NYUMBANI KWA RUGEMALILA: "AMEPUMZIKA LEO KATOKA GEREZANI, HATA MAJIRANI TUMEWAZUIA"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 окт 2024
  • Baada ya kusota mahabusu kwa takribani miaka 4, Hatimaye aliyekuwa Mkurugenzi wa IPTL, mfanyabiashara James Rugemalira ameachiwa huru katika Mahakama ya Hakimu Mkazi.
    Rugemalira alifikishwa kwa mara ya kwanza katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Juni 19, 2017 pamoja na wenzake wakikabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi namba 27/2027 yenye mashtaka 12.
    Mashtaka ya Rugemalira yameondolewa chini ya kifungu cha 91(1) cha Mwanendo wa Makosa ya Jinai, DDP amefuta mashtaka hayo na yeye kuachiwa huru.
    Miongoni mwa mashitaka yanayowakabili wanadaiwa kati ya Oktoba 18, 2011 na Machi 19,2014 jijini Dar es Salaam, walikula njama katika nchi za Afrika Kusini, Kenya na India kwa ajili ya kujipatia fedha kwa njia ya udanganyifu.

Комментарии • 242

  • @kalumbugideon4159
    @kalumbugideon4159 3 года назад +6

    Safi Sana Ndugu....ni Heri umehachiwa bila makubaliano pia naona Una Misimamo wa kiume....

  • @allyhassan7522
    @allyhassan7522 3 года назад +5

    Mwambieni huku Duniani Kuna kitu kinaitwa Barakoa au ukipenda unaweza kuiita Barakia.Ndo ndugu na UVIKO.

  • @mamachris6811
    @mamachris6811 3 года назад +3

    Kama za halali kula salama
    Lakini kama kuna watu waliteseka kwa ajili yako,bado unalo la kujibu kwa MUNGU sio kwa Serikali

  • @bettygeyer6952
    @bettygeyer6952 3 года назад +1

    Umoja wa Tanzania waishio Austria, nitukwiyukyayo muno

  • @rehemasifael3580
    @rehemasifael3580 3 года назад +6

    Hilo tangazo linaboa sanaaaaa

  • @annamwakibinga527
    @annamwakibinga527 3 года назад +44

    Bwana Ayo hili tangazo limechosha bwana

  • @isaachayes9783
    @isaachayes9783 3 года назад +5

    NA NYIE AYO HILO TANGAZO LA MIKOCHENI PLAZA NDIO NA KODI YA PANGO MNAPUNGUZIWA HAPO NINI??

  • @bonifacemihambo385
    @bonifacemihambo385 3 года назад +10

    Bro tangaz lako liwek mwishon

  • @aminaibrahim4148
    @aminaibrahim4148 3 года назад

    Pole sana kwa mtihani uliyo pitia mungu akupe furaha

  • @neemaruben5427
    @neemaruben5427 3 года назад +1

    Ayo ata Kama unaingiza mpunga mrefu Sana but ili tangazo Lina tuboa kinoma Noma ...........mm binafsi nimeona Bora walivyo kwachia tu huru

  • @vedastokeya3344
    @vedastokeya3344 3 года назад +11

    Mfumo wa Sasa wamaisha tumia akili fedha ipo nje nje, tembea na korasi inayoitwa mfumko wa bei, au rejerea 2012

  • @evancetilya5140
    @evancetilya5140 3 года назад

    Ok.

  • @davidodesdery4426
    @davidodesdery4426 3 года назад +3

    Ayo matangazo yana kera...kwa kweli....

  • @lucasmhagama8166
    @lucasmhagama8166 3 года назад

    Kariiibu PALM VILLAGE

  • @ustadhsalimonlinetv.1807
    @ustadhsalimonlinetv.1807 3 года назад

    Mimi nashauri memba wote wa Ayo wajiondoe kwa usajili wa channel yake hadi pale atakapo ondoa tangazo lake maana anaonekana kuwajali zaidi wafanya biashara kuliko subscribers wake.

