![Breez Online Tv](/img/default-banner.jpg)
- Видео 2 019
- Просмотров 9 498 934
Breez Online Tv
Танзания
Добавлен 28 сен 2017
Is an online television registered with the Tanzania Communications Regulatory Authority -TCRA for reporting Religious news, information, social events, our registration number is
In addition Breeze Tv reserves the right to delete any comments that violate the laws, policies and guidelines of the Catholic Church or RUclips.
Ni runinga ya mtandaoni iliyosajiliwa na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania -TCRA kwa ajili ya kuripoti habari za kanisa, taarifa, na matukio ya kijamii, namba yetu ya usajili ni
Aidha Breeze Tv ina haki ya kufuta maoni ya mtu yoyote/Watu yanayokiuka sheria, sera na miongozo ya Nchi, Kanisa katoliki na youtube yenyewe.
Contacts
Email: izackbreez11@gmail.com
phone: +255756494796
WhatsApp: +255756494796
In addition Breeze Tv reserves the right to delete any comments that violate the laws, policies and guidelines of the Catholic Church or RUclips.
Ni runinga ya mtandaoni iliyosajiliwa na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania -TCRA kwa ajili ya kuripoti habari za kanisa, taarifa, na matukio ya kijamii, namba yetu ya usajili ni
Aidha Breeze Tv ina haki ya kufuta maoni ya mtu yoyote/Watu yanayokiuka sheria, sera na miongozo ya Nchi, Kanisa katoliki na youtube yenyewe.
Contacts
Email: izackbreez11@gmail.com
phone: +255756494796
WhatsApp: +255756494796
REC:Misa Takatifu sherehe ya miaka 10 ya Upadre/Padre Philipo Tairo Visiga Seminari DSM
Adhimisho la Misa Takatifu Dominika ya 14 ya Mwaka B wa Kanisa katika Seminari ya Mtakatifu Maria Visiga ikiambatana na Sherehe ya Miaka ya Miaka 10 ya Upadre ya Padre Philipo Tairo (Gombera Kadogoo) Mlezi wa Seminari hiyo na pamoja na kufungua muhula wa pili wa masomo seminarini hapo
Misa iliongozwa na Padre Philipo Tairo (Mshangwela)
#daressalaam #breezonlinetv #kanisaka
Misa iliongozwa na Padre Philipo Tairo (Mshangwela)
#daressalaam #breezonlinetv #kanisaka
Просмотров: 255
Видео
YESU NI MWEMA- (LIVE) KWAYA YA MWENYE HERI ANUARITE - MAKUBURI
Просмотров 31412 часов назад
Adhimisho la Misa Takatifu Dominika ya 14 ya Mwaka B wa Kanisa katika Seminari ya Mtakatifu Maria Visiga ikiambatana na Sherehe ya Miaka ya Miaka 10 ya Upadre ya Padre Philipo Tairo (Gombera Kadogoo) Mlezi wa Seminari hiyo na pamoja na kufungua muhula wa pili wa masomo seminarini hapo Misa iliongozwa na Padre Philipo Tairo (Mshangwela) #daressalaam #breezonlinetv #kanisaka
Alichokisema Padre Vicent Kibooo kwenye Sherehe ya Miaka ya Miaka 10 ya Upadre ya Pd Philipo Tairo
Просмотров 6712 часов назад
