MAKONDA AKUTANA na "WADUDU wa CHUGA" USO kwa USO, WAFANYA KIKAO KIZITO,.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 апр 2024

Комментарии • 95

  • @YusufSasamalo-uz4ii
    @YusufSasamalo-uz4ii 21 день назад +8

    Good approach of leadership
    Building trust is important
    Huyu makonda ni kipaji

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 21 день назад +4

    Nakuombea maisha marefu mwanangu Makonda'Mtani.❤❤❤❤❤❤

  • @alipomwamahonje
    @alipomwamahonje 15 дней назад

    Mungu akuongoze kiongozi mahiri ❤

  • @EmmmaTembo
    @EmmmaTembo 20 дней назад +6

    Huyu kenyonyo umakini wake ni feki
    Hapo ukimuuliza Makonda kasema nini hakumbuki😂

  • @user-od1ow1ky4g
    @user-od1ow1ky4g 21 день назад +3

    Safi sana, kiongozi ni hekima na lugha tu nzuri and then kila kitu kinaenda sawa

  • @charlesmpemba9387
    @charlesmpemba9387 21 день назад +3

    Makonda anabongo Sana kawabadilisha wadudu duuh😊

  • @user-xs6sh5wh4p
    @user-xs6sh5wh4p 21 день назад +4

    Hujawahi kuniangusha kaka makonda.mungu wangu akulinde uendelee kutumikia vema taifa hili

  • @maulidimopen1273
    @maulidimopen1273 20 дней назад +1

    Wape Kandarasi ya kusafisha Mji, hao Wadudu ❤

  • @mabeleleheven1467
    @mabeleleheven1467 21 день назад +1

    Mdogo wangu nilijua mungu mwema tangia domu

  • @mudhihirIbrahim-hb7ry
    @mudhihirIbrahim-hb7ry 21 день назад +4

    Makonda ana akili nyingi sana anaweza kuongea nakila rika awe mzee kijana

  • @chiefmajai9345
    @chiefmajai9345 21 день назад +4

    Hili siyo taifa la kihuni wasanii siyo mitaani

  • @zariadunia6328
    @zariadunia6328 21 день назад +3

    Mama Rais wetu hebu punguza kusikiliza washauri wabaya dhidi ya makonda mama huyu kijana ana mapungufu yake lkn kwa sasa nionavyo mimi ni kijana pekee ambaye atakusaidia sana bila kurubuniwa na wabaya wako mama usiwasikilize watu wanaomkataa makonda sio wazuri wanamchukia coz ana nyota ya kupendwa na watu hiyo mizee haitopenda anavyoshangiliwa na wananchi ni lzm wamtafutie majanga tu lkn tunamuombea sana makonda

    • @geey7893
      @geey7893 20 дней назад

      Umeongea ukweli mtupu ndugu yangu. Daah! Jamaa wazee wenye tamaa waliofelisha nchi hawamtakii

  • @J4UPro
    @J4UPro 21 день назад

    Makonda upo vizuri sana kiongozi

  • @feisalmwinyi2429
    @feisalmwinyi2429 21 день назад +3

    Ukitaka kuwaongoza wagojwa wa akili na wee ujifanye tu km wao ama uende km waendavyo wao ndo hi Mh Makonda anavyo kwenda nao safi Sanaa 😂😂😂😂😂😂

    • @jasonwatz7457
      @jasonwatz7457 20 дней назад

      Sidhani kama ni wagonjwa, ila vijana waliozama kwenye culture ya tofauti, ukitaka uishi nao lazima uwe level yao understand level yao then change their system , na huu ndio uongozi si maguvu

  • @LastKakats
    @LastKakats 21 день назад +2

    Watabadilika tu hata mi naona tena inawezekana akawatumia hawa kuibadilisha chuga nzima, jamaa anaakili

  • @marthaadammakatobemwakatob4246
    @marthaadammakatobemwakatob4246 21 день назад +3

    Makonda ni jana nimetoka kukuombea kwa Mungu mwenyezi Mungu akulinde

  • @erickenock3198
    @erickenock3198 21 день назад +2

    Kazi ipooo!!!

  • @AbdulMajid-kj5bi
    @AbdulMajid-kj5bi 21 день назад

    Safi sana mh makonda

  • @ashaomar9999
    @ashaomar9999 17 дней назад

    Mungu amtuze rais ajae

  • @osmundpius
    @osmundpius 19 дней назад

    Sana mwana hapo mambo safi

  • @RahelSimon-pl6yt
    @RahelSimon-pl6yt 19 дней назад

    Mji unamambo, mungu akusimamie kamanda

  • @AreKiwango
    @AreKiwango 21 день назад +3

    Ni wadudu mtu au

  • @grationkato7658
    @grationkato7658 18 дней назад

    Ndio maana nakupenda rc makonda

  • @JescaBenardy
    @JescaBenardy 21 день назад +1

    😊

  • @barakarobert1029
    @barakarobert1029 21 день назад +2

    Madogo wametulia

  • @rashdiyange7758
    @rashdiyange7758 20 дней назад

    Ila kwakwerrrr lichosema kenyonyo kiulizwa alicho sema makonda akuna atakacho jibu😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @rabiimhando7586
    @rabiimhando7586 20 дней назад

