RAIS SAMIA AZICHAMBUA NYIMBO ZA HARMONIZE ATAJA NYIMBO ALIZOZIPENDA "USIKATE TAMAA, MTU NA NUSU"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 24 май 2024

Комментарии • 83

  • @dabmagroup
    @dabmagroup 22 дня назад +8

    Safi sana Rais wetu tunajivunia kuongozwa nawe 🇹🇿🌾

  • @Maryc2G
    @Maryc2G 22 дня назад +5

    Muheshimiwa Rais, Mama yetu Samia asante kwa speech yako nzuri

  • @molenicharles9107
    @molenicharles9107 21 день назад +5

    Duuuu!....hapa tuliingizwa Chaka watz!...let me still remembering comred JPM...🎉🎉😭😭

  • @OmegaNelson-ho1no
    @OmegaNelson-ho1no 22 дня назад +5

    😢😢hii ndio 🇹🇿 yetu

  • @fredynyandoro4266
    @fredynyandoro4266 22 дня назад +2

    Well done. Hongera Harmonize
    Hongera Mama yetu Dkt Samia.
    Hongera sana kwa wanawake wote.

  • @kalebphilip3426
    @kalebphilip3426 21 день назад +5

    Sku ya kilele cha wafanyakaz hukuwepo ulikwepa leo upo hapa kwenye mambo ambayo hayana tja kabsa,hii ni ajabu kwakwel

    • @BRM2025
      @BRM2025 21 день назад

      Acheni makasiriko watanzania, ukiona hakuja Kuna jambo la mhimu alulokua nalo hawezi acha kuja bila sababu yoyote

  • @user-ii1gz2it4c
    @user-ii1gz2it4c 22 дня назад +4

    Safi sana konde umewafunika🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮❤❤❤

  • @AlexMbijima
    @AlexMbijima 22 дня назад +1

    Where album

    • @mangareentertainment.
      @mangareentertainment. 22 дня назад

      We Acha tuu, yaani uzinduzi wa albamu ila nyimbo, zinaimbwa za zamani, daaaah,

  • @kelchas_music_store
    @kelchas_music_store 22 дня назад

    Mungu atubaliki

  • @AbuuThabiti
    @AbuuThabiti 22 дня назад +11

    Subuhana yarabi tunusuru wajawako nautupe mwisho mwema wa maishayetu

    • @user-qr7et3vl5z
      @user-qr7et3vl5z 21 день назад +1

      Acha ujinga ww huyu Ni rasi was kila mtu muislamu mkiristo asie na dini wanamuziki waigizaji nakula mtu anahaki kwabhuyu mama

  • @jamesloshilunye414
    @jamesloshilunye414 22 дня назад +7

    Yaani 😭😭😭😭😭😭sijui nisemeje mimi ila Mungu atukumbuke Tanzania kiukweli tumebaki wenyewe

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ 21 день назад +1

    Bora umeenda kusikiliza Konde gang kuliko kuwa Ikulu ya Marekani kipindi hichi cha vita, sellout na puppet wote hujulikana kipindi cha vita, tuko pamoja SSH na ubarikiwe

  • @user-mc4bk9uz1i
    @user-mc4bk9uz1i 22 дня назад +7

    Yaani kuzindua albam mpaka raisi

    • @Brunn-mh2bq
      @Brunn-mh2bq 22 дня назад +2

      Ulitaka nani awepo. Katibu kata au?😊

    • @TamuzaKale
      @TamuzaKale 22 дня назад

      @@Brunn-mh2bq Ha ha ha... sasa ndo umjibu hivyo? hehehe

    • @yordanyona1234
      @yordanyona1234 22 дня назад +1

      huu ujinga bandarini upambavu unaendelea mama anaendelea kupita kwenye mipasho ya wasanii na kwenda ulaya...
      hii nchi Rais aingie kwenye ukaguzi ...

    • @dorcaskidoti249
      @dorcaskidoti249 22 дня назад

      ​@@Brunn-mh2bq😂😂😂mbona katibu kkata ebu heshimu vyeo vya watu😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @priscamrekoni3451
      @priscamrekoni3451 21 день назад

      ​@@Brunn-mh2bq😂😂😂😂😂

  • @DenisKoi-gs4rp
    @DenisKoi-gs4rp 22 дня назад +1

    Huyu ndo Rais huyu

  • @DavisEnglishTv
    @DavisEnglishTv 22 дня назад

    Mama na mimi hapa ni msanii naimba Singeli, next montn nitazindua album yangu..Nilitaka nikuulize Mama vp utakuja? Usipokuja utakuwa umezingua sana. Ila jamani mama sami enzi zake alikuwa bonge la pisi. Kama hapo tuu hiv amependeza kinoma je wakat wake alikuwaje? Wongo zambi our president is so beautiful. Tumpe 🎉🎉 yake

  • @AbubakariKisuju
    @AbubakariKisuju 22 дня назад +3

    Rip magufuli

  • @solomonadams6337
    @solomonadams6337 22 дня назад

    don't give up,never give up

  • @judithgodfrey6503
    @judithgodfrey6503 22 дня назад

    Mh raisi mimi sina jina wala sina jinsi yotote ya wewe kunifahamu. Ila nina jambo la kuigwa na wengine. Unapowakumbuka wengine wenye majina na connection kama hutajali unione na mimi. Asante🙏

  • @HamadaZubeirTahir
    @HamadaZubeirTahir 20 дней назад

    Jamani naomba naombaaa nataka nionane na mama jamani mamaangu Mh Samia

  • @innocentkanyata9923
    @innocentkanyata9923 21 день назад

    Asante mama kwa kujali mamb ya kijamii.. Najua una majukum mengi lakini umetoa mda wako.

