HALI ILIVYO MAFURIKO KIBITI, MZEE AGOMA KUHAMA, TAZAMA.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 апр 2024

Комментарии • 72

  • @ismaelgadiye4488
    @ismaelgadiye4488 10 дней назад +2

    Muzee safi sana umesema tatizo lililokumba nchi nzima kuhusu uchaguzi leo wanawaambia memchagua wenyewe waliwaweka kikatili ni kila mahali babu nimekupenda umewanyoosheshea hao ccm

  • @ismailchibonda5005
    @ismailchibonda5005 20 дней назад +6

    Wazee wamesanuka big up 😂😂😂😂😂

  • @aloycesamba998
    @aloycesamba998 20 дней назад +4

    Huyo mzee Mimi Nampa 🥀🌹💐💐🌹🌹🌹💐yake mapema, maana yupo sahihi kabisa

  • @johnmichaellukindo21
    @johnmichaellukindo21 20 дней назад +6

    Mzee wape kitu na box!

  • @MuyaMndiga-pq2gn
    @MuyaMndiga-pq2gn 19 дней назад +5

    😢wazee ni hazina yanchi mkumbue

  • @hamisiomaryi1699
    @hamisiomaryi1699 10 дней назад +1

    Dar mzee yai kakaza

  • @khadija5761
    @khadija5761 20 дней назад +4

    🎉🎉🎉🎉🎉chukuwa maua yako babu

  • @omanoman2044
    @omanoman2044 3 дня назад

    Nyumba zimejaa maji anakatalia ataishi vip maji yakipungua atarud mungu wangu kumbe kibit ndo kuna maisha magum hiv nyumba hiz hata k8j8jin kwetuy hakun hata jiko hakun kama hiiz duuh maisha nimagum san

  • @AlhajiMswaki-de3kb
    @AlhajiMswaki-de3kb 19 дней назад +4

    Wazee wapo makin mbunge hovyo

  • @user-ex9sd8wm4l
    @user-ex9sd8wm4l 20 дней назад +4

    Ila poleni sana wana kibiti tuko pamoja😢😢😢

  • @ismaelgadiye4488
    @ismaelgadiye4488 10 дней назад +1

    Hao wazee kwa muonekano wanaonekana wamechoka wanaakili sana pointi wanazoongea ni ajabu

  • @user-vm5yf8cs2r
    @user-vm5yf8cs2r 19 дней назад +2

    Sawa sawa mzee uko sawa kabisa

  • @user-zt1te9ir8t
    @user-zt1te9ir8t 20 дней назад +4

    tanzania hiyoooooooo.

  • @muddyausi8470
    @muddyausi8470 19 дней назад

    Hii inch masikini sana Viongoz wanaleta siasa ichulwa tu ndo zinatuchelewesha viongz wetu wetu wanayosema yangetoka moyoni sio mdomoni na asilimali tulizonazo tungepunguza kias kikibwa cha umaskini ila ubinfs umewajaaa na kujilimbikizia mali wao tu Mungu tusaidie bila wewe hatuvuki

  • @Muhamed_mo
    @Muhamed_mo 20 дней назад +4

    Awazee hawa hamuwawexi waacheni wavue tu

  • @user-ex9sd8wm4l
    @user-ex9sd8wm4l 20 дней назад +5

    Mzee yuko vizuri sana

  • @ramadhanimpate-yj3qp
    @ramadhanimpate-yj3qp 18 дней назад

    mzigo wa motoo 🔥🔥🔥

  • @user-gn2gb5ve2b
    @user-gn2gb5ve2b 19 дней назад +2

    Atakapoliwa na mamba ndio atajua kuhama kama atajuwa hai.

  • @ednalugano2906
    @ednalugano2906 20 дней назад +2

    Sauti za wananchi hawa huwa hazisikiwi katika uwekezaji unaofanyika. Hadi lini serikali itavumilia raia kuporwa ardhi za wananchi?

  • @profs.a5412
    @profs.a5412 19 дней назад +3

    Mzeee anaakili saanaa, eti mwenyekit mlichagua wenyewe , mzeee kaamua kuachana live kwamba hao viongozi miliwaweka wenyewe sio cc. 😅😅

    • @elioimer8423
      @elioimer8423 17 дней назад +1

      Nimempenda huyu mzee bureee, “ Yai bovu”.

    • @mohamedisalimu
      @mohamedisalimu 9 дней назад

      Yai bovu...kapasuka du!!

