HALI TETE KIBITI KAYA ZAGEUKA KUWA MTO, NYUMBA ZASOMBWA, DC ATEMBEA NA BOTI KUKAGUA "TUNAOMBA MSAADA
HTML-код
- Опубликовано: 13 апр 2024
- Mkuu wa Wilaya ya Kibiti, Kanali Joseph Kolombo ameivunja kambi ya shimo la hela iliyokuwa ikitumika kuhifadhi waathirika wa mafuriko na kutaka waamishwe na kupelekwa kambi kitumbini ambapo wamehifadhiwa waathiriki wengine hatua hiyo imefanyika baada maji mvua zinazoendelea kunyesha kusababisha maji kuendelea kusogea katika makazi hayo
DC Kolombo akikabidhi misaada katika kambi ya waathirika amemshukuru Rais samia suluhu kwa kuendelea kuwakumbuka waathirika hao kwa kuwapatia msaada wa chakula na mahitaji mengine sambamba na hilo amewaomba wadau kuendelea kujitokeza kusaidia mahitaji muhimu kwa waathirika hao kwani mahitaji yalipo bado hayatoshi idadi ya waathirika inazidi kuongezeka kadri siku zinavyozidi kwenda.
Subbhanna Allah!, Yarabi, Ewe Mola wetu mlezi tuondoshee majanga haya yarabi, hatunakimbilio zaidi yako mola wetu, inshaallah mola atawaondoshea majanga haya inshaallah.
Subhana Allah ndugu zotu jmnii Allah awafanyie wepesi na hili janga home sweet home 😢
Poleni Sana ndugu zetu, hakika mvua ni baraka lakini kwa namna zinavyotupa changamoto tumuombe Mungu atusaidie, kila sehemu ni changamoto za mvua
subuhanallah
Allah awanusuru
Jamani Jamani Mungu anusuru watu wake
Pole wahanga
Subhanna Allah, Allah atunusuru na majanga Rufij home sweet home
ALLAH awafanyieni wepes
Waondieni watu kwenye mikondo ya maji, waelekezeni maeneo salama kuishi, wahandisi mnajua,na wazee wapo, tunachoka kulia sisi.
Tamaa ya kuishi kila mahali tunatakiwa kukaa pamoja maeneo salama tunatabia ya kuvamia sana ardh bila mpango
Yaraab wasahilie waja wako kote ulimwenguni hamjaathirika peke yenu
Mkwajuni kumbe iko kwingi nyumbani
Serikali ya Samia au ya wananchi?
Muombe Mungu usiombe wadau kwahy unataka maafa yaendelee au
Mama samia /maombi ya kitaifa unakwama wapi Bibi Wewe hayo yote ni sababu ya ushoga NA usagaji
Wakili wako yupo au unalopoka 2😢
Ongea kama mti, siyo kitu
@@ntiliyothomas225@Watu wetu hawajajua kuwa Sheria ya mtandao ni kali sana na inafanya kazi.
Polen ndugu zetu
Pray for kibiti
Wenyeji wamefurahi Sanaa fursa ya samaki
Polen sana ndugu zetu
Dua muhimu sana
mm sipingani na selekali kwakutoa masada wa mahindi kwa mm niushauli wangu nibola selekali ingeingia galama nyengine ya kuyasa hayu mhnd wakafikishiwa unga sasa uyo mhnd awo laiya wapike makande
Haki ya Mungu ningekuwa na ndugu yangu maeneo hayo nisingekubali aishi maeneo hayo hatarishi.
Poleni saaana
Poleni jamani
Mkuu wa wilaya anavaa life jacket lakini watoto wadogo hawana life jacket hii nchi ya ovyo sana
C wakanunue
@@gustavompemba1781 serikali ilitakiwe wawape kama walivyowapa wakubwa mkuu wa wilaya
Wapeni basi matent mazuri ili wajisitiri! Duh tunshindwa hata kuytoa matent wakati makampuni ya kutengeneza matent Tanzania tunayo?
Sio kibiti peke yake kuna sehemu hapaja tokea mafuriko lkn mwaka huu yametokea. Kwengine mlima umekuwa tope umeshuka nyumba zimefunikwa mvua hii kubwa mnoo
god salvate my fellow Tanzanian this is hard time
Jaman mungu anatuazibu Kwa madhambi yamezid watu kusagana na kufil****kila siku Tena adharan ona matokeo yake
Unaongea upumbavu kabisa mbona nchi zingine Hadi wanaowana Na hawana majanga yeyote , huu ni upuuzi wa wananchi Na serikali kuwaachia wananchi kukaa Karibu Na mabonde Na mafuriko sio mara ya kwanza
@@Kabwela776 ndugu tengua kauli yako mungu akitaka kuleta mahafa ajalishi upo wap Mimi nipo Oman na ni nchi ambayo mvua ni mara chache Kwa mwaka inaweza ikawa mara moja na Sio nyingi ni vilashalasha Ila mwaka huu ni ya mafuliko yaan APA Jana familia moja wamekufa watu Tisa gar la shule limesombwa na maji Aya nayo iyo ni uzembe WA serikali?
@@user-lo8ef9qn2r ni mabadiliko ya tabia nchi Na haihusiani Na maovu ya binadamu kuna nchi zina maovu sana Na hawana majanga !
Tufikirie kutatua tatizo kwa kuwapa makazi salama ya kudumu..... Sio kuwaweka kambini Kisha kuwaacha walivyo
Utakuta mtu anaishi Masaki vizuri,huku Kibiti mzazi anapata tabu ya Mafuriko.
Tumrudie Muumba
Hili ni janga la taifa.
Fifa wanayo ela msiombe ombe
2ombe mungu2mekosea wapi a2onyexhe mara mafuriko manyara.mara mbeya. Xahivi rufiji.
Ushoga na usagaji pia uuaji na machafu mengi dhulma,Allah atusamehe,turudi kwake kwa kutubu
Baba yetu nakuona piga kazi mzee wetu
MAN MADE FLOOD.
How, unatumia kichwa, au kiuno kufikiri?
😢😢mungu wangu.poleni sana .kibiti.na rufiji..hapo ndugu zetu wasisogelee .mana mamba wamemwagika hapo
mwaka huu wa aina yake tuendelee kumuomba mungu atusaidie
Eeeer mwenyezi mungu tujalie mvua za kadri
Ukiwa kiongozi we ni zaidi ya mlezi,DC umeonesha uchungu sana kwa wananchi wako.
huyu ndo kiongozi,mungu akupe mema zaidi.