ALIYECHOMA PICHA YA RAIS AACHIWA AFUNGUKA, AWASHUKURU WATANZANIA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 июл 2024
  • Msanii wa Sanaa ya uchoraji, Shadrack Chaula (24) amewashukuru Watanzania waliomchangia faini ya Sh5 milioni na 'kumtetea' baada ya kuhukumiwa kifungo cha miaka miwili jela kwa kosa la kutoa taarifa za uongo mtandaoni.
    Kauli hiyo ameitoa leo Jumatatu Julai 8, 2024 baada ya kuachiwa huru.
    “Asanteni watanzania, naitwa Shadrack Chaula, asanteni ndugu zangu mawakili kwa kunitetea na Wtanzania wote mliohakikisha mnanitetea,”amesema Chaula.
    Julai 4, 2024 Chaula aliyekamatwa kwa madai ya kuchoma picha ya Rais Samia Suluhu Hassan na kushtakiwa kwa kosa la kutoa taarifa za uongo, alihukumiwa katika Mahakama ya Wilaya ya Rungwe Mkoa wa Mbeya, baada ya mshtakiwa huyo, mkazi wa Kijiji cha Ntokela, wilayani humo, kukiri kosa hilo.
    Hata hivyo, watumiaji wa mtandao wa X (zamani Twitter) walichanga faini hiyo kwa ajili ya kumtoa. Kupitia ukurasa wa Instagram wa Wakili Peter Kibatala amewashukuru wote waliochangia.

Комментарии • 33

  • @nuhhumwakanyamale4771
    @nuhhumwakanyamale4771 15 дней назад +3

    Hiyo ndiyo kesi iliyoamliwa mapema zaidi kwenye historia ya mahakama ya Tanzania.
    Ila zingine kama Ile liport ya CAG mtu kujibebea mabilioni ya pesa ya uma.
    Uchunguzi Bado unaenderea tena kmy kmy amna tunachojua. 😢 Saw hii nchi si yenu ishini nyinyi cc tupo kuwasindikiza 😢😢😢

  • @gracendumbaro5196
    @gracendumbaro5196 15 дней назад +4

    Safiii mungu ni mkubwa

  • @shakurfaith
    @shakurfaith 15 дней назад +2

    Nilimchangia, ila ni upumbavu kuchoma picha ya kiongozi mkubwa wa nchi. Hizi ni mihemko tu

  • @maryamabdullah9169
    @maryamabdullah9169 14 дней назад

    Wa Tanzania Ni watu wema sana na wenye Imani

  • @MasoudSultan-ks6kc
    @MasoudSultan-ks6kc 15 дней назад +4

    JIFUNZE KITU USIKURUPUKE

  • @dorcaskidoti249
    @dorcaskidoti249 15 дней назад +2

    Shujaaaa huyo 😂😂

  • @imanmodern
    @imanmodern 15 дней назад +4

    Safi Sana watanzania kwa kuonesha upendo huo

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon1064 15 дней назад +3

    SAS UJE URUDIE TENA UPUUZ NDO UTAJUA😢😢😢😢

  • @user-cv4jb1bm6i
    @user-cv4jb1bm6i 15 дней назад +4

    Safi sana upendo tu maskini kwa maskini tunajivunia nguvu moja

  • @Shalom803
    @Shalom803 15 дней назад

    Hongereni wa Tanganyika kwa umoja❤

  • @user-ue2nz3vc4j
    @user-ue2nz3vc4j 15 дней назад

    maisha magumu hixo hela za michango mmezipataje..

  • @MohammedAwadh-gq9si
    @MohammedAwadh-gq9si 15 дней назад +4

    Aendelee kuchoma. Kutukana, kukejeli ! Pesa zipo tutatoa !

  • @ilakozasembumende1975
    @ilakozasembumende1975 15 дней назад +1

    Watanzania gani😢😢😢😢😢

  • @happymrema7487
    @happymrema7487 15 дней назад

    Safi san mungu mwema

  • @kisoso890
    @kisoso890 15 дней назад

    Our champion

  • @jastinmodest8073
    @jastinmodest8073 15 дней назад

    Mungu si Massawe usitishwe mdogo wangu umefikisha ujumbe kwa ujasiri mkubwa kwan wakati Mungu anakuleta aliwauliza ili wamshauri?😁

  • @petermogha7025
    @petermogha7025 15 дней назад

    Usisema watanzania washukuru waliokutuma.

  • @sergebaleke695
    @sergebaleke695 14 дней назад

    Una vuta mibangi ya njombe afu una jizima data we musenge kbs

  • @humphreyhassan8197
    @humphreyhassan8197 15 дней назад

    Kumbe mmelipa faini

  • @denisipaulo7785
    @denisipaulo7785 14 дней назад

    Wakwer tumeshinda

  • @DiwaniMwafongo
    @DiwaniMwafongo 15 дней назад

    Mimi Kila siku naikojolea asubuhi na jioni naitapikia picha ya huyo "Mungu wenu wa kike"
    Kumbafu zenu . Na hamnifanyi kitu. Kumbafu Tena!!

  • @Boniphaceshayo5
    @Boniphaceshayo5 15 дней назад +2

    Kwaiyo utarudia au

  • @emmanuelndahan9815
    @emmanuelndahan9815 15 дней назад

    Aache upumbavu

  • @user-iw5hu3mc7l
    @user-iw5hu3mc7l 15 дней назад

    Mtu anamtukana raisi anadhlilisha inatokea mijitu iso na akili inatetea nyie chadema nyinyi mungu anawaona

  • @adammbuba7230
    @adammbuba7230 15 дней назад +2

    Urudie tena kuchoma
    Uone kitakachokukuta

  • @HappyBooks-dj6oy
    @HappyBooks-dj6oy 14 дней назад

    Babkubwa Uko Sawa sikupingi hata kidogo.Mimi nitachoma ya Uyo Mama na chupi yake Nape ridhiwani na bunge Zima nitaanza na speaker Tulia nachoma hadi chupi yake nitumieni picha zao.Niwaonyeshe.Napatika Tandale Uwanja wa Fisi mkifika Ulizieni Komando wa magufuli A.K.A Ninja mweusi.Mje fullu na magobore yenu. pumbavu

  • @user-yu2hh7kh8o
    @user-yu2hh7kh8o 15 дней назад +2

    alitaka kuonewa 2 kwa kuchana kalatasi

    • @MhinaKulewa
      @MhinaKulewa 15 дней назад

      Hata pesa ni karatasi ila ukiichana utafungwa.

  • @Boniphaceshayo5
    @Boniphaceshayo5 15 дней назад +1

    Mtumieni kwenye s9asa uchwara sasa

  • @selemankishema5780
    @selemankishema5780 15 дней назад

    Pumbavu zenu yaani mtu anafanya utovu wa nidhamu kama huo alafu bado anaonekana yuko sahihi hii akili au matope kwani haya maisha mabaya ni sababu ya mama samia? Acheni upumbavu na chuki za kijinga

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa6159 15 дней назад +2

    Watanganyika wanaojielewa siyo misukule