Ahmed Ally, Crescentius Magori wazungumzia usajili, Simba Day, ubaya ubwela

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 28 авг 2024
  • Mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi ya Simba SC, Crescentus Magori na Meneja wa Habari wa timu hiyo Ahmed Ally wamezungumzia mchakato wa usajili ndani ya klabu hiyo na kutoa tafsiri ya ubwaya ubwela.

Комментарии • 282

  • @abdallahally842
    @abdallahally842 Месяц назад +7

    Tunaosema tutajiunga na simba bando kuichangia simba weka like

  • @ElizabethLukosya-lv2vf
    @ElizabethLukosya-lv2vf Месяц назад +4

    Msemaji ni mmoja tu ktk ligi yetu ya African,na ni semaji letu la kafu ❤

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 Месяц назад +2

    Yaan aacha tu ma simba day siku hiyo. Watakoma mwaka huu❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉Mo Boss kubwa hoyooooo❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉👍👍👍👍semaji wetu hoyoooooo❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉👍👍👍👍

  • @NteziryayoAime
    @NteziryayoAime Месяц назад +2

    Much love from Rwanda 🇷🇼 I'm APR FC fan 🤍🖤🤍🖤 turabakurikiye Tanu kwa tanu

  • @nesto_automobiles6537
    @nesto_automobiles6537 Месяц назад +2

    Asanteni sana azam kwa kuiweka hii you tube maana niliikosa kutokana na kukatika kwa umeme

  • @user-gn4cp2vq2y
    @user-gn4cp2vq2y Месяц назад +1

    Nawapongza saaaaana wakuu wangu hao kwa kazi nzuri wanazo fanya kwa moyo,....mungu azidi kuwajalia afya njema

  • @DullhFeyy
    @DullhFeyy Месяц назад

    Ahmad bin Aliy nakukubar sanaaa kwa uwezo wa mungu inshaanllah furaha tuliyoikosa kwa mda mref viongozi wachezaji wajitume kwa bidii wajue kitu gani tunacho kihitaji tutarudi kwenye furaha tuliyo ipoteza.

  • @user-bh7cc4dt3b
    @user-bh7cc4dt3b Месяц назад +3

    Mungu awabariki Simba yetu isonge mbele, amina

  • @JoseHaule-tx7lu
    @JoseHaule-tx7lu Месяц назад +1

    Huyu jamaa ni hatar ana kpaji kwakweli We love u broooo

  • @DicksonPeter-ym5od
    @DicksonPeter-ym5od Месяц назад +3

    Magori ni mashine ya kweli pale simba ,mungu ampe maisha marefu pale simba,,,by dickson peter ..nikiwa dar

  • @mohamedjuma1960
    @mohamedjuma1960 Месяц назад +3

    Am proud Simba fan

  • @abdallahally842
    @abdallahally842 Месяц назад +4

    General magori ubaya ubwela genius

  • @IsackVedasta
    @IsackVedasta Месяц назад +2

    Msemaji Bora Tanzania 🇹🇿 na Africa nzima.

  • @salumumabomba9611
    @salumumabomba9611 Месяц назад +1

    Nakubaliii sana Chama langu,Magori mnyamaaaaaaa

  • @user-rl1vr1fd1r
    @user-rl1vr1fd1r Месяц назад +8

    Magori ni mtu haswa anatakiwa atunzwe kwa faida ya Simba ya sasa na baadae

  • @Hemedyamir
    @Hemedyamir Месяц назад +1

    Magori anajibu maswali vizur kweli ni mtu wa mpira anaijua Simba kindakindaki Hawa ndo tunawataka kwenye Simba Kwanza anaipenda Simba ni fans wa Simba"Simba nguvu moja🔥💪"

  • @Dayotz
    @Dayotz Месяц назад +3

    Bro magoli u looks like my dady rest in peace dady

  • @JoshuaLeonard-lo3cs
    @JoshuaLeonard-lo3cs Месяц назад +3

    Simba nguvu moja Tim kubwa Africa na Dunian tuwe watulivu kwanzia viongoz mpk mashabik tutaimarka tu na tutaendeleza ubabe wetu

