Mkuu wa MAJESHI mstaafu Kukutana na Papa FRANCIS pamoja na Maaskofu wote wa Tanzania/sababu ni hizi.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 17 май 2023
  • Hija ya Maaskofu wa Tanzania inaendelela mjini Vatican kwa kutembelea mabaraza ya kipapa na sehemu nyingine muhimu za kichungaji wakati wa ziara hii,ambapo mara baada ya kukutana na Baba Mtakatifu itahitimishwa Dominika tarehe 21 Mei kwa maadhimisho ya Misa Takatifu na Jumuiya ya Watanzania waishio,Roma na Italia kwa Ujumla.
    #breezonlinetv #Roma #popefrancis

Комментарии • 160

  • @michaelmshighati8432
    @michaelmshighati8432 Год назад +2

    Hongera Mkuu wa Majeshi Muustaafu MchaMungu ni Neema kubwa Sana hii niheshima kwa vyombo vyadola Kumcha Mungu wewe ni Mfano bora Mungu akubariki na Baraza lote la Maaskofu Tanzania

  • @stefanodeus244
    @stefanodeus244 Год назад +7

    Mungu akubariki sana baba naamini hata katika kazi yako ya jeshi ulimtanguliza Mungu na kumtukuza yeye Mungu akupe maisha marefu tuendelee kujifunza na kuyaishi kama mwanga wetu sisi 🙏🙏🙏🌹💘💐

    • @iva-ox2qn
      @iva-ox2qn Год назад

      Revelation 13:4 People worshiped the dragon because he had given authority to the beast, and they also worshiped the beast and asked, "Who is like the beast? Who can wage war against it?"

  • @nellypesashoopesa4973
    @nellypesashoopesa4973 Год назад +1

    Mungu akulinde kiongozi wetu ulitutunza vyema wanao Mungu akupe uzima na afya njema muda wote

  • @stephenmichael3072
    @stephenmichael3072 Год назад

    Hongera sana Mkuu wa Majeshi msitaafu, kwa kutimiza majukumu yako kama mkuu wa Majeshi (T) kwa kumtegemea Mungu. Umeheshimisha Jamhuri ya Muumgano wa Tanzania. Ubarikiwe sana.

  • @masalumaduhu4029
    @masalumaduhu4029 Год назад +1

    Mungu akubariki na akupe maisha marefu.

  • @rodaananias6541
    @rodaananias6541 Год назад +2

    Mungu awabariki sana, ,. Baba Mabeo ww ni mkatoriki pekee wa kuigwa katika kanisan la katoriki🙏🙏🙏🙏

    • @iva-ox2qn
      @iva-ox2qn Год назад

      Revelation 13:4 People worshiped the dragon because he had given authority to the beast, and they also worshiped the beast and asked, "Who is like the beast? Who can wage war against it?"

  • @user-vs3ut2hd6f
    @user-vs3ut2hd6f 6 месяцев назад

    Kwa kweli atuwezi kukubali ndoa ya jinzia moja kwa maana mungu alipo umba dunia alimuumba adamu na hawa na akawaambia nendeni mkajaze dunia kwaiyo atuwezi kwenda na amri ya mungu na kufuata ya mwanadamu

  • @user-tf7ck5kq9o
    @user-tf7ck5kq9o 6 месяцев назад

    Mungu akubariki venance mabeyo

  • @aliceluwumba5330
    @aliceluwumba5330 Год назад +1

    Amina,hongeren sana kwa wote mlokutana na Papa

    • @iva-ox2qn
      @iva-ox2qn Год назад

      Revelation 13:4 People worshiped the dragon because he had given authority to the beast, and they also worshiped the beast and asked, "Who is like the beast? Who can wage war against it?"

  • @elizaoisso3981
    @elizaoisso3981 Год назад

    Mwenyezi Mungu akulinde daima Bab Venance Mabeho, kwa ushujaa na uhodari wako.