  • @isaachayes9783
    @isaachayes9783 3 года назад +5

    Aisee bora mzee wa watu wamemtoa mungu ni mwema kwa kumtoa salama, ila ajifunze awache kuhongahonga viongozi wa serikali hawakawii kukubadilikia kama polisi

  • @alluminiumexperttz.12mview13
    @alluminiumexperttz.12mview13 3 года назад +3

    Sasa kesi kama hizi ikitokea kashinda analipwa fidia au?

  • @renatusmatungwa6506
    @renatusmatungwa6506 3 года назад +1

    Dah Mungu amlinde

  • @davidkumulaga9419
    @davidkumulaga9419 3 года назад +1

    Mungu ni Mwema Karibu ,,Nyumban KAGERA

  • @istudiohimo2113
    @istudiohimo2113 3 года назад +2

    Nimejitahid kuvumilia ila hili tangazo too much, waiiii hadi inaboa

  • @noelkipera6581
    @noelkipera6581 3 года назад

    Palm village,,kichefuchefu,,najitahd kusogeza mbele nisilisikie,ile karibu Palm tu kero,,,weka mwisho habar

  • @princepiuslucas1457
    @princepiuslucas1457 3 года назад +31

    Millard ayo hayo matangazo yatakuharbia kazi, yanakera saana

    • @richardmakari3360
      @richardmakari3360 3 года назад

      Kabisa yanamuharibia hayo matangazo

    • @fadraj6899
      @fadraj6899 3 года назад

      Yan anaboa sana hadi video zingne mtu haufungui sabab ya mambo yak ya kijinga matangazo malefu sijui majumba vyumba yan kelotupu hadi nime mu UNSUBSCRIBE

    • @fathasalumu7241
      @fathasalumu7241 3 года назад +3

      Yani anakera Sana linajifanya haliskiii kma fala vile

    • @fadraj6899
      @fadraj6899 3 года назад

      @@fathasalumu7241 dawa yake ni ku UNSUBSCRIBE akili zitamkaa sawa Walah nasema🤣🤣🤣

    • @joantharajab4583
      @joantharajab4583 3 года назад

      Jamani ndo malipo yake mengi hayo

  • @richardboaz-mashagospel2346
    @richardboaz-mashagospel2346 3 года назад +10

    KAMA HUKUYAONA YA MAGUFULI UTAYAONA YA FILAUNI, MUNGU YUKO NASI ATUEPUSHIE MBALI SANA KILICHOFICHIKA NDANI YA ESCROW, IPTL NK

    • @TamuzaKale
      @TamuzaKale 3 года назад

      Magu alishindwa kuthibitisha for over four years. Huwezi ku encourage hiyo... Hata Mungu hapendi hiyo!

    • @richardboaz-mashagospel2346
      @richardboaz-mashagospel2346 3 года назад +1

      @@TamuzaKale WEWE TAFUTA CLIP YA LISSU ALIPOKUA BUNGENI, ALISEMA UKWELI WOTE, REKEBISHA KAULI YAKO! SIO ALISHINDWA ILA "ALIKAMATA BAADHI YA WAHUSIKA". LISSU KWA HABARI YA IPTL NA ESCROW, DOWANS NAMUELEWA SANA ILA ALIKEMGEUKA BAADAYE AKAANZA KUTETEA HATA YASIYOSTAHILI KUTETEWA. JARIBU KUJUA NINI KIKO NYUMA YA MAMBO UNAYOYAONA. THEY ARE NOT AS YOU SEE THEM.....GO BACK AND READ MAGUFULI IS A HERO HERO HERO...A TRUE MAN OF AFRICA AND TANZANIA CAN'T COMPARE WITH ANY EXCEPT NYERERE, NKURUMA, LUMUMBA LAKINI WENGINE...ZEROOOOOO