  • @salimmalaka256
    @salimmalaka256 Месяц назад +4

    SIMBA OYEEEEEE ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ SIMBA NGUVU MOJA ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @yusufmruma2870
    @yusufmruma2870 Месяц назад +2

    Magori is intelligent, big up

  • @user-ms8rl1nr9o
    @user-ms8rl1nr9o Месяц назад +4

    Hongereni sana viingozi wetu

  • @abumuhammad9615
    @abumuhammad9615 Месяц назад +3

    Interview imekamilika sana

  • @abelimaganga417
    @abelimaganga417 Месяц назад +2

    Hawa watu wawili sina mashaka nao kabsa nawaamini mnooo🦁🦁🦁🦁

  • @user-ze2nk8cw5s
    @user-ze2nk8cw5s Месяц назад +5

    Kama mpanzu anazingua aachwe maana waliopo kwangu Mimi viongozi siwadai ila ushauri wangu naomba waliosajiliwa wapewe nafasi wacheze

  • @HajiKanyumbu-xn6vh
    @HajiKanyumbu-xn6vh Месяц назад +1

    Nalipongeza sana chama langu simba 🦁🦁🦁 nguvu moja 💪💪💪

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 Месяц назад +2

    SAFI SANA SEMAJI LETU LA CAF. TUNAKUPENDA SANA WANASIMBA

  • @raphaelernest8253
    @raphaelernest8253 Месяц назад +2

    Nakubali ubaya ubwela

  • @khadijamisayo7476
    @khadijamisayo7476 Месяц назад +2

    Magori yupo vizuri, hana papara, katulia

  • @SwaumuShabani-qm4xo
    @SwaumuShabani-qm4xo Месяц назад +5

    Semaji anaetrend tiktok cmba nguvu moja ubaya ubwela

  • @gabrielrobert8677
    @gabrielrobert8677 Месяц назад +2

    Magori mtu haswa, hamnaga mkurya fala Town.... bigg up saana Tata Magori

  • @ElizabethLukosya-lv2vf
    @ElizabethLukosya-lv2vf Месяц назад +3

    Magori,napenda sana majibu yako kama mgunda tu,maneno mengi ya nini unajibu point

  • @teilencedevard9431
    @teilencedevard9431 Месяц назад +2

    Semaji linalo ingia on trending upepo unao semaji

  • @renatusmwanakatwe-gl9xb
    @renatusmwanakatwe-gl9xb Месяц назад +1

    Asante azam

  • @Busagotz
    @Busagotz Месяц назад +3

    Ally komwe na Hers njoo ujifunze kuongea kama hiv pointi

  • @georgesamweli4062
    @georgesamweli4062 Месяц назад +2

    Semaji 🎉🎉🎉

  • @songarashidy1995
    @songarashidy1995 Месяц назад +3

    yoooo if you like SIMBA like my comment down

  • @bbclondonulimwenguwasoka6126
    @bbclondonulimwenguwasoka6126 Месяц назад +3

    Mpanzu na Fei Toto tunauwa watu kwa pressure, please waleteni msimbazi

  • @samahakihange6421
    @samahakihange6421 Месяц назад

    Nimeipenda iyo raisi wa wasemaji ote tanzania semaji la caf

  • @HalimaMaulidi-sv7le
    @HalimaMaulidi-sv7le Месяц назад +4

    Semaji la wasemaji tz wengine waropokaji tu

  • @user-bf3mm5wu1s
    @user-bf3mm5wu1s Месяц назад +2

    simbaa nguvu moja 😊😮

  • @mohamednipala7000
    @mohamednipala7000 Месяц назад +3

    Simba.....!!!!! Nguvu moja

  • @shekhebakari1998
    @shekhebakari1998 Месяц назад +2

    Naitwa Hamis from kigamboni naomba hiyo huduma yasimba bando ije namitandao mingine tafazali

  • @SaidAlly-uh4qw
    @SaidAlly-uh4qw Месяц назад +25

    Mtangazaji ni shabiki wa simba ameshindwa kujizuia

    • @timothymbughuni1356
      @timothymbughuni1356 Месяц назад +6

      Humjui vizuri Mahmood wewe, ni utopolo mzuri tu but very professional!

