Muzee safi sana umesema tatizo lililokumba nchi nzima kuhusu uchaguzi leo wanawaambia memchagua wenyewe waliwaweka kikatili ni kila mahali babu nimekupenda umewanyoosheshea hao ccm
Nyumba zimejaa maji anakatalia ataishi vip maji yakipungua atarud mungu wangu kumbe kibit ndo kuna maisha magum hiv nyumba hiz hata k8j8jin kwetuy hakun hata jiko hakun kama hiiz duuh maisha nimagum san
Hii inch masikini sana Viongoz wanaleta siasa ichulwa tu ndo zinatuchelewesha viongz wetu wetu wanayosema yangetoka moyoni sio mdomoni na asilimali tulizonazo tungepunguza kias kikibwa cha umaskini ila ubinfs umewajaaa na kujilimbikizia mali wao tu Mungu tusaidie bila wewe hatuvuki
Tatizo la kachaguliwa viongozi ndo ata Bungeni wamejaa ndio mzee Anasingizia wananchi wameuza Ardhi wakati izo Ardhi wanauzaga wao serikali kwa tamaa zao na kuwaacha Wananchi usika maskini
Ivi ww unasikuliza porojo za ccm ivi kuna mwananchi anaweza kugawa ardhi! Ao ccm na serikali yao wakija wanakuja na police utake usitake utaama ,usiongee tu ayaja kukuta Ma ccm yanaangalia matumbo yao tu
Fanyeni kazi na wananchi wa nchi ndo mtajua tabia zao. Haya ni mambo ya kawaida kwa wananchi wa vijijini kumuhamisha mwananchi kutoka eneo moja na kumpeleka eneo lingine huwa ni ngumu sana mara nyingi huwa hwataki. Kwa sababu wanakuwa wameshazoea hayo maeneo na wanajua jinsi ya kuendesha maisha yao huwa wanaogopa kwenda sehemu nyigine kuanza maisha mapya.
Mheshimiwa anawapa pole halafu anawafariji mikono mitupu kwamba "kaja kuwaona lakini misaada iko njiani...."! Anamaliza kwa kusema "kuweni wavumilivu...."! Mheshimiwa kakutana na Yai bovu.."!
Muzee safi sana umesema tatizo lililokumba nchi nzima kuhusu uchaguzi leo wanawaambia memchagua wenyewe waliwaweka kikatili ni kila mahali babu nimekupenda umewanyoosheshea hao ccm
Wazee wamesanuka big up 😂😂😂😂😂
Huyo mzee Mimi Nampa 🥀🌹💐💐🌹🌹🌹💐yake mapema, maana yupo sahihi kabisa
Mzee wape kitu na box!
😢wazee ni hazina yanchi mkumbue
Dar mzee yai kakaza
🎉🎉🎉🎉🎉chukuwa maua yako babu
Nyumba zimejaa maji anakatalia ataishi vip maji yakipungua atarud mungu wangu kumbe kibit ndo kuna maisha magum hiv nyumba hiz hata k8j8jin kwetuy hakun hata jiko hakun kama hiiz duuh maisha nimagum san
Wazee wapo makin mbunge hovyo
Ila poleni sana wana kibiti tuko pamoja😢😢😢
Hao wazee kwa muonekano wanaonekana wamechoka wanaakili sana pointi wanazoongea ni ajabu
Sawa sawa mzee uko sawa kabisa
tanzania hiyoooooooo.
Hii inch masikini sana Viongoz wanaleta siasa ichulwa tu ndo zinatuchelewesha viongz wetu wetu wanayosema yangetoka moyoni sio mdomoni na asilimali tulizonazo tungepunguza kias kikibwa cha umaskini ila ubinfs umewajaaa na kujilimbikizia mali wao tu Mungu tusaidie bila wewe hatuvuki
Awazee hawa hamuwawexi waacheni wavue tu
Mzee yuko vizuri sana
mzigo wa motoo 🔥🔥🔥
Atakapoliwa na mamba ndio atajua kuhama kama atajuwa hai.
Sauti za wananchi hawa huwa hazisikiwi katika uwekezaji unaofanyika. Hadi lini serikali itavumilia raia kuporwa ardhi za wananchi?
Mzeee anaakili saanaa, eti mwenyekit mlichagua wenyewe , mzeee kaamua kuachana live kwamba hao viongozi miliwaweka wenyewe sio cc. 😅😅
Nimempenda huyu mzee bureee, “ Yai bovu”.
Yai bovu...kapasuka du!!