    • @monicahovda4524
      @monicahovda4524 3 года назад

      Hizi nchi zetu za Kiafrica kutwa ni kuibia Watu wake, amabao vipato vywenyewe wanavitapa kwa tabu, viongozi wetu wa bara hili hawapo kikazi Yaani uajibikaji wao wapo, Bora liende yeye ni Raisi, anaweza kufanya anavyotaka kwa Masrahi yake na kundi lake la Marafiki kwa ubinafsi tu, bila kujali hiii ni Taifa, nchi ambayo inakaliwa na wengi ndani yake. Ndio Maana Africa haiendelei, halafu bado wameiga sheria za Mkoloni, Mkoloni alikuwa kimasrahi analinda viongozi wake na Masrahi ya Taifa lao, Sasa nao bado wanaendeleza sheria zile zile kwa viongozi wa juu, sijui nao wanalinda Masrahi yao na Maswahiba zao wanaowazunguka, hata kuziacha hizo sheria za Mkoloni hawataki, ndio maana kunakuwa na ukoloni Mambo leo

  • @ramadhanmgaya1775
    @ramadhanmgaya1775 3 года назад +1

    Kazi iendelee

    • @richardboaz-mashagospel2346
      @richardboaz-mashagospel2346 3 года назад

      Kazi ya kuwaachia huru mmoja baada ya mwingine, kazi ya kurudisha mfumo wa 2014 mfumo mmoja hadi mwingine....tutajuta kwa nini tulimtukana JPM. Watukanaji wote shangilieni mnapata thawabu yenu lakini kwa garama yetu ya kuumia upya.

  • @iviejustified8109
    @iviejustified8109 3 года назад +1

    Wooote tu comment Kihaya....
    Hallelujah

  • @benny4345
    @benny4345 3 года назад

    Rugemalila si Mkurugenzi wa IPTL. Alishauza hisa za IPTL. Na ndo maana kwake yeye kesi hii ilikuwa ni kumuonea tu na hakuwa na hatia! Mnatakiwa kuwa na taarifa nzuri kuliko kureport vitu vya upotoshaji. Think

  • @jeremiahluki7896
    @jeremiahluki7896 3 года назад

    Kuna kitu kinakusumbua kinaitwa palm village kinazengua sana mpaka nishachoka inaboa

  • @marymayanja4672
    @marymayanja4672 3 года назад +1

    Kwa sababu hawakuweza kuwashika wahusika wengine

  • @happycharles2676
    @happycharles2676 3 года назад +2

    Akik Mungu ni mwema kwa wote asa wenye haki

  • @cisselamerverille5286
    @cisselamerverille5286 3 года назад +1

    Basi hapo kujichekesha kinafiki majirani wengine...dah!

  • @JayJay-qc1ky
    @JayJay-qc1ky 3 года назад

    Nilikua naumia sana navyo ona Polisi Na askari magereza wakiwa waamuru wa chuchumae.. walikua wanawatweza kwl. Ivi niulize kwenye PGO ukiwa chini ya ulinzi kipo kifungu kinampa mamlaka polisi akuamrishe uchuchumae au kukaa chini!!??. Siwapendi polisi Na hawa askari magereza kwl kwl.. uwa nawaombeaga mabaya kila mara kwa utesaji wao kwa raia.

  • @ashaaaa3513
    @ashaaaa3513 3 года назад +1

    Pole sana baba imeteseka mno

  • @alexmasea2425
    @alexmasea2425 3 года назад

    So sad jaman this government 🙄

  • @georgeluoga9969
    @georgeluoga9969 3 года назад +8

    Kiongozi matangazo yawe mwisho sio mwanzo nusu yahabari tangazo sasa unafanya nini?

