Mama Rais wetu hebu punguza kusikiliza washauri wabaya dhidi ya makonda mama huyu kijana ana mapungufu yake lkn kwa sasa nionavyo mimi ni kijana pekee ambaye atakusaidia sana bila kurubuniwa na wabaya wako mama usiwasikilize watu wanaomkataa makonda sio wazuri wanamchukia coz ana nyota ya kupendwa na watu hiyo mizee haitopenda anavyoshangiliwa na wananchi ni lzm wamtafutie majanga tu lkn tunamuombea sana makonda
Sidhani kama ni wagonjwa, ila vijana waliozama kwenye culture ya tofauti, ukitaka uishi nao lazima uwe level yao understand level yao then change their system , na huu ndio uongozi si maguvu
Samia kapata kiongozi,Uyu kiongozi Makonda wangemwacha aendelee kuwa Mwenaezi wa chama cha mpinduzi naimani Uchaguzi wa Urais kwa mchakato wa ndani wa Chama cha m...wangepata wakati mgum sana....Big up MAKONDA
MAKONDO NII HAKIKA MAMA JITAFAKARI USIJE UKAMUACHA MAKONDA HUYU NIKIPENZI CHAN WANYOONGE NDO WENGI KULIKO MAFISADI WANAO MPIGA VITA OGOPA WANAVOSEMA CHAMA KINA WENYEWE NI WAO NA WATOTO WAO. ANAETETEA WANYONGE KWAO NIADUI OGOPA SANA WATU HAO
Makonda tunakuomba usije ukaondoka Arusha wewe ni wakwetu Hatutaki ujinga wa Lema tena Hivyo Mama yetu Samia tunamshukuru kutupa Hitaji la Mioyo yetu Arusha Makomda Mama Tunakonda ikiwezekana Makonda awe Raisi upande wa Chuga Makonda tunakupenda
Good approach of leadership
Building trust is important
Huyu makonda ni kipaji
Nakuombea maisha marefu mwanangu Makonda'Mtani.❤❤❤❤❤❤
Mungu akuongoze kiongozi mahiri ❤
Huyu kenyonyo umakini wake ni feki
Hapo ukimuuliza Makonda kasema nini hakumbuki😂
😂😂😂😂
😂😂😂😂
Safi sana, kiongozi ni hekima na lugha tu nzuri and then kila kitu kinaenda sawa
Makonda anabongo Sana kawabadilisha wadudu duuh😊
Hujawahi kuniangusha kaka makonda.mungu wangu akulinde uendelee kutumikia vema taifa hili
Wape Kandarasi ya kusafisha Mji, hao Wadudu ❤
Mdogo wangu nilijua mungu mwema tangia domu
Makonda ana akili nyingi sana anaweza kuongea nakila rika awe mzee kijana
Hili siyo taifa la kihuni wasanii siyo mitaani
Mama Rais wetu hebu punguza kusikiliza washauri wabaya dhidi ya makonda mama huyu kijana ana mapungufu yake lkn kwa sasa nionavyo mimi ni kijana pekee ambaye atakusaidia sana bila kurubuniwa na wabaya wako mama usiwasikilize watu wanaomkataa makonda sio wazuri wanamchukia coz ana nyota ya kupendwa na watu hiyo mizee haitopenda anavyoshangiliwa na wananchi ni lzm wamtafutie majanga tu lkn tunamuombea sana makonda
Umeongea ukweli mtupu ndugu yangu. Daah! Jamaa wazee wenye tamaa waliofelisha nchi hawamtakii
Makonda upo vizuri sana kiongozi
Ukitaka kuwaongoza wagojwa wa akili na wee ujifanye tu km wao ama uende km waendavyo wao ndo hi Mh Makonda anavyo kwenda nao safi Sanaa 😂😂😂😂😂😂
Sidhani kama ni wagonjwa, ila vijana waliozama kwenye culture ya tofauti, ukitaka uishi nao lazima uwe level yao understand level yao then change their system , na huu ndio uongozi si maguvu
Watabadilika tu hata mi naona tena inawezekana akawatumia hawa kuibadilisha chuga nzima, jamaa anaakili
Makonda ni jana nimetoka kukuombea kwa Mungu mwenyezi Mungu akulinde
Kazi ipooo!!!
Safi sana mh makonda
Mungu amtuze rais ajae
Sana mwana hapo mambo safi
Mji unamambo, mungu akusimamie kamanda
Ni wadudu mtu au
Ndio maana nakupenda rc makonda
😊
Madogo wametulia
Ila kwakwerrrr lichosema kenyonyo kiulizwa alicho sema makonda akuna atakacho jibu😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Sio powa salamu kwa mkono wa kushoto
Mdogo Wangu umeona wazuri hao
Wabadilishie mavaz 😂😂
Hawa wamekuwa ni kivutio sana kwa mkoa wa Arusha hivo mavazi ni muhimu sana
Ushindi katika mapambano yoyote yale ni mbinu za midani.Makonda Ni kamanda mzuri
Makonda wew ni noma 😂😂
Uko vyema sana mkuu
Hakika wewe ni kiongozi
Mh Makonda 😅😅😅unaongea Huku unatizama miatu yao km mkonga wa tembo 😅😅😅😅.
