MBUNGE KISHIMBA AIBUKA NA JIPYA - "WOTE TUNAKULA CHAKULA CHA MKAA"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 окт 2024
  • MBUNGE KISHIMBA AIBUKA NA JIPYA - "WOTE TUNAKULA CHAKULA CHA MKAA"
    NI mkutano wa 3, kikao cha 44, wa Bunge la 12, umeendelea leo Juni 04, katika makao makuu ya nchi jijini Dodoma...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com...
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
    ⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...

Комментарии • 121

  • @marcondokeji8982
    @marcondokeji8982 3 года назад +9

    Hapa ndipo ninapoaminigi kuwa uongozi si mpaka uwe na elimu kubwa bali ni kipawa kutoka kwa MUNGU mwenyewe. Congratulations Hon. Kishimba, Gwajima, Msukuma.

  • @ismailmaulid1616
    @ismailmaulid1616 3 года назад +1

    Kutatua kero za wananchi hapahitaji literature review ni mambo yanayoendana na maisha ya kawaida na tunayaona mbunge huyu✅

  • @robertbutahe2835
    @robertbutahe2835 3 года назад +15

    Hawa ndio wabunge haswa. This is very much appreciated Mhe. Kishimba

  • @amaninyekele5002
    @amaninyekele5002 3 года назад +8

    Well said Mhe Kishimba,
    wewe ni sababu tosha ya kuendelea kuwapa kura darasa la Saba kwa nafasi ya ubunge

  • @mercypeter162
    @mercypeter162 3 года назад +2

    Yaani ww mbunge natamani nikununulie JAWIZA au JAMKAYA ya 500 yabaridiii unyweee. Yaani ww ndio unazungumza kwa uhalisia wa maisha yetu. Nakupenda sanaaa

  • @benitosanga9655
    @benitosanga9655 3 года назад +6

    Positive thinker huyu mbunge hongera wananchi waliomchagua, hawakukosea kwa kweli

  • @emanuelsamson-hq2jv
    @emanuelsamson-hq2jv Год назад

    Sijawah kusikia unaongerea watu ww nipoint tuuu congratulations ❤❤❤❤❤ Kishimba musukumaa gwajima

  • @brightontibenda2346
    @brightontibenda2346 3 года назад +4

    MH.Kishimba nakupenda Sana !mawazo yake yanaendana na mazingira ya kawaida ya kila siku

  • @missmrs829
    @missmrs829 3 года назад +11

    Magufuli oyeeeeeh, kishimba oyeeeh tim magufuli nakupenda sana natumain magufuli bado yupo dunian wanyonge Kwanza mengine badae

    • @fadhilikawambwa1586
      @fadhilikawambwa1586 3 года назад

      kabla ya magufuli yupo huyo acha muhemko

    • @missmrs829
      @missmrs829 3 года назад +2

      @@fadhilikawambwa1586 muhemko ni lazima kwani wakati wa magufuli nilifatilia bunge hatua kwa hatua nilifatilia vyonbo vyote vya habari nikijua yazungumzwao ni faida ya watanzania ususani uongozi wa magufuli lakin wakati wa kikwete sikusubutu ata kutizama taharifa ya habari Kwan nilijua nchi ilishauzwa yaan tuko jehanam ivo niache nizidishe mihemko kwa magufuli😅😅😅pole yako ulieumizwa na furaha yangu

    • @Ndu-wa.uroony2
      @Ndu-wa.uroony2 3 года назад

      @@missmrs829 kwenda zako fala wewe ,mnyonge ni we mwenyewe

    • @ismailmaulid1616
      @ismailmaulid1616 3 года назад

      Safi 💥

    • @Ndu-wa.uroony2
      @Ndu-wa.uroony2 3 года назад

      @@missmrs829wakati wa dikteta maku msuKUMA ulifwatilia bunge papuchini mwako? Na wakati allikataa bunge kuoneshwa?

