MWANASHERIA WA YANGA ALIAMBIWA ADUI WA KWANZA WA YANGA NI TFF NA KARIA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024

Комментарии • 16

  • @mustafamsati9599
    @mustafamsati9599 3 месяца назад +3

    Nikweli tff ni jau karia kaishindwa yanga yanga inapigwa na livaz tff wamekalia barua ya yanga kuomba mashabiki 35 elf barua ikaishia tff yanga wakacheza bila shabik siku mbili baadae simba wakacheza wakaruhusiwa kuingiza mashabik 35 yani korona ilikua kwenye mech za yanga tu karia tunamjua

  • @charlesayubu6449
    @charlesayubu6449 3 месяца назад +1

    Kiongozi mzima mbele ya watu wakubwa unasema umbea uliskia ?

  • @alleyissaramadhan6068
    @alleyissaramadhan6068 3 месяца назад +1

    Huo msimamo utabaki hivyo ADUI WA YANGA NI TFF NA KARIA

  • @beatusrutaserwa2745
    @beatusrutaserwa2745 3 месяца назад +1

    Huo ni ukweli

  • @safarivahocha8077
    @safarivahocha8077 3 месяца назад

    Adui wa Yanga ni TFF ya Karia. Ulishindwa kushindana na kasi ya Daima Mbele Nyuma Mwiko. Ukainua mikono juu. Akuna asiejua kama mafanikio ya Yanga yanakuuma japo una jikaza kisabuni.

  • @muksinimbaruku1233
    @muksinimbaruku1233 3 месяца назад +1

    Hiyo ndio Lawama FC sasa kmya matako yako

  • @josephatjordan2150
    @josephatjordan2150 3 месяца назад +3

    Hata nm naunga nkono kwanini usemwe hvyo unashida gani?

    • @FahadAbubakari
      @FahadAbubakari 3 месяца назад +1

      Katika viongozi walowahi ongoza huyu ndo anarekodi kuliko mtu yoyote ispokua tz tunakautaratibu kakuchukia mtu bila kujali kafanya nini.

    • @OfficialA83640
      @OfficialA83640 3 месяца назад +3

      ​@@FahadAbubakariMama Samia mwenyewe alisema km huyu Bwana anaixhukia Yanga kisa yy Simba sasa kuna nn hapo ikiwa hd Rais kaliona hilo

    • @FahadAbubakari
      @FahadAbubakari 3 месяца назад

      @@OfficialA83640 aliichukia lini sa mama samia ni mtu wa mpira ? Au ndo mama samia anaakili zetu wote akisema sie wote tuimbe anaupiga mwingi stop thinking in those little waves

    • @OfficialA83640
      @OfficialA83640 3 месяца назад +3

      @@FahadAbubakari Kamuulize kwann alisema vile mbele ya hadhara ya watu acha ushabiki usio na tija

  • @allymwamba
    @allymwamba 3 месяца назад +1

    Duh 🙄🙄🙄

  • @sairismapunda8300
    @sairismapunda8300 3 месяца назад

    Katika maisha usipojipanga lazima umtafute mtu ,

  • @joctanmtambi895
    @joctanmtambi895 3 месяца назад

    Hakuna kiongozi hapo tff Ina ongozwa na mpenda fitina

  • @Nitromedengine
    @Nitromedengine 3 месяца назад

    Kuna tukio gani

  • @saidmasoud9004
    @saidmasoud9004 3 месяца назад

    Mwamba huyu