MBUNGE KISHIMBA AIBUKA NA JIPYA - "WOTE TUNAKULA CHAKULA CHA MKAA"
HTML-код
- Опубликовано: 3 окт 2024
- MBUNGE KISHIMBA AIBUKA NA JIPYA - "WOTE TUNAKULA CHAKULA CHA MKAA"
NI mkutano wa 3, kikao cha 44, wa Bunge la 12, umeendelea leo Juni 04, katika makao makuu ya nchi jijini Dodoma...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com...
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...
Hapa ndipo ninapoaminigi kuwa uongozi si mpaka uwe na elimu kubwa bali ni kipawa kutoka kwa MUNGU mwenyewe. Congratulations Hon. Kishimba, Gwajima, Msukuma.
Kutatua kero za wananchi hapahitaji literature review ni mambo yanayoendana na maisha ya kawaida na tunayaona mbunge huyu✅
Hawa ndio wabunge haswa. This is very much appreciated Mhe. Kishimba
Well said Mhe Kishimba,
wewe ni sababu tosha ya kuendelea kuwapa kura darasa la Saba kwa nafasi ya ubunge
Yaani ww mbunge natamani nikununulie JAWIZA au JAMKAYA ya 500 yabaridiii unyweee. Yaani ww ndio unazungumza kwa uhalisia wa maisha yetu. Nakupenda sanaaa
Positive thinker huyu mbunge hongera wananchi waliomchagua, hawakukosea kwa kweli
Sijawah kusikia unaongerea watu ww nipoint tuuu congratulations ❤❤❤❤❤ Kishimba musukumaa gwajima
MH.Kishimba nakupenda Sana !mawazo yake yanaendana na mazingira ya kawaida ya kila siku
Magufuli oyeeeeeh, kishimba oyeeeh tim magufuli nakupenda sana natumain magufuli bado yupo dunian wanyonge Kwanza mengine badae
kabla ya magufuli yupo huyo acha muhemko
@@fadhilikawambwa1586 muhemko ni lazima kwani wakati wa magufuli nilifatilia bunge hatua kwa hatua nilifatilia vyonbo vyote vya habari nikijua yazungumzwao ni faida ya watanzania ususani uongozi wa magufuli lakin wakati wa kikwete sikusubutu ata kutizama taharifa ya habari Kwan nilijua nchi ilishauzwa yaan tuko jehanam ivo niache nizidishe mihemko kwa magufuli😅😅😅pole yako ulieumizwa na furaha yangu
@@missmrs829 kwenda zako fala wewe ,mnyonge ni we mwenyewe
Safi 💥
@@missmrs829wakati wa dikteta maku msuKUMA ulifwatilia bunge papuchini mwako? Na wakati allikataa bunge kuoneshwa?
Awamu ijayo Mheshimiwa kishimba awe Raisi wetu, huyu ni mtu muhimu sana katika nchi hii.
Watu wengi wakiwemo wabunye huwa wanacheka sana wakati Mh. Kishimba anapozungumza, na inaonekana wengi hawamwelewi, wanaona kama mchekeshaji tu.
Mimi namwelewa sana na nampenda sana Mh. Kishimba, akisimama bungeni mimi nafurahi kwasababu najua atakayoyaongea yote ni ya msingi sana.
Katiba haimruhusu kuwa rais wa nchi ya Tanzania
Mbunge wangu huyu.... Mh. yuko vizuri sana aisee mawaziri wakijaga wakamwelewa nchi hii itafika mbali sana
Kwa mkaa hiyo mtashindwa sisi maskini hatutaweza maisha yetu ni ya shida kaeni huko bungeni mtafakari sana
Ndio mheshimiwa kuna watu maisha yao ni ya shida Sana hasa vijjijini huko mawazo yako ni sahihi kabisa unaona mbali sana
Kishimba uko sawa.hao wanaojiita wasomi baba zao wamewasomesha kwa kuchoma mikaa.hongera sana kishimba
Safi sana mheshimiwa Kishimba, wewe ndio mbunge pekee unayeongeaga mambo yanayohusu maisha halisi ya watanzania, mungu akubariki sana!
Kishimba, pole pole , ngwajima, msukuma nawaelewaga Sana hawa watu
🤝🤝🇹🇿 Mh. Kishimba umenena ipo haja ya kuangalia hali halisi ya maisha yetu Watanzania kabla ya kupitisha Mambo yanayoleta majonzi na simanzi ktk jamii.
Asante muheshimiwa mitano tena
Nimekupenda bure 💕💕💕 baba yangu hakka una upeo umetetea wanyonge
Yani mzee una upeo wa kipekee Mungu akuzidishie upeo
This is really great thinker ,I appreciate your in deep for real
Hahahaaa!!!