Adhimisho la Misa Takatifu Dominika ya 14 ya Mwaka B wa Kanisa katika Seminari ya Mtakatifu Maria Visiga ikiambatana na Sherehe ya Miaka ya Miaka 10 ya Upadre ya Padre Philipo Tairo (Gombera Kadogoo) Mlezi wa Seminari hiyo na pamoja na kufungua muhula wa pili wa masomo seminarini hapo Misa iliongozwa na Padre Philipo Tairo (Mshangwela) #daressalaam #breezonlinetv #kanisakatoliki
Bwana Utuhurumie-Ukwakata parokia ya Bikira Maria Mama wa Huruma Mbezi-Beach DSM
Просмотров 17012 часов назад
Parokia ya Bikira Maria mama wa Huruma Mbezi-Beach Jimbo kuu la Dar Es Salaam. #daressalaam #breezonlinetv #kanisakatoliki #BaloziwaAmani
Pd NYILAWILA"Ukweli upo ndani ya kanisa katoliki,Hakuna lingine'"Awasha mshumaa miaka 50 ya Upadre
Просмотров 20812 часов назад
Homilia ya Padre Stephen Nyilawila dominika ya 14 ya Mwaka B wa Kanisa ambapo katika Ibada hii Padre Nyilawila aliwasha mshumaa wa kuelekea miaka 50 ya Upadre wake. #daressalaam #breezonlinetv #kanisakatoliki #BaloziwaAmani
Litania ya Watakatifu Wote Upadrisho wa Mapadre 9 Jimbo kuu la Dar Es Salaam
Просмотров 18616 часов назад
Adhimisho la Misa Takatifu ya Upadrisho Ikiambatana na Kilele cha Maadhimisho ya Kijimbo ya Miaka 50 ya Jumuiya Ndogo Ndogo za Kikristo Katika Misa hiyo Mashemasi 9 walipata Sakramenti ya Daraja Takatifu la Upadre ambapo Mashemasi 6 ni Jimbo na Mashemasi 3 ni wa kutoka katika Mashirika. #daressalaam #breezonlinetv #africa #kanisakatoliki
TUMEZITAFAKARI- KWAYA YA MWENYE HERI ANUARITE - MAKUBURI
Просмотров 50516 часов назад
Adhimisho la Misa Takatifu Dominika ya 14 ya Mwaka B wa Kanisa katika Seminari ya Mtakatifu Maria Visiga ikiambatana na Sherehe ya Miaka ya Miaka 10 ya Upadre ya Padre Philipo Tairo (Gombera Kadogoo) Mlezi wa Seminari hiyo na pamoja na kufungua muhula wa pili wa masomo seminarini hapo Misa iliongozwa na Padre Philipo Tairo (Mshangwela) #daressalaam #breezonlinetv #kanisakatoliki
RC Kilimanjaro asema Raisi Samia alimwambia awe karibu sana na Askofu Minde/Vicheko vyatawala.
Просмотров 88119 часов назад
ADHIMISHO LA MISA TAKATIFU JUBILEI YA MIAKA 50 YA DARAJA LA UPADRE KUTOKA PAROKIA YA MTAKATIFU YOSEPH MFANYAKAZI MWENGE JIMBO KATOLIKI MOSHI #daressalaam #love #breezonlinetv #automobile
Askofu MINDE:Mapdre IGENI Mfano wa hawa/hawana vurugu wala hawasumbui/Wamefanya aje kufika hapo.
Просмотров 91519 часов назад
ADHIMISHO LA MISA TAKATIFU JUBILEI YA MIAKA 50 YA DARAJA LA UPADRE KATIKA PAROKIA YA MTAKATIFU YOSEPH MFANYAKAZI MWENGE JIMBO KATOLIKI MOSHI MISA TAKATIFU INAONGONZWA NA ASKOFU MKUU ISAACK AMANI ASKOFU JIMBO KUU ARUSHA PAMOJA NA ASKOFU LUDOVICK J.MINDE ASKOFU WA JIMBO KATOLIKI MOSHI NA ASKOFU MSAIDIZI MSTAAFU METHODIUS KILAINI WA JIMBO LA BUKOBA
Askofu AMANI:Mapadre Tunzeni Maagano yenu/Agusia sakata la Waomi kufanyiwa mitihani/Hawana Ufanisi.