    • @giftgodson5603
      @giftgodson5603 3 года назад +2

      Ndo anapopatia pesa huyo ndo sponsor anampa kipato huna budi kusikiliza tangazo ili yeye apate ujira wake

  • @majejerashidi7035
    @majejerashidi7035 3 года назад

    Huku ndiko kuliko kuwa tunataka kufika tunamshukuru mungu kwahaya mafanikio mafisadi wakiwa wengi ndio unafuu wamaisha unapatikaka endeleeni Kuiba mpo huru asante mama unaupiga mwingi

    • @eskotikimaro2858
      @eskotikimaro2858 3 года назад

      Kutoka moyon au

    • @mesuitozil1527
      @mesuitozil1527 3 года назад

      Lakin kama ni hivo bas ni muendelezo tu maana hata mzee JPM ulikua ukikir hata kama haukufanya unatoa pesa unakua huru, na watakaokataa wafinywe kisawa sawa

    • @immaculatemakene7546
      @immaculatemakene7546 3 года назад

      @@mesuitozil1527 Wewe siyo ukweli, unathubutu kumtetea huyu mama hafai !!!!

    • @mesuitozil1527
      @mesuitozil1527 3 года назад

      @@immaculatemakene7546 naheshim fikra zako wewe una sababu za kuona hafai ila mm nna sababu za kuona anafaa

  • @malelabmalela5016
    @malelabmalela5016 3 года назад

    jaman

  • @onesmojustice2348
    @onesmojustice2348 3 года назад +1

    Ila jela kubaya bana

  • @gospelvibestv3914
    @gospelvibestv3914 3 года назад +2

    Kuna uzimwembamba sana unao mtenganisha MILLARD AYO NA PARM VILLAGEE

    • @mesuitozil1527
      @mesuitozil1527 3 года назад

      Ha ha ha haaaaa maana hii habar ni fupi sana nikajua TANGAZO leo halipo, matokeo Habar na TANGAZO muda pasu kwa pasu

  • @dorisfabian4776
    @dorisfabian4776 3 года назад

    Jamaniiii

  • @glorymutalemwa296
    @glorymutalemwa296 3 года назад +23

    Mirad achana na matangazo ya palm beach unaboa

  • @robertsalu6551
    @robertsalu6551 3 года назад

    RIp Jpm

  • @michealphy4013
    @michealphy4013 3 года назад +5

    Matangazo yako yana bowa sana

  • @gracegrace6200
    @gracegrace6200 3 года назад

    Rugemalila na mwizi. Kufuga ndevu ili aonewe huruma. Wizi wake umewaweza Watanzania wengi.

  • @masudiitembele5414
    @masudiitembele5414 3 года назад +1

    Magufuri huyoo alikua na mazuri yake pia alikua ana mabayaa yakee

  • @maxwellmutta5244
    @maxwellmutta5244 3 года назад

    Ayo matangazo yako tafuta namna nyingine yakutangaza biashara unatuboa....tengeneza account kwaajili ya boashara

  • @deniccgabriel6153
    @deniccgabriel6153 3 года назад

    Ili tangazo kaah linanitoa kwenye line

    • @mesuitozil1527
      @mesuitozil1527 3 года назад

      Hata kwa Magu wametoka wengi, umesahau DPP aliambiwa azungumze nao wakikiri na wakatoa mpunga waachiwe, Mama anapita mlemle tu

  • @rachelmuhehe2593
    @rachelmuhehe2593 3 года назад +6

    Haleluyaaaaaa

  • @khadijaabdala6876
    @khadijaabdala6876 3 года назад

    Allah kareem

  • @salimabdul4424
    @salimabdul4424 3 года назад

    We nae unatuchosha na hiyo palm village

  • @tztanzania2262
    @tztanzania2262 3 года назад

    Huye mzee hyo ni kanzu au joho?

  • @mamawadudu48
    @mamawadudu48 3 года назад +4

    Nipe nafasi nikubunie tangazo zuri lenye mvuto. Ambalo haliboi.

