Watu wa maana siyo mawaziri vilaza ndiyo wanapewa mzee anaongea vitu vya msingi sana umetumia pesa kutafuta na kuchimba madini umeyapata unataka ukauze eti unatorosha ni akili au matope
wabunge wa ccm mbona hamzungumzii makada wa ccm wanao pewa leseni za rash wanavyo tesa wachimbaji wadogo wizala yamadini imejifungia maofisini haitaki kupita kuchukua kelo zahabu zimekuwa zamabepali walio jificha kwenye chama chamapinduzi wanawatumia wakuu wamikoa wakuu wawilaya nama r m o wachimbaji wadogo wamekuwa manamba tu nchi hii mateso sana
Akili kubwa sana my.kishimba
Hawa viongozi hawatumii akili ya kuzaliwa, wanatumia ya kukalili😂😂😂
Hawa wawekezaji wanatuletea shida sana
Serikali fanyien kazi maoni ya huyu mzee
Watalamu wetu wanatuangusha sana hasa wanao fuata mambo ya wazungu.
In born gifted brain think reality talk reality see reality
Huyu jamaa tumsikilize vizuri. Ni kweli anachosema.
Huyu jamaa anaakili nyingi na tafit kibao
Huyu Mbunge ni Genius.
Much better than wale waliosoma.
Wabunge wanatakiwa watoe maoni kwa niaba ya wananchi kama huyu mbunge Kishimba
Watu wa maana siyo mawaziri vilaza ndiyo wanapewa mzee anaongea vitu vya msingi sana umetumia pesa kutafuta na kuchimba madini umeyapata unataka ukauze eti unatorosha ni akili au matope
wabunge wa ccm mbona hamzungumzii makada wa ccm wanao pewa leseni za rash wanavyo tesa wachimbaji wadogo wizala yamadini imejifungia maofisini haitaki kupita kuchukua kelo zahabu zimekuwa zamabepali walio jificha kwenye chama chamapinduzi wanawatumia wakuu wamikoa wakuu wawilaya nama r m o wachimbaji wadogo wamekuwa manamba tu nchi hii mateso sana
Fertile brain
Uyu jamaa simpend anakil atuletei maendeleo khm mji aun barabar at taa zabaraban amna
ipi Barbara zinatenge ezwa bwana
Mbunge anajenga barabara?
Hamjakwenda kumuuliza kwa nini hajafanya kitu
Kawaulize TANROADS na TARURA shinyanga kwanini hawaweki taa za barabarani sio mbunge