Mh Kishimba unaakili nyingi sana kiongozi wangu, Nakupenda sana. ❤️
Nampenda sana huyu kiongozi
😅😅😅😅🤝💪💪
Kabisa
Aina hii ya wabunge ndiyo tunao wataka. Sio wale wanaofanya bunge sehemu ya kula kiyoyozi.
Najisikiaga lava kuangalia video za mbunge kishimba
100%/100%kwa Kishimba. Nakupendaga bure
Najivunia kuwa na mbunge genius
Nikweli kabisa mzee wetu
Tunakushukuru Sana kwa kuwatetea ndugu zetu.
Point sir. Unajielewa sana. Maisha ya mtanzania kwanza. Mengine ndo yafuate.
Hongereni kahama kwa kumchagua mbuge mwenye akili sana amekuwa mwalimu bungeni na anatumia lugha nyepesi kutoa darasa kwa wabunge na wananchi .Mh kishimba barikiwa sana
Nakuelewa Sana mheshimiwa
Jamaa namkubali sana
Mh.kishimba kwakweli umeongea vizuri kuhusu uhalisia Wa maisha yetu ya Kitanzania Mkaa na kuni ndio tunatumia vijijini kwa asilimia kubwa Na wote tumekulia huko.wewe ni Professor Wa kweli nakukubali sana unatoaga mchango mzuri sana Wa kujenga.
Mzee sio mvivu wa kufikiri.
Kishimba you are genius
Mawazo ni mchango mkubwa kwa nchi yetu.
Mawazo yako yafanyiwe kazi
Tungekuwa na wabunge wa hivi 100 nchi ingekuwa saafiiii
Mzee unanikosha sana😀😀😀
Upo juu kishimba
Uko sahihi kabisa kishimba
My president 🙌
Kishimba uko vizur kwa kweli.
Hiki kichwa ni kizima kweli kweli
Ukweli ulio wazi Hadi Raha kumsikiliza mh kishimba
Nakupenda Sana mbunge Kishimba
Sio wale wanaamka nakuanza kulaumu serikali huku wakijua fka kuwa serikali inafanta Mambo kwa Awamu
Mbunge pekee anae jielewa Ni kishimba Kama hamuamini fanyeni utafiti mtaona wengine .............
Nakupenda sana baba
We mzee si wakawaida asee Daah...
Huyu mbunge nimemkubali
Muheshimiwa Kishimba
Wewe ni utajiri wa nchi ya Tanzani
Tukiwa na wewe tuna utajiri na nchi itasonga mbele maono yako ni sahihi mno. Matatizo ya jamii ya waTanzania yafanyiwe ufumbuzi wa kitanzania . Na sio kuwaumiza wananchi . Viongozi watatue matatizo ya WANANCHI .
tunamshukuru mh.shimba kwa mchango wako.
Shimba ni Mwana mwema wa Afrika
Safi
Maneno usemayo ni kweli na hakika..
Huyu jamaa huwa ana Idea za miaka 50 hadi 100 mbele,
Sema huwa tunachelewa sana kumuelewa..!
Kishimba the great thinker
Ukitaka kujua mkaa ni kwaajili ya wanyonge, muuzaji mkaa anaweza kupima mkaa kopo sh 1000 je! Kunamahali apambapo gesi inapimwa kwa sh 1000 ili kuwasaidia watanzani maskini, kwa hili serikali
Safi sana Mh. Kishimba
Nikweli kwamba tukiwa na wabunge wanamna hii maendeleo yakweli tunayapata sio kusahau shida za wazazi wetu tulizozipitia mungu bariki taifa letu tuzidi kuwa na wabunge wamawazo ya aina hii
Upo vzr sana, noted.
Safi sana
Ni Watz wangapi wenye uwezo wa kutumia gesi na umeme sasa hivi!?
Hao hao wanaokamata mkaa wanaenda kutumia wao, c tunawaona huku!
Anawakilisha maisha halisi ya mtanzania wakawaida tena ni maisha ya walio wengi
point sana Mkuu 💪💪💪
Bado najiuliza Jambo ... Mbona wabunge wa la 7 huwa wanayoosha sa maelezo kuliko wasomi.
Logic sanaaàa....
huyu Mzee huwa anaongeaga points tupu namkubali sana aseh
Mzee yn we mi nakuombea tu pumzi Mana unajua kututete wanyonge
🙏🙏🙏
dah hivi kwanini mama hajamuonakwenye uwazili mtu huyu.uwa anapoint zaidi ya profesa 100 wa tanzania.namkubali sana kishimba
Akipewa uwaziri fikra hizi zitapotea
Jamani mpaka leo Kishimba hamjamuelewa? genuin man.
