UTASHANGAA MBUNGE KISHIMBA AJA KIVINGINE, MAWAZO MAPYA KABISA, ATOA TAHADHARI KUBWA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 апр 2024
  • #UhondoTV #Uhondo

Комментарии • 18

  • @marandoruzali1946
    @marandoruzali1946 2 месяца назад +1

    Akili kubwa sana my.kishimba

  • @ericrukamba6802
    @ericrukamba6802 2 месяца назад

    Hawa viongozi hawatumii akili ya kuzaliwa, wanatumia ya kukalili😂😂😂

  • @Optionxll_Playz1
    @Optionxll_Playz1 2 месяца назад

    Hawa wawekezaji wanatuletea shida sana

  • @toptopress4909
    @toptopress4909 Месяц назад

    Serikali fanyien kazi maoni ya huyu mzee

  • @Optionxll_Playz1
    @Optionxll_Playz1 2 месяца назад

    Watalamu wetu wanatuangusha sana hasa wanao fuata mambo ya wazungu.

  • @dr.nkumbi8704
    @dr.nkumbi8704 2 месяца назад

    In born gifted brain think reality talk reality see reality

  • @kinigarm8239
    @kinigarm8239 2 месяца назад

    Huyu jamaa tumsikilize vizuri. Ni kweli anachosema.

  • @bethkonga7944
    @bethkonga7944 2 месяца назад

    Huyu jamaa anaakili nyingi na tafit kibao

  • @letankurenia878
    @letankurenia878 2 месяца назад +2

    Huyu Mbunge ni Genius.
    Much better than wale waliosoma.

  • @user-my2mt8tj4k
    @user-my2mt8tj4k 2 месяца назад

    Wabunge wanatakiwa watoe maoni kwa niaba ya wananchi kama huyu mbunge Kishimba

  • @ColinMhema-ne3lz
    @ColinMhema-ne3lz 2 месяца назад

    Watu wa maana siyo mawaziri vilaza ndiyo wanapewa mzee anaongea vitu vya msingi sana umetumia pesa kutafuta na kuchimba madini umeyapata unataka ukauze eti unatorosha ni akili au matope

  • @user-or2od2rz1c
    @user-or2od2rz1c 2 месяца назад

    wabunge wa ccm mbona hamzungumzii makada wa ccm wanao pewa leseni za rash wanavyo tesa wachimbaji wadogo wizala yamadini imejifungia maofisini haitaki kupita kuchukua kelo zahabu zimekuwa zamabepali walio jificha kwenye chama chamapinduzi wanawatumia wakuu wamikoa wakuu wawilaya nama r m o wachimbaji wadogo wamekuwa manamba tu nchi hii mateso sana

  • @bejoytv2702
    @bejoytv2702 2 месяца назад

    Fertile brain

  • @AbduAmstafa-od6vf
    @AbduAmstafa-od6vf 2 месяца назад

    Uyu jamaa simpend anakil atuletei maendeleo khm mji aun barabar at taa zabaraban amna

    • @limilazaro3836
      @limilazaro3836 2 месяца назад

      ipi Barbara zinatenge ezwa bwana

    • @JacksonNovatM
      @JacksonNovatM 2 месяца назад

      Mbunge anajenga barabara?

    • @user-my2mt8tj4k
      @user-my2mt8tj4k 2 месяца назад

      Hamjakwenda kumuuliza kwa nini hajafanya kitu

    • @user-pe9uo4ec6y
      @user-pe9uo4ec6y Месяц назад

      Kawaulize TANROADS na TARURA shinyanga kwanini hawaweki taa za barabarani sio mbunge