HALI TETE KIBITI KAYA ZAGEUKA KUWA MTO, NYUMBA ZASOMBWA, DC ATEMBEA NA BOTI KUKAGUA "TUNAOMBA MSAADA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 апр 2024
  • Mkuu wa Wilaya ya Kibiti, Kanali Joseph Kolombo ameivunja kambi ya shimo la hela iliyokuwa ikitumika kuhifadhi waathirika wa mafuriko na kutaka waamishwe na kupelekwa kambi kitumbini ambapo wamehifadhiwa waathiriki wengine hatua hiyo imefanyika baada maji mvua zinazoendelea kunyesha kusababisha maji kuendelea kusogea katika makazi hayo
    DC Kolombo akikabidhi misaada katika kambi ya waathirika amemshukuru Rais samia suluhu kwa kuendelea kuwakumbuka waathirika hao kwa kuwapatia msaada wa chakula na mahitaji mengine sambamba na hilo amewaomba wadau kuendelea kujitokeza kusaidia mahitaji muhimu kwa waathirika hao kwani mahitaji yalipo bado hayatoshi idadi ya waathirika inazidi kuongezeka kadri siku zinavyozidi kwenda.

Комментарии • 52

  • @AndulHida-hs5py
    @AndulHida-hs5py Месяц назад +5

    Subbhanna Allah!, Yarabi, Ewe Mola wetu mlezi tuondoshee majanga haya yarabi, hatunakimbilio zaidi yako mola wetu, inshaallah mola atawaondoshea majanga haya inshaallah.

  • @halimahalima1488
    @halimahalima1488 Месяц назад +2

    Subhana Allah ndugu zotu jmnii Allah awafanyie wepesi na hili janga home sweet home 😢

  • @eliaspeter4017
    @eliaspeter4017 Месяц назад

    Poleni Sana ndugu zetu, hakika mvua ni baraka lakini kwa namna zinavyotupa changamoto tumuombe Mungu atusaidie, kila sehemu ni changamoto za mvua

  • @mudhihirIbrahim-hb7ry
    @mudhihirIbrahim-hb7ry Месяц назад

    subuhanallah
    Allah awanusuru

  • @selinamwakiluma7968
    @selinamwakiluma7968 Месяц назад +1

    Jamani Jamani Mungu anusuru watu wake

  • @peacedstadius
    @peacedstadius Месяц назад +1

    Pole wahanga

  • @SadaMohamed-xl9rc
    @SadaMohamed-xl9rc Месяц назад

    Subhanna Allah, Allah atunusuru na majanga Rufij home sweet home

  • @SalminiAmur
    @SalminiAmur Месяц назад

    ALLAH awafanyieni wepes

  • @majaliwabwitonde6900
    @majaliwabwitonde6900 Месяц назад +3

    Waondieni watu kwenye mikondo ya maji, waelekezeni maeneo salama kuishi, wahandisi mnajua,na wazee wapo, tunachoka kulia sisi.

    • @magorymara5515
      @magorymara5515 Месяц назад

      Tamaa ya kuishi kila mahali tunatakiwa kukaa pamoja maeneo salama tunatabia ya kuvamia sana ardh bila mpango

    • @w4058
      @w4058 Месяц назад

      Yaraab wasahilie waja wako kote ulimwenguni hamjaathirika peke yenu

    • @w4058
      @w4058 Месяц назад

      Mkwajuni kumbe iko kwingi nyumbani

    • @w4058
      @w4058 Месяц назад

      Serikali ya Samia au ya wananchi?

  • @S__Official24
    @S__Official24 Месяц назад +1

    Muombe Mungu usiombe wadau kwahy unataka maafa yaendelee au

  • @ashrona9884
    @ashrona9884 Месяц назад +4

    Mama samia /maombi ya kitaifa unakwama wapi Bibi Wewe hayo yote ni sababu ya ushoga NA usagaji

    • @ntiliyothomas225
      @ntiliyothomas225 Месяц назад

      Wakili wako yupo au unalopoka 2😢

    • @majaliwabwitonde6900
      @majaliwabwitonde6900 Месяц назад

      Ongea kama mti, siyo kitu

    • @ibnkhaldoun9694
      @ibnkhaldoun9694 Месяц назад

      @@ntiliyothomas225@Watu wetu hawajajua kuwa Sheria ya mtandao ni kali sana na inafanya kazi.

  • @user-kd7ey2mu7p
    @user-kd7ey2mu7p Месяц назад

    Polen ndugu zetu

  • @sokastreet
    @sokastreet Месяц назад +1

    Pray for kibiti

  • @FidasMwaiteghelesya-hw9qs
    @FidasMwaiteghelesya-hw9qs Месяц назад

    Wenyeji wamefurahi Sanaa fursa ya samaki

  • @zainabwage4658
    @zainabwage4658 Месяц назад

    Polen sana ndugu zetu

  • @MussaSuleiman-ui9fy
    @MussaSuleiman-ui9fy Месяц назад

    Dua muhimu sana

  • @HaidaliMikongo
    @HaidaliMikongo Месяц назад

    mm sipingani na selekali kwakutoa masada wa mahindi kwa mm niushauli wangu nibola selekali ingeingia galama nyengine ya kuyasa hayu mhnd wakafikishiwa unga sasa uyo mhnd awo laiya wapike makande

  • @lukomanomaliki5442
    @lukomanomaliki5442 Месяц назад

    Haki ya Mungu ningekuwa na ndugu yangu maeneo hayo nisingekubali aishi maeneo hayo hatarishi.