  • @HamadaZubeirTahir
    @HamadaZubeirTahir 20 дней назад

    Mwanao mama nataka nionane na wewe mamaaa

  • @p.kasongot979
    @p.kasongot979 21 день назад

    ❤❤❤❤❤❤ nampenda uyu mama jamani 🙏🙏❤️

  • @RajaaRajaa-id5wx
    @RajaaRajaa-id5wx 21 день назад +1

    Huyu mama hafai kuakiongoz wanch jamn

  • @ibraagwanda4683
    @ibraagwanda4683 22 дня назад +1

    Kazi ipo

  • @PembeseHerman
    @PembeseHerman 19 дней назад

    Kazi ......

  • @hamisndusu3625
    @hamisndusu3625 22 дня назад +1

    Nyie mnaponda kosa liko wap rais anaishi ndani ya jamii samtime lazima ajichanye na mambo ya kijamii.

  • @user-qo7ks7dy2s
    @user-qo7ks7dy2s 21 день назад +1

    Kwann uanzee na rayvanny jamani😂😂😂😂

  • @deusgulamiwa7489
    @deusgulamiwa7489 21 день назад

    Rais mwema na mwenye upendo👏

  • @EdwigaMkenda
    @EdwigaMkenda 20 дней назад

    Never usikate tamaa..kweli mama...mimi sikati tamaa...upo wapi mama...nina jambo nawe...sikati tamaa...uko wapi mama..

  • @winnesakara6957
    @winnesakara6957 21 день назад

  • @NasraMazoya-ot2cw
    @NasraMazoya-ot2cw 22 дня назад

    Nice

  • @ibramayno8447
    @ibramayno8447 22 дня назад +1

    Sijui hata nataka niongee nini wallah

  • @AbubakariKisuju
    @AbubakariKisuju 22 дня назад

    Allahuakbar x100

  • @gaudencemhagama7216
    @gaudencemhagama7216 21 день назад

    sasa hiki ni nini mbona kwenye mambo ya msingi huonekani na kutoa neno la msingi lakini kwenye haya mambo ya duniani unaongea vzr sana tunahitaji maisha bora sio siasa hizo

  • @yordanyona1234
    @yordanyona1234 22 дня назад

    mtaalamu wa sanaa

  • @AbubakariKisuju
    @AbubakariKisuju 22 дня назад +1

    Hii nchi yetu inaelekea wapi?yaani rais wa nchi"anazindua album na waziri muhusika yupo!

    • @user-qr7et3vl5z
      @user-qr7et3vl5z 21 день назад

      Kwani Kuna ubaya gani mamako kumletea chakula mkeoo na wakati wewe upo

  • @user-fy3cf1ri8m
    @user-fy3cf1ri8m 22 дня назад +3

    Naombeni like zenu wakuu🎉

  • @joelkampaine43
    @joelkampaine43 9 дней назад

    Super woman♥️

  • @zakazakazi-fn6zy
    @zakazakazi-fn6zy 21 день назад

    Hakuna raisi hapa mm nionavyo

  • @muniraahmed624
    @muniraahmed624 22 дня назад

    Aseee mama wa muziku huyuuu 😅😅😅😅

  • @sponsor7882
    @sponsor7882 21 день назад +1

    konde kafanya mapinduzi poleni wasafi

  • @ibraagwanda4683
    @ibraagwanda4683 22 дня назад

    Too low

  • @kindysuleiman5935
    @kindysuleiman5935 21 день назад

    Huyu bibi hana keep azi

  • @user-gr9px4pi2w
    @user-gr9px4pi2w 21 день назад +1

    Ongera sana mh, Rais upo vizuri sana .

  • @LESLABOY
    @LESLABOY 21 день назад

    Never🎉🎉

  • @edwardmagori2281
    @edwardmagori2281 22 дня назад +1

    Mama umependeza balaa........

  • @fdizzo
    @fdizzo 22 дня назад +7

    Yaani uyu Rais watanzania tumepigwa kwakweli hakuna kitu apa

    • @awadhsalim2680
      @awadhsalim2680 22 дня назад

      Utakufa na roho mbaya yako. Ss tunaupiga mwingi

    • @yordanyona1234
      @yordanyona1234 22 дня назад

      kwenye musiki na ulaya...zima data tu

    • @GibsonNtamamilo
      @GibsonNtamamilo 22 дня назад

      Hamia nchi nyingine ziko wazi, uende hata hapo Burundi tu.

