1

    Yaani huyu mzee alikuwa anagawa mabilioni ya pesa, tena kwa viongozi wa serikali, halafu anashuhudiwa kuwa ni mtu mwema sana, na serikali inamuonea tu. Bwana Rugemalila mungu anakuona, na hizo sala zako. Hata hao akina bily gates hatujasikia wakigawa pesa kwa viongozi wa serikali huko kwao. Ukweli unaujua mwenyewe, bora ukae kimya.

  • @samsonhaule3647
    @samsonhaule3647 2 года назад +2

    Mtukaiba leo makanisa sanamsafisha, hau Ni wachungaji njaa.

  • @kadijahajali3918
    @kadijahajali3918 2 года назад +2

    Kunyowa nywele gani hizo

  • @dianaelias517
    @dianaelias517 2 года назад +3

    Unamshukuru rais kwa kipi majiz nyinyi

    • @meshackmtewele1942
      @meshackmtewele1942 2 года назад

      Mawazo yako si mawazo ya Mungu acha kazi ya Mungu iendelee

  • @luganomwakyusa7697
    @luganomwakyusa7697 2 года назад

    Mungu ndio anajua kama hukuwa na haki au

  • @saadathassan4434
    @saadathassan4434 2 года назад +1

    Namkubali xna huyu mzee

  • @wanyalugendo4776
    @wanyalugendo4776 2 года назад

    Amina

  • @danielkidona4214
    @danielkidona4214 2 года назад

    Mungu ndiye ajuae yote hata yale tusiyoyaona kwa macho yetu ya nyama ,Duniani mna dhiki nyingi

  • @avitymendezy9891
    @avitymendezy9891 2 года назад +3

    Kumbe alitolewa na Rais. Rais ni nani juu ya mahakama. Katiba mpya ni hitaji la msingi

    • @trevisrodriguez7484
      @trevisrodriguez7484 2 года назад

      Offcorse yes.

    • @ramadhanilukambuzi9760
      @ramadhanilukambuzi9760 2 года назад

      Mahakama iko juu ya Rais wetu wa Tanzania?Jaji Mkuu wa Tz anateuliwa na nani?Nani anasamehee wafungwa kwa mujibu wa Katiba yetu ya Tz kama sio Rais wa nchi yetu?Kabla ya kuandika vitu,kwanza fikiria vizuri!

  • @paschalpaul3862
    @paschalpaul3862 2 года назад

    Ishu ilikuwa kugawa pesa na hivyo pesa alikuwa na kiwanda cha kuzalisha pesa

  • @jastinekanjost8073
    @jastinekanjost8073 2 года назад

    Ukweli🙄🙄

  • @bonabonala5017
    @bonabonala5017 2 года назад +1

    Matesoyake yamemuua jpm namateso ya mbowe yamuuaa mwingine

  • @loner_wolf
    @loner_wolf 2 года назад +2

    Basi hukuwa jela, kanuni ya jela ni kunyoa nywele kabla ya kuonyeshwa chimbo.... IPTL inafufuka soon

    • @mosesmrema7355
      @mosesmrema7355 2 года назад +1

      hakua jela alikua mabusu angehukumiwa na kua mfungwa angenyolewa

    • @badenbensoni7516
      @badenbensoni7516 2 года назад

      Hakuhukumilwa alikuwa mahabusu. Hanyolewi mahabusu mpaka akiwa mfungwa

    • @janechriss8118
      @janechriss8118 2 года назад

      hakuwa mfungwa alikuwa mahabusu

  • @sangalucian8684
    @sangalucian8684 2 года назад

    Ana sitahili sifa Ana Msimamo hayumbiswi kabisa Hakuna Mwenye Maisha ya kudumu Duniani Walio Muonea Wame tangulia Mbele ya Hukumu ya kweli

    • @bulugubujashi6378
      @bulugubujashi6378 2 года назад +1

      Umejuaje Kama alionewa?,Mimi nawewe hatujui Ila kunasiku Siri zote za wanadamu zitafunuliwa

  • @fintanmkesha1077
    @fintanmkesha1077 2 года назад +1

    Majizi nao wanashukuru kumbe

    • @francisemmanuel1551
      @francisemmanuel1551 2 года назад

      Acha ujinga wewe mnamakamataje mtu bila ushahidi manakaa nae miaka minne eti manafanya uchunguzi ni uzandiki mkubwa Mungu atazidi kuwalaani

    • @ramadhanimtetu7246
      @ramadhanimtetu7246 2 года назад

      Kusema huyu ni Mwizi haitoshi
      Mpaka uwe na Ushahidi utakaoithibitishia mahakama kuwa
      Fulani Mwizi

    • @japhetkavishe9978
      @japhetkavishe9978 2 года назад

      Acha ushamba ww kama angekuwa mwizi mbona hakufungwa jela??

  • @renatusmatungwa6506
    @renatusmatungwa6506 2 года назад

    Amina

  • @paulrwechungura5342
    @paulrwechungura5342 2 года назад

    Amina

  • @sharifahayata234
    @sharifahayata234 2 года назад

    Amina