Ahmed Ally afunguka ishu ya Lawi “wamekula mpunga” atangaza balaa la wachezajii wapya

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 июл 2024
  • Kikosi cha Simba kimeondoka jijini Dar es Salaam leo Jumatatu Julai 8, 2024 kwenda Misri kwa ajili ya maandalizi ya msimu ujao 2024/25, huku Meneja wa Habari na Mawasiliano wa timu hiyo, Ahmed Ally amezungumza na wanahabari kuhusu sintofahamu ya usajili wa beki Lameck Lawi.
    Ahmed amesema sakata hilo litamalizwa na mabaraza ya kisheria ya soka lakini wao wanatambua kuwa ni mchezaji wao halali kwani pesa za usajili walitoa kwa mchezaji huyo pamoja na timu yake.
    #samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafchampionsleague #cafconfiderationcup #ikulumawasiliano #entertainment #music #news #yangasc #simbasc #cafchampionsleague #mayele #highlights #cafconfiderationcup #riversunited #mashabiki #yangaleo #yanga #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko #entertainment #music #news #magoliyasimba #magoliyayanga #magoliyote #magoliyamayele #mayele #aziziki #manara #manaraleo #ikulumawasiliano #magufuli #kikwete #mayele #singidabigstars #magoliyamayele #magoliyasimba #magoliyayanga #highlights #azamsportsfederationcup #chama #Shot #mamelodisundowns #alahlytv #alahlysc #miraj
  • СпортСпорт

Комментарии • 15

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 12 дней назад

    Lawi huyu ana tabia kama za chama. Sio mzuri sana.

  • @Paul-n2r
    @Paul-n2r 12 дней назад

    hongera chama langu

  • @BonphaceOrihema-h7s
    @BonphaceOrihema-h7s 12 дней назад

    Semaji letu nakukubali Sana!

  • @MadukwaAlphonce
    @MadukwaAlphonce 12 дней назад

    Good❤

  • @Evance-op4jw
    @Evance-op4jw 12 дней назад

    watani tutawaona watu wenu uwanjani hiyo timu ya wavulana tuko paleee

  • @SheymaaMwandwi
    @SheymaaMwandwi 12 дней назад

    Me nawaachia viongoz wetu Sina neno😂

  • @RamsonAloyce
    @RamsonAloyce 12 дней назад

    Sawa semaji 😂😂

  • @mishlay8164
    @mishlay8164 12 дней назад

    Lameck lawi Yanga ndiyo wameingilia kati kwa sababu sikuhizi Coansti na yanga wako karibu sana , , kama ni urafiki na undugu ni consti na Yanga

  • @user-nh7vt2kr2w
    @user-nh7vt2kr2w 12 дней назад

    🎉

  • @khalifasaidi4181
    @khalifasaidi4181 12 дней назад +1

    Karaboo

  • @PendoSanga-n2r
    @PendoSanga-n2r 12 дней назад

    Onana mbona hayupo kwa msafara

  • @JulianaPatrice
    @JulianaPatrice 12 дней назад

    Ila Simba ni bland kubwa sijawai ona waandishi wanaenda kutafuta content kwa nyuma mwiko

  • @BabumboyonimolellMolellk-ck7kc
    @BabumboyonimolellMolellk-ck7kc 12 дней назад

    Hatuja mwona kibu

  • @zarinatv2024
    @zarinatv2024 12 дней назад

    Mbona hamtaki kuja kwny channel yangu jaman😢😮

  • @AmosiSimbeye-ll8pg
    @AmosiSimbeye-ll8pg 12 дней назад

    Simba nguvumonja