😂😂😂😂😂😂😂aisee kuongoza wadudu,busara inahitajika🙏🙏
@@sarahkinyashi6213 yani ningekuwa mimi ningepata homa ghafula
Ishi miaka mingi saana PM🎉
Jamanii mimi nakuja kumuona Baba Makonda live.. Jamani hili ni JEMBE LA MaDINI YOTEEE🎉🎉🎉
❤
Sisi kama wadudu tunamkaribisha mkuu 🤣🤣
💪🏾💪🏾💪🏾
Duh!! Sijui itakuaje mdudu mmoja hapo akaamua kuwa Samia😂😂
Arusha nimewakubali sana kiukweli nime aprishiert
Makonda oyeee
Hawa wadudu wametulia kama wana akili timamu😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Wenzetu wamepata viongozi wazuru ila makonda mumepata mtu wallah natafuta nauri nije kwa makonda
Mtu wa kwanza kupiga stor na wahuni na wakamuelewa😊😊😅
Makonda Oyeeeee...!
Wakuu wa mikoa wamuige makonda kwa kutetea lesirimari ya nchi
Mung akubarik baba
Vijana mmepewa mlango. Tumieni wakati huu kufikiri lakufanya mpatiwe mitaji. Mbadilishe staili muonyeshe utalii wa mji wenu.
Mama kashawaona imeisha iyoo atawazibgatia
Huyu jamaa mwamba
Kunakajamaaa kapimbiii wanakabania hapo aahhh😅😅😅😂😂😂
Unafaa kuwa rais wa tz naona wa kuvaa viatu vya magufuuuuuuuuuuu niiiii makoooonda
WANAELEWA AU WANAPIGA2 MAKOFI😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
NjAaa mbaya
Uyo alioongea mbona kama sio mdudu
Hekima sana
Km umemuona Dogo kabeba Dundo ( buffer mchongo ) tujuane kwa like😂
Uyo aliyevaa kofia ya jkt ni kama nani hasa?
Wadudu oyee
Wasikikizwe maoni yao then hawa wasaidiwe
😂😂😂mwana
Hao ni njaaa wote wanunulie wali maharage
Wewe unanini wewe
Chinyonyo 😂😂😂
Wameumbwa kwa mfano wa mungu mungu Gani huyo..
MUNGU Mwenyezi
Sasa hutaki au
Madesigner hawa😂
Kwa mavazi hayo vp kiukweli binafsi sielewi kizazi kinaelekea wp na serikali imeshaunga mkono
Hao ni wasanii acha kukaza fuvu wewe😂😂😂
Hilo ni vazi kama vazi longine tu
Hawa vijana ni balaa
Samia kapata kiongozi,Uyu kiongozi Makonda wangemwacha aendelee kuwa Mwenaezi wa chama cha mpinduzi naimani Uchaguzi wa Urais kwa mchakato wa ndani wa Chama cha m...wangepata wakati mgum sana....Big up MAKONDA
MAKONDO NII HAKIKA
MAMA JITAFAKARI
USIJE UKAMUACHA MAKONDA
HUYU NIKIPENZI CHAN WANYOONGE NDO WENGI KULIKO MAFISADI WANAO MPIGA VITA
OGOPA WANAVOSEMA
CHAMA KINA WENYEWE
NI WAO NA WATOTO WAO.
ANAETETEA WANYONGE KWAO NIADUI
OGOPA SANA WATU HAO
Bange ya Arusha
😂😂😂😂😂😂jmn
😂😂😂😂😂
😅😅😅😅😅😅😅😅😅
Makonda tunakuomba usije ukaondoka Arusha wewe ni wakwetu Hatutaki ujinga wa Lema tena Hivyo Mama yetu Samia tunamshukuru kutupa Hitaji la Mioyo yetu Arusha Makomda Mama Tunakonda ikiwezekana Makonda awe Raisi upande wa Chuga Makonda tunakupenda
Ataondoka tu, mpangaji na mteuaji akiona anafaa sehem fulani hamna namna
nyoko wewe lema anachukua arusha yake asubuhi mapemaa...huyu mwendazake ataenda tu..
@@bushbabytz angeweza miaka miwili nyuma, kwa sasa kisha chelewa
@@bushbabytz lema ni mchumba sasa hivu
@@ramlamohamed4401 tupo hapa tunaoishi arusha na kuijua arusha....hatuna mafala ..arusha kaskazini nzima ni chadema
Safi sana
Makonda anakipaji
Haaaa🎉🎉🎉🎉