MAHOJIANO NA LISSU KUHUSU HOTUBA ALIYOITOA JANA TEMEKE MWEMBEYANGA. DR SLAA AMEONGEA PIA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 май 2024

Комментарии • 44

  • @williammwamalanga1065
    @williammwamalanga1065 Месяц назад +2

    Hongera sana sana Mwenyezi Mungu AKUTUNZE VIONGOZI WA DINI WANAENDELEA KUCHANGA ILI MCHANGO WAO UKUFIKIE. ...Mimi ni Askofu William Mwamalanga

  • @user-le7ek2zs4t
    @user-le7ek2zs4t Месяц назад +5

    Mr Lisu tuko tayari kukuchangia Mungu akubariki

  • @binsherbal6089
    @binsherbal6089 Месяц назад +6

    Tunaomba Namba ya kuchangia na sie tuchangie pia.

  • @LazaroMwakasege-bh5en
    @LazaroMwakasege-bh5en Месяц назад +1

    Kamanda mungu akubaliki Sana kwajitiada zako

  • @nelxonsingaile3301
    @nelxonsingaile3301 Месяц назад

    You are real man

  • @prospermalala6636
    @prospermalala6636 Месяц назад +1

    Dawa imewaingia wanaogopa michango ya mh Lisu

  • @humphreymkony8915
    @humphreymkony8915 Месяц назад +2

    Kwani hao waliotaka kumuua watapona basi?

  • @gowekogoweko5803
    @gowekogoweko5803 Месяц назад +1

    WATANZANIAA SHIME TUMCHANGIE HUYU SHUJAA ALIYECHAGULIWA NA MUNGU

  • @prospermalala6636
    @prospermalala6636 Месяц назад

    MH Lisu Kwa kazi unayoifanya ndani ya Taifa letu, kuielimisha, kuifundisha hiiiiiiii jamiiii iliyopo mbele yetu, ondoa hofu kabisa tunachanga ili watanganyika wafahamu Haki zao zilizofichwa ndani ya Taifa letu kupitia haramu CCM, huo mwanga unaomulika maisha ya watanganyika waliowengi wameanza kuona mwanga unaomulika maisha huko mbele yetu

    • @adamlubawa1281
      @adamlubawa1281 Месяц назад

      USILOLIJUA NI USIKU WA KIZA
      LAKINI IPO SIKU AKILI ITAWAKAAA SAWA TU
      ETI KUMCHANGIA LUSSU
      MNASHINDWA KUWACHANGIA WAGONJWA
      WATOTO WENYE UHITAJI MAALUM
      PEPO HAMTOIONA MILELE
      LISSU HANA SHIDA ILA ANAWANYONYA MSIOJITAMBUA

  • @johngibson3089
    @johngibson3089 Месяц назад

    Mwenye jero, buku, elfu 10, laki, millions TUTACHANGA KAMA TULIVYOCHANGA WAKATI UKIHITAJI MATIBABU. Usikatishwe tamaa na wasiokuelewa. Wenye akili tunakuelewa vzr na tunakupenda.

  • @edsonkahesi8603
    @edsonkahesi8603 Месяц назад

    Ni jambo jema chama kupata vitendeakazi kwa ajili angalau ya kurahisisha utendakazi na kuzungukia nchi kwa ajili ya kukiimarisha zaidi. Niko tayari kuchangia.
    Naongezea kwa upande wa vijana, inabidi BAVICHA iimarishwe zaidi kwaajili yakuwaandikisha na kuwahimiza vijana wengi wakapige kura maana mustakabali wa taifa hili uko mikononi mwao, CDM kwasasa ni chama kinachokubalika sana kwa wananchi ila hii isiishie tu mitandaoni bali hata kwenye daftari la kudumu.

  • @ChristerKoku
    @ChristerKoku Месяц назад

    Adam ajili huna unacheka kovu kwa kuwa hukufikwa jeraha ajili huna hujalazimishwa kuchangia watanzania wanajitambua sio mbumbu.

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa6159 Месяц назад +1

    Jibwa la fisiyemu halijitambui linamtukana hapa watanganyika halisi tunamwelewa mbeba maono tunachanga ili apiganie huru wetu kutoka mikononi mwa mkoloni mweusi fisiyemu

  • @Samweli-ij3im
    @Samweli-ij3im Месяц назад +1

    Wewe kama humpendi lisu hakika utakuwa ni adui wa haki wacha tumchangie kiongozi wetu wewe fisadi nyamaza hatuna shida na mia yako nyie ccm ndio man njaa mnaiba mpaka makaburi mmelaaniwa na mungu damu ya lisu na wengine utakuwa juu yenu na watoto wenu wanao shabikia mauaji na dhulma pita handeni tanga

  • @user-vl4rz6lf6d
    @user-vl4rz6lf6d Месяц назад

    Anamaono gani zaidi yanjaa inayomsumbua AMA kweli wajinga ndio waliwao

  • @adamlubawa1281
    @adamlubawa1281 Месяц назад +1

    Tapeli unatembelea fursa ya ulemavu
    Kuchangiwa ili ulipie watoto wako Ada

    • @khamisjuma8501
      @khamisjuma8501 Месяц назад +1

      Nex week na changia dollars Mia

    • @ceciliamagalabajimmy4391
      @ceciliamagalabajimmy4391 Месяц назад +1

      Amekuomba weweee?

    • @rogathesarwatt
      @rogathesarwatt Месяц назад +1

      Inakuuma sana Sisi tutachanga we katapeliwe na Betting, mikopo mitandao Nia CCM yako iliyojaa dhuluma

    • @MonicaBeni
      @MonicaBeni Месяц назад

      tapeli ni ww ambaye huwezi kuamka Kwene fikra zako mwenyewe umbaye unajitapeli uwelewa wako mwenyewe pole sana

    • @MonicaBeni
      @MonicaBeni Месяц назад +1

      @@ceciliamagalabajimmy4391 hahaha jibu Zuri Sana ulilompa

  • @maligiretongora3333
    @maligiretongora3333 Месяц назад

    Mshenzi wewe adamu lubawa. Tundu Lisu mwenye maono siyo wewe kikarragosi ccm.

    • @adamlubawa1281
      @adamlubawa1281 Месяц назад +1

      Yaaaani wewe ndiye mshenzi usiejitambua kabisa yaaani wewe ni kiziwi wa fikra kabisa nyaaani
      Wewe ni ZERO
      BRAIN