  • @ramadhanimbulu6716
    @ramadhanimbulu6716 3 года назад +23

    Bilionea mbishi..!! amekomaa na kesi hadi serikali imelegea.Daah! kagoma kuingia makubaliano na DPP.Huyu mwanaume wa shoka.

    • @mesuitozil1527
      @mesuitozil1527 3 года назад +2

      Kakaa unafikir yatawekwa waz lazma tu kuna namna sio bure

    • @kelvinaudax8287
      @kelvinaudax8287 3 года назад

      @@mesuitozil1527 mbona ya mwenzie yaliwekwa wazi huyo alikua tayari afie jera ila sio kulipa chochote

    • @aveirofredinhojr1184
      @aveirofredinhojr1184 3 года назад

      Nando maana katoka baada ya magu kufariki dunia kunajambo si bule

    • @ezeedi871
      @ezeedi871 3 года назад

      Kweli wtz sijui nani kawaroga mwanaume wa shoka alotuibia pesa zetu ??

    • @ramadhanimbulu6716
      @ramadhanimbulu6716 3 года назад

      @@ezeedi871 hakuiba!! alilipwa pesa kwa madai halali.walioiba ni wale vigogo ambao Rugemalira alitaka majina yao yatajwe hadharani waliochota pesa za Escrow waletwe mahakamani waseme walichukua hizo pesa kwa kazi gani.Yeye alifanya biashara na Tanesko.

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu1403 3 года назад +1

    Ukipata Jina Kidogo Unavimba Sasa Matangazo Yanini Wakati Wa Habari Muimu

  • @rabanikisusi386
    @rabanikisusi386 3 года назад +2

    Asee nimekomea kuona tangazo tu
    nikatoa kbs linaboa hadi kichwa kinauma ...unsubscribe is included till your advertisment is excluded.

  • @shemelaruhinda6113
    @shemelaruhinda6113 3 года назад +2

    Nyegela waitu omkama akwebembele oshube oyemelele nkokowabaile oli, ntukukwatila empumpya🙏🙏

    • @reawille481
      @reawille481 3 года назад

      Wakola kumwiiyukya omuruhaya kasinge Omukama agendelele kumlinda

    • @elvisoscar9912
      @elvisoscar9912 3 года назад

      Yalugayo omukyala

    • @cosmaswilliam3805
      @cosmaswilliam3805 3 года назад

      Omukama,asimwe ne ebya mbowe bilawaa.

    • @missmrs829
      @missmrs829 3 года назад

      Mwizi huyo usimuombee kwa nyamkama 🤣🤣

    • @dativadaud4300
      @dativadaud4300 3 года назад

      Waitu tukwete empumbya

  • @shamilanamkubarisanasultan1018
    @shamilanamkubarisanasultan1018 3 года назад

    waiyukayo chomaa mpola mnoo Mukama akwebembere

  • @moringelangas7276
    @moringelangas7276 3 года назад

    Kamanda karudi kitaa

  • @marcopaul4809
    @marcopaul4809 3 года назад +1

    ushaanza kuwa mbabaishaji, matangazo yako hayo yanakera sana

  • @abdulkatalango2890
    @abdulkatalango2890 3 года назад +4

    mimi naona ni sawa tu kuachiwa sababu haiwezekani watuhumiwa wengine wakawa huru na wengine kufungwa,kama kufungwa wafungwe wote na kama kama kuwa huru wawe huru wote,katika sakata lililosababisha rugemarila kukaa mahabusu kwa miaka minne walikuwemo wengi,na wengine hata hawakuguswa watu kama askofu Kilaini wao waliendelea kula bata wakati wenzao wanaumia,muda aliokaa mahabusu unatosha mwacheni amalizie muda wake uliobaki na wajukuu zake

