MAMA HARMONIZE ANYANYUKA KUCHEZA, HARMONIZE AMWAMBIA RAIS SAMIA KUONGEZA WASANII WENGINE KONDE KANG

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 24 май 2024

Комментарии • 65

  • @user-ii5sb4pr8f
    @user-ii5sb4pr8f 22 дня назад +20

    Wana kond gag put like

  • @user-vw8yj5fo5r
    @user-vw8yj5fo5r 20 дней назад +4

    From Kenya....Harmonize is the world artist and not Tanzania artist...
    Umepoa mwanetu 🤝🤝

  • @KelvinAmos-ow7pf
    @KelvinAmos-ow7pf 20 дней назад +1

    Hongela sana konde boy balikiwa sana My friend

  • @rukiyamohammed2945
    @rukiyamohammed2945 21 день назад +3

    Hongera❤❤❤❤

  • @NeverKeyofficiel01
    @NeverKeyofficiel01 21 день назад +3

    Mama nanu❤❤

  • @fathebwoy7619
    @fathebwoy7619 18 дней назад +1

    Nicely

  • @GladnessSamson-xk2ii
    @GladnessSamson-xk2ii 21 день назад +7

    Mwijaku weee😂😂😂

  • @QuithernVeronicahwatulomer
    @QuithernVeronicahwatulomer 22 дня назад +6

    🎉

  • @neemanziku5403
    @neemanziku5403 21 день назад +3

    Harmonise Anjela Yuko wapi ?

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 21 день назад +2

    Kuna nini Tanzania mmmh😮😮😮😮😮😮😮😮aya... Juz kwa zamaradi leo kwa.... Ayo tv

  • @user-jd6vr9xw1o
    @user-jd6vr9xw1o 3 дня назад

    Kweli ni Idéal ya Baddest binataka banana

  • @MusaJuma-jr7wb
    @MusaJuma-jr7wb 21 день назад +2

    Imebuma iyo

  • @EtooDeGriff
    @EtooDeGriff 18 дней назад

    Le shef sana courage kbs

  • @bcozhenry2698
    @bcozhenry2698 21 день назад +7

    Mwijaku alivyoserebuka Sasa badala ya mama konde, hiiiiiii 😂😂😂😂😂

  • @SalmaAthuman-hp3en
    @SalmaAthuman-hp3en 22 дня назад

    ❤❤❤❤

  • @ChuduNgwema
    @ChuduNgwema 16 дней назад

    😊

  • @BarakaDaud-qu3ec
    @BarakaDaud-qu3ec 22 дня назад +2

    Chingaaaa

  • @bingobilaly7808
    @bingobilaly7808 21 день назад +2

    Anjela yupo wapi ama hajaalikwa 🤣🤣😂😂🤣🤣🤣🤣😂😂😂

  • @Jaybruce254
    @Jaybruce254 13 дней назад

    aaah hii kali sana

  • @user-yj5on8cz3e
    @user-yj5on8cz3e 21 день назад +4

    Mmama kama anaruka rhumba kwenye jukwaa hivi😂😂mtoto ataachaje kumtukana muumba wake ni wazi kwamba harmonize amatokea familia isomjuwa mungu na wasoelewa mungu ni nani salalala mama akata mauno

    • @julianamwalongo6047
      @julianamwalongo6047 18 дней назад

      Kazi mnayo ukimjua wewe mungu inatosha, wengine waache na mifumo yao walioichagua.

    • @DanielMhamaka-el1do
      @DanielMhamaka-el1do 2 дня назад

      Mbona huyo kama lishangazi langu huyo aliekua anaserebuka jamani

  • @muniraahmed624
    @muniraahmed624 22 дня назад +2

    Sema nini stage limekaaa mkao wakulaaaa 😂😂😂 noma

  • @LucasMagukuru-hc9kr
    @LucasMagukuru-hc9kr 21 день назад +1

    Mwijaku utacha kutufurahixha xax

  • @chimnyengeUpdate
    @chimnyengeUpdate 20 дней назад

    Mama Tembo❤❤❤

  • @Bilioneabichwa331
    @Bilioneabichwa331 22 дня назад +4

    Ndo nn sasa, sijaelewa kitu

    • @maxezeaguttu7821
      @maxezeaguttu7821 21 день назад +1

      Huwezi Elewa Kama Akili Yako Haipo Kichwani

    • @michelinemapendo6652
      @michelinemapendo6652 21 день назад +1

      Album ikowapi wala mimisielewi 🤦‍♀️🤦‍♀️

    • @nekiboychannel678
      @nekiboychannel678 21 день назад

      Kama huna D mbilii huezii elewa😅😅

    • @EdithaJoseph-zt2xu
      @EdithaJoseph-zt2xu 21 день назад

      ​@@nekiboychannel678 jaman D inauhusiano gan na kutokuelewa mbona wengi hawajasoma ila wanaelewa haraka