Mnauza ardhi kwa tamaa zenu mnasingizia wananchi ao wawekezaji awana ata vigezo
Du mzee kawapa za uso majizi ya kura na muharibu uchaguzi yule mwendazake
Acha matusi
Hongereni wazee wetu
Ajali imetokea onkoa majeruhi wawaishe hospital usije kujinadi huo sio ubunge ulikuwa mnakaa kwenye vikao wote
Huyu mbunge ni wa kupiga chini,,,,,ana wasimanga wazee wa watu!
Nyembele Oyeee
Hii ni muvi au habari 😂😂😂😂
Amezindika eneo lake huyu,kafukia mahirizi😂😂
Tuachieni Rufiji yetu ngoje hao wazee wakasirike watakuleteeni mamba nyiengojeni najivunia kuwa mndege ster wandenge hoee kwanza ss maji tumeanza kuishi nayo mdamre
Huo ndo ukweli wazee wangu
Hahahaha!!😂😂😂 Hiii imeeenda kabisa!! Chama limekutana na ukweli ambao ni mchungu hata kuusikia... Nimependa ujasiri wa huyu mzee.
Yupi sasa manake kuna Mzee yai bovu na huyo mwingine😅?
Wazee wanaamka
Ahame Ngome Yake Inabaki Na Nani
Hawa wazee wapewe maua yao
Ni kweri hamukumchagua ninyi amechaguliwa n wao 😂😂😂😂😂😂
Tatizo la kachaguliwa viongozi ndo ata Bungeni wamejaa ndio mzee Anasingizia wananchi wameuza Ardhi wakati izo Ardhi wanauzaga wao serikali kwa tamaa zao na kuwaacha Wananchi usika maskini
Yani uyo kiongizi kaenda kuwasimanga TU apo anaon ndo wakati wakutafta kiki za uchaguzi mbona ata dar maji yamejaa vp nawenyewe wamemchagua nani
Ivi watu wapo seriously kweli?au wameenda kuimba yai bovu
Endeleeni kuuza ardhi nyie CCM Bado wamasai Wana lalamika
Mmmh mzee yai bovu bwana😀
Arafu wanasema samia anaupga mwingi kwa vp wakanti wananchi wanaumea
Wazee wa mana San Hawa ett😅😅😅😅
Ni mtihani kwakweri watanzania tumeuza nchi wenyewe
Serikali ingiliye kati
Eriasi kitasa nakuona apo
Shamba la bwana kheri, mbuzi wa kheri
Eti magufuli ndiyo alifoji uchaguzi mzee mweupe pe
Ww ndo mweupe ujitambui Bunge limejaa ma ccm nani kawaeka c magu ayo ndo matunda yake viongozi wengi wabovu
Watani zangu hameni jamani pisheni maji
Mtu akigoma kuhama kama Mimi namuacha yatamuhamisha maji akaishi baharini
2025
Hiyo siasa uvumilivu mpaka lini na kama nimafuriko kwanini musitengeneze miundo mbinu ww umetumwa wananchi hawa waondoke
Km waligawa arthi pesa walipeleka wapi?nyumba gani hixo?km hataki kuhama c muwaache?
Ivi ww unasikuliza porojo za ccm ivi kuna mwananchi anaweza kugawa ardhi! Ao ccm na serikali yao wakija wanakuja na police utake usitake utaama ,usiongee tu ayaja kukuta Ma ccm yanaangalia matumbo yao tu
Sasa ukigoma faida nn
Yai bovu mtamu
Poreni
Kimeumana ukweli mgumu chama kimeumbuka
Yani hapo piga makofi nyanyua kwa nguvu waondoke hapo wapishe maji kwanza acheni siasa
We leteni mtumbwi ! Usilete ngonjera, wachawi hao
Fanyeni kazi na wananchi wa nchi ndo mtajua tabia zao. Haya ni mambo ya kawaida kwa wananchi wa vijijini kumuhamisha mwananchi kutoka eneo moja na kumpeleka eneo lingine huwa ni ngumu sana mara nyingi huwa hwataki. Kwa sababu wanakuwa wameshazoea hayo maeneo na wanajua jinsi ya kuendesha maisha yao huwa wanaogopa kwenda sehemu nyigine kuanza maisha mapya.
Mandengereko hayoo
Yamefanyaje? Tumia lugha nzuri
Na ww mshenzi wa wp ?
Mnawahujumu.mmepewa vidonge vyenu.ccm nimajizi mpaka wazee wamewakataa.
Mheshimiwa anawapa pole halafu anawafariji mikono mitupu kwamba "kaja kuwaona lakini misaada iko njiani...."! Anamaliza kwa kusema "kuweni wavumilivu...."! Mheshimiwa kakutana na Yai bovu.."!
ASAIDIWE SANDA ILI YAKIMCHUKUA AJIFUNGE AFIE HUMO
Haya maneno sio ya kuongea na waathirika ww unaeongea inamaana ulikuwa unayaombea haya umekuja kujinadi