    • @iva-ox2qn
      @iva-ox2qn Год назад

      Revelation 13:4 People worshiped the dragon because he had given authority to the beast, and they also worshiped the beast and asked, "Who is like the beast? Who can wage war against it?"

  • @frankkashonde3432
    @frankkashonde3432 Год назад +3

    Brother, uliivyoitaja hiyo hija kwa Lugha ya Kilatini umetisha sana. Nice narration, narration imekwenda shule mzee.

    • @breezonlinetv
      @breezonlinetv  Год назад

      😂💯

    • @iva-ox2qn
      @iva-ox2qn Год назад

      Revelation 13:4 People worshiped the dragon because he had given authority to the beast, and they also worshiped the beast and asked, "Who is like the beast? Who can wage war against it?"

    • @iva-ox2qn
      @iva-ox2qn Год назад

      @@breezonlinetv .Revelation 13:4 People worshiped the dragon because he had given authority to the beast, and they also worshiped the beast and asked, "Who is like the beast? Who can wage war against it?"

  • @user-be2fv3pg9m
    @user-be2fv3pg9m Год назад +1

    Hongereni s ana maaskofu wangu utume wenu huko Vatican

  • @anithamkwama5468
    @anithamkwama5468 Год назад +1

    Hongera sana mungu akubarki sana mfano mzry wakuigwa na kujifunza

    • @iva-ox2qn
      @iva-ox2qn Год назад

      Revelation 13:4 People worshiped the dragon because he had given authority to the beast, and they also worshiped the beast and asked, "Who is like the beast? Who can wage war against it?"

  • @cesiliachristipher-xn1vx
    @cesiliachristipher-xn1vx Год назад +1

    Hongera Sana maaskofu TEC na COLU sisters

    • @iva-ox2qn
      @iva-ox2qn Год назад

      Revelation 13:4 People worshiped the dragon because he had given authority to the beast, and they also worshiped the beast and asked, "Who is like the beast? Who can wage war against it?"

  • @julianaswai7846
    @julianaswai7846 Год назад +10

    Kaka mabeoo shikamoh. Natamani siku moja uchukue kadi y uanachap ugombee urais. Utapat kwa kushindoo kikubwa.honger kaka kwa ukarim wako w kulijeng kanisalabwana

    • @haroldtarimo-wj9lw
      @haroldtarimo-wj9lw Год назад +2

      Urais wa nini tena ndugu??'

    • @khatibabass3106
      @khatibabass3106 Год назад

      Aje ajenge makanisa ! So nchi ya makasisi hii

    • @joycenicodemus.2232
      @joycenicodemus.2232 Год назад

      @@khatibabass3106 toa ujinga wako huko makanisa yanakuhusu? Kaongelee misikiti yenu.

    • @iva-ox2qn
      @iva-ox2qn Год назад

      @@haroldtarimo-wj9lw .Revelation 13:4 People worshiped the dragon because he had given authority to the beast, and they also worshiped the beast and asked, "Who is like the beast? Who can wage war against it?"

    • @iva-ox2qn
      @iva-ox2qn Год назад

      @@joycenicodemus.2232 .Revelation 13:4 People worshiped the dragon because he had given authority to the beast, and they also worshiped the beast and asked, "Who is like the beast? Who can wage war against it?"

  • @nelsonnyamle
    @nelsonnyamle Год назад

    Mungu akupe maisha marefu mheshimiwa mabeyo

    • @iva-ox2qn
      @iva-ox2qn Год назад

      Revelation 13:4 People worshiped the dragon because he had given authority to the beast, and they also worshiped the beast and asked, "Who is like the beast? Who can wage war against it?"

  • @emmamahengo8213
    @emmamahengo8213 Год назад +1

    Hongera kwake

  • @EdsonNatai-et8gp
    @EdsonNatai-et8gp Год назад +1

    Aisee hongera sana venansi

    • @iva-ox2qn
      @iva-ox2qn Год назад

      Revelation 13:4 People worshiped the dragon because he had given authority to the beast, and they also worshiped the beast and asked, "Who is like the beast? Who can wage war against it?"