  • @mbwanamungia9921
    @mbwanamungia9921 Месяц назад

    Poleni saaana

  • @rahma6189
    @rahma6189 Месяц назад

    Poleni jamani

  • @Kabwela776
    @Kabwela776 Месяц назад +1

    Mkuu wa wilaya anavaa life jacket lakini watoto wadogo hawana life jacket hii nchi ya ovyo sana

    • @gustavompemba1781
      @gustavompemba1781 Месяц назад

      C wakanunue

    • @Kabwela776
      @Kabwela776 Месяц назад

      @@gustavompemba1781 serikali ilitakiwe wawape kama walivyowapa wakubwa mkuu wa wilaya

  • @kambamazig02024
    @kambamazig02024 Месяц назад

    Wapeni basi matent mazuri ili wajisitiri! Duh tunshindwa hata kuytoa matent wakati makampuni ya kutengeneza matent Tanzania tunayo?

  • @mbwanamungia9921
    @mbwanamungia9921 Месяц назад

    Sio kibiti peke yake kuna sehemu hapaja tokea mafuriko lkn mwaka huu yametokea. Kwengine mlima umekuwa tope umeshuka nyumba zimefunikwa mvua hii kubwa mnoo

  • @hostkayava6768
    @hostkayava6768 Месяц назад

    god salvate my fellow Tanzanian this is hard time

  • @user-lo8ef9qn2r
    @user-lo8ef9qn2r Месяц назад +1

    Jaman mungu anatuazibu Kwa madhambi yamezid watu kusagana na kufil****kila siku Tena adharan ona matokeo yake

    • @Kabwela776
      @Kabwela776 Месяц назад

      Unaongea upumbavu kabisa mbona nchi zingine Hadi wanaowana Na hawana majanga yeyote , huu ni upuuzi wa wananchi Na serikali kuwaachia wananchi kukaa Karibu Na mabonde Na mafuriko sio mara ya kwanza

    • @user-lo8ef9qn2r
      @user-lo8ef9qn2r Месяц назад

      @@Kabwela776 ndugu tengua kauli yako mungu akitaka kuleta mahafa ajalishi upo wap Mimi nipo Oman na ni nchi ambayo mvua ni mara chache Kwa mwaka inaweza ikawa mara moja na Sio nyingi ni vilashalasha Ila mwaka huu ni ya mafuliko yaan APA Jana familia moja wamekufa watu Tisa gar la shule limesombwa na maji Aya nayo iyo ni uzembe WA serikali?

    • @Kabwela776
      @Kabwela776 Месяц назад

      @@user-lo8ef9qn2r ni mabadiliko ya tabia nchi Na haihusiani Na maovu ya binadamu kuna nchi zina maovu sana Na hawana majanga !

  • @johnmalembo6464
    @johnmalembo6464 Месяц назад

    Tufikirie kutatua tatizo kwa kuwapa makazi salama ya kudumu..... Sio kuwaweka kambini Kisha kuwaacha walivyo

  • @lukomanomaliki5442
    @lukomanomaliki5442 Месяц назад

    Utakuta mtu anaishi Masaki vizuri,huku Kibiti mzazi anapata tabu ya Mafuriko.

  • @Rich-wo
    @Rich-wo Месяц назад +1

    Tumrudie Muumba

  • @clementhiddi1486
    @clementhiddi1486 Месяц назад

    Hili ni janga la taifa.

  • @magga_v
    @magga_v Месяц назад

    Fifa wanayo ela msiombe ombe

  • @PotinSoya
    @PotinSoya Месяц назад

    2ombe mungu2mekosea wapi a2onyexhe mara mafuriko manyara.mara mbeya. Xahivi rufiji.

    • @FatmaZena
      @FatmaZena Месяц назад +1

      Ushoga na usagaji pia uuaji na machafu mengi dhulma,Allah atusamehe,turudi kwake kwa kutubu

  • @CholoMwamba
    @CholoMwamba Месяц назад

    Baba yetu nakuona piga kazi mzee wetu

  • @user-xv4tl8iv4l
    @user-xv4tl8iv4l Месяц назад

    MAN MADE FLOOD.

  • @rayaabdul-gm3hc
    @rayaabdul-gm3hc Месяц назад

    😢😢mungu wangu.poleni sana .kibiti.na rufiji..hapo ndugu zetu wasisogelee .mana mamba wamemwagika hapo

  • @semeninyumayo2336
    @semeninyumayo2336 Месяц назад

    mwaka huu wa aina yake tuendelee kumuomba mungu atusaidie

  • @lukomanomaliki5442
    @lukomanomaliki5442 Месяц назад

    Ukiwa kiongozi we ni zaidi ya mlezi,DC umeonesha uchungu sana kwa wananchi wako.

    • @user-zt1te9ir8t
      @user-zt1te9ir8t Месяц назад

      huyu ndo kiongozi,mungu akupe mema zaidi.