KATIKA KILA WANAWAKE WATANO, MWANAMKE MMOJA ANA SHINIKIZO LA JUU LA DAMU, PROF. JANABI
HTML-код
- Опубликовано: 20 май 2024
- KATIKA KUADHIMISHA SIKU YA KIMATAIFA YA SHINIKIZO LA JUU LA DAMU ENDELEA KUELIMIKA NA PROF. JANABI, NI TAR 17 MEI YA KILA MWAKA #Afyapodcast
Kweli kabisa tatizo vyakula.na .msongo waa. Mawazo.asantee.dctr.tunakufatilia❤
Asante
Kwann mnafunga downloard kwan nanyie mnataka views waonekane au mnatoavelim wengine hatuwezi kutazama live bana
Ubarikiwe. PFS.Janab❤❤❤
Thanks my roll model
Mungu akubariki uzidi kutuelimisha
Nashukuru sana
Congrats❤🎉
DK tunashukuru kwa elimu unayotupa!!
wale wanaopenda kula waen
delee kula kwa ulafi! hujawashika mkono kwenye sahani!!
Somo zuri
Habari kiongozi Saman naweza kupata naomba YAKO ya Whatsapp
Nakusikiliza Prof.kutoka Misungwi Mwanza.
Prof, maelekezo kuntu
prof. naomba kukuuliz kidogo hiv ni mimba ya miezi mingapi akiwa nayo mwanamke hupaswi kumwaga ndani na ni kwa nn ?
Kwa ajili ya nini
Kuna watu wana pressure lakini wama miili midogo hapo vipi ?
Hao wako na mafuta ya ndani inaitwa visceral fat. Hayo ndio mafuta hatari zaidi kushinda yale mafuta unayoyaona kwa nje ( subcutaneous fat)