FULL MATCH HIGHLIGHTS | SIMBA SC 7-0 HOROYA AC | MAGOLI,SAVES, FOULS, CAF CHAMPIONS LEAGUE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • Kwa story zaidi za kimichezo, matukio, vicheko na vilio vya kispoti tufuatilie kupitia Mitandao ya kijamii hii :
    ►JOIN OUR WhatsApp Group: chat.whatsapp....
    ►SUBSCRIBE: / @tv3tanzania
    ►Instagram / tv3tz
    ►TikTok / tv3tz
    ►Facebook / tv3tanzania
    ►Twitter / tv3tanzania
    #Tv3Tanzania Katika kisimbuzi cha @startimestz CH 131 (Antena) na CH 197 (Dish)
    RATIBA ZA VIPINDI VYETU
    DIMBANI JUMATATU HADI IJUMAA KUANZIA SAA 1 KAMILI ASUBUHI
    KIJIWE JUMATATU HADI IJUMAA KUANZIA SAA 1:30 USIKU
    BENCHI LAUFUNDI JUMATATU HADI IJUMAA SAA 12 JIONI
    TOBOA JUMATATU KUANZIA SAA TATU KAMILI USIKU
    #Tv3Tanzania #GameOn
    #Manula #kapombe #Onyango #Sakho #MosesPhiri #Henock #Inonga #Chama #Clatus #TripleC #Bocco #JohnBocco ##Mzamiru #Kanoute #Nyoni #Kyombo #Kibu #KibuDenis #Hussein #Beno #Mkude #Okrah #Diarra #Djuma #Lomalisa #Job #DicksonJob #Bangala #YanickBangala #Aucho #Sureboy #Moloko #Mayele #FistonMayele #ZanzibarFinest #FeisalSalum #Feisal #Kisinda #BakariMwamnyeto #BernardMorrison #Morrison #Clement #AzizKi #Farid #FaridMussa #KibwanaShomari #WilbolMaseke #LusajoMwaikenda #BruceKangwa #EdwardManyama #DanielAmoah #SospeterBajana #KipreJunior #JamesAkaminko #PrinceDube #YahyaZayd #AyoubLyanga #Sopu #Msindo #Sebo #Foba #Muguna #Edinho #Nado #Mbombo #Mkandala

Комментарии • 164

  • @julybwana2844
    @julybwana2844 2 месяца назад +103

    Kama umekuja kuhakiki Kama camara ndio alipgwa Saba gonga like apa😂😂

  • @danielshango8903
    @danielshango8903 6 месяцев назад +5

    Mungu tusaidie hii imkute Al ahly

  • @alatupaeliassanga5303
    @alatupaeliassanga5303 Год назад +8

    Mtangazaji wa Hovyo Wewe Daaah tumekosa vibe

  • @nimrodmareges3131
    @nimrodmareges3131 Год назад +19

    Nimefurahi sana kwa ushindi wa jana mmefanya vizuri sana kwetu sisi mashabiki

  • @omaryjuma3748
    @omaryjuma3748 6 месяцев назад +1

    Kesho inshaallha

  • @mecknaika4260
    @mecknaika4260 Год назад +30

    Simba na Yanga munatufurahisha sana huku Kenya, sisi huku hatuna timu ya maana tuko na Eliud Kipchoge

  • @Shijajohn5084
    @Shijajohn5084 Год назад +18

    Goli la sita hakuna mchezaji wa Horoya aliyegusa pasi ni simba tu hadi goli🙌

  • @WendeMposola
    @WendeMposola 19 дней назад

    Nimekuja hapa tena kuhakiki kumbe sio yeye 🎉🎉🎉

  • @georgedeo3726
    @georgedeo3726 7 месяцев назад +16

    2024 wanasimba tunaoangalia game hii

  • @fredyfrancis8011
    @fredyfrancis8011 2 месяца назад +2

    Jaman huyo Ni Mohammed kamara na huyu Ni mussa kamara ,Mohamed kamara ameenda Singida black stars huyu Ni mussa kamara kaja Simba ,mpaka mpigww makofi ndo mueleww mussa aliukosa mchezo huu akiwa na kadi aliyoipata mchezo wa kwanza aliodaka tukatoka 1/1 mpira kuujua kazi sana