  • @mohamedally1342
    @mohamedally1342 3 года назад +6

    Awamu ijayo Mheshimiwa kishimba awe Raisi wetu, huyu ni mtu muhimu sana katika nchi hii.
    Watu wengi wakiwemo wabunye huwa wanacheka sana wakati Mh. Kishimba anapozungumza, na inaonekana wengi hawamwelewi, wanaona kama mchekeshaji tu.
    Mimi namwelewa sana na nampenda sana Mh. Kishimba, akisimama bungeni mimi nafurahi kwasababu najua atakayoyaongea yote ni ya msingi sana.

    • @sadockalfred1710
      @sadockalfred1710 3 года назад

      Katiba haimruhusu kuwa rais wa nchi ya Tanzania

  • @keijoodehustla3259
    @keijoodehustla3259 3 года назад +3

    Mbunge wangu huyu.... Mh. yuko vizuri sana aisee mawaziri wakijaga wakamwelewa nchi hii itafika mbali sana

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 3 года назад +4

    Kwa mkaa hiyo mtashindwa sisi maskini hatutaweza maisha yetu ni ya shida kaeni huko bungeni mtafakari sana

  • @aminamsalilwa9521
    @aminamsalilwa9521 3 года назад +1

    Ndio mheshimiwa kuna watu maisha yao ni ya shida Sana hasa vijjijini huko mawazo yako ni sahihi kabisa unaona mbali sana

  • @jumaigoti8638
    @jumaigoti8638 3 года назад +2

    Kishimba uko sawa.hao wanaojiita wasomi baba zao wamewasomesha kwa kuchoma mikaa.hongera sana kishimba

  • @mohamedally1342
    @mohamedally1342 3 года назад +2

    Safi sana mheshimiwa Kishimba, wewe ndio mbunge pekee unayeongeaga mambo yanayohusu maisha halisi ya watanzania, mungu akubariki sana!

  • @tonyspencer1928
    @tonyspencer1928 3 года назад +8

    Kishimba, pole pole , ngwajima, msukuma nawaelewaga Sana hawa watu

  • @jumajonas5253
    @jumajonas5253 3 года назад +1

    🤝🤝🇹🇿 Mh. Kishimba umenena ipo haja ya kuangalia hali halisi ya maisha yetu Watanzania kabla ya kupitisha Mambo yanayoleta majonzi na simanzi ktk jamii.

  • @zainabumbondei8635
    @zainabumbondei8635 3 года назад +4

    Asante muheshimiwa mitano tena

  • @pendojoseph8713
    @pendojoseph8713 3 года назад +3

    Nimekupenda bure 💕💕💕 baba yangu hakka una upeo umetetea wanyonge

  • @lintadian6822
    @lintadian6822 3 года назад +4

    Yani mzee una upeo wa kipekee Mungu akuzidishie upeo

  • @nyakikayepersion4028
    @nyakikayepersion4028 3 года назад +4

    This is really great thinker ,I appreciate your in deep for real

  • @manrasiel8054
    @manrasiel8054 3 года назад +1

    Hahahaaa!!!
    Mh Kishimba unaakili nyingi sana kiongozi wangu, Nakupenda sana. ❤️

  • @rukiajumaa574
    @rukiajumaa574 3 года назад +4

    Nampenda sana huyu kiongozi

  • @leverimlaki5667
    @leverimlaki5667 3 года назад +6

    Aina hii ya wabunge ndiyo tunao wataka. Sio wale wanaofanya bunge sehemu ya kula kiyoyozi.

  • @kajugaa4537
    @kajugaa4537 3 года назад +1

    Najisikiaga lava kuangalia video za mbunge kishimba

  • @alikarisa
    @alikarisa 3 года назад +1

    100%/100%kwa Kishimba. Nakupendaga bure

  • @nzokanzoka2698
    @nzokanzoka2698 3 года назад +2

    Najivunia kuwa na mbunge genius

  • @prophetemanuelpaul6151
    @prophetemanuelpaul6151 3 года назад +1

    Nikweli kabisa mzee wetu
    Tunakushukuru Sana kwa kuwatetea ndugu zetu.