  • @adrushassan6348
    @adrushassan6348 3 года назад

    Ajifunze juu ya hilo

  • @ashuramhando5285
    @ashuramhando5285 3 года назад +8

    Kaa utulie Baba kula mahela yako kwa utulivu 😀😀😀😀

  • @mussamalugu1793
    @mussamalugu1793 3 года назад +7

    Ufisadi usharudi kama kawa hatushangai ilo

    • @abdulkatalango2890
      @abdulkatalango2890 3 года назад

      mimi naona ni sawa tu kuachiwa sababu haiwezekani watuhumiwa wengine wakawa huru na wengine kufungwa,kama kufungwa wafungwe wote na kama kama kuwa huru wawe huru wote,katika sakata lililosababisha rugemarila kukaa mahabusu kwa miaka minne walikuwemo wengi,na wengine hata hawakuguswa watu kama askofu Kilaini wao waliendelea kula bata wakati wenzao wanaumia,muda aliokaa mahabusu unatosha mwacheni amalizie muda wake uliobaki na wajukuu zake

    • @mussamalugu1793
      @mussamalugu1793 3 года назад

      @@abdulkatalango2890 kweli mkuu inatosha sema selekali ijitasmini unamweka mtu mahabusu miaka 4 alafu anakutwa hana hatia ni dhambi kubwa

    • @richardboaz-mashagospel2346
      @richardboaz-mashagospel2346 3 года назад

      Kazi ya kuwaachia huru mmoja baada ya mwingine, kazi ya kurudisha mfumo wa 2014 mfumo mmoja hadi mwingine....tutajuta kwa nini tulimtukana JPM. Watukanaji wote shangilieni mnapata thawabu yenu lakini kwa garama yetu ya kuumia upya.

  • @josephmwakilasa6116
    @josephmwakilasa6116 3 года назад

    Ayo unajiaribia mbali na matangazo kazi znapoteza Radha ya kuangali hata maojiano tu hmna boresha wadau unatuferisha ukipuzia p ukipokea p.

  • @jacksonpallangyo1369
    @jacksonpallangyo1369 3 года назад

    Millard kwenye matangazo inaboa had taarifa inakosa mvuto wa kusikiliza wengine huku tunaingia na mb100

  • @iteefmedia4485
    @iteefmedia4485 3 года назад +5

    Pamuu vileji inaboaaaa, kheeee

  • @charlesmaghuha5853
    @charlesmaghuha5853 3 года назад

    mama naona anawaachia TU mafisadi,

  • @missmrs829
    @missmrs829 3 года назад +2

    Fisad na 3katoka sasa timu imekamilika

  • @priscapeter5434
    @priscapeter5434 3 года назад

    Matangazo mengi yann

  • @ynawtyynot1261
    @ynawtyynot1261 3 года назад +1

    Promosheni hamujaviacha tu😂 wahaya bhana..

  • @isackmaturo7331
    @isackmaturo7331 3 года назад

    Kiukweli tangazo linachosha aliweke mwishoni linafanya tushindwe kuangalia kitu husika

  • @iddyramathan4507
    @iddyramathan4507 3 года назад

    Bado masheikh nao sijui hatuna yao

  • @romaisaameenameenameenyara2827
    @romaisaameenameenameenyara2827 3 года назад +1

    MAshekhe WA UAMSHO nao waachiliwe miaka 8,tuseme uchunguzi bado haujaridhika? Familia zao wanawahitaji kwakweli

    • @emanuel1990ism
      @emanuel1990ism 3 года назад +1

      Mwenzetu Burundi umeenda muda mrefu sana

    • @kibasamohamedi8029
      @kibasamohamedi8029 3 года назад +1

      Weee upo dunia gani kwni ? Mbona muda Sana waliachiwa .

    • @mesuitozil1527
      @mesuitozil1527 3 года назад

      Kaka ulitangulia Burundi kabla ya tozo

    • @ezeedi871
      @ezeedi871 3 года назад

      Kwan we jamaa unaish tz kweli au ulikuepo ughaibun?