    • @user-ts8bf4ef3u
      @user-ts8bf4ef3u Месяц назад +4

      wewe ni wa juzi juz bin zubery ni mwanachama wa yanga siyo shabiki tu ni mwanachama wa yanga

    • @Lusindehalima-si3ej
      @Lusindehalima-si3ej Месяц назад +1

      Jamani mbona kibu hatumuoni kulikoni?????

    • @mnyusihiza9161
      @mnyusihiza9161 Месяц назад +1

      Roho mbaya haijifichi unaumia ukiwa wapi 😂😂😂😂😂

    • @timotheothadeomgassa4929
      @timotheothadeomgassa4929 Месяц назад +1

      Ulitaka awe chura?

  • @djchid2417
    @djchid2417 Месяц назад +4

    Huyu mwamba ni hatar ni mashine ya kuongea

  • @user-gz2or2ui9n
    @user-gz2or2ui9n Месяц назад +3

    Kongole sana semaji la caf

  • @KibibiMwalimu-pg8fg
    @KibibiMwalimu-pg8fg Месяц назад +2

    Mimi ni mwa😊 mwanachama lakini Nipo American nitafanyaje ili nichangie nikitokea huku 🇱🇷?

  • @peterwilliam5411
    @peterwilliam5411 Месяц назад +1

    Azam TV kiboko yaoo 🎉🎉

  • @AbkHashim-o3j
    @AbkHashim-o3j Месяц назад +4

    Viongoz wanapo fanya usajili wanaakiri wana jua nan anafaa kwahyo tusubirie viongoz wafanye usajili tuone uwanjan alafu unapo sema ni siasa wewe mwanachama? Tusiwe tunapga makelele alafu kumbe hata kad ya mwanachama huna waache viongoz wafanye usajili

  • @hamismwangwale563
    @hamismwangwale563 Месяц назад +1

    Ubaya ubwela Ila SEMAJI LETU halitaki unyonge🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @user-kn7bo6iz4n
    @user-kn7bo6iz4n Месяц назад +1

    Nguvu mojaa❤❤❤❤

  • @IssaKisaka-wo3mq
    @IssaKisaka-wo3mq Месяц назад +2

    Simba nguvu moja

  • @epefrapetro1398
    @epefrapetro1398 Месяц назад +3

    Mimi nimwana chama wa smba nigeomba kramo twende nae naiman atatusaidia

    • @AlexMgeta
      @AlexMgeta Месяц назад

      Mbona kramo yupo sana na aliongeza mkataba wa mwaka mmoja

  • @kingndinyo9764
    @kingndinyo9764 Месяц назад +1

    Trending 1 simba nguvu moja

  • @Miche7_
    @Miche7_ Месяц назад +2

    Mashine ya kuongea alikuwa anaumia 😂😂😂😂

  • @juniorjoshua2452
    @juniorjoshua2452 Месяц назад +4

    Musa mangungu ni kilus I mpaka Sasa wengi hawamtaki ila watu wameamua kuweka umoja

    • @DeborahSaitoti-oy7fm
      @DeborahSaitoti-oy7fm Месяц назад +1

      Kweli Ila atatoka tu simba tuweke kwanza nguvu nyingi timu na club ikae sawa mangungu ni mdudu mdgo Sana siku moja tu makiamka anakuta THANK YOU YAkE MEZANi😂😂😂😂😂

  • @mwasunga
    @mwasunga Месяц назад +2

    Amed baba utaniua mm wew nimwamba ndomana walikushindwa wakaleta watatu iri wakuchangie wamelala nabado watalala

    • @mwanangusana
      @mwanangusana Месяц назад +1

      😂😂😂😂😂 sasa iyo ni taasisi kweli ?? Kitengo kiwe na mtu mmoja kwelii ??

