MBUNGE KISHIMBA Amnyooshea Mwigulu Nchemba "Wewe Una Timu ya Mpira Ukamatwe" Mbona Umepandisha Kodi?

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 22 июн 2024
  • #BmtvTanzania #Bmtv
    Tembelea
    bmtvtanzania.com/
    INSTAGRAM
    / bmtvtanzania
    FACEBOOK
    / bmtvtanzania
    TWITTER
    / bmtvtanzania1
  • СпортСпорт

Комментарии • 9

  • @user-op2gm3gi6m
    @user-op2gm3gi6m 9 дней назад +5

    Uishi miaka mingi sana I appreciate your father

  • @joycmsokile9220
    @joycmsokile9220 12 дней назад +6

    Ni kweli Barabara za kahama ni mbovu Sana, pia serikali itengeneze Barabara ya kahama kakola kwa kiwango kwa rami

  • @r14kgroup68
    @r14kgroup68 5 дней назад +1

    Profesa kishimba

  • @African511
    @African511 10 дней назад +5

    Mwamba kishimba akili kubwa,sasa wasomi hizi nondo hawana kabisa,me naona hii elimu tunayopewa ya wazungu inampoteza mwafrica,sasa kutana na hiki kichwa kina akili na busara pia.

  • @richardhoseni2643
    @richardhoseni2643 12 дней назад +4

    Wabunge kazi au wajibu wenu wa kimsingi ni kuisimamia serikali au kuibembeleza maana kwa mwendo huu wa kupakana mafuta na mgongo wa chupa maendeleo tuyasubiri karne kadhaa zijazo

  • @kalengashoppingcenter1108
    @kalengashoppingcenter1108 8 дней назад +2

    Nyinyi Kopeni,, walipakodi ya madeni ni wafanyabiashara na sio wabunge wala c wakulima

  • @aronimanirakiza5655
    @aronimanirakiza5655 9 дней назад +2

    Makings. Mykonos. Mbunge

  • @YOHANAANJERO
    @YOHANAANJERO 9 дней назад +1

    saf sn huu ni kuonesha uwezo wa maamuzi

  • @user-op2gm3gi6m
    @user-op2gm3gi6m 9 дней назад +1

    Unaongea ukweli siku zote sijui ulikuaga wapi professor natamani siku Moja niweze kukuona live