    • @officialbntrasool5223
      @officialbntrasool5223 3 года назад

      @@emanuel1990ism 😂😂😂😂

  • @denyu9975
    @denyu9975 3 года назад

    Tangazo hili toa bwana linamaliza mb zetu

  • @rachelkayuni9487
    @rachelkayuni9487 3 года назад +4

    Sasa nyie mnaomwambia millard matangazo yanakera mnataka millard aemdeshaji kazi kazi yake..bila hayo matangazo wafanyakazi wake watalipwa nini ili kuwaletea habari na video kama hizo? Nyie hilo tangazo linawakera kwasababu hamna hela ya kupanga hizo appartment ...basi tulieni hizo appartment ndo zinazofanya millard atuletee habari nzuri maana wakimlipa hela ya tangazo na yeye ananunua camera na kulipa wafanyakazi mishahara

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu1403 3 года назад

    Saka Pesa Uwe Uru

  • @salmaathuman9156
    @salmaathuman9156 3 года назад

    Mmh

  • @salomecaroly5534
    @salomecaroly5534 3 года назад +4

    Millard ukipata matangazo weka tu ndio yanakupa ugali, ss ni wapiga kelele tu kazi ni kufuatilia habari kwa mbs hatukulipi kaka matangazo ndio yanakulipa

    • @ustadhsalimonlinetv.1807
      @ustadhsalimonlinetv.1807 3 года назад

      Ujinga wako utube inamlipa na anaweza kuendesha vipindi vyake bila matangazo, matangazo huwa hiari kuangalia na inatakikana kisheria aweke kwenye mfumo wa "SKIP"

    • @wisperfect5320
      @wisperfect5320 3 года назад

      @@ustadhsalimonlinetv.1807 kama unaona yanakera acha kuangalia chanel yake yeye ndio yanampa ugali hata kama analipya na yutube iyo nayo anapata pesa pia hata yy sio mjing ndio maan kayawek mbele na hajaweka huo mfumo unaotaka ww wa skip

  • @ymusic803
    @ymusic803 3 года назад

    Uwo wimbo walio uimba unabeba mwisho nimeuelewa

  • @barakayohanasanga3005
    @barakayohanasanga3005 3 года назад

    Vipi kuhusu singasinga, a.k.a Habinda Sett, DDP, kaonaje au Alisha achiwa kitambo?

    • @allyliyugana2310
      @allyliyugana2310 3 года назад

      Kaachiwa muda tu,katanguliza pesa zetu 200 milioni bado tunamdai zingine

    • @mesuitozil1527
      @mesuitozil1527 3 года назад

      Zaman sana

  • @dullahkubanga6193
    @dullahkubanga6193 3 года назад

    😆😆😆😆😆pesa anatumia uzeheni izo

  • @stephanogallet3461
    @stephanogallet3461 3 года назад

    Milad ayo mnaniuthi na matangazo yenu

  • @khadijahali4837
    @khadijahali4837 3 года назад +1

    Weka mwisho tangazo lako

  • @gasparlubaga5866
    @gasparlubaga5866 3 года назад

    Ufisadi kwa kwenda mbele

  • @godfreybikukana2079
    @godfreybikukana2079 3 года назад +1

    Hadi mzee amekufa ndipo mafisadi wanashinda tulijua tu maana

    • @abdulkatalango2890
      @abdulkatalango2890 3 года назад

      mimi naona ni sawa tu kuachiwa sababu haiwezekani watuhumiwa wengine wakawa huru na wengine kufungwa,kama kufungwa wafungwe wote na kama kama kuwa huru wawe huru wote,katika sakata lililosababisha rugemarila kukaa mahabusu kwa miaka minne walikuwemo wengi,na wengine hata hawakuguswa watu kama askofu Kilaini wao waliendelea kula bata wakati wenzao wanaumia,muda aliokaa mahabusu unatosha mwacheni amalizie muda wake uliobaki na wajukuu zake

    • @abdulsinga2464
      @abdulsinga2464 3 года назад

      Oyiiii mzee baba huyu mzee amekaa gerezani miaka mi4...Ameonekena hana kesi inayomkabili dpp ameonaa afute hio kesi. sio ameshinda kesi. Soma alama za nyakati mzee baba...na pia kama hujui dpp nina ulizwa kwatu uwambiwe...sio unaandika kitu hukifaham....