  • @menyekivuyo7540
    @menyekivuyo7540 Год назад +5

    Love yuu simba ❤❤❤

  • @kailanhamidu1683
    @kailanhamidu1683 Год назад +8

    Simbaaaaaaaa nguvu moja

  • @simonmadiba2053
    @simonmadiba2053 Год назад +2

    Simba forever

  • @billgussy6099
    @billgussy6099 Год назад +4

    Hongera mtani

  • @Black-t3x3k
    @Black-t3x3k 7 месяцев назад +4

    Galax atakutana kikubwa zaid ya hichi

  • @FatumaMwampepo-gi3vs
    @FatumaMwampepo-gi3vs 7 месяцев назад +4

    Mungu asaidie tupate ushindi huu dhidi ya jwaneng

    • @Shekhkisofa
      @Shekhkisofa 7 месяцев назад

      Hiii simbaaaaa ilikuwa yamoto 🔥🔥🔥🔥 san

    • @FatumaMwampepo-gi3vs
      @FatumaMwampepo-gi3vs 7 месяцев назад

      Hatimaye ushindi huu umerudi tena juzi kwa jwaneng

    • @manunitedfans5
      @manunitedfans5 7 месяцев назад

      tumepata shoga angu

    • @bahatimshali2731
      @bahatimshali2731 6 месяцев назад

      @@FatumaMwampepo-gi3vs Lilipungua goli 1. Nilitamani Jwaneng wapigwe 9-0🤣🤣

  • @NOVATISIYAME-c3s
    @NOVATISIYAME-c3s 8 месяцев назад +1

    Lion in work

  • @edwintv5991
    @edwintv5991 Год назад +5

    Simba ni Baba WA soka afrika

  • @ngobhitv
    @ngobhitv 10 месяцев назад +1

    Simba nomaaaa

  • @Black4nia
    @Black4nia 24 дня назад

    sio yeye

  • @jumayusuf2684
    @jumayusuf2684 Год назад +1

    Jamaa kelele zimezid unaangalia kwenye tv nin

  • @kotemutumbaire-pu2zr
    @kotemutumbaire-pu2zr Год назад +4

    Huyu mtangazaji asirudie kutangaza mechi kubwa kama ya simba bhana anatukosesha raha kabisa

  • @Maryam-g2i9n
    @Maryam-g2i9n 9 месяцев назад +1

    Wanathimbaaaaa

  • @jumannemohamedy1456
    @jumannemohamedy1456 Год назад +3

    Goal la 6 zime pigwa pasi 18 mpaka goal lina fungwa

  • @WastaraMsangi-ck9tu
    @WastaraMsangi-ck9tu Год назад +1

    Nimefurahi sana jaman huyu chama atawauwa👹❤💖😁😅

  • @MishlaySulley
    @MishlaySulley 7 месяцев назад +1

    Kocha tunaomba chama schezee namba 10 yake

  • @DavidMgaya-u4x
    @DavidMgaya-u4x 2 месяца назад +1

    Tuliokuja kuona kama camara ndo aliyepigwa saba baada ya kusajiliwa simba😅😅😅

  • @makkamakka9171
    @makkamakka9171 Год назад +2

    😂😂😂😂😂 sadio kanote goli lake limetesa watu maan sio kwa mkimbio huo kibu kamfata hamfikii😂😂😂😂

  • @lkbechi
    @lkbechi Год назад +3

    كيف تريدون ل سيمبا الفوز على أسد الأطلس

  • @MrTop-wj7no
    @MrTop-wj7no Год назад +5

    Jitahidini mrekebishe vifaa vyenu ili shangwe za Mashabiki zisikike vitaboresha Video sio video inapoa hivi unasikika wew Tu bwana

    • @mwajumbeayub4173
      @mwajumbeayub4173 7 месяцев назад

      nakwambia hata maskio yanauma ukimskiza

  • @saumsaid1966
    @saumsaid1966 Год назад +2

    Golikipa anajiuliza nipo peke yangu uwanjani

  • @radiammchecheto5050
    @radiammchecheto5050 Год назад +33

    mtangazaji unasikika ww tu!! tunakosa vibe la mashabiki inafanya video iswenzuri

    • @frankkalanda872
      @frankkalanda872 Год назад +3

      Sure!