    • @OmmyJames-xn7ji
      @OmmyJames-xn7ji 21 день назад

      Usijali DR SLAA ATAKUWA RAISI 2060 😢😢😢😢😢

  • @mozejcs9160
    @mozejcs9160 21 день назад +5

    Huyu mama jamani miaka aliyokaa inamtosha! Hapa hamna kiongozi

  • @jamesloshilunye414
    @jamesloshilunye414 22 дня назад +5

    😭😭😭😭😭😭😭😭😭 maisha yamekuwa magumu Tanzania,

    • @gitu4me
      @gitu4me 21 день назад

      Ukisema hivyo maisha ni magumu kwako hii nchi watu wana maisha mazuri ni wachoyo

    • @OmmyJames-xn7ji
      @OmmyJames-xn7ji 21 день назад

      MAGU ALISEMA VYUMA VIMEKAZA 😢😢😢😢😢

  • @JunokizzyTz-ph2ck
    @JunokizzyTz-ph2ck 22 дня назад +1

    Hakika huyu ni Mama wataifa

  • @NassorEL-jahadhmy
    @NassorEL-jahadhmy 19 дней назад

    Mama na Sisi madereva wa malori hebu tunaomba huruma zako utuzungumzie km unavyowazubgumzia wasanii wa muziki na Sisi tunamoyo tunaumia tunadhoofika tunateseka tunakufa na masumu lakini pia ndio sababu serekali kukusanya mapato

  • @yasiniSwedi-qg5oc
    @yasiniSwedi-qg5oc 21 день назад +1

    Jpm alifanya mikutano ya kuzindua miladi sasa hzi hanasa znazofanya sasa nahuyu mama zandani ya nchi nanje daa nashindwa nianzie wapi mungu iangalie tz aaaaaaaaaaaaaaMin

    • @HildaAkili-wt3sd
      @HildaAkili-wt3sd 20 дней назад

      Kwan raisi anakazi gan kwenye nchi ?inamaana raisi ni WA mirad tu huku hausiki achen hzo bhana🤣🤣🤣

  • @PembeseHerman
    @PembeseHerman 19 дней назад

    Hahhahahahahaaaaaaaaa, mamaaaaaaaa!! Kazi iendereee

  • @PatrickMwamba289
    @PatrickMwamba289 21 день назад +1

    Harmonize na Jini lake la Mzee Popo ameamua kua mchawi...kuroga youtube accounts za Wasanii wa WCB..AIBU Tanzania 🇹🇿 😅😅😅😅😅😅😅

  • @abubakarali6363
    @abubakarali6363 22 дня назад +6

    Umeuza bandari usijizime data,

    • @ramaspain5024
      @ramaspain5024 22 дня назад

      Unajua unachokisema?

    • @user-qr7et3vl5z
      @user-qr7et3vl5z 21 день назад

      Acha kukejeli rasi sisi tunampenda kumuheshimu na ktakia kazi njema

    • @abubakarali6363
      @abubakarali6363 21 день назад

      Tusipangiane chakusema, na mapenzi hayalazimishwi, kama mnampenda ni nyinyi usilazimishe unachopenda ww wengine wakipende, urais ni taasisi na si mtu, kama mkataba wa bandari ni mzuri na hao dp world kwa nn usipelekwe na bandari za Zanzibar? Ongezeko la kutoa kontena bandarini unajua linaathiri vipi maisha ya mwananchi wa Hali ya chini? Usichojua mfanyabiashara haumii popote yy ni mkusanyaji wa kodi kwa niaba ya serikali atakachofanya ni kuongeza tu fedha kwenye bei na atakaebeba huo msalaba ni sisi wananchi wa Hali ya chini, hivyo mkimpenda mpendeni na wanaomchukia pia acha wamchukie

  • @ImanSaid-ox3po
    @ImanSaid-ox3po 21 день назад

    Aliye ongonzwa na Allah hakuna wakumpoteza na ALIYE POTEZWA HAKUNA WA KUMUONGOZA.
    TUNAMUOMBA ALLAH ATUTHIBITISHE KTK DINI, NA ASITUFANYE KAMA ALIVYO MFANYA MTU FULANI ALIKUWA NA MUONEKANO MZURI KTK DINI MARA AKAPOLOMOKA KABISA.

  • @ponsianomnyaru9140
    @ponsianomnyaru9140 22 дня назад +1

    Nenda na ww ukaimbe taarabu na kina adijakopa Ili tukusifiye

  • @broadfuturetv9406
    @broadfuturetv9406 22 дня назад

    inasikitisha kwa kweli...😢

  • @muniraahmed624
    @muniraahmed624 22 дня назад

    Mama kizimkazii 😂😂 😂

  • @ponsianomnyaru9140
    @ponsianomnyaru9140 22 дня назад +2

    Mama Ile royal tour vp Sasa HIV hutaki kujgeuza rambo