KESI YA BILIONI 309 ZA ESCROW: SETH WA IPTL, RUGEMALIRA WAMWANGUKIA DPP
HTML-код
- Опубликовано: 9 окт 2019
- Mmiliki wa Kampuni ya Kufua Umeme ya IPTL, Habinder Sethi na James Rugemalira, wamenuandikia barua Mkurugenzi wa Mashtaka nchini (DPP), kuomba msamaha na kukiri mashitaka ya uhujumu uchumi ikiwemo la kutakatisha Sh.Bil 309.
Hayo yamebainika katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu ambapo imeeelezwa, Seth aliandika barua yake iliyopitia kwa Mkuu wa Gereza baada ya msamaha uliotangazwa na Rais Dk John Magufuli.
Wakili wa utetezi, Michael Ngaro anayemtetea Rugemalira amemueleza Hakimu Mkazi Mkuu, Huruma Shaidi kuwa mteja wake ameandika barua kwa DPP kuomba kukiri makosa ya uhujumu uchumi yanayomkabili na kwamba mpaka sasa hawajapata majibu.
Wote warudishe pesa Hata wale waliopewa pesa na zile za kwenye kiroba ambazo waliopewa hawajulikani warudishe
Pesa ya selikali ni sumu ukiimba lazima ufe au uishi kama shetani motoni kikubwa azitapike zote alizoziiba
Sio Selikali ni SeRikali
Aiseee magu mungu ukulinde tunfu bovu kaa hukohuko.
Nacheka kwa zarau Sana sa hv wanakiri wenyewe kuwa waliiba haha
Asee wamekonda sana
Wamezeeka sana na kukondaaa vitambi vimeisha
hawajamaaa nadhani kunakitu wamejifunza pamoja na familia yao nadhani nifunzo kwa wengine
Kweli kule ndani sio kuzuri hadi unaomba kukiri kosa duu
Mwaka huu vsa Kama vyote
Da!! hayawi hayawi Sasa yamekuwa toen mpunga huo
Mtangazaji hili jina halitamkwi "habinderi" ni "habinda" lakini linaandikwa Harbinder. Jifundisheni baadhi ya vitu ili msiwe mnaaibisha😁😁😂😂. Majina yake kamili ni Harbinder Sighn Sethi
Mbona millard ayo hatumii Facebook inakuaje tukufuatilie kwenye page iyo🤷♂️🤷♂️🤷♂️
🙏🏼
Da bola mpunga wa escrow utoke tukajengee reli ya kisasa
warudishe
😳😳wazee wamepata six pack 🤨🤨
Kwa nn mlichelewa kuandika barua wakati magufuli ashawasamehe
Nimemuona police anakitambi dah police wabongo bwana
Mtangazaji bado kabisa
sasa kwa rai ya mh Rais atakayelipa aachwe wataiweza na je pesa wanayo?
Pesa wanayo ipo uswiswi ndo mafisadi hutunza pesa huko..wanazo zaidi ya hizo' wameiba kwa mda mlefu sana
Hahaaa
Wana hela hao walipe 2
Ndugu acha masiala hao wamepiga pesa nyingi sana hizo zilijulikana je ambazo hazikujulikana
Hata wale waliowagawia warudishe. Na zile zilitoka kwa kiroba waliopewa hawajulikani nao wazirudishe
Mzigo mlefu Sana jaman ebu rudisheni zinanye kazi za maendeleo kwa wote Ila chamoto mmekipata maana mmeishi Kama masikini