    • @emmanuelspenas8044
      @emmanuelspenas8044 Год назад +2

      Unaangalia mpira au vibe la mashabiki

    • @MrTop-wj7no
      @MrTop-wj7no Год назад +3

      @@emmanuelspenas8044 hujui kitu wew fan kama fan anaejua boli lazima ukipata shangwe zile video inakuwa Bora zaidi

    • @allymaulidkanungu3770
      @allymaulidkanungu3770 Год назад +2

      Kweli aisee wanazingua

    • @BigDreamsWorldwide
      @BigDreamsWorldwide Год назад +2

      Sijui kwann mwaka huu mpenja hajapewa game hizi daah namic vibe lile la Simba vs Nkana

  • @Frankkambona-js7vf
    @Frankkambona-js7vf 2 месяца назад

    Uyu sio moussà camara na pia moussa camara wetu akucheza kweny match h

  • @OswadJoel-u8k
    @OswadJoel-u8k 2 месяца назад

    Siyo

  • @barakajony
    @barakajony 4 месяца назад

    Du. Simba hawaaa

  • @fatumasophu5855
    @fatumasophu5855 9 месяцев назад +2

    Tutamis chama😂😂😂

  • @JumaBakari-x4p
    @JumaBakari-x4p Месяц назад

    Nimekuja kuhakiki je kweli nimusa Camara au mwingne

  • @shadrackjuliuskaboya5239
    @shadrackjuliuskaboya5239 2 месяца назад +1

    Duh nyie cham sii masihara yanga wamesajiri vizuri nawaambieni wamemchukua sterling

  • @abigailmwanjela1083
    @abigailmwanjela1083 Год назад +2

    Uyu Baleke ni noma jamani Mayele anasubiri

    • @costantinejohn-xn6lw
      @costantinejohn-xn6lw Год назад

      Mtangazaji hajaitendea haki hii mechi.....angekuwepo baraka mpenja ingenoga!!

    • @issaali7669
      @issaali7669 Год назад

      @@costantinejohn-xn6lw Kabisa hata mimi huwa nasema hizi gemu mwenyewe ni Baraka Mpenja au Gharibu Mzinga waliobaki wasubiri kina Ihefu Geita na Y.

  • @Esterkomba-ef7eb
    @Esterkomba-ef7eb 8 дней назад

    Siyo camara

  • @benedictojanuary4930
    @benedictojanuary4930 Год назад +1

    TV 3 muajiri watangazaji wanaojua kutangaza mpira hao mlionao hawajui kutangaza bhana na vibe la mashabiki mmelizima

  • @beatusjackson3638
    @beatusjackson3638 Год назад +2

    Hakuna mtangazaji hapa. Anatangaza mpira kama anatangaza magazeti

  • @johnkashamba
    @johnkashamba 7 месяцев назад

    Hii video imepoa sana Wala haishawishi kuitazama 😢

  • @Menad255
    @Menad255 2 месяца назад

    KUMBE SIO YEYE KWEHERINI 😂😂😂😂😂😂😂

  • @marselinarweyemamu4034
    @marselinarweyemamu4034 9 месяцев назад

    Nimeona nijiliwaze leo hiii..simba tunapoelekea mlandege

  • @bahatimshali2731
    @bahatimshali2731 6 месяцев назад

    Mtangazaji alipwaya sana

  • @EdaDldm
    @EdaDldm Год назад

    Utangazaji hauendani kabisa na hadhi ya mechi hii. Mechi kali ila mtangazaji ameua vibe ya mechi, kifupi kapoza mnoooo!

  • @Kibaba12
    @Kibaba12 25 дней назад

    Mwaka 2007 hayati Mkapa alikua kwenye madaraka !? Comentator 🙆🏾‍♂️🤦🏾‍♂️

  • @gileadmushi8294
    @gileadmushi8294 Год назад

    Sauti loud sana mzee vpi???

  • @RogersRugumisa
    @RogersRugumisa 2 месяца назад

    Huyo. N mohamedi Camara 😂

  • @MwakapalaJulius-om8gz
    @MwakapalaJulius-om8gz Год назад +2

    Hakika chama ni fundi

  • @loner_wolf
    @loner_wolf 7 месяцев назад

    Kanoute game za kuamuwa ndio huwa anafunga

  • @fatumaomary6110
    @fatumaomary6110 Год назад

    Kasome utangazaji tena sijawahi kuona mzinguaji kama wew

  • @PephiasLinus-up8rh
    @PephiasLinus-up8rh 2 месяца назад

    Kimenileta hiki tuuu. Sasa nimejirizisha. Hakika ni kipa mzuri.