  • @user-zk3dt7zp5b
    @user-zk3dt7zp5b Год назад

    Mungu akubarik xana

  • @daudmagayane1556
    @daudmagayane1556 Год назад

    Mungu akubariki sana

    • @iva-ox2qn
      @iva-ox2qn Год назад

      Revelation 13:4 People worshiped the dragon because he had given authority to the beast, and they also worshiped the beast and asked, "Who is like the beast? Who can wage war against it?"

  • @georgembise7234
    @georgembise7234 Год назад +3

    Ni mkuu wamajeshi ambae alikumbwa na tukio lakutisha na akaonyesha unyenyekevu mkubwa sana sana baada magufuri kufa kama sio kuuawawa!!mabeyo mungu akubariki sana sana sana shetan aliweka mtego kwako lkn mungu akakuepusha nao ,hongera sana!!

    • @majigedioniz8049
      @majigedioniz8049 Год назад

      Makubwa kama iko ivyo basi yampasa kumshukuru mungu

    • @iva-ox2qn
      @iva-ox2qn Год назад

      Revelation 13:4 People worshiped the dragon because he had given authority to the beast, and they also worshiped the beast and asked, "Who is like the beast? Who can wage war against it?"

    • @mecksondeoneclassic8635
      @mecksondeoneclassic8635 Год назад

      Mungu tusaidie hatari inakuja

    • @mecksondeoneclassic8635
      @mecksondeoneclassic8635 Год назад

      ​@@iva-ox2qn Truthfully that's what John was revealed about the beast in the end times.

  • @user-lq3ew1gz6m
    @user-lq3ew1gz6m Год назад

    Hongera kwa kupata nafas

  • @mecksondeoneclassic8635
    @mecksondeoneclassic8635 Год назад +1

    Kila lililotabiriwa katika unabii litatimia habari ya pembe ndogo yenye macho ya kibinadamu ishara ya hekima iliyonena maneno makuu ya makufuru ule wakati umekaribia Kwa ishara😮hizo mi nashngaa wanao furahia kuona jambo hili si bure katik nchi hii Kuna jambo litaenda ktokea mana hakun Kuna uhusiano gani katibya dini na siasa?

  • @FebroniaYuta-ib8gu
    @FebroniaYuta-ib8gu 10 месяцев назад

    Aminaaaaaa 🙏💞💞💞

  • @zesootv6726
    @zesootv6726 Год назад +3

    Vp tena ukiona mzungu anakupenda basi ujue kuna kitu hapo

  • @paschalsafari9747
    @paschalsafari9747 Год назад

    Amina

    • @iva-ox2qn
      @iva-ox2qn Год назад

      Revelation 13:4 People worshiped the dragon because he had given authority to the beast, and they also worshiped the beast and asked, "Who is like the beast? Who can wage war against it?".

  • @TheGiftedSingers2023
    @TheGiftedSingers2023 Год назад

    Glory to God

    • @PatrickKimaya
      @PatrickKimaya Год назад

      Tuzidi kumuombe asimame imara kwa kumutengemea mungu

    • @iva-ox2qn
      @iva-ox2qn Год назад

      Revelation 13:4 People worshiped the dragon because he had given authority to the beast, and they also worshiped the beast and asked, "Who is like the beast? Who can wage war against it?"

  • @kwayaviwawaparokiayabashne9281

    Mungu awabariki wote Maskofu wetu

    • @iva-ox2qn
      @iva-ox2qn Год назад

      Revelation 13:4 People worshiped the dragon because he had given authority to the beast, and they also worshiped the beast and asked, "Who is like the beast? Who can wage war against it?"

    • @shabanihassanikabelela2839
      @shabanihassanikabelela2839 Год назад

      @@iva-ox2qn hawakuelewa hawa watu nlikuomba neema ya Mungu na roho wa MUNGU awasaidie

  • @mosesmwapinga1538
    @mosesmwapinga1538 Год назад +2

    Waongo sana,papa wapi??