  • @sophiemsuya6507
    @sophiemsuya6507 3 года назад +4

    Point sir. Unajielewa sana. Maisha ya mtanzania kwanza. Mengine ndo yafuate.

  • @deusmgema8612
    @deusmgema8612 3 года назад

    Hongereni kahama kwa kumchagua mbuge mwenye akili sana amekuwa mwalimu bungeni na anatumia lugha nyepesi kutoa darasa kwa wabunge na wananchi .Mh kishimba barikiwa sana

  • @issadini7824
    @issadini7824 3 года назад

    Nakuelewa Sana mheshimiwa

  • @msheheibrahim621
    @msheheibrahim621 3 года назад +2

    Jamaa namkubali sana

  • @prosperjustine8770
    @prosperjustine8770 3 года назад

    Mh.kishimba kwakweli umeongea vizuri kuhusu uhalisia Wa maisha yetu ya Kitanzania Mkaa na kuni ndio tunatumia vijijini kwa asilimia kubwa Na wote tumekulia huko.wewe ni Professor Wa kweli nakukubali sana unatoaga mchango mzuri sana Wa kujenga.

  • @jacksonmwakasege6210
    @jacksonmwakasege6210 3 года назад +4

    Mzee sio mvivu wa kufikiri.

  • @kawiche4911
    @kawiche4911 3 года назад

    Kishimba you are genius
    Mawazo ni mchango mkubwa kwa nchi yetu.
    Mawazo yako yafanyiwe kazi

  • @sadockalfred1710
    @sadockalfred1710 3 года назад +3

    Tungekuwa na wabunge wa hivi 100 nchi ingekuwa saafiiii

  • @abumuhammadmbwana3964
    @abumuhammadmbwana3964 3 года назад +2

    Mzee unanikosha sana😀😀😀

  • @jacksondc1359
    @jacksondc1359 3 года назад +1

    Upo juu kishimba

  • @mussathomasdossa4687
    @mussathomasdossa4687 3 года назад +1

    Uko sahihi kabisa kishimba

  • @ousmanjuma3396
    @ousmanjuma3396 3 года назад

    My president 🙌

  • @mashakampembela2552
    @mashakampembela2552 3 года назад +2

    Kishimba uko vizur kwa kweli.

  • @samuelsoswa1437
    @samuelsoswa1437 3 года назад +1

    Hiki kichwa ni kizima kweli kweli

  • @denismvile6402
    @denismvile6402 3 года назад +3

    Ukweli ulio wazi Hadi Raha kumsikiliza mh kishimba

  • @elisantemrita9894
    @elisantemrita9894 3 года назад

    Nakupenda Sana mbunge Kishimba
    Sio wale wanaamka nakuanza kulaumu serikali huku wakijua fka kuwa serikali inafanta Mambo kwa Awamu

  • @elisantemrita9894
    @elisantemrita9894 3 года назад +1

    Mbunge pekee anae jielewa Ni kishimba Kama hamuamini fanyeni utafiti mtaona wengine .............

  • @jeffkibonge8193
    @jeffkibonge8193 3 года назад +1

    Nakupenda sana baba

  • @paschaljoh5729
    @paschaljoh5729 3 года назад +2

    We mzee si wakawaida asee Daah...

  • @prosperjuma905
    @prosperjuma905 3 года назад +1

    Huyu mbunge nimemkubali

  • @kawiche4911
    @kawiche4911 3 года назад

    Muheshimiwa Kishimba
    Wewe ni utajiri wa nchi ya Tanzani
    Tukiwa na wewe tuna utajiri na nchi itasonga mbele maono yako ni sahihi mno. Matatizo ya jamii ya waTanzania yafanyiwe ufumbuzi wa kitanzania . Na sio kuwaumiza wananchi . Viongozi watatue matatizo ya WANANCHI .
    tunamshukuru mh.shimba kwa mchango wako.
    Shimba ni Mwana mwema wa Afrika

  • @plumbingtanzaniaplumber7570
    @plumbingtanzaniaplumber7570 3 года назад

    Safi

  • @amosmuhere8749
    @amosmuhere8749 3 года назад +2

    Maneno usemayo ni kweli na hakika..