  • @IbraahMghai
    @IbraahMghai 22 дня назад +2

    Wanaume tupambanee maana tusipoangalia tutakuwa jobless Siku za badaee 😂

  • @user-sy4yj5ci3j
    @user-sy4yj5ci3j 22 дня назад +2

    Uyu mama anaziwa kubwa sana katiya kitamba ili afiche !tumeona wengi ao?

  • @noelmusa3502
    @noelmusa3502 22 дня назад

    Kuna off-key hapo

  • @AlmasiMak
    @AlmasiMak 8 дней назад

    Atakama nimechelewa ila acha tu ni comente 🎉🎉

  • @mandelasamson8401
    @mandelasamson8401 19 дней назад

    Kumbe una mama la nguvu vivre konde

  • @user-dx6oy2gg4c
    @user-dx6oy2gg4c 22 дня назад +1

    Aina noma family

  • @annamussa185
    @annamussa185 22 дня назад +14

    Umeshindwa kumsaidia yule Dada Angela

    • @CharlesSomeke-ml7ju
      @CharlesSomeke-ml7ju 21 день назад +9

      Tamaa zake zilimponza

    • @bongofreva
      @bongofreva 21 день назад +7

      Kamsaidie wewe kama ni lahisi

    • @khadijatwaha7684
      @khadijatwaha7684 21 день назад +1

      Kuchangany mapenz na kazi sio rahisi

    • @user-db4pu7mn2n
      @user-db4pu7mn2n 21 день назад

      binadam hamna shukuran siku zote akajitibu itasaidiy

    • @user-yu9hn2cq3y
      @user-yu9hn2cq3y 20 дней назад

      Kiasi kamsaidia lakini sisi binadamu hatuna moyo wa shukran hata kama tukipewa kidogo husilaumu kitu husichokifahamu

  • @PeterNyerese
    @PeterNyerese 21 день назад

    We mkundu kua nywele wazi ndio nn ivi wewe unazani kuvaa shungi ndio kwenda mbinguni kuweni naakili nyie wapuzi

  • @KassimAlly-xp4dz
    @KassimAlly-xp4dz 21 день назад +5

    Maam konde nywele wazi mumewe Shekh hahahahha hivi Tanganyika dini mnaichukuliaje hasa hasa ya kislam hebu jiaribu kuheshimuni ilo

    • @bongofreva
      @bongofreva 21 день назад +9

      Umeona wapo kwenye tamasha la dini hapo au hizo ngoma zinahusu dini mbona unashindwa kutofautisha vitu

    • @abdullysonna
      @abdullysonna 21 день назад

      Umemjib vile ningemjib mm​@@bongofreva

    • @Kelvinjoseph-jz7kq
      @Kelvinjoseph-jz7kq 21 день назад +1

      Tanganyika 2nakuzidini kil ki2,,,Kichw kuwa waz au kufunika ni ajeee

    • @fredykaitani595
      @fredykaitani595 21 день назад +2

      Kula dini yako hiyo

    • @BarnabasFabiani
      @BarnabasFabiani 21 день назад +2

      Dining ukiwa nayo ww na watoto wako inatosha kila bin adam ana kaburilake

  • @nassirali7499
    @nassirali7499 21 день назад +2

    Mama konde mtoto anakupeleka motoni sasa! Maisha yako yote ulipita kwenye mikono salama ya mumeo imam akakufundisha na dini. Mtoto kawa firauni anakuserebusha hadharani, tahadhari atakutia motoni.

  • @hollymore4904
    @hollymore4904 21 день назад +1

    NonSense

  • @NissileStephen
    @NissileStephen 20 дней назад

    Mwjakuuuuuu 😂😂