    Sio powa salamu kwa mkono wa kushoto

  • @zuhurafulela7007
    @zuhurafulela7007 21 день назад +1

    Mdogo Wangu umeona wazuri hao

  • @Mariam99-ld4gw
    @Mariam99-ld4gw 21 день назад +4

    Wabadilishie mavaz 😂😂

    • @evidencekangimba1538
      @evidencekangimba1538 20 дней назад

      Hawa wamekuwa ni kivutio sana kwa mkoa wa Arusha hivo mavazi ni muhimu sana

  • @samsonhamery3809
    @samsonhamery3809 20 дней назад

    Ushindi katika mapambano yoyote yale ni mbinu za midani.Makonda Ni kamanda mzuri

  • @user-rg2hx3le6h
    @user-rg2hx3le6h 21 день назад

    Makonda wew ni noma 😂😂

  • @marandoruzali1946
    @marandoruzali1946 20 дней назад

    Uko vyema sana mkuu

  • @beatusmajumbi7125
    @beatusmajumbi7125 21 день назад +2

    Hakika wewe ni kiongozi

  • @user-xk7vy4gb6g
    @user-xk7vy4gb6g 21 день назад +2

    Mh Makonda 😅😅😅unaongea Huku unatizama miatu yao km mkonga wa tembo 😅😅😅😅.

    • @sarahkinyashi6213
      @sarahkinyashi6213 21 день назад

      😂😂😂😂😂😂😂aisee kuongoza wadudu,busara inahitajika🙏🙏

    • @user-xk7vy4gb6g
      @user-xk7vy4gb6g 21 день назад +1

      @@sarahkinyashi6213 yani ningekuwa mimi ningepata homa ghafula

  • @touches4lifeonlinetv46
    @touches4lifeonlinetv46 19 дней назад

    Ishi miaka mingi saana PM🎉

  • @constanciapeter2497
    @constanciapeter2497 21 день назад

    Jamanii mimi nakuja kumuona Baba Makonda live.. Jamani hili ni JEMBE LA MaDINI YOTEEE🎉🎉🎉

  • @fahadfahmy
    @fahadfahmy 21 день назад

    Sisi kama wadudu tunamkaribisha mkuu 🤣🤣

  • @emmanuellyatuu4103
    @emmanuellyatuu4103 20 дней назад

    💪🏾💪🏾💪🏾

  • @pulikisia7963
    @pulikisia7963 21 день назад

    Duh!! Sijui itakuaje mdudu mmoja hapo akaamua kuwa Samia😂😂

  • @user-jx9if6cd6t
    @user-jx9if6cd6t 20 дней назад

    Arusha nimewakubali sana kiukweli nime aprishiert

  • @mwinyichinchibera4875
    @mwinyichinchibera4875 20 дней назад

    Makonda oyeee

  • @isayakatuwa9482
    @isayakatuwa9482 19 дней назад

    Hawa wadudu wametulia kama wana akili timamu😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @zumbeshauri8114
    @zumbeshauri8114 20 дней назад

    Wenzetu wamepata viongozi wazuru ila makonda mumepata mtu wallah natafuta nauri nije kwa makonda

  • @user-bz7kg2lr3f
    @user-bz7kg2lr3f 20 дней назад

    Mtu wa kwanza kupiga stor na wahuni na wakamuelewa😊😊😅

  • @lucyvalerian2324
    @lucyvalerian2324 18 дней назад

    Makonda Oyeeeee...!

  • @user-ft4tq4ug4c
    @user-ft4tq4ug4c 20 дней назад

    Wakuu wa mikoa wamuige makonda kwa kutetea lesirimari ya nchi

  • @user-im9ew6pw8e
    @user-im9ew6pw8e 20 дней назад

    Mung akubarik baba

  • @user-sj3wf5vz7l
    @user-sj3wf5vz7l 21 день назад

    Vijana mmepewa mlango. Tumieni wakati huu kufikiri lakufanya mpatiwe mitaji. Mbadilishe staili muonyeshe utalii wa mji wenu.

  • @adamhashim3352
    @adamhashim3352 21 день назад

    Mama kashawaona imeisha iyoo atawazibgatia

  • @GideonJackson-bq2lg
    @GideonJackson-bq2lg 16 дней назад

    Huyu jamaa mwamba

  • @MakokeHassan
    @MakokeHassan 20 дней назад

    Kunakajamaaa kapimbiii wanakabania hapo aahhh😅😅😅😂😂😂

  • @godfamilyministry-ov1ch
    @godfamilyministry-ov1ch 18 дней назад

    Unafaa kuwa rais wa tz naona wa kuvaa viatu vya magufuuuuuuuuuuu niiiii makoooonda

  • @HamisRashid-xl4mn
    @HamisRashid-xl4mn 21 день назад

    WANAELEWA AU WANAPIGA2 MAKOFI😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅

  • @user-ni9zc3gx5t
    @user-ni9zc3gx5t 19 дней назад

    NjAaa mbaya

  • @rajabujumanne9519
    @rajabujumanne9519 20 дней назад

    Uyo alioongea mbona kama sio mdudu

  • @kanaanimpya2340
    @kanaanimpya2340 21 день назад

    Hekima sana

  • @edwinelias8554
    @edwinelias8554 21 день назад +1

    Km umemuona Dogo kabeba Dundo ( buffer mchongo ) tujuane kwa like😂

  • @ndorobocarworks-dx4pf
    @ndorobocarworks-dx4pf 21 день назад

    Uyo aliyevaa kofia ya jkt ni kama nani hasa?

