WADUDU WAMKATALIA RC MAKONDA ALICHOWASHAURI KWENYE KIKAO CHAO - ''ITAKUWA FEDHEHA -HATUWEZI KUACHA''
HTML-код
- Опубликовано: 28 апр 2024
- WADUDU WAMKATALIA RC MAKONDA ALICHOWASHAURI KWENYE KIKAO CHAO - ''ITAKUWA FEDHEHA -HATUWEZI KUACHA''
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
Hongera Makonda kuwaambia kuwa wasijiite wadudu.Piga marufuku hilo jina na roho chafu imevamia Tanzania.Binadamu atabaki kuwa binadamu na wadudu watabaki kuwa wadudu.
Na Tembo atabaki kuwa tembo harmonies Simba Diamond mbuzi Yound lunya
Wana fanya music mzuri wafikirie namna bora ya kujibrand " KUMBUKA UTAKAVYOJIWEKA NDIVYO UTAKAVYO CHUKULIWA" dhamani ya sanaa ya msanii haipo kwenye talent ipo kwenye taswira ya sanaa yake.
Wadudu kama wadudu. Saluti kwenu, mmetisha na hilo songi aisee.
Nyimbo yenu ni nzuri sana
Wanavoonekana hawa !!! Kuna kazi ya ZIADA sana naona hapa BADO .
Duu itakuwa fedheha Tena hahaha leo umenichekesha sana Capt Kinyunyu
Kwa mara ya kwanza nimesikia Key nyonyo akiongea vizuri japo kiasi flani
Anawabembabemba mkileta za hovyo mjichanganye mtaisoma 😅😅
Uyo kiongozi ni KIDUDU 🐜 🐜 🐜 🐜
Wadudu mmetisha aisee
Hawamjui makonda vizuri hawa
Hata yeye Ni hatri Zaidi ya mdudu
Napenda kutoa ushauri kwa Diper ratto kweli aliona mbali sana kutaka kubanana na key nyonyo ila iwapo key nyonyo angelikuwa anajitambua zaidi na kujua namna YA kuongea ungelikuwa mbali sana
❤❤❤
Fainali uzeeni.
😏 hovyo kabisaa
Wanaenjoy maisha hawajataka kucomplicatisha mambo
Leo ajalewa
🚆🚆Bangi nyingi za wadudu bado sisimizi
😂😂😂hapo kazi ipooo
Kenyonyo leo kaongea kama kiongozi😂😂😂
Ndiyo bwana😂😂😂😂
Kwisha
Very true
Makonda waga anaanzanao taratibu ila wakijichanganya hawataamini.
😂😂😂😂😂
Hawa jamaa n kuwatoa lock tu ndy mtawez kuwamudu cyo kuwap elimu hamtaelewan zaid y kuchoshana vchw
Umeongea sahihi kabisa
nyuki hawezi kuacha kutengeneza asali atengeneze sumu🤣🤣🤣
MH aliwshauri wadudu iwe aka
Kizazi Og Wadudu😂😂😂🔥🔥🔥🔥🔥
kenyonyooooooo
kenyonyo anafurahisha sna ety itakuwa fedheha hahahaha🤣🤣
Yani haka katoto sijui kakubwa au katoto 😅😅😅😅 nikimuona huyu mtoto nacheka peke yangu na miatu yao km mkonga wa tembo 😅😅😅
What
Hamkumuelewa mkuu wa mkora amesema wadudu iwe A.K.A nyie vip😝😝😝😝
Wengine wanajiita machawa... 😅😅
Muogopeni Allah enyi waja wa Allah.
MDUDU HAPEWI LAWAMA
Saut ya kenyonyo ktk wimbo😂😂😂
Hao jamaa hawajahusika na ukabajii?
nifedhea atuwez kujiita wadudu ,💪💪💪
Nyie wandishi mnapenda kiki sana nyie mnakuza sana vitu visivyo na maana
Hawa wadudu hawana Uti wa mgongo🤭🤭🤭
Tafuteni habari zenye kuelimisha jamii HAMNA brand hapo nyie wapotofu.waandishi ni wachochezi tu
Biga marufuk kabisa mh. MAKONDA ndio tunaendelea kutengeneza maov kwenye hii. Nchi watakuja wengine wajiite majina mabaya Zaid ikibidi waachishwe kabisa kamawamekataa.
Ndo maana ni kafupi km mdudu, mi ajidhaniavyo mtu ndivyo alivyo
Awa jamaa kweli machizi eti wadudu. Na hata waaswas hawana
SASA KUVAA HIVO NDO NINI?. MSIOVER DO MSIJE MKABOA .
Kenyenyo anazingua bana
Uyo dogo mbona ajui kuongea kila cku ebu mmpeni darasa
Swali langu kwani hao wadudu hawavuti bangi,, maana najua ukisha vuta bangi au kama umewahi huwez kua na akili nzur,, mamb yako yanakua ya kibangi bangi, kiufupi unakua Kama chizi mda wote😂😂😂
Mtangazaji anacheka😂😂😂
Ivi makonda uyo sawa au mm sielewi
Ndugu yangu arusha lazima uende polepole ukienda haraka,unaacha roho yako kule
Hivi vijamaa ovyoo kabisa....sasa kutafuta hela ndo kuvaa kijinga namna hiyo.
Oyaa jombaaaaa Sisi tutabaki kua wa DUDU tu.
Ningkuwa raisi arusha ningeipga bomu la nukria ikaanza upya
😂😂😂😂kabisa
hahha hitler weee tuache
@meddyroshan74. tuache bhana na chuga yetu ndo maana cyo raisi mana una roho mbaya 😂😂😂
😂😂😂😂
Uwiiiiii 😂😂😂😂😂😂Hallow nimecheka,hilo bomu ungempa nani jamani ili akalipige?😂😂😂