TANZANIA NCHI YA KWANZA KUNUNUA MTAMBO MKUBWA WA KUCHORONGA MIAMBA, DKT. MWASI AFUNGUKA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 сен 2024

Комментарии • 34

  • @MalamboSelijusi
    @MalamboSelijusi Месяц назад +3

    Afirca kusini mbona ipo amfanyi utafiti mnadanganya watu

    • @sayeedmsct4255
      @sayeedmsct4255 Месяц назад +1

      Elewa kiswahili mutambo mkubwa Africa acha unafiki wakulikandia taifa lako

  • @deniccgabriel6153
    @deniccgabriel6153 Месяц назад +2

    Nikajua Tanzania ni nchi ya kwanza kwa Africa kulusha settlite yake kumbemtambo wakusaidia waiz walasilimali zetu😊😊😮😮

    • @mosesnyelo1380
      @mosesnyelo1380 Месяц назад

      Katka vilaza wew unashika nafas ya kwanza satellite itakusaidia nin kijana, huo mtambo unaenda kusaidia wale wanaojua kuzisaka pesa migodini

    • @deniccgabriel6153
      @deniccgabriel6153 Месяц назад

      @@mosesnyelo1380 we jinga kama majinga mengine duniani ivi tangu madini yana chimbwa nchi hii ni rais Gani aliwaikukuambia pesa iliyopatikana na hao madini imefanya kazi Gani ktk kusaidia jamiii ,alafu nenda school ujue faida za kumiliki settlite kama nchi na kazi zake katika jamiii 🤔jinga ww..

  • @babajay3445
    @babajay3445 Месяц назад +2

    Inamaana Hata wenyewe waliotengeneza huwo mtambo hawana

    • @rayisadesigns2646
      @rayisadesigns2646 Месяц назад

      ELEWA... TANZANIA NDIYO YA KWANZA KUNUNUA, LAKINI SI KWAMBA HAKUNA MITAMBO MENGINE INAYOSUBIRIA WATEJA WAINUNUE.

  • @jumamussantuiche
    @jumamussantuiche Месяц назад +2

    Mozambique zipo tena za kusachia.

  • @PatrickSaid-zz6gf
    @PatrickSaid-zz6gf Месяц назад +1

    Ishu sio kununua, watu wanataka matokeo

  • @jumashedafa
    @jumashedafa Месяц назад +1

    Mama anajitahid ila walioko nyuma yake sasa bas tu

  • @thomthegotti
    @thomthegotti Месяц назад

    Acha ujinga millard, ungetudanganya kwakusema Tanzania nchi ya kwanza kutengeneza apo sawa lakini sio kununua.

  • @michaelmaziku991
    @michaelmaziku991 Месяц назад

    Hawo wezi tu ukifuatilia utagundua kulikuw na upigaji tu hapo hakun lolote ndio maan wameamua kununua kununua chombo kikubwa ili kutufanya tusiwaze san bei yake ht kama itakuwa kubwa

  • @jamesmwita2995
    @jamesmwita2995 Месяц назад

    Kwani hizo takwimu mnazitoaga wapi Kila kitu wa kwanza kununua ,,utafikiri hicho kiwanda Cha kuzalisha hio mitambo mnakimiliki ninyi

  • @ikulunimahalipatakatifu7642
    @ikulunimahalipatakatifu7642 Месяц назад

    ONGERA TANZANIA tunasonga kimya kimyaaa, Mama safi sana na ongera sanaaaa

  • @allymusira2153
    @allymusira2153 Месяц назад

    Hongera mheshimiwa rais

  • @franknzowa22
    @franknzowa22 Месяц назад

    Daaah siamini kama Tanzania ni ya kwanza kuliko hata South Africa

  • @abdalahzungu6264
    @abdalahzungu6264 Месяц назад

    Hivi ni kuchoronga au kuchonga?!!,mbon munatupotoshea kiswahili chetu

  • @OnesmoEphrata
    @OnesmoEphrata Месяц назад

    BILIONI MIA4 NA NI MITAMBO MITANO IME NUNULIWA WAKATI WABONGO WANAKUFA NJAA ISJEKUWA HATA INAUZA MILION 50 HALAFU WAZEE WA RICHMOND WAKALA MLIONI MI350 POLE YETU TULIO KOPA BANDO

  • @andrewemmanuel1861
    @andrewemmanuel1861 Месяц назад

    Daaah jmn wale wachimbajiii wenzangu kumenoga huku .....

  • @sumakitengo1356
    @sumakitengo1356 Месяц назад

    Kwaiyo ni mtambo tu mmoja Tanzania nzim

  • @bakarikayugwa3295
    @bakarikayugwa3295 Месяц назад

    Achini ujinga nyie Zambia imejaa Hadi screeper zipo hujui lini ulitemberea migodi ya nchi jirani we Kaa oficini u're kiyoyozi 😂

  • @kakurukakuru3317
    @kakurukakuru3317 Месяц назад

    Mnapendaga sifa bila kufanya utafiti. Wapuuzi nyie

  • @chefbestfood
    @chefbestfood Месяц назад

    Huo ni uwongo driller zpo kibao

  • @freddykulwa8190
    @freddykulwa8190 Месяц назад

    Kara kuu mkuru kukuruka mwanangu

  • @jumashedafa
    @jumashedafa Месяц назад

    Msikosoe san zingatien technolojia hii huend zipo ila hii ni new modern ina vitu tofaut na zingin

  • @victorjames3730
    @victorjames3730 Месяц назад

    Kwamba Tanzania ndio nchi ya kwanza huo ni uongo,😅

  • @MeshackErnest-qt6xi
    @MeshackErnest-qt6xi Месяц назад

    Sasa sisi tufanyaje inatusaidia nini wakati taarifa za CAG tirion zaid ya tatu tumepigwa afu wewe unasema sijui kidudu cha kuchoronga kwahio tufanyaje kama tayari tunavitu ambavyo vinapatikana tz pekee tunavisikia lakini hatuoni faida kwa mfano tanzanite sasa hicho africa

  • @storytownTv
    @storytownTv Месяц назад

    Kila kitu tunamshukuru rais, sasa apa ameusikaje achen kutuona wajinga ,wizi tu kutuonea huruma haaaa

  • @AfricabeyondtheLimits
    @AfricabeyondtheLimits Месяц назад

    nchi ya tanzania ni hovyo!! Kitu kidogo kama hicho ni cha kufanyia siasa?

  • @robertphilip385
    @robertphilip385 Месяц назад

    Acha uongo eti Tanzania niyakwanza Africa

  • @user-ce2xg9wt4s
    @user-ce2xg9wt4s Месяц назад

    Mhhhhhhhhh?

  • @amedeustesha5947
    @amedeustesha5947 Месяц назад

    Wakwanza kutumia mikataba ya hovyo kunafaida gani