Mmama kama anaruka rhumba kwenye jukwaa hivi😂😂mtoto ataachaje kumtukana muumba wake ni wazi kwamba harmonize amatokea familia isomjuwa mungu na wasoelewa mungu ni nani salalala mama akata mauno
Mama konde mtoto anakupeleka motoni sasa! Maisha yako yote ulipita kwenye mikono salama ya mumeo imam akakufundisha na dini. Mtoto kawa firauni anakuserebusha hadharani, tahadhari atakutia motoni.
Wana kond gag put like
From Kenya....Harmonize is the world artist and not Tanzania artist...
Umepoa mwanetu 🤝🤝
Hongela sana konde boy balikiwa sana My friend
Hongera❤❤❤❤
Mama nanu❤❤
Nicely
Mwijaku weee😂😂😂
🎉
Harmonise Anjela Yuko wapi ?
Kuna nini Tanzania mmmh😮😮😮😮😮😮😮😮aya... Juz kwa zamaradi leo kwa.... Ayo tv
Kweli ni Idéal ya Baddest binataka banana
Imebuma iyo
Le shef sana courage kbs
Mwijaku alivyoserebuka Sasa badala ya mama konde, hiiiiiii 😂😂😂😂😂
Mwija atakuwa anko shamte
😂😂😂
Ubwabwa Punga
❤❤❤❤
😊
Chingaaaa
Anjela yupo wapi ama hajaalikwa 🤣🤣😂😂🤣🤣🤣🤣😂😂😂
aaah hii kali sana
Mmama kama anaruka rhumba kwenye jukwaa hivi😂😂mtoto ataachaje kumtukana muumba wake ni wazi kwamba harmonize amatokea familia isomjuwa mungu na wasoelewa mungu ni nani salalala mama akata mauno
Kazi mnayo ukimjua wewe mungu inatosha, wengine waache na mifumo yao walioichagua.
Mbona huyo kama lishangazi langu huyo aliekua anaserebuka jamani
Sema nini stage limekaaa mkao wakulaaaa 😂😂😂 noma
Mwijaku utacha kutufurahixha xax
Mama Tembo❤❤❤
Ndo nn sasa, sijaelewa kitu
Huwezi Elewa Kama Akili Yako Haipo Kichwani
Album ikowapi wala mimisielewi 🤦♀️🤦♀️
Kama huna D mbilii huezii elewa😅😅
@@nekiboychannel678 jaman D inauhusiano gan na kutokuelewa mbona wengi hawajasoma ila wanaelewa haraka
Wanaume tupambanee maana tusipoangalia tutakuwa jobless Siku za badaee 😂
Uyu mama anaziwa kubwa sana katiya kitamba ili afiche !tumeona wengi ao?
Kuwa na ziwa aibu? Kapendeza tu
Mzuri bhana na body lake sawa kabisa..
Kuna off-key hapo
Atakama nimechelewa ila acha tu ni comente 🎉🎉
Kumbe una mama la nguvu vivre konde
Aina noma family
Umeshindwa kumsaidia yule Dada Angela
Tamaa zake zilimponza
Kamsaidie wewe kama ni lahisi
Kuchangany mapenz na kazi sio rahisi
binadam hamna shukuran siku zote akajitibu itasaidiy
Kiasi kamsaidia lakini sisi binadamu hatuna moyo wa shukran hata kama tukipewa kidogo husilaumu kitu husichokifahamu
We mkundu kua nywele wazi ndio nn ivi wewe unazani kuvaa shungi ndio kwenda mbinguni kuweni naakili nyie wapuzi
Maam konde nywele wazi mumewe Shekh hahahahha hivi Tanganyika dini mnaichukuliaje hasa hasa ya kislam hebu jiaribu kuheshimuni ilo
Umeona wapo kwenye tamasha la dini hapo au hizo ngoma zinahusu dini mbona unashindwa kutofautisha vitu
Umemjib vile ningemjib mm@@bongofreva
Tanganyika 2nakuzidini kil ki2,,,Kichw kuwa waz au kufunika ni ajeee
Kula dini yako hiyo
Dining ukiwa nayo ww na watoto wako inatosha kila bin adam ana kaburilake
Mama konde mtoto anakupeleka motoni sasa! Maisha yako yote ulipita kwenye mikono salama ya mumeo imam akakufundisha na dini. Mtoto kawa firauni anakuserebusha hadharani, tahadhari atakutia motoni.
NonSense
Mwjakuuuuuu 😂😂