Комментарии •

  • @rachidrachid19496
    @rachidrachid19496 Год назад +7

    Congratulations to Wydad, I salute the Simba players for their sportsmanship Dima Wydad

  • @vucyazea692
    @vucyazea692 Год назад +4

    I don't hear much of what my brother is saying but I've got to confess this is the best commentary

  • @JackHulk-ri1ic
    @JackHulk-ri1ic Год назад +1

    Dima wydad Casablanca 🔴⚪🇲🇦😍😍

  • @amanijampion3045
    @amanijampion3045 Год назад +5

    Haikuwa bahati

  • @user-uj8ll4tl5y
    @user-uj8ll4tl5y Год назад +6

    Dah Simba yangu timu yangu dume hii ❤❤❤

  • @smrmb76
    @smrmb76 Год назад +4

    Mtangazaji unapendelea imekua vyema umefungwa na sifa zako za kusifu akina chama 😂😂😂

  • @michaelthobias9967
    @michaelthobias9967 Год назад +1

    Aisee mayere stail yke imeishika Africa

  • @isacklyanga1250
    @isacklyanga1250 Год назад +1

    Naomba kumsikia Nabii Mashimo.

  • @khadijaalimohd1320
    @khadijaalimohd1320 Год назад +2

    AAH,,SINA LAKUSEMA MM

  • @waziribori2280
    @waziribori2280 Год назад +2

    Ndiyo maana onyango kocha zora alishamwona onyango uwezo wake na amewacost sana simba ila huoy mohamed wattara ilikuwa namba yake lakini naye hana mbio na kaonyesha uwezo mdogo ila viongozi watafute beki mzuri wa kati mwenye uwezo mkubwa sana wakae pamoja na inonga

  • @html-css-js8663
    @html-css-js8663 Год назад +1

    aslan hadaf dyal simba fdahab tasalol .. makhasnach ga3 nwaslo lhad pinaltiyat

  • @AbdallahSaidy-bu2gw
    @AbdallahSaidy-bu2gw 7 месяцев назад

    Naombea simba ifunge

  • @jonasabely5853
    @jonasabely5853 Год назад +3

    Tatizo bado mojatu ugenini kwanini isiwe Kama Kwa Mukapa

  • @wilfredelimeleki4543
    @wilfredelimeleki4543 Год назад +2

    hili goli uzembe wa kipa

  • @ramadhaniamri3465
    @ramadhaniamri3465 Год назад +1

    Big up Simba sc hata waarabu hawa amini na penalty hazina mwenyewe

  • @Ezekil29Axwesso
    @Ezekil29Axwesso 7 месяцев назад

    Acha uwongo hapo sio Muhammed wa tano...acha kutangaza vitu usivojua...

  • @medeljoram5325
    @medeljoram5325 Год назад +2

    Good work TV3 🤝🤝

  • @ayobow56
    @ayobow56 10 месяцев назад

    Nice

  • @jacklineobadia7629
    @jacklineobadia7629 10 месяцев назад +1

    kipi ni manura tu huyo amuna lolote lile ngoja apone mwenye namb ake utakaa benchi mpa ukome mbwa www ulitufungisha

  • @ezekielmmbuji3378
    @ezekielmmbuji3378 Год назад +1

    Onyango ametuua. Simba SC itafute beki mwingine wa kati mwenye urefu wa 6.4” ft na kiungo mkabaji mmoja.

    • @lkbechi
      @lkbechi Год назад

      اشتروا اوناجم سيليق بسيمبا

  • @samwelmerikiolmpila2330
    @samwelmerikiolmpila2330 Год назад +2

    Mtangazaji nawe uko kishabiki sana

  • @ashuu7772
    @ashuu7772 Год назад +3

    Tometolewa Ila waydad hawatatusahau

  • @erickmsigwa1351
    @erickmsigwa1351 Год назад +1

    😭

  • @ramadhaniamri3465
    @ramadhaniamri3465 Год назад +2

    Mtangazaji ukandwa wewe

  • @suleivan6431
    @suleivan6431 Год назад +1

    Kipa GANI huyu eboo