Просмотров 83119 часов назад
ADHIMISHO LA MISA TAKATIFU JUBILEI YA MIAKA 50 YA DARAJA LA UPADRE KUTOKA PAROKIA YA MTAKATIFU YOSEPH MFANYAKAZI MWENGE JIMBO KATOLIKI MOSHI #daressalaam #love #breezonlinetv #automobile MISA TAKATIFU INAONGONZWA NA ASKOFU MKUU ISAACK AMANI ASKOFU JIMBO KUU ARUSHA PAMOJA NA ASKOFU LUDOVICK J.MINDE ASKOFU WA JIMBO KATOLIKI MOSHI NA ASKOFU MSAIDIZI MSTAAFU METHODIUS KILAINI WA JIMBO LA BUKOBA
Inapendeza-Maandamano Jubilei ya miaka 50 ya Upadre Jimbo katoliki Moshi 2024
Просмотров 956День назад
MISA TAKATIFU YA JUBILEE YA MIAKA 50 YA DARAJA TAKATIFU YA UPADRE JIMBO KATOLIKI MOSHI. ▪︎Karibu tushiriki pamoja Misa Takatifu ya Miaka 50 ya Daraja Takatifu ya Upadre kutoka Parokia ya Mtakatifu Yoseph Mume wa Bikira Maria Longuo, Jimbo Katoliki Moshi. ▪︎Siku ya leo Mpadre Saba wa Jimbo Katoliki Moshi wanamshukuru Mungu kwa Jubilee ya Miaka 50 ya Daraja Takatifu ya Upadre. ▪︎Misa hii takatifu...
Inapendeza Padre Kihoo alivyowaimbia Wanandoa wapya Walioenda kutoa Shukrani/Wajitambulisha Rasmi.
Просмотров 75114 дней назад
Adhimisho la Misa Takatifu Dominika ya 13 ya mwaka B wa kanisa ikiambatana na uzinduzi wa album ya nyimbo 6 ya kwaya ya Moyo Mtakatifu wa Yesu katika Parokia ya Mtakatifu Ritha wa Kashia Goba. Misa iliadhimishwa na Paroko wa parokia hiyo Padre Moses Kihoo
Vicheko vyatawala Swali la mtego kwa waumini (Tujuzane Challenge ndani ya kanisa katoliki)
Просмотров 45714 дней назад
Kila siku ya jumanne tutakuwa tunakuletea kipindi hiki cha tujuzane kikiwa na lengo la kutukumbusha mambo ya msingi ya Imani yetu na kuendelea kuimariasha uelewa wa mafundisho ya kanisa katoliki #breezonlinetv #kanisakatoliki #daressalaam #Tujuzane
Padre Kihoo:Kina Mama Waleteni Waume zenu kanisani/sikilizeni ushauri wa Madaktari-Homilia
Просмотров 65714 дней назад
Adhimisho la Misa Takatifu Dominika ya 13 ya mwaka B wa kanisa ikiambatana na uzinduzi wa album ya nyimbo 6 ya kwaya ya Moyo Mtakatifu wa Yesu katika Parokia ya Mtakatifu Ritha wa Kashia Goba. Misa iliadhimishwa na Paroko wa parokia hiyo Padre Moses Kihoo
UJASIRI wa watoto Walivyopangua Maswali ya Mtego ya Askofu Ruwai'ch, Wengine wapata Kigugumizi.
Просмотров 24521 день назад
UJASIRI wa watoto Walivyopangua Maswali ya Mtego ya Askofu Ruwai'ch, Wengine wapata Kigugumizi.
Kikongwe wa miaka 106 Afariki/Padre bahati awafariji wafiwa"Kila mtu abebe majukumu yake"
Просмотров 1,3 тыс.21 день назад
Kikongwe wa miaka 106 Afariki/Padre bahati awafariji wafiwa"Kila mtu abebe majukumu yake"
Bibi wa miaka (106) Afariki/Historia yake yaacha Funzo/Mamia wajitokeza kwenye mazishi DSM na Moshi.
Просмотров 83621 день назад
Bibi wa miaka (106) Afariki/Historia yake yaacha Funzo/Mamia wajitokeza kwenye mazishi DSM na Moshi.
