MBUNGE KISHIMBA Amnyooshea Mwigulu Nchemba "Wewe Una Timu ya Mpira Ukamatwe" Mbona Umepandisha Kodi?
HTML-код
- Опубликовано: 22 июн 2024
- #BmtvTanzania #Bmtv
Tembelea
bmtvtanzania.com/
INSTAGRAM
/ bmtvtanzania
FACEBOOK
/ bmtvtanzania
TWITTER
/ bmtvtanzania1 Спорт
Uishi miaka mingi sana I appreciate your father
Ni kweli Barabara za kahama ni mbovu Sana, pia serikali itengeneze Barabara ya kahama kakola kwa kiwango kwa rami
Profesa kishimba
Mwamba kishimba akili kubwa,sasa wasomi hizi nondo hawana kabisa,me naona hii elimu tunayopewa ya wazungu inampoteza mwafrica,sasa kutana na hiki kichwa kina akili na busara pia.
Wabunge kazi au wajibu wenu wa kimsingi ni kuisimamia serikali au kuibembeleza maana kwa mwendo huu wa kupakana mafuta na mgongo wa chupa maendeleo tuyasubiri karne kadhaa zijazo
Nyinyi Kopeni,, walipakodi ya madeni ni wafanyabiashara na sio wabunge wala c wakulima
Makings. Mykonos. Mbunge
saf sn huu ni kuonesha uwezo wa maamuzi
Unaongea ukweli siku zote sijui ulikuaga wapi professor natamani siku Moja niweze kukuona live