Yani kishimba Is top👏👏👏🤣🤣
Nikweri waeshiwa na kukumbusha miti aina ya musambya umekua kero jimbo ra Kyerwa kupanda unatakiwa kibari na kuvuna unatakiwa kibari jee mti huu mukurima ataufaidi rini na misitu ya serikari imewekewa mipaka na inaonekana vizuri na wario ajiriwa pare wamesomeshwa miti hiyo na mkaa iweje mukurima asivune aricho panda
Huyu jamaa mbunge hasa hasa
Taifa letu linahitaji watu kama hawa kwa 100%
Kiongozi wa wanyonge
Tena utafiti huo mfanye kwanjia ya mitangao alafu mtaona Huyu jamaa anastahili Tuzo ya pekee ili wabunge wengine wajifunze
Mzee wewe unaelimu dunia iliyoshiba sana
👍🔥
La saba bungeni wana point kuliko hao wanaojiita wasomi
Akili kubwa
Hujawahi niangusha,
Mliongelee kwa uzito jaman izo point
Weweni mbungeunaeongea ukwelikabisa babakishimba. Hizosheria zaugizaji kishimba anaonazinaleta taabukwawananchi
Pin point
Na hio gesi bei ipo juu mh pasua kichwa tunakua nawasomi wanao tunga shelia kandamizi sio kuweka usawa unamchakua mtoto mwenye makuzi ya mboga saba anakua wazili wa kilimo hajui hata jembe linashikwaje
Kishimba mmi nakuombea usongembele ikamate nchi kunawapumbavu wanafukuzia adikiroba chakilo50
Sijutii kutumia bando kumsikiliza huyu mzee anaongea mambo ambayo hutumii nguvu kumuelewa
Ukenyenge wilaya kishapu leo gari lapolisi limekusanya mikaa mpaka kwenye familia ndani
serikali inabidi kuwa makini sana na suala la miti hauwezi kulazimisha watu watumie gesi wakati gesi ni bei kuliko mkaa na mkaa unakaa sana kuliko gesi
Wasomi wengi wana elimu tu lakini hawana AKILI. Wana mawazo ya kushikiwa na wazungu.
Kishimba apewe degree ya kwanza ya heshima!
Watanzania tusambaze gesi asilia haraka tuachane na mkaa na kuni. Angalisho gesi isiwe ghali sana! Huwezi kurudisha gharama ndani ya mwaka ama miaka 5 . Tuache kujifanya tunabiasharisha hata maitaji muhimu ya binadamu hasa Maji, umeme na nishati majumbani. Mamlaka za maji zijitafakari zifanane na anakoelekea Waziri Kalimani ktk umeme. Maji bado ghali sio hitaji muhimu la binadamu Mtanzania wa kawaida.
Huyu atukukiwe degree ya heshima
Kashatunukiwa PhD na speaker mda mrefu
Mwambie hao watu wa maliasili kuna viwanda vinatumia kuni adi misitu inaomba msamaa lakn mtu wa mkaa wa gunia 2 anaambiwa akalipe ela zisizo na haja
Yani kishimba nakufatilia sana ila sijajua Yale unayosema yanafanyiwa kazi ? Kwasababu unamawazo ya mabadiliko Kama yakifanyiwa kazi
Nakuelewa sana
Ukisikiliza hoja za darasa la saba na hoja za wale wenye madigrii unagundua darasa la saba wana hoja zenye akili sana kuliko za wasomi maana wasomi wanasema waliyokaririr shuleni basi
Shida wanafunzi wetu wanafanya research kupigia Google,
"Faida za mkaa London na faida za mkaa Tanzania "wasomi msilinganishe.
Unapinga mkaa kwenu na kwako wote mnapikia mkaa
Huyo akili kaacha randan
Nipelekeni kokote
Ila sibadili kauli kishimba mm imbunge mwenye Akili kuliko wabunge wote tanzania
Kishimba.una.akili.kubwa.tatizo.ni.liccm.kuja.chadema.akili.kubwa.tuokoe.nchi
Watoto wasome waende kuwa mgambo wa kushika wazazi wao.Hiki kichwa kina IQ ya hatari.Research zetu ni google tu...hata wanachuo wengi ikifika kipindi cha research wana copy na paste hawafanyi research ila wanachukua za waliochukua na ndio hao hao wanaotufanyia research sasa hivi hapo unategemea nini?
Aisee! huyu mbunge anaongea ya maana na halisi kabisa.