MH Lisu Kwa kazi unayoifanya ndani ya Taifa letu, kuielimisha, kuifundisha hiiiiiiii jamiiii iliyopo mbele yetu, ondoa hofu kabisa tunachanga ili watanganyika wafahamu Haki zao zilizofichwa ndani ya Taifa letu kupitia haramu CCM, huo mwanga unaomulika maisha ya watanganyika waliowengi wameanza kuona mwanga unaomulika maisha huko mbele yetu
USILOLIJUA NI USIKU WA KIZA LAKINI IPO SIKU AKILI ITAWAKAAA SAWA TU ETI KUMCHANGIA LUSSU MNASHINDWA KUWACHANGIA WAGONJWA WATOTO WENYE UHITAJI MAALUM PEPO HAMTOIONA MILELE LISSU HANA SHIDA ILA ANAWANYONYA MSIOJITAMBUA
Mwenye jero, buku, elfu 10, laki, millions TUTACHANGA KAMA TULIVYOCHANGA WAKATI UKIHITAJI MATIBABU. Usikatishwe tamaa na wasiokuelewa. Wenye akili tunakuelewa vzr na tunakupenda.
Ni jambo jema chama kupata vitendeakazi kwa ajili angalau ya kurahisisha utendakazi na kuzungukia nchi kwa ajili ya kukiimarisha zaidi. Niko tayari kuchangia. Naongezea kwa upande wa vijana, inabidi BAVICHA iimarishwe zaidi kwaajili yakuwaandikisha na kuwahimiza vijana wengi wakapige kura maana mustakabali wa taifa hili uko mikononi mwao, CDM kwasasa ni chama kinachokubalika sana kwa wananchi ila hii isiishie tu mitandaoni bali hata kwenye daftari la kudumu.
Wewe kama humpendi lisu hakika utakuwa ni adui wa haki wacha tumchangie kiongozi wetu wewe fisadi nyamaza hatuna shida na mia yako nyie ccm ndio man njaa mnaiba mpaka makaburi mmelaaniwa na mungu damu ya lisu na wengine utakuwa juu yenu na watoto wenu wanao shabikia mauaji na dhulma pita handeni tanga
Hongera sana sana Mwenyezi Mungu AKUTUNZE VIONGOZI WA DINI WANAENDELEA KUCHANGA ILI MCHANGO WAO UKUFIKIE. ...Mimi ni Askofu William Mwamalanga
Mr Lisu tuko tayari kukuchangia Mungu akubariki
Tunaomba Namba ya kuchangia na sie tuchangie pia.
Kamanda mungu akubaliki Sana kwajitiada zako
You are real man
Dawa imewaingia wanaogopa michango ya mh Lisu
Kwani hao waliotaka kumuua watapona basi?
WATANZANIAA SHIME TUMCHANGIE HUYU SHUJAA ALIYECHAGULIWA NA MUNGU
MH Lisu Kwa kazi unayoifanya ndani ya Taifa letu, kuielimisha, kuifundisha hiiiiiiii jamiiii iliyopo mbele yetu, ondoa hofu kabisa tunachanga ili watanganyika wafahamu Haki zao zilizofichwa ndani ya Taifa letu kupitia haramu CCM, huo mwanga unaomulika maisha ya watanganyika waliowengi wameanza kuona mwanga unaomulika maisha huko mbele yetu
USILOLIJUA NI USIKU WA KIZA
LAKINI IPO SIKU AKILI ITAWAKAAA SAWA TU
ETI KUMCHANGIA LUSSU
MNASHINDWA KUWACHANGIA WAGONJWA
WATOTO WENYE UHITAJI MAALUM
PEPO HAMTOIONA MILELE
LISSU HANA SHIDA ILA ANAWANYONYA MSIOJITAMBUA
Mwenye jero, buku, elfu 10, laki, millions TUTACHANGA KAMA TULIVYOCHANGA WAKATI UKIHITAJI MATIBABU. Usikatishwe tamaa na wasiokuelewa. Wenye akili tunakuelewa vzr na tunakupenda.
Ni jambo jema chama kupata vitendeakazi kwa ajili angalau ya kurahisisha utendakazi na kuzungukia nchi kwa ajili ya kukiimarisha zaidi. Niko tayari kuchangia.
Naongezea kwa upande wa vijana, inabidi BAVICHA iimarishwe zaidi kwaajili yakuwaandikisha na kuwahimiza vijana wengi wakapige kura maana mustakabali wa taifa hili uko mikononi mwao, CDM kwasasa ni chama kinachokubalika sana kwa wananchi ila hii isiishie tu mitandaoni bali hata kwenye daftari la kudumu.
Adam ajili huna unacheka kovu kwa kuwa hukufikwa jeraha ajili huna hujalazimishwa kuchangia watanzania wanajitambua sio mbumbu.
Jibwa la fisiyemu halijitambui linamtukana hapa watanganyika halisi tunamwelewa mbeba maono tunachanga ili apiganie huru wetu kutoka mikononi mwa mkoloni mweusi fisiyemu
Usiogope baba tuko pamoja nawewe
Wewe kama humpendi lisu hakika utakuwa ni adui wa haki wacha tumchangie kiongozi wetu wewe fisadi nyamaza hatuna shida na mia yako nyie ccm ndio man njaa mnaiba mpaka makaburi mmelaaniwa na mungu damu ya lisu na wengine utakuwa juu yenu na watoto wenu wanao shabikia mauaji na dhulma pita handeni tanga
Anamaono gani zaidi yanjaa inayomsumbua AMA kweli wajinga ndio waliwao
Tapeli unatembelea fursa ya ulemavu
Kuchangiwa ili ulipie watoto wako Ada
Nex week na changia dollars Mia
Amekuomba weweee?
Inakuuma sana Sisi tutachanga we katapeliwe na Betting, mikopo mitandao Nia CCM yako iliyojaa dhuluma
tapeli ni ww ambaye huwezi kuamka Kwene fikra zako mwenyewe umbaye unajitapeli uwelewa wako mwenyewe pole sana
@@ceciliamagalabajimmy4391 hahaha jibu Zuri Sana ulilompa
Mshenzi wewe adamu lubawa. Tundu Lisu mwenye maono siyo wewe kikarragosi ccm.
Yaaaani wewe ndiye mshenzi usiejitambua kabisa yaaani wewe ni kiziwi wa fikra kabisa nyaaani
Wewe ni ZERO
BRAIN