  • @chrissg4026
    @chrissg4026 Год назад +2

    Hayo mabomu ya Putin yalikuwa ya nyuklia kabisa😂

  • @JuliusMollel-jz4xl
    @JuliusMollel-jz4xl 2 месяца назад

    Camara aliyesajiliwa simba sio huyu aliyefungwa saba

  • @meshackjackson2838
    @meshackjackson2838 Год назад +2

    𝑆𝑖𝑚𝑏𝑎 𝑡𝑎𝑚𝑢 𝑎𝑠𝑖𝑘𝑢𝑎𝑚𝑏𝑖𝑒 𝑚𝑡𝑢 𝑤𝑒𝑤𝑒

  • @isacksamuel5503
    @isacksamuel5503 Год назад

    Daah, mwanang 2007 rais alikuwa nani vle?

  • @DaimonSiwakwi
    @DaimonSiwakwi 10 месяцев назад

    Mpaka sas bado Mimi naangalia hii mechi

  • @shaukatashiq137
    @shaukatashiq137 Год назад

    Game ilikuwa tamu lakini mtangazaji kelele ni nyingi jifundishe utangazaji

  • @eliudmwamwile
    @eliudmwamwile 8 месяцев назад

    Hakuna mtangazaji hapo

  • @mussaKuntu66
    @mussaKuntu66 9 месяцев назад

    Mkeo au mumeo akikukera njoo uwakarie burudani hii unasahau kilakitu.😂😂😂

  • @lowasameliyo4027
    @lowasameliyo4027 Год назад

    Hyu mtangazaji hajui kuitangaza ball amelaza mchezo duuuu si wamwajiri mpenjaaa

  • @imaniulindula6440
    @imaniulindula6440 Год назад +1

    Ushindi usio na mbambamba

  • @GewaSaimoni-uo3xi
    @GewaSaimoni-uo3xi Год назад

    Mpaka waseme

  • @Maryam-g2i9n
    @Maryam-g2i9n 9 месяцев назад

    0:51

  • @mustaphawelder7022
    @mustaphawelder7022 4 месяца назад

    Mbona Ni walewale wachazaji waliokuwa wanatupa Raha, inakuwaje msimu huu kuwa wabovu?????

  • @reginamluviji9405
    @reginamluviji9405 Год назад

    Huyu mtangazaji mmnh anasikika pekeakee mpenja ndo anaamsha vibe km lote

  • @khadijamisayo7476
    @khadijamisayo7476 Год назад

    napenda sadio anavyo vugumiza mpira😂😂😂

    • @chrissg4026
      @chrissg4026 Год назад

      Siyo sadio ni Putin! Na hayo yalikuwa mabomu ya nyuklia!😂

  • @jssaa4733
    @jssaa4733 Год назад

    hakuna mtangazaji hapa 😂

  • @marselinarweyemamu4034
    @marselinarweyemamu4034 Год назад

    Mpk sasa naangalia hii mechi

  • @alatudinyahya6095
    @alatudinyahya6095 Год назад

    Jitahidn kuboresha highlights zenu. Katika hii mech naona ziko biased. Horoya nao walishambulia bila shaka. Otherwise it's good

  • @Tariq2240
    @Tariq2240 Год назад +1

    Wacha uwongo ndugu mtangwzaji usiongee vitu usivyo vijua, 2007 mkapa hayupo madarakani

  • @josephjohn7003
    @josephjohn7003 Год назад

    Wadau hivi zile kadi za njano za Simba kanoute aka Putin hajapata !?

  • @BeatriceLameck-hl7hu
    @BeatriceLameck-hl7hu 7 месяцев назад

    Haaaaa

  • @MwakapalaJulius-om8gz
    @MwakapalaJulius-om8gz Год назад

    Jean balekeeeee

  • @olengoko051
    @olengoko051 Год назад

    Huyu mtangazaji amevuta bangi tafteni watangazaji wasiotuumiza maskio

  • @omaraonasir4361
    @omaraonasir4361 Год назад

    Hapa Simba wamecheza na wanawake,wanaume wako robo fainali,tutawaona

    • @chrissg4026
      @chrissg4026 Год назад +1

      Kama hawa ni wanawake basi wale ambao hawakuingia hata makundi watakuwa ni watoto kabisa😂

  • @mathiaschananja6415
    @mathiaschananja6415 Год назад

    Mbna imechelewa

  • @salvatorymillinga991
    @salvatorymillinga991 Год назад

    Highlight zenu ndefu Sana jmn khaa dk 25

  • @saumsaum1916
    @saumsaum1916 Год назад

    Yule kocha wa taifa staa ameludi kwao au yuko tz nauliza jmn

  • @JamalDaudlulyeho
    @JamalDaudlulyeho 3 месяца назад

    Mtangazaji we fala kwel unatangaza kama unatoa historia ya marehemu kudadeq zako kabisa

  • @maryamabdurazack6508
    @maryamabdurazack6508 Год назад

    Mkitangaza acheni kuongea sana… na rekebidheni mitambo na mashabiki wasikike

  • @saumsaum1916
    @saumsaum1916 Год назад

    Sauti ya mashabiki hazisikiki watangazi michosho

  • @shabanimwinyikhery1174
    @shabanimwinyikhery1174 Год назад +1

    Nmeirudia hii clip mara 7

  • @selemanisalum7685
    @selemanisalum7685 Год назад

    Hhhhhhh mboni timu mbovu hiyo hata namungu nzuri

    • @emmadora7848
      @emmadora7848 Год назад +4

      Hao Namungo wako wapi? Ninyi wenyewe ni wabovu Kwa horoya ndiyo maaaa mko shirikisho

  • @adofood9013
    @adofood9013 Год назад

    Mbona ahikuji

  • @festomlowegypsum8214
    @festomlowegypsum8214 Год назад

    Mtangazaji bwege tuu hamna lolote kabisa hajui kutangaza

  • @jimsonndelwa9935
    @jimsonndelwa9935 Год назад

    We mtangazaji wewe 2007 mkapa alikuwa madalakani kweli

  • @IbrahimuelibarikiYoeli
    @IbrahimuelibarikiYoeli Год назад +1

    Poor commentary ever

  • @alphonceomary5117
    @alphonceomary5117 Год назад +2

    Tafuteni watangazaji wazuri

  • @abigailmwanjela1083
    @abigailmwanjela1083 Год назад

    Kwanini asitangaze mpenja jamani

  • @IbrahimuelibarikiYoeli
    @IbrahimuelibarikiYoeli 9 месяцев назад

    Poorest commentary ever 🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮

  • @robertmboya7842
    @robertmboya7842 Год назад

    HOROYA NI KAMA PRISONS ILIYOCHANGAMKA TUU ANAEBISHA SAWA

    • @2times273
      @2times273 Год назад +1

      Prison ya Guinea Iko Champions league alafu Yanga Bingwa ya Tanzania iko Shirikisho si ndio aibu yenyewe

    • @salhahazaly8042
      @salhahazaly8042 Год назад

      @@2times273 sema ww🤣🤣🤣🤣🤣

    • @robertmboya7842
      @robertmboya7842 Год назад

      @@2times273 🤣HONGERENI MNA WACHEZAJ BORA NA MSIWAFUKUZE KABISA ILI TUENDELEE KUISHI NAO

    • @zuberhamza7852
      @zuberhamza7852 Год назад

      VIPES NI KAMA NINI?
      MAANA ILIMTOA YANGA
      ILA SIMBA ILIMPIGA NJE NDANI

    • @robertmboya7842
      @robertmboya7842 Год назад

      @@zuberhamza7852 ILIMTOA YANGA KWENYE LIGI GANI

  • @mgayan1222
    @mgayan1222 Год назад +1

    WEEK

  • @Frankkambona-js7vf
    @Frankkambona-js7vf 2 месяца назад

    Uyu sio moussà camara na pia moussa camara wetu akucheza kweny match h

  • @MrTop-wj7no
    @MrTop-wj7no Год назад +4

    Jitahidini mrekebishe vifaa vyenu ili shangwe za Mashabiki zisikike vitaboresha Video sio video inapoa hivi unasikika wew Tu bwana

    • @daudidaudi5342
      @daudidaudi5342 Год назад

      Matangazo wanachukua kwenye dstv

    • @vckyjohnson1080
      @vckyjohnson1080 Год назад

      @@daudidaudi5342 hapana awa matangazo wanachulia kwnye chaneli za mipila za startimes ndo zenye haki ata DStv wanachulia uko,, na kwnye izo chaneli Wana rusha mechi zote