  • @chiefmahucha6847
    @chiefmahucha6847 3 года назад +3

    Huyu jamaa huwa ana Idea za miaka 50 hadi 100 mbele,
    Sema huwa tunachelewa sana kumuelewa..!

  • @cypriankikoti9160
    @cypriankikoti9160 3 года назад

    Kishimba the great thinker

  • @jacksonmenas6488
    @jacksonmenas6488 3 года назад +1

    Ukitaka kujua mkaa ni kwaajili ya wanyonge, muuzaji mkaa anaweza kupima mkaa kopo sh 1000 je! Kunamahali apambapo gesi inapimwa kwa sh 1000 ili kuwasaidia watanzani maskini, kwa hili serikali

  • @atimanamanga6289
    @atimanamanga6289 3 года назад

    Safi sana Mh. Kishimba

    • @mapuliclavery9883
      @mapuliclavery9883 3 года назад

      Nikweli kwamba tukiwa na wabunge wanamna hii maendeleo yakweli tunayapata sio kusahau shida za wazazi wetu tulizozipitia mungu bariki taifa letu tuzidi kuwa na wabunge wamawazo ya aina hii

  • @ndamarevocatus4918
    @ndamarevocatus4918 3 года назад

    Upo vzr sana, noted.

  • @miriamsaidi1047
    @miriamsaidi1047 3 года назад +1

    Safi sana

  • @hamismabula5813
    @hamismabula5813 3 года назад +2

    Ni Watz wangapi wenye uwezo wa kutumia gesi na umeme sasa hivi!?
    Hao hao wanaokamata mkaa wanaenda kutumia wao, c tunawaona huku!

  • @saidimpako5186
    @saidimpako5186 3 года назад +1

    Anawakilisha maisha halisi ya mtanzania wakawaida tena ni maisha ya walio wengi

  • @jemastmusiq9654
    @jemastmusiq9654 3 года назад

    point sana Mkuu 💪💪💪

  • @geraldleger5793
    @geraldleger5793 3 года назад +1

    Bado najiuliza Jambo ... Mbona wabunge wa la 7 huwa wanayoosha sa maelezo kuliko wasomi.

  • @deonatusmotoka2161
    @deonatusmotoka2161 3 года назад

    Logic sanaaàa....

  • @faisalyahya7186
    @faisalyahya7186 3 года назад +1

    huyu Mzee huwa anaongeaga points tupu namkubali sana aseh

  • @rehemamsuya2263
    @rehemamsuya2263 3 года назад +2

    Mzee yn we mi nakuombea tu pumzi Mana unajua kututete wanyonge

  • @MaimunaNdobe
    @MaimunaNdobe Год назад

    🙏🙏🙏

  • @fadhilikawambwa1586
    @fadhilikawambwa1586 3 года назад

    dah hivi kwanini mama hajamuonakwenye uwazili mtu huyu.uwa anapoint zaidi ya profesa 100 wa tanzania.namkubali sana kishimba

  • @thieryniyonkuru5023
    @thieryniyonkuru5023 3 года назад +1

    Jamani mpaka leo Kishimba hamjamuelewa? genuin man.

  • @jackhans7708
    @jackhans7708 3 года назад

    Yani kishimba Is top👏👏👏🤣🤣

  • @kuduraanacleti6394
    @kuduraanacleti6394 3 года назад

    Nikweri waeshiwa na kukumbusha miti aina ya musambya umekua kero jimbo ra Kyerwa kupanda unatakiwa kibari na kuvuna unatakiwa kibari jee mti huu mukurima ataufaidi rini na misitu ya serikari imewekewa mipaka na inaonekana vizuri na wario ajiriwa pare wamesomeshwