KIPINDI CHA RELI NA MATUKIO FULL MAJARIBI BEHEWA 14 KATIKA RELI YA KISASA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 9 апр 2024

Комментарии • 22

  • @benedictormagembe6483
    @benedictormagembe6483 Месяц назад +1

    Mungu ibariki Tanzania,
    Mungu bariki viongozi wetu.

  • @edwinmaywa
    @edwinmaywa Месяц назад

    Shilika la leli la tanzania😂😂

  • @frankmushendwas37
    @frankmushendwas37 Месяц назад

    Viberenge vya kisasa

  • @edwinmaywa
    @edwinmaywa Месяц назад

    Imeewachukua miaka ngapi 😂😂😂 ilianza pamoja na kenya lakini kenya ilisha maliza kitambo sahizi tumetumia for over 4 years

  • @denismusonza2806
    @denismusonza2806 Месяц назад

    i am from zimbabwe i wish our gorvenment adopt such initiatives,sad that they just after the diamonds gold and lithium corruption,wish i was born in some other country

  • @ezekielmubofu234
    @ezekielmubofu234 Месяц назад

    Pipa tupu linasifa ya kelele nyingi. nihayo tu

  • @jumashedafa
    @jumashedafa Месяц назад

    Tuletee drone picture ikiendelea na safar watu ndio wanatak kuona maneno yenu hatuyatak nothing new yan nyoe njoon front ikiw kuna behema mpya i mean ktk kitu kipya hasa

  • @tanzanite9944
    @tanzanite9944 Месяц назад +1

    Cha Ajabu Mabehewa na Kichwa rangi ni tofauti. Kwanini mabehewa yasingekuwa rangi 1 na Vichwa? Hizo rangi za mabehewa zimekaa Kisambaa sana bhana.

    • @reonardchatanda6371
      @reonardchatanda6371 Месяц назад

      Wewe ndio wa ajabu. Sijawaikuona kichwa namabehewa vikafanana tangu. Matreni yote duniani vichwa na mabehewa havifanani. Sijui mwenzetu uliona wapi treni.

  • @msafirisaimoni9561
    @msafirisaimoni9561 Месяц назад +2

    Jaman mbona hamsemi kuhusu magufuli yan n kama hayupo😢😢😢😢

    • @exaverysimon1064
      @exaverysimon1064 Месяц назад

      maguful wa NN tena kwan mambo yaliyo achwa na kikwete akakamilisha magufuli mbona hamkumsifia kikwete hapa alie fanya kaz kubwa n Samia japo sawa na maguful ana asilimia zake

    • @user-op7vm9mr3z
      @user-op7vm9mr3z Месяц назад

      Hii dunia ukishafukiwa au kustaafu biashara yako imeishia hapo

    • @fadhilidanieli1478
      @fadhilidanieli1478 Месяц назад

      Huiyo ndo muasisi lazima akumbukwwe

  • @DegeraKomango-hu8qt
    @DegeraKomango-hu8qt Месяц назад

    Mlisema majaribio ya dar - Dom mwishoni mwa mwezi wa 3 au wiki la Kwanza la mwezi wa 4 mwaka huu 2024 lakini mpaka leo KIMIYA ???

  • @fortyyellu9971
    @fortyyellu9971 Месяц назад

    Mnatuletea matren mabovu sisi..? Yaan mnawakatalia wahandish wasiingie ndani kuripoti, sasa ndo nini hivyo.?

  • @richardbegga6679
    @richardbegga6679 Месяц назад +2

    Kila Saa ni Kushukuru tu kana kwamba hatulipi Kodi?

    • @user-op7vm9mr3z
      @user-op7vm9mr3z Месяц назад +1

      Aisee hawa machawa ni balaa sijui huyo mama anato wapi hela. Kwepa kodi uone🤣🤣🤣

    • @jamesmwita2995
      @jamesmwita2995 Месяц назад

      Si ndo hapo sasa utafikiri anataka pesa za sgr ,,,hapo Kila mtanzania anaelipa Kodi anahusika kujenga hio reli na miradi yote

  • @albertinamichael6123
    @albertinamichael6123 Месяц назад

    Hiyo siyo treni ya mwendo kasi ni gari moshi.

    • @user-op7vm9mr3z
      @user-op7vm9mr3z Месяц назад +3

      Hiyo train hapa ujerumani inaitwa regional ni ya kawaida kabisa. Ya mwendo kasi inaitwa ICE inakwenda 330km/h

    • @chumamasunga8855
      @chumamasunga8855 Месяц назад

      Kumbe ni Germany😮​@@user-op7vm9mr3z

    • @chumamasunga8855
      @chumamasunga8855 Месяц назад +1

      Kumbe ni Germany😮​@@user-op7vm9mr3z