  • @yusuphtwaha8386
    @yusuphtwaha8386 3 года назад

    Mkuu Bora tangazo liwe kat

  • @jamesmoshi2547
    @jamesmoshi2547 3 года назад

    0:31

  • @elvisoscar9912
    @elvisoscar9912 3 года назад

    Nyegela tata nyegela muno

  • @wilbrodwemaonlinetv8379
    @wilbrodwemaonlinetv8379 3 года назад +1

    Tangazo lako ungeweka mwishoni bwn

    • @peterkinabo1186
      @peterkinabo1186 3 года назад

      Jamani hayo matangazo ndio yanaletwa hizi habari,ukisema toa tangazo Ina maana na hii habari usiipate! Alafu unaposema tangazo liwekwe mwisho,sijui kama unajua kusudio la tangazo ni nini

  • @joycekalembo2225
    @joycekalembo2225 3 года назад +1

    Yule marehemu atakua leo kanuna kweli..!??! dah kweli malaika mtoa roho kaupiga mwingi sana..ila hawa nao wamepiga sana haya sasa watulie..sema tu huyu jamaa alikua anajua kula na vipofu ambao nahc bdo wapo ktk garimoshi hili..saaafi saana..kula na kipofu mdgo mdgo jamaan hatuna jinsi.

    • @khadijahali4837
      @khadijahali4837 3 года назад

      😂😂

    • @abdulkatalango2890
      @abdulkatalango2890 3 года назад

      mimi naona ni sawa tu kuachiwa sababu haiwezekani watuhumiwa wengine wakawa huru na wengine kufungwa,kama kufungwa wafungwe wote na kama kama kuwa huru wawe huru wote,katika sakata lililosababisha rugemarila kukaa mahabusu kwa miaka minne walikuwemo wengi,na wengine hata hawakuguswa watu kama askofu Kilaini wao waliendelea kula bata wakati wenzao wanaumia,muda aliokaa mahabusu unatosha mwacheni amalizie muda wake uliobaki na wajukuu zake

    • @richardboaz-mashagospel2346
      @richardboaz-mashagospel2346 3 года назад

      @@immaculatemakene7546 anajitambua huu ndio wakati wenyewe haswa wakati wa shetani usitoe macho unapoona maajabu....sio mbugani hapo ni michezo na viini macho vya shetwani....,endelea kutizama movie.

  • @mohandalrahbi8942
    @mohandalrahbi8942 3 года назад +2

    tangozo lako linaboa sana

  • @pillyladislaus8657
    @pillyladislaus8657 3 года назад

    Ila kiukweli siku hizi na nyie mnakera bwana matangazo meng

  • @robertjunior9916
    @robertjunior9916 3 года назад +2

    Asee kazeekea mahabusu 😂😂

  • @rashidyally8715
    @rashidyally8715 3 года назад

    Inaonekana mlifika kabla yake

  • @jackswaxtv6424
    @jackswaxtv6424 3 года назад

    Pamu vileji kerooooo kwakweli...

  • @dreamcity9441
    @dreamcity9441 3 года назад

    More ad 🥵

  • @janemapoz6360
    @janemapoz6360 3 года назад

    Singeli inayotamba ruclips.net/video/wxfTfu0_S6U/видео.html

  • @robertmtiba6092
    @robertmtiba6092 3 года назад

    Hyo mitangazo

  • @modeemojombo5662
    @modeemojombo5662 3 года назад

    Matangazo mmmh! Boring

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 3 года назад +2

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍✌

  • @bulugubujashi6378
    @bulugubujashi6378 3 года назад +1

    Tangazo refu hadi kero