  • @mangulimanguli3974
    @mangulimanguli3974 9 дней назад

    Mnauza ardhi kwa tamaa zenu mnasingizia wananchi ao wawekezaji awana ata vigezo

  • @taylorkasitu3819
    @taylorkasitu3819 19 дней назад +1

    Du mzee kawapa za uso majizi ya kura na muharibu uchaguzi yule mwendazake

  • @EmmanuelMsangi-kb3vv
    @EmmanuelMsangi-kb3vv 18 дней назад

    Hongereni wazee wetu

  • @user-up2mu3ec7v
    @user-up2mu3ec7v 17 дней назад +1

    Ajali imetokea onkoa majeruhi wawaishe hospital usije kujinadi huo sio ubunge ulikuwa mnakaa kwenye vikao wote

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 20 дней назад +2

    Huyu mbunge ni wa kupiga chini,,,,,ana wasimanga wazee wa watu!

  • @rajenderrobert8605
    @rajenderrobert8605 20 дней назад +1

    Nyembele Oyeee

  • @FilbertFissoo-pe2xm
    @FilbertFissoo-pe2xm 20 дней назад +1

    Hii ni muvi au habari 😂😂😂😂

  • @rasnchimbi
    @rasnchimbi 20 дней назад +1

    Amezindika eneo lake huyu,kafukia mahirizi😂😂

  • @MohammedSaid-tf5qc
    @MohammedSaid-tf5qc 16 дней назад +1

    Tuachieni Rufiji yetu ngoje hao wazee wakasirike watakuleteeni mamba nyiengojeni najivunia kuwa mndege ster wandenge hoee kwanza ss maji tumeanza kuishi nayo mdamre

  • @KhamisHaji-pw4jo
    @KhamisHaji-pw4jo 18 дней назад

    Huo ndo ukweli wazee wangu

  • @hezronmlwale7416
    @hezronmlwale7416 20 дней назад +7

    Hahahaha!!😂😂😂 Hiii imeeenda kabisa!! Chama limekutana na ukweli ambao ni mchungu hata kuusikia... Nimependa ujasiri wa huyu mzee.

    • @noelbryson7840
      @noelbryson7840 19 дней назад

      Yupi sasa manake kuna Mzee yai bovu na huyo mwingine😅?

  • @ankoanko-zz7it
    @ankoanko-zz7it 18 дней назад +1

    Wazee wanaamka

  • @AwaziRajab
    @AwaziRajab 17 дней назад

    Ahame Ngome Yake Inabaki Na Nani

  • @wilisonmikate1652
    @wilisonmikate1652 18 дней назад +1

    Hawa wazee wapewe maua yao

  • @aziziatumanially424
    @aziziatumanially424 17 дней назад

    Ni kweri hamukumchagua ninyi amechaguliwa n wao 😂😂😂😂😂😂

  • @mangulimanguli3974
    @mangulimanguli3974 9 дней назад

    Tatizo la kachaguliwa viongozi ndo ata Bungeni wamejaa ndio mzee Anasingizia wananchi wameuza Ardhi wakati izo Ardhi wanauzaga wao serikali kwa tamaa zao na kuwaacha Wananchi usika maskini

  • @autorashautoelectrician2205
    @autorashautoelectrician2205 8 дней назад

    Yani uyo kiongizi kaenda kuwasimanga TU apo anaon ndo wakati wakutafta kiki za uchaguzi mbona ata dar maji yamejaa vp nawenyewe wamemchagua nani

