KESI YA BILIONI 309 ZA ESCROW: SETH WA IPTL, RUGEMALIRA WAMWANGUKIA DPP

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 9 окт 2019
  • Mmiliki wa Kampuni ya Kufua Umeme ya IPTL, Habinder Sethi na James Rugemalira, wamenuandikia barua Mkurugenzi wa Mashtaka nchini (DPP), kuomba msamaha na kukiri mashitaka ya uhujumu uchumi ikiwemo la kutakatisha Sh.Bil 309.
    Hayo yamebainika katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu ambapo imeeelezwa, Seth aliandika barua yake iliyopitia kwa Mkuu wa Gereza baada ya msamaha uliotangazwa na Rais Dk John Magufuli.
    Wakili wa utetezi, Michael Ngaro anayemtetea Rugemalira amemueleza Hakimu Mkazi Mkuu, Huruma Shaidi kuwa mteja wake ameandika barua kwa DPP kuomba kukiri makosa ya uhujumu uchumi yanayomkabili na kwamba mpaka sasa hawajapata majibu.

Комментарии • 28

  • @edwardmkwelele
    @edwardmkwelele 4 года назад +4

    Wote warudishe pesa Hata wale waliopewa pesa na zile za kwenye kiroba ambazo waliopewa hawajulikani warudishe

  • @mhthesamemh7303
    @mhthesamemh7303 4 года назад +8

    Pesa ya selikali ni sumu ukiimba lazima ufe au uishi kama shetani motoni kikubwa azitapike zote alizoziiba

  • @mariacharles7469
    @mariacharles7469 4 года назад +2

    Aiseee magu mungu ukulinde tunfu bovu kaa hukohuko.

  • @samwelimoshi5614
    @samwelimoshi5614 4 года назад +2

    Nacheka kwa zarau Sana sa hv wanakiri wenyewe kuwa waliiba haha

  • @muniraahmed624
    @muniraahmed624 4 года назад +2

    Asee wamekonda sana

  • @edwardmkwelele
    @edwardmkwelele 4 года назад +2

    Wamezeeka sana na kukondaaa vitambi vimeisha

  • @ramadhanihassani256
    @ramadhanihassani256 4 года назад +3

    hawajamaaa nadhani kunakitu wamejifunza pamoja na familia yao nadhani nifunzo kwa wengine

  • @claudsanga2129
    @claudsanga2129 4 года назад +3

    Kweli kule ndani sio kuzuri hadi unaomba kukiri kosa duu

  • @maxmaxmo5545
    @maxmaxmo5545 4 года назад +2

    Da!! hayawi hayawi Sasa yamekuwa toen mpunga huo

  • @salimkhamis3638
    @salimkhamis3638 4 года назад +1

    Mtangazaji hili jina halitamkwi "habinderi" ni "habinda" lakini linaandikwa Harbinder. Jifundisheni baadhi ya vitu ili msiwe mnaaibisha😁😁😂😂. Majina yake kamili ni Harbinder Sighn Sethi

  • @honorekiza8762
    @honorekiza8762 4 года назад +2

    Mbona millard ayo hatumii Facebook inakuaje tukufuatilie kwenye page iyo🤷‍♂️🤷‍♂️🤷‍♂️

  • @athumanmgissasimbadamu3316
    @athumanmgissasimbadamu3316 4 года назад +2

    🙏🏼

  • @hamisshabani3126
    @hamisshabani3126 4 года назад

    Da bola mpunga wa escrow utoke tukajengee reli ya kisasa

  • @piushappyness226
    @piushappyness226 4 года назад +3

    warudishe

  • @wolfgangkichai8577
    @wolfgangkichai8577 4 года назад

    😳😳wazee wamepata six pack 🤨🤨

  • @mohdsalum3832
    @mohdsalum3832 4 года назад

    Kwa nn mlichelewa kuandika barua wakati magufuli ashawasamehe

  • @mikidadichande9488
    @mikidadichande9488 4 года назад

    Nimemuona police anakitambi dah police wabongo bwana

  • @pauldaniel5685
    @pauldaniel5685 4 года назад

    Mtangazaji bado kabisa

  • @yassirkipemba7889
    @yassirkipemba7889 4 года назад +1

    sasa kwa rai ya mh Rais atakayelipa aachwe wataiweza na je pesa wanayo?

    • @ototek8037
      @ototek8037 4 года назад +1

      Pesa wanayo ipo uswiswi ndo mafisadi hutunza pesa huko..wanazo zaidi ya hizo' wameiba kwa mda mlefu sana

    • @samwelimoshi5614
      @samwelimoshi5614 4 года назад

      Hahaaa

    • @maxmaxmo5545
      @maxmaxmo5545 4 года назад +1

      Wana hela hao walipe 2

    • @cosmasdaud9088
      @cosmasdaud9088 4 года назад

      Ndugu acha masiala hao wamepiga pesa nyingi sana hizo zilijulikana je ambazo hazikujulikana

    • @edwardmkwelele
      @edwardmkwelele 4 года назад +1

      Hata wale waliowagawia warudishe. Na zile zilitoka kwa kiroba waliopewa hawajulikani nao wazirudishe

  • @cosmasdaud9088
    @cosmasdaud9088 4 года назад

    Mzigo mlefu Sana jaman ebu rudisheni zinanye kazi za maendeleo kwa wote Ila chamoto mmekipata maana mmeishi Kama masikini