  • @dilludillu2747
    @dilludillu2747 20 дней назад

    Wadudu oyee

  • @HannanSomaiyah-wp7ny
    @HannanSomaiyah-wp7ny 19 дней назад

    Wasikikizwe maoni yao then hawa wasaidiwe

  • @huldamichael4445
    @huldamichael4445 21 день назад

    😂😂😂mwana

  • @gladistaemanueliy6336
    @gladistaemanueliy6336 21 день назад

    Hao ni njaaa wote wanunulie wali maharage

  • @jacobmwanga7722
    @jacobmwanga7722 21 день назад

    Chinyonyo 😂😂😂

  • @user-kg8zf3vc3j
    @user-kg8zf3vc3j 20 дней назад

    Wameumbwa kwa mfano wa mungu mungu Gani huyo..

  • @shekhaahmed3961
    @shekhaahmed3961 21 день назад

    Madesigner hawa😂

  • @JosephM.meiliari
    @JosephM.meiliari 21 день назад

    Kwa mavazi hayo vp kiukweli binafsi sielewi kizazi kinaelekea wp na serikali imeshaunga mkono

  • @josephatdunda1937
    @josephatdunda1937 19 дней назад

    Hawa vijana ni balaa

  • @sarahdeograthias9097
    @sarahdeograthias9097 21 день назад +4

    Samia kapata kiongozi,Uyu kiongozi Makonda wangemwacha aendelee kuwa Mwenaezi wa chama cha mpinduzi naimani Uchaguzi wa Urais kwa mchakato wa ndani wa Chama cha m...wangepata wakati mgum sana....Big up MAKONDA

    • @matatamatatatours3237
      @matatamatatatours3237 21 день назад

      MAKONDO NII HAKIKA
      MAMA JITAFAKARI
      USIJE UKAMUACHA MAKONDA
      HUYU NIKIPENZI CHAN WANYOONGE NDO WENGI KULIKO MAFISADI WANAO MPIGA VITA
      OGOPA WANAVOSEMA
      CHAMA KINA WENYEWE
      NI WAO NA WATOTO WAO.
      ANAETETEA WANYONGE KWAO NIADUI
      OGOPA SANA WATU HAO

  • @wilhardvawunge-ns2ks
    @wilhardvawunge-ns2ks 20 дней назад

    Bange ya Arusha

  • @JescaBenardy
    @JescaBenardy 21 день назад

    😂😂😂😂😂😂jmn

  • @vivianezekiel-ef3iy
    @vivianezekiel-ef3iy 21 день назад

    😂😂😂😂😂

  • @HamisRashid-xl4mn
    @HamisRashid-xl4mn 21 день назад

    😅😅😅😅😅😅😅😅😅

  • @ramlamohamed4401
    @ramlamohamed4401 21 день назад +4

    Makonda tunakuomba usije ukaondoka Arusha wewe ni wakwetu Hatutaki ujinga wa Lema tena Hivyo Mama yetu Samia tunamshukuru kutupa Hitaji la Mioyo yetu Arusha Makomda Mama Tunakonda ikiwezekana Makonda awe Raisi upande wa Chuga Makonda tunakupenda

    • @jasonwatz7457
      @jasonwatz7457 20 дней назад

      Ataondoka tu, mpangaji na mteuaji akiona anafaa sehem fulani hamna namna

    • @bushbabytz
      @bushbabytz 20 дней назад

      nyoko wewe lema anachukua arusha yake asubuhi mapemaa...huyu mwendazake ataenda tu..

    • @jasonwatz7457
      @jasonwatz7457 20 дней назад

      @@bushbabytz angeweza miaka miwili nyuma, kwa sasa kisha chelewa

    • @ramlamohamed4401
      @ramlamohamed4401 20 дней назад

      @@bushbabytz lema ni mchumba sasa hivu

    • @bushbabytz
      @bushbabytz 20 дней назад

      @@ramlamohamed4401 tupo hapa tunaoishi arusha na kuijua arusha....hatuna mafala ..arusha kaskazini nzima ni chadema

  • @RafikiNapepa
    @RafikiNapepa 20 дней назад

    Safi sana

  • @paschaljoseph3590
    @paschaljoseph3590 21 день назад +1

    Makonda anakipaji

  • @TheopistaMuheta-qp1bc
    @TheopistaMuheta-qp1bc 21 день назад +1

    Haaaa🎉🎉🎉🎉