Nikweli tff ni jau karia kaishindwa yanga yanga inapigwa na livaz tff wamekalia barua ya yanga kuomba mashabiki 35 elf barua ikaishia tff yanga wakacheza bila shabik siku mbili baadae simba wakacheza wakaruhusiwa kuingiza mashabik 35 yani korona ilikua kwenye mech za yanga tu karia tunamjua
Adui wa Yanga ni TFF ya Karia. Ulishindwa kushindana na kasi ya Daima Mbele Nyuma Mwiko. Ukainua mikono juu. Akuna asiejua kama mafanikio ya Yanga yanakuuma japo una jikaza kisabuni.
@@OfficialA83640 aliichukia lini sa mama samia ni mtu wa mpira ? Au ndo mama samia anaakili zetu wote akisema sie wote tuimbe anaupiga mwingi stop thinking in those little waves
Nikweli tff ni jau karia kaishindwa yanga yanga inapigwa na livaz tff wamekalia barua ya yanga kuomba mashabiki 35 elf barua ikaishia tff yanga wakacheza bila shabik siku mbili baadae simba wakacheza wakaruhusiwa kuingiza mashabik 35 yani korona ilikua kwenye mech za yanga tu karia tunamjua
Kiongozi mzima mbele ya watu wakubwa unasema umbea uliskia ?
Huo msimamo utabaki hivyo ADUI WA YANGA NI TFF NA KARIA
Huo ni ukweli
Adui wa Yanga ni TFF ya Karia. Ulishindwa kushindana na kasi ya Daima Mbele Nyuma Mwiko. Ukainua mikono juu. Akuna asiejua kama mafanikio ya Yanga yanakuuma japo una jikaza kisabuni.
Hiyo ndio Lawama FC sasa kmya matako yako
Hata nm naunga nkono kwanini usemwe hvyo unashida gani?
Katika viongozi walowahi ongoza huyu ndo anarekodi kuliko mtu yoyote ispokua tz tunakautaratibu kakuchukia mtu bila kujali kafanya nini.
@@FahadAbubakariMama Samia mwenyewe alisema km huyu Bwana anaixhukia Yanga kisa yy Simba sasa kuna nn hapo ikiwa hd Rais kaliona hilo
@@OfficialA83640 aliichukia lini sa mama samia ni mtu wa mpira ? Au ndo mama samia anaakili zetu wote akisema sie wote tuimbe anaupiga mwingi stop thinking in those little waves
@@FahadAbubakari Kamuulize kwann alisema vile mbele ya hadhara ya watu acha ushabiki usio na tija
Duh 🙄🙄🙄
Katika maisha usipojipanga lazima umtafute mtu ,
Hakuna kiongozi hapo tff Ina ongozwa na mpenda fitina
Kuna tukio gani
Mwamba huyu