This guy is so genius .............ila Makonda unakazi kubwa sana hapo Arusha ils as long as u have a very big IQ u can do well na kuwasaidia hawa wafanyabiashara..........Makonda Mungu azidi kukutetes unafanya Vyema sana sana❤
Ujanja unjanja mwingi sana katika ili Taifa Mkurugenzi aujiongezi na wewe wewe unaelekezwa kwa na TIS iko nyuma yako ulishindwa kujiongeza aisee duh Wasomi wetu noma
This guy is so genius .............ila Makonda unakazi kubwa sana hapo Arusha ils as long as u have a very big IQ u can do well na kuwasaidia hawa wafanyabiashara..........Makonda Mungu azidi kukutetes unafanya Vyema sana sana❤
Duh Makonda Mungu akupe maono zaidi
Ujanja unjanja mwingi sana katika ili Taifa Mkurugenzi aujiongezi na wewe wewe unaelekezwa kwa na TIS iko nyuma yako ulishindwa kujiongeza aisee duh Wasomi wetu noma
Siyo ujanja UTAPELI UFISADI huu kungamiza serikali ya mtanzania Mama samia fukuza yeye Leo ♌️.
Huyo mkurungenzi afikiliwe kwa utendaji
Mkiambiwa muajiri wakurugenzi kwa vyeti mnaleta wanasiasa, haya sasa
Mama Yuko kazini na hachukui hatua hata siku moja.😅😅😅😅😅😅 kama angekua magufuli huyu angekua ameshachukuliwa hatua
Asante Sana Habari mpya
Huyu mkurugenzi aliwahi lia kule serengeti mbele ya Magufuli
Mm mwenyewe nimemkumbuka😂😂😂😂
HIVI KONGERA ALIKUWA NA KAZI GANI. ARUSHA NA LIKOFIA LAKE
😂