Idadi ya watoto wa KIUME (Kipapa)Imepungua/Mwenyekiti wa utoto mtakatifu parokia ya KIPAWA DSM asema
Просмотров 91Месяц назад
Idadi ya watoto wa KIUME (Kipapa)Imepungua/Mwenyekiti wa utoto mtakatifu parokia ya KIPAWA DSM asema
Padre Simon CSSp Aweka wazi Mchango wa Jumuiya ndogo ndogo kufikia Daraja la Upadre/Atuma salamu hiz
Просмотров 165Месяц назад
Padre Simon CSSp Aweka wazi Mchango wa Jumuiya ndogo ndogo kufikia Daraja la Upadre/Atuma salamu hiz
Mtoto Devotha atoa Darasa kwa wazazi parokia ya Kipawa Jimbo kuu la Dar Es Salaam/Huu ndiyo msingi.
Просмотров 197Месяц назад
Mtoto Devotha atoa Darasa kwa wazazi parokia ya Kipawa Jimbo kuu la Dar Es Salaam/Huu ndiyo msingi.
Mkuu wa shirika la Holy Ghost Awafunda Mafratel waliofunga Nadhiri za Daima/Aweka wazi mambo muhimu.
Просмотров 546Месяц назад
Mkuu wa shirika la Holy Ghost Awafunda Mafratel waliofunga Nadhiri za Daima/Aweka wazi mambo muhimu.
Shangwe zatawala parokia ya KIPAWA/Maandamano/Mafratel 16n wafunga Nadhir za Daima ni wa Holy Ghost.
Просмотров 204Месяц назад
Shangwe zatawala parokia ya KIPAWA/Maandamano/Mafratel 16n wafunga Nadhir za Daima ni wa Holy Ghost.
Shirika la ROHO MTAKATIFU Latoa Nadhiri za Daima kwa Mafrater 16 kutoka Nchi 4 parokia ya kipawa SDM
Просмотров 258Месяц назад
Shirika la ROHO MTAKATIFU Latoa Nadhiri za Daima kwa Mafrater 16 kutoka Nchi 4 parokia ya kipawa SDM
Askofu MUSOMBA "Imani imekuwa ni kama siasa/Eti Aliweka picha ya mchungaji kwenye mtungi wa gesi"
Просмотров 422Месяц назад
Askofu MUSOMBA "Imani imekuwa ni kama siasa/Eti Aliweka picha ya mchungaji kwenye mtungi wa gesi"
Somo la pili Ibada ya Kipaimara parokia ya Kimara DSM 2024
Просмотров 134Месяц назад
Somo la pili Ibada ya Kipaimara parokia ya Kimara DSM 2024
Somo la kwanza Ibada ya Kipaimara parokia ya Kimara DSM 2024
Просмотров 58Месяц назад
Somo la kwanza Ibada ya Kipaimara parokia ya Kimara DSM 2024
Askofu KODA Mstaafu wa Jimbo katoliki la SAME Afiwa na ndugu yake/Aongoza Ibada ya Mazishi.
Просмотров 1,6 тыс.Месяц назад
Askofu KODA Mstaafu wa Jimbo katoliki la SAME Afiwa na ndugu yake/Aongoza Ibada ya Mazishi.
Padre KACHEMA Atoa Pole kwa Askofu KODA Kifo cha Ndugu yake/Homoilia yake yarejesha tabasamu msibani
Просмотров 2,2 тыс.Месяц назад
Padre KACHEMA Atoa Pole kwa Askofu KODA Kifo cha Ndugu yake/Homoilia yake yarejesha tabasamu msibani
Huzuni yatawala Historia ya Mwalimu LOUIS /Binti yake ashindwa kujizuia/Watu wafurika kwenye mazishi
Просмотров 4,3 тыс.Месяц назад
Huzuni yatawala Historia ya Mwalimu LOUIS /Binti yake ashindwa kujizuia/Watu wafurika kwenye mazishi
KIFO cha Afisa Elimu kilivyoacha FUNZO,Mwanae aweka wazi A-Z/ Ukifa watu watasema nini kuhusu wewe?.