  • @jumamnemo8383
    @jumamnemo8383 Месяц назад +1

    Hiyo safi Simba bando

  • @FreemasonPesaZaMajini
    @FreemasonPesaZaMajini Месяц назад +2

    Ongezeni wanachama wapya,lkn mkiweka sharti moja la kila mwanachama lazima alipie kadi yake kila mwaka na akiwa ajalipia ndani ya miaka miwili ifutwe apewe mwingine na yeyote atakayelipia siku ya uchaguzi asiruhusiwe ili kumfanya aone umuhimu wa kulipia kadi kwa wakati

  • @malickomary5687
    @malickomary5687 Месяц назад

    Sema huyu mzee magoli safi sana yani...

  • @KanizioBugota
    @KanizioBugota Месяц назад +1

    Tuipende simba yetu❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @omariwaziri5031
    @omariwaziri5031 Месяц назад +3

    Kadi za mashabiki tuna zipataje

  • @KibibiMwalimu-pg8fg
    @KibibiMwalimu-pg8fg Месяц назад +1

    Nataka kadi yangu niliyosajiliwa wilaya ya mvomero kata ya mkindo Nataka kuchangia nikiwa huku 🇱🇷

  • @BigZhumbe
    @BigZhumbe Месяц назад

    Semaji la Mnyama, Semaji la Dunia 🎉🎉🎉🎉🎉

  • @RashidiKilumbi
    @RashidiKilumbi Месяц назад +1

    Tutajie Tena hiyo no, ya kujiunga Simba bando.

  • @MuftyHussein-kf7tm
    @MuftyHussein-kf7tm Месяц назад

    Nimesha nunua tayari imeisha hiyo nguvu moja ❤❤❤😂😂🎉

  • @AbednegoMurosi
    @AbednegoMurosi Месяц назад +3

    Mwenda hatumuonii kambini

  • @westonyjob1747
    @westonyjob1747 Месяц назад

    Semaji la cuf umetisha

  • @ELIASJACOB-by4qs
    @ELIASJACOB-by4qs Месяц назад +1

    Nguvu moja 💪💪

  • @afaijuma8474
    @afaijuma8474 Месяц назад +1

    Kwanza nawapongeza kwakipindi kizuli oja yangu. Ipokwenye namna yakutumia mtandao wa Voda Mimi nipo Mozambique nauku sisi tupo tunanufaishaje Simba yetu?

  • @RomwadMhagama
    @RomwadMhagama Месяц назад +3

    Nasisi wangoni hua tunatumia hiloneno

  • @elinathanbanka5485
    @elinathanbanka5485 Месяц назад +2

    Tukimshindwa Elia mpanzu bac yanga bingwa tena na jezi ya msimu huu ctanunua kabxa

    • @ivankakooza1765
      @ivankakooza1765 Месяц назад

      Utopolo ni Utopolo tu

    • @jr45_unique10
      @jr45_unique10 Месяц назад

      Huo niushamba kama ushamba mwingine usajili niswala lamakubariano na lenyefaida pande zote mbili kaka

    • @VeronicaAdam-lx8yd
      @VeronicaAdam-lx8yd Месяц назад

      😂😂😂😂Wew ninan usip nunua

    • @Hassan-ot1mc
      @Hassan-ot1mc Месяц назад

      Usiponunua sisi tutanunua

  • @sijaonamjungufinias481
    @sijaonamjungufinias481 Месяц назад +2

    Kramo jamani mwacheni mbona kapona jamani

  • @ashrafameir4064
    @ashrafameir4064 Месяц назад +2

    Kwanini wamemtoa mgunda kwenye bench

  • @robsonwilliam8301
    @robsonwilliam8301 Месяц назад +2

    Wenzenu wanatafuta wachezaji ninyi mnatafuta maneno mtaani ya kudanganyia watu.

  • @josephfrank4446
    @josephfrank4446 Месяц назад +1

    Sasa magor karudi nafraha sasa🎉

  • @hamadbakar7091
    @hamadbakar7091 Месяц назад +1

    Simba nguvu Moja yani mwaka huu tumesajili IGP watupu au maamiri jeshi watupu yani hakuna kuruti kwenye kikosi chetu

  • @likubaro7443
    @likubaro7443 Месяц назад

    Nijambo jema Sana hilo,ushauri kuweke utaratibu wa taarifa za makusanyo ya kila mwezi wapenzi wangapi wa simba wamejiunga na kiasi gani kimechangiwa hii italeta moral yakujiunga wengine.tunataka kujenga uwanja tunashindwa vp na KMC?.wingi uwe ni sababu kuleta maendeleo.