  • @sophiakimaro5174
    @sophiakimaro5174 6 дней назад

    Ivi watu wapo seriously kweli?au wameenda kuimba yai bovu

  • @NardhisMhagama-sy3eq
    @NardhisMhagama-sy3eq 18 дней назад

    Endeleeni kuuza ardhi nyie CCM Bado wamasai Wana lalamika

  • @AlphonceItagara-cu4tb
    @AlphonceItagara-cu4tb 19 дней назад +2

    Mmmh mzee yai bovu bwana😀

  • @user-mi7cd8ch1b
    @user-mi7cd8ch1b 19 дней назад

    Arafu wanasema samia anaupga mwingi kwa vp wakanti wananchi wanaumea

  • @afredykahabi8599
    @afredykahabi8599 16 дней назад

    Wazee wa mana San Hawa ett😅😅😅😅

  • @user-mi7cd8ch1b
    @user-mi7cd8ch1b 19 дней назад

    Ni mtihani kwakweri watanzania tumeuza nchi wenyewe

  • @user-ex9sd8wm4l
    @user-ex9sd8wm4l 20 дней назад +1

    Serikali ingiliye kati

  • @baysomapea500
    @baysomapea500 16 дней назад

    Eriasi kitasa nakuona apo

  • @HijaSaid-xd7fg
    @HijaSaid-xd7fg 20 дней назад

    Shamba la bwana kheri, mbuzi wa kheri

  • @AgnessAgustino-lr7up
    @AgnessAgustino-lr7up 17 дней назад

    Eti magufuli ndiyo alifoji uchaguzi mzee mweupe pe

    • @mangulimanguli3974
      @mangulimanguli3974 9 дней назад

      Ww ndo mweupe ujitambui Bunge limejaa ma ccm nani kawaeka c magu ayo ndo matunda yake viongozi wengi wabovu

  • @BatretStambuli
    @BatretStambuli 18 дней назад

    Watani zangu hameni jamani pisheni maji

  • @HasaniShija-ye5xg
    @HasaniShija-ye5xg 13 дней назад

    Mtu akigoma kuhama kama Mimi namuacha yatamuhamisha maji akaishi baharini

  • @ankoanko-zz7it
    @ankoanko-zz7it 18 дней назад

    2025

  • @FilbertKalembe-fy4oq
    @FilbertKalembe-fy4oq 18 дней назад

    Hiyo siasa uvumilivu mpaka lini na kama nimafuriko kwanini musitengeneze miundo mbinu ww umetumwa wananchi hawa waondoke

  • @yukundapeter8200
    @yukundapeter8200 19 дней назад

    Km waligawa arthi pesa walipeleka wapi?nyumba gani hixo?km hataki kuhama c muwaache?

    • @mangulimanguli3974
      @mangulimanguli3974 9 дней назад

      Ivi ww unasikuliza porojo za ccm ivi kuna mwananchi anaweza kugawa ardhi! Ao ccm na serikali yao wakija wanakuja na police utake usitake utaama ,usiongee tu ayaja kukuta Ma ccm yanaangalia matumbo yao tu

  • @elibarikikivuyo5946
    @elibarikikivuyo5946 16 дней назад

    Sasa ukigoma faida nn

  • @salumrwambo9733
    @salumrwambo9733 17 дней назад

    Yai bovu mtamu

  • @StAr-yu3vz
    @StAr-yu3vz 19 дней назад

    Poreni

  • @user-uv7op3id3s
    @user-uv7op3id3s 20 дней назад +2

    Kimeumana ukweli mgumu chama kimeumbuka

  • @ibrahimusagondo5228
    @ibrahimusagondo5228 18 дней назад

    Yani hapo piga makofi nyanyua kwa nguvu waondoke hapo wapishe maji kwanza acheni siasa

  • @johnmichaellukindo21
    @johnmichaellukindo21 20 дней назад

    We leteni mtumbwi ! Usilete ngonjera, wachawi hao

    • @allymngwaya2831
      @allymngwaya2831 19 дней назад +1

      Fanyeni kazi na wananchi wa nchi ndo mtajua tabia zao. Haya ni mambo ya kawaida kwa wananchi wa vijijini kumuhamisha mwananchi kutoka eneo moja na kumpeleka eneo lingine huwa ni ngumu sana mara nyingi huwa hwataki. Kwa sababu wanakuwa wameshazoea hayo maeneo na wanajua jinsi ya kuendesha maisha yao huwa wanaogopa kwenda sehemu nyigine kuanza maisha mapya.

  • @ashasaidi1895
    @ashasaidi1895 20 дней назад

    Mandengereko hayoo

  • @georgemahenge
    @georgemahenge 20 дней назад +1

    Mnawahujumu.mmepewa vidonge vyenu.ccm nimajizi mpaka wazee wamewakataa.

  • @sylvestercameo6263
    @sylvestercameo6263 20 дней назад

    Mheshimiwa anawapa pole halafu anawafariji mikono mitupu kwamba "kaja kuwaona lakini misaada iko njiani...."! Anamaliza kwa kusema "kuweni wavumilivu...."! Mheshimiwa kakutana na Yai bovu.."!

  • @abbiecox1
    @abbiecox1 10 дней назад

    ASAIDIWE SANDA ILI YAKIMCHUKUA AJIFUNGE AFIE HUMO

  • @user-up2mu3ec7v
    @user-up2mu3ec7v 17 дней назад +1

    Haya maneno sio ya kuongea na waathirika ww unaeongea inamaana ulikuwa unayaombea haya umekuja kujinadi