Просмотров 11 тыс.Месяц назад
KIFO cha Afisa Elimu kilivyoacha FUNZO,Mwanae aweka wazi A-Z/ Ukifa watu watasema nini kuhusu wewe?.
Nimepata faraja sana. Mungu akupiganie, na kukuza talanta yako Father wetu
Tumekukumbuka sana baba njoo kugoma utuone
Kanisa katoliki halilei waamini maana miujiza haileti baraka
Asante baba napata baraka sana .
MUNGU AENDELEE KUKUONGOZA,DAVOO WA LORI CONGO,
Dah nzuri sichoki kuitizama
❤❤❤❤
Pole baba kwa kutoa homilia ya watoto wachanga
Baba Likoko, Mungu akubriki na akudumishe ktk wito wako. Amina.
Very nice
Mungu azidi kuwatunza katika Utume wake aliowaitia,
Amina
Amen
Hunibaliki pikipiki yangu Richard Alfredy nombo boxser
Barikiwa sana
Nahomba hunibaliki sasahivi Richard Alfredy nombo
Kunamtu nihibia basi msahada
Amen
Tuache siasa Kanisani...
Hongera baba, Mungu akubariki.
Amina baba
Proffessor Kabudi huwa unanikosha kwa hotuba zako.❤
Paroko wangu wa zamani.
Ushoga na usagaji ni chukizo mbele za mungu. Mkumbukeni lutu huko sodoma na gomola. Tuache. Jamani serikali angalie sana. Hiki kitu mungu amekataza. Mungu tuhurumie sana. Mababa wa imani mkemee sana huu uchafu ndani ya taifa letu. Misaada ya kumkosea mungu haifai jamani.
Pole ukweli hujaupata,,mungu akuonyeshe ukweli
Hadi leo mimi huwa nasema, Wewe ukisimama kuongea, huwa unaunguruma maneno yalijaa ushujaa , uzalendo wa kiuongozi na yenye nguvu na mtirririko wa kihistoria katika Taifa letu la Tanzania. Hongera kwa akili kali na kwa zawadi ya imani.
Congratulation watu wa mungu
❤
So sad bro,,,rest in peace
Shukrani kwa breez online tv na kila mmoja wenu kwa kuwa sehemu ya faraja katika msiba huu mzito kwetu.. Tunawaombea baraka za mwenyez Mungu ziwe nanyi daima
Tunapokea kwa moyo wa shukrani🙏🙏
Jinsi nilivyokuwa Mimi Leo ndivyo alivyokuwa yeye jana na jinsi alivyokuwa yeye Leo ndivyo nitakavyokuwa Mimi keshooo For sure we will mis you 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭Umetuachia pigo kubwa sana katika Dekania yetu.....
Rest well Deo🙏
Daaah inauma mana hakuna mrithi wa kiatu chako ni mapema sana bado tulikuwa tunakuhitaji 😭😭😭
Mungu azidi kukubariki. baba.
Mungu aendelee kukutumia baba🙏🙏🙏
Rest easy brother 😢
Rest in Peace Deo. Mungu akumbuke sandaka yako
RIP Deo
Rest in peace deo😓
Tunaomba radhi kwa kushindwa kuendelea na matangazo haya kutokana na taratibu za kiparokia
R.I.P Deo we will mis you😭😭😭😭😭😭😭😭💔💔💔
TUMSIFU YESU KRISTO BABA ASKOFU, NAOMBA HIKI KIPINDI KIWE KINASIKIKA REDIO TUMAINI
Kinasikika radio maria tayari
Ameen
Waumin wachache jmn madini hya yalitakiw yapatikane kweny miji mikubwa Kwa kweli Huwa unanibariki sana baba padre
Ingekuwa hapa kuna mswahili na kiingereza cha ugoko, yes no ni nyingii ubarikiwe Sana Baba
Be blessed Mwadhama Pengo.
0:30
Yule anayetundikwa kanisani Ni yesu?
Amen❤❤❤
Don't DECEIVE PEOPLE