  • @ROJAOMARY-ys7xb
    @ROJAOMARY-ys7xb Месяц назад +1

    Kipindi kitam sana nilokuwa natamani kusikia sauti ya father magoli na hamedi alii

  • @allymtunge5530
    @allymtunge5530 Месяц назад +2

    Kwan uto wanakuaga wapi? Kufikili sana

  • @JosephMwita-m7t
    @JosephMwita-m7t Месяц назад

    Nakupongeza sana sana kwa kufanya usajili mkubwa sana Bado mmoja tu ellia mpanzu

  • @user-bb8de4bl5n
    @user-bb8de4bl5n Месяц назад +1

    Wewe hujui kitu huyu Zubery Yanga damu ujue hilo

  • @user-mq2wy4tp5q
    @user-mq2wy4tp5q Месяц назад

    😂😂😂 ubaya ubwelaa asee ni noma san

  • @johnmgalatia5375
    @johnmgalatia5375 Месяц назад +2

    Naomba namba ya msemaji Ahamedy

  • @Ezramali595
    @Ezramali595 Месяц назад +2

    UBAYA UBWELA MPOAPOOOO

  • @MartineRichard-me2ip
    @MartineRichard-me2ip Месяц назад +1

    Simba Nguvu moja

  • @jumanneelias-mc7sw
    @jumanneelias-mc7sw Месяц назад +1

    iyo simba bando naomba iwekwe kwa mitandao yote pleaSE

  • @GervasKasagula-m7m
    @GervasKasagula-m7m Месяц назад +2

    Magoli tunakutakia majukum mema ya simba yetu

  • @officialisaiah3979
    @officialisaiah3979 Месяц назад +3

    UBAYA UBWELA

  • @khalidsharji2462
    @khalidsharji2462 Месяц назад +1

    Simba nguvu Moja tuchangiye

  • @AudaxLwekamwa-kt6eg
    @AudaxLwekamwa-kt6eg Месяц назад +1

    Kuna mwamba njaa ilkua inampiga apo 😅😅kiasi kwamba anapiga miayo kwenye myk😅

  • @IsackVedasta
    @IsackVedasta Месяц назад

    UBAYA UBWELA 🔥🦁🇹🇿

  • @johnmgalatia5375
    @johnmgalatia5375 Месяц назад +1

    Pia muulize tulihamasishwa kukata kadi za uanachama kupitia benki ya Equity bank je zile tuachane nazo?na tukate za CRDB NA NMB?

  • @user-uj5wg9mm2t
    @user-uj5wg9mm2t Месяц назад

    Simba nguvu moja💪

  • @user-uj5wg9mm2t
    @user-uj5wg9mm2t Месяц назад +1

    Semaji la cuf😂😂😂😂😂😂ubaya ubwela

  • @jacksonmatitu3918
    @jacksonmatitu3918 Месяц назад

    interview ya kwanza no 1 trending

  • @JohnEugeni-f8m
    @JohnEugeni-f8m Месяц назад +1

    Yaan simba huwa wanaanza yanga wanaiga et yanga famili mara wiki ya wanachi yaan lzm simba waanze wao wanaiga

  • @mariammbapira645
    @mariammbapira645 Месяц назад +2

    Wangoni pia bwers njoo rudi kibantu

  • @neemamatey
    @neemamatey Месяц назад +1

    ❤❤❤

  • @philemornmutta1597
    @philemornmutta1597 Месяц назад +1

    Ni kawaida yetu walijitapa kupambana na sisi nyuma mwiko likawakuta wakajitoa Tena Kwa aibuuu

  • @tuntumzazi
    @tuntumzazi Месяц назад +1

    Huwa nakuelewa mzee