KCMC wafunguka wanavyohangaika kumtafuta muuguzi aliyetoweka

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 июл 2024
  • Muuguzi wa afya katika Hospitali ya KCMC, Lenga Masunga Ng'hajabu anadaiwa kupotea katika mazingira ya kutatanisha baada ya kutoonekana kazini kwa siku 5 huku simu zake za mkononi zikiwa hazipatikani.
    Ng'hajabu ambaye ni Muuguzi katika idara ya masikio, pua na koo katika hospitali hiyo, anadaiwa kutoonekana kazini tangu Julai 4, mwaka huu ambapo mpaka sasa hajulikani alipo.
    Mwananchi digital leo ilifika katika hospitali hiyo na kuongea na Ofisa Uhusiano wa hospitali hiyo, Gabriel Chisseo akizungumzia juu ya tukio hilo afisa uhusiano wa hospitali hiyo amesema muuguzi huyo ametoweka tangu tarehe 3 mwezi julai mwaka huu na mpaka sasa hakuna taarifa inayotia matumaini huku simu zake zikiwa hazipatikani.
    Mwananchi Digital haikushia hapo ilienda kutembelea makazi yake anapoishi na kuongea na mwenye nyumba, Robert Mwakalinga ambae Ng'ahabu alikuwa anaishi kama mpangaji amesema mara ya mwisho kumuona ni siku ya jumanne na hakutoka lakini asubuhi alikuta mlango upo wazi hali ambayo haikua ya kawaida.

Комментарии • 13

  • @Lanihsarumu
    @Lanihsarumu 4 дня назад

    Mungu mlindinde arudi salama

  • @salomekense525
    @salomekense525 13 дней назад +2

    Mungu wetu ni mwema atamrudisha Sama.

  • @ruqaiamohammed345
    @ruqaiamohammed345 12 дней назад +1

    Uko wap kaka mungu akuweke huko uliko salama 😢

  • @user-xo4gl3we1t
    @user-xo4gl3we1t 12 дней назад +1

    jamani Mungu tunaomba ufanye muujiza kaka yetu awe mzima. Mahali alipo arudi

  • @dismasmariananga4776
    @dismasmariananga4776 12 дней назад

    Mungu mulinde Usk na mchana arudi salama na awe na afya njema

  • @VeronicaMacha-pl3xt
    @VeronicaMacha-pl3xt 12 дней назад +1

    Kwani huyo mwanamke aliyekuwa anaishi naye yuko wapi wakati huu?

  • @VeronicaMacha-pl3xt
    @VeronicaMacha-pl3xt 12 дней назад

    Mungu akulinde huko uliko mja wake

  • @user-xk7vy4gb6g
    @user-xk7vy4gb6g 12 дней назад

    Atafutwe huyo mchumbaake. Mungu amlinde huko aliko

  • @mtzhalisi2232
    @mtzhalisi2232 12 дней назад

    Mungu afanye wepesi

  • @nsiamasawe4578
    @nsiamasawe4578 12 дней назад

    Ee Mungu tunaomba umtunze mahali alipo.

  • @nsiamasawe4578
    @nsiamasawe4578 12 дней назад

    Huyo msichana wake atafutwe

  • @ibrahimkasim922
    @ibrahimkasim922 12 дней назад

    Duuh😢

  • @DativaMbowe
    @DativaMbowe 10 дней назад

    Abananishwe uyo mchumba ake,