    • @iva-ox2qn
      @iva-ox2qn Год назад

      Revelation 13:4 People worshiped the dragon because he had given authority to the beast, and they also worshiped the beast and asked, "Who is like the beast? Who can wage war against it?"

  • @MartinChawangula
    @MartinChawangula 8 месяцев назад

    Bravo

  • @SlsProductionTz
    @SlsProductionTz Год назад +1

    ❤️❤️❤️

    • @iva-ox2qn
      @iva-ox2qn Год назад

      Revelation 13:4 People worshiped the dragon because he had given authority to the beast, and they also worshiped the beast and asked, "Who is like the beast? Who can wage war against it?"

  • @lutigardkomba1215
    @lutigardkomba1215 Год назад

    Herii mtu yule amchae Bwana ,aendae katika njia zake

  • @MichaelPaulo-jt2jy
    @MichaelPaulo-jt2jy Год назад

    Nashuru Sana Tena sana

  • @stanslausmtilega7279
    @stanslausmtilega7279 Год назад +1

    Ninacho jua Mungu anakitu kwako moyoni una jua okoa tz wewe unaju Uishi miaka mingi mabeo babaangu

    • @robertedward1992
      @robertedward1992 Год назад

      Hongera CDF mabeo,kuzuru vatcani certy.kanisa juu.

  • @ibutilehyila9146
    @ibutilehyila9146 Год назад +1

    MUNGU AKUBARIKI SANA MSTAAFU GENERAL VENANCE SALVATORY MABEYO NA AKUZIDISHIE KWENYE KILA HATUA UNAYOPIGA UWE NAYEYE AMINA🙏👏

    • @regnaldymambaly9880
      @regnaldymambaly9880 Год назад

      Yani nyie mnao sema mungu akubariki mungu akubariki badala ya kufikiria ni nini kinaenda kufanyika hapa mnafurahi?ngojeni mtaona matokeo yake

    • @dainessgaspar6042
      @dainessgaspar6042 Год назад

      Mkuu wa majeshi, mabeho wakumbuke kuwa ww ni kijana uliyesoma seminary, mseminari hasahau alikotoka na kulelewa

    • @iva-ox2qn
      @iva-ox2qn Год назад +1

      Revelation 13:4 People worshiped the dragon because he had given authority to the beast, and they also worshiped the beast and asked, "Who is like the beast? Who can wage war against it?"

    • @iva-ox2qn
      @iva-ox2qn Год назад

      @@dainessgaspar6042.Revelation 13:4 People worshiped the dragon because he had given authority to the beast, and they also worshiped the beast and asked, "Who is like the beast? Who can wage war against it?"

    • @iva-ox2qn
      @iva-ox2qn Год назад

      @@regnaldymambaly9880 .Revelation 13:4 People worshiped the dragon because he had given authority to the beast, and they also worshiped the beast and asked, "Who is like the beast? Who can wage war against it?"

  • @user-ls1es8sd1s
    @user-ls1es8sd1s 7 месяцев назад

    Mbona kama sja Elewa? Kam shukur ni n Ao watu wana Amini ushoga selekari vitu kama ivo Aitakiwi kuwa mini wa fanye kwao

  • @rumanyikajoe7038
    @rumanyikajoe7038 Год назад +4

    Mungu ibariki Tanzania. Ni fahari kuwa mkatoliki

    • @elizabethkimbi3336
      @elizabethkimbi3336 Год назад

      Nikimuona mabeyo namkumbuka maghufuli nabaki nalia

    • @iva-ox2qn
      @iva-ox2qn Год назад

      Revelation 13:4 People worshiped the dragon because he had given authority to the beast, and they also worshiped the beast and asked, "Who is like the beast? Who can wage war against it?"

    • @francismigongwa4146
      @francismigongwa4146 Год назад

      Amina

  • @faustinombilinyi9809
    @faustinombilinyi9809 Год назад +1

    Mhistoria ya nchi hiii ngumu kuelewa nchi hii Uhuru wake wengi hawajui ulipatikanaje bila vatcan tusingepata Uhuru..

  • @yohanambano872
    @yohanambano872 Год назад +2

    Namkubal mabeho MUNGU akusimamie mpendwa

    • @iva-ox2qn
      @iva-ox2qn Год назад

      Revelation 13:4 People worshiped the dragon because he had given authority to the beast, and they also worshiped the beast and asked, "Who is like the beast? Who can wage war against it?"

  • @msamgunda7684
    @msamgunda7684 6 месяцев назад

    Mkuu wa majeshi ya nchi,maana yake alishughulilika na mambo ya kijeshi zaid.tena ilikuwaje hata akawa amelitumikia kanisa zaid?kama nyerere vilee.

  • @user-ll3kp3bj5q
    @user-ll3kp3bj5q Год назад +2

    Hhhhh kwanz nicheke at wapo hijjah😂😂

  • @amiribakari2528
    @amiribakari2528 Год назад

    Mtangazaji usipotoshe watu..papa haitwi frasiscko bana alaah

  • @user-xi4le1hp4y
    @user-xi4le1hp4y Год назад

    Vipi mabeo akiwa kama mkuu wa majeshi katika nchi isiyokuwa na dini alilisaidia kanisa katholiki hata mpaka aitwe na papa? hapa kuna siri kubwa sana

  • @benjaminballali3581
    @benjaminballali3581 Год назад +1

    Mabeo ni mtu,.

    • @iva-ox2qn
      @iva-ox2qn Год назад

      Revelation 13:4 People worshiped the dragon because he had given authority to the beast, and they also worshiped the beast and asked, "Who is like the beast? Who can wage war against it?"

  • @ponsianaprotas8990
    @ponsianaprotas8990 Год назад

    Asante Mungu, tunakusifu na kutukuzwa kwa ajili ya watu wako hawa, akiwemo mkuu wa majeshi mstaafu. Tunakiri Kwa vinywa vyetu nchi yetu imebarikiwa sana kwa kila kitu na watu wake wacha Mungu kama baba mpendwa Venance Mabeyo. Tunamuombea baraka tele.

  • @jumaomari3842
    @jumaomari3842 Год назад +1

    Sisi.twaomba.kheri.tu.mrudi.salama

  • @msetikebwasi7270
    @msetikebwasi7270 Год назад

    Sisi waja tumetunza siri nyingi moyoni.

  • @deusisindwa616
    @deusisindwa616 Год назад

    Mh,

    • @iva-ox2qn
      @iva-ox2qn Год назад

      Revelation 13:4 People worshiped the dragon because he had given authority to the beast, and they also worshiped the beast and asked, "Who is like the beast? Who can wage war against it?".

  • @muhammedbakari2867
    @muhammedbakari2867 Год назад

    Inatapisha

    • @neemataris3273
      @neemataris3273 11 месяцев назад

      Watu wakimsifu Mungu sio, Mwenyezi Mungu akutapike wewe uone kutapika kulivyo naomba hapa iwe m!m!m!m!m!m!m!m!m

  • @helentelemla5623
    @helentelemla5623 Год назад

    Utukufu kwa amungu aliyeziumba mbingu na nchi

    • @iva-ox2qn
      @iva-ox2qn Год назад

      Revelation 13:4 People worshiped the dragon because he had given authority to the beast, and they also worshiped the beast and asked, "Who is like the beast? Who can wage war against it?"

  • @Emedroadtocanada
    @Emedroadtocanada Год назад

    Waislam sijui mnaelewa kinachoendelea wenzetu wakiingia serikalini wanaingia na dini yao but nyie mnaambiwa msichanganye dini na siasa WALLAHI MNACHOCHAKUJIBU SIKU HIYO YA MALIPO ENDAPO MSIPOBADILIKA

    • @iva-ox2qn
      @iva-ox2qn Год назад

      Revelation 13:4 People worshiped the dragon because he had given authority to the beast, and they also worshiped the beast and asked, "Who is like the beast? Who can wage war against it?".

  • @ibrahimsuleyman9465
    @ibrahimsuleyman9465 Год назад

    Freemason are concerned

    • @iva-ox2qn
      @iva-ox2qn Год назад

      Revelation 13:4 People worshiped the dragon because he had given authority to the beast, and they also worshiped the beast and asked, "Who is like the beast? Who can wage war against it?".

    • @bitecastory2137
      @bitecastory2137 Год назад +1

      Na ww c uwe freemason unasubl nn tahira ww

  • @user-ll3kp3bj5q
    @user-ll3kp3bj5q Год назад +2

    Hatar ukafir mtupu

    • @alexsuleiman3795
      @alexsuleiman3795 Год назад +1

      Azikutoshi

    • @jamesmasome359
      @jamesmasome359 Год назад

      Taahira tasilimu. Umekalilishwa.

    • @mecksondeoneclassic8635
      @mecksondeoneclassic8635 Год назад

      Tena hatari KWELI mwenye akili na ajue

    • @mecksondeoneclassic8635
      @mecksondeoneclassic8635 Год назад

      ​@@alexsuleiman3795 Ndugu fungua jicho la tatu uone usije jifariji Kwa lolote yajayo baada ya haya utaja yaona Dunia ndiyo miisho yake hii

    • @bitecastory2137
      @bitecastory2137 Год назад

      Kwani ww una subli nn kuwa kafili mbn unapenda ushauri sana upande wa 2

  • @yustogembege9161
    @yustogembege9161 Год назад

    Rais wa 2025 mabeyo

  • @msabahaali758
    @msabahaali758 Год назад +2

    tunajua kua kuna nafasi muislamu hawezi kupewa tz kutokana na mfumo Kristo ukiokuepo

    • @nicodemugregory6633
      @nicodemugregory6633 Год назад +3

      Ndugu Msabaha, acha maneno ya chuki zisizo na maana. Hivi Kuna nafasi ya juu kuliko uraisi wa nchi?
      Mbona Rais ni Muisilamu, Waziri mkuu lakini Watanzamia wote wanawaheshimu na kuwaamini?
      Zika ubaya na dhambi zako. Hii nchi haiongelei tena mambo ya ubaguzi wa kidini na ukabila. Tuwaachie hao wenye nafasi ya kufanya hivyo.
      Pambana na hali yako, Jenga familia yako, Jenga nchi yako.

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 Год назад +2

      Zika Chuki zako na roho mbaya... uwe na amani kwa nafsi yako..usijetese...

    • @jacquelinelouis8115
      @jacquelinelouis8115 Год назад

      Basi batizwa upewe wewe

    • @TeamKRX
      @TeamKRX Год назад

      Ndio wakristo nafasi nyingi wao tukipewa sisi hawataki wanaroho mbaya sana baazi

    • @samsonfulgence5553
      @samsonfulgence5553 Год назад +1

      Wew ni mdini sana na huo ndio ujinga wa baadhi yenu. Basi na wew anzisha mfumo wako kisha kupitia huo mfumo wako ukajipe hizo nafasi unazozitaka.

  • @aleyysalum2747
    @aleyysalum2747 Год назад +1

    Hupati chochote na ukirudi unapata corona unakufa aminaa

    • @emmapaul1766
      @emmapaul1766 Год назад +1

      makafiri mnamatatizo sana ndio maana marekani huwa inawauwa nguruwe nyinyi.

    • @josephinekessy1994
      @josephinekessy1994 Год назад

      ​@@emmapaul1766 na ni manguruwe kweli...Yana kera sana

    • @iva-ox2qn
      @iva-ox2qn Год назад

      Revelation 13:4 People worshiped the dragon because he had given authority to the beast, and they also worshiped the beast and asked, "Who is like the beast? Who can wage war against it?".

    • @iva-ox2qn
      @iva-ox2qn Год назад

      @@josephinekessy1994 .Revelation 13:4 People worshiped the dragon because he had given authority to the beast, and they also worshiped the beast and asked, "Who is like the beast? Who can wage war against it?"

  • @mohamedhozi8110
    @mohamedhozi8110 Год назад

    Wakristo tumieni akili muitafute dini ya mungu acheni dini ya kidunia pope huyo mnae mtukuza alipitisha sheria ya ushoga hamlifikirii hilo yesu kweli anaweza kukubali mambo hayo ndio cku zote tunawaambia yesu ni muislamu mwenzetu endeleeni kupotea

    • @richardnganya2311
      @richardnganya2311 Год назад

      Unawezaje kuwa Mkristo kabla ya ukristo !! Yaani uwe msukuma au mchaga kabla ya usukuma au uchaga wenyewe!!?!?

    • @edgarmbegu1974
      @edgarmbegu1974 Год назад +1

      Mbona makasiriko ndugu? Hebu ifuate dini yako, ya wengine, waachie wenyewe.

    • @josephallute7629
      @josephallute7629 Год назад

      haya mtakatifu mohamed

    • @iva-ox2qn
      @iva-ox2qn Год назад

      Revelation 13:4 People worshiped the dragon because he had given authority to the beast, and they also worshiped the beast and asked, "Who is like the beast? Who can wage war against it?".

    • @iva-ox2qn
      @iva-ox2qn Год назад

      @@richardnganya2311 .Revelation 13:4 People worshiped the dragon because he had given authority to the beast, and they also worshiped the beast and asked, "Who is like the beast? Who can wage war against it?"

  • @rommyshabby3959
    @rommyshabby3959 Год назад +1

    Mdini sn huyo jamaa ata kuna wakati aligawa vyeo kuoholela sn watu wakaenda hadi kanisani kawe kutoa sadaka ili mradi tu wapewe vyeo ikafika wakati hadi nyumbani kwake wanajeshi wakawa wanaenda kuimba kwaya

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 Год назад +1

      Acheni hisia ambazo hazina ushahidi.. alijitahidi kutenda kwa nafasi yake..hasa kipindi kifo cha Magufuli.. ilikuwa ngumu mno kwa akina bashiru, Ndugai, Polepole, and their team

    • @rommyshabby3959
      @rommyshabby3959 Год назад

      Wewe ndo ujui sasa huyo jamaa askari wengi hawamkubali kama ujui, askari wanadai pesa za likizo na waziri alisema pesa zilishatolewa, akawa anagawa vyeo tu

    • @josephmuchiri3180
      @josephmuchiri3180 Год назад

      ​@@rommyshabby3959😮

    • @jacquelinelouis8115
      @jacquelinelouis8115 Год назад

      Na wewe kulwa mdini shida iko wapi

    • @RubenMtuwaMungu-bz8ee
      @RubenMtuwaMungu-bz8ee Год назад +1

      Hawezi kumzidi Samia Kwa udini.

  • @sylvestrengwelu2012
    @sylvestrengwelu2012 Год назад

    Amina

    • @iva-ox2qn
      @iva-ox2qn Год назад

      Revelation 13:4 People worshiped the dragon because he had given authority to the beast, and they also worshiped the beast and asked, "Who is like the beast? Who can wage war against it?".

  • @dosteajoseph7939
    @dosteajoseph7939 Год назад +1

    Amina

    • @venanceghuliku1861
      @venanceghuliku1861 Год назад

      Waooooo! Tunawapenda Sana maaskofu wetu hongereni kwa utume

    • @theclachabba1226
      @theclachabba1226 Год назад

      Asante sana baba mabeho, endelea kumtangaza Kristu, mungu awabariki maaskofu wote

    • @hamisiramadhani3538
      @hamisiramadhani3538 Год назад

      Lazima apewe nafasi sikasimamia ukafiri wake

  • @ndingolivin-qy6xk
    @ndingolivin-qy6xk Год назад

    Amina

    • @iva-ox2qn
      @iva-ox2qn Год назад

      Revelation 13:4 People worshiped the dragon because he had given authority to the beast, and they also worshiped the beast and asked, "Who is like the beast? Who can wage war against it?".