i am from zimbabwe i wish our gorvenment adopt such initiatives,sad that they just after the diamonds gold and lithium corruption,wish i was born in some other country
Tuletee drone picture ikiendelea na safar watu ndio wanatak kuona maneno yenu hatuyatak nothing new yan nyoe njoon front ikiw kuna behema mpya i mean ktk kitu kipya hasa
Wewe ndio wa ajabu. Sijawaikuona kichwa namabehewa vikafanana tangu. Matreni yote duniani vichwa na mabehewa havifanani. Sijui mwenzetu uliona wapi treni.
maguful wa NN tena kwan mambo yaliyo achwa na kikwete akakamilisha magufuli mbona hamkumsifia kikwete hapa alie fanya kaz kubwa n Samia japo sawa na maguful ana asilimia zake
Mungu ibariki Tanzania,
Mungu bariki viongozi wetu.
Shilika la leli la tanzania😂😂
Viberenge vya kisasa
Imeewachukua miaka ngapi 😂😂😂 ilianza pamoja na kenya lakini kenya ilisha maliza kitambo sahizi tumetumia for over 4 years
i am from zimbabwe i wish our gorvenment adopt such initiatives,sad that they just after the diamonds gold and lithium corruption,wish i was born in some other country
Pipa tupu linasifa ya kelele nyingi. nihayo tu
Tuletee drone picture ikiendelea na safar watu ndio wanatak kuona maneno yenu hatuyatak nothing new yan nyoe njoon front ikiw kuna behema mpya i mean ktk kitu kipya hasa
Cha Ajabu Mabehewa na Kichwa rangi ni tofauti. Kwanini mabehewa yasingekuwa rangi 1 na Vichwa? Hizo rangi za mabehewa zimekaa Kisambaa sana bhana.
Wewe ndio wa ajabu. Sijawaikuona kichwa namabehewa vikafanana tangu. Matreni yote duniani vichwa na mabehewa havifanani. Sijui mwenzetu uliona wapi treni.
Jaman mbona hamsemi kuhusu magufuli yan n kama hayupo😢😢😢😢
maguful wa NN tena kwan mambo yaliyo achwa na kikwete akakamilisha magufuli mbona hamkumsifia kikwete hapa alie fanya kaz kubwa n Samia japo sawa na maguful ana asilimia zake
Hii dunia ukishafukiwa au kustaafu biashara yako imeishia hapo
Huiyo ndo muasisi lazima akumbukwwe
Mlisema majaribio ya dar - Dom mwishoni mwa mwezi wa 3 au wiki la Kwanza la mwezi wa 4 mwaka huu 2024 lakini mpaka leo KIMIYA ???
Mnatuletea matren mabovu sisi..? Yaan mnawakatalia wahandish wasiingie ndani kuripoti, sasa ndo nini hivyo.?
Kila Saa ni Kushukuru tu kana kwamba hatulipi Kodi?
Aisee hawa machawa ni balaa sijui huyo mama anato wapi hela. Kwepa kodi uone🤣🤣🤣
Si ndo hapo sasa utafikiri anataka pesa za sgr ,,,hapo Kila mtanzania anaelipa Kodi anahusika kujenga hio reli na miradi yote
Hiyo siyo treni ya mwendo kasi ni gari moshi.
Hiyo train hapa ujerumani inaitwa regional ni ya kawaida kabisa. Ya mwendo kasi inaitwa ICE inakwenda 330km/h
Kumbe ni Germany😮@@user-op7vm9mr3z
Kumbe ni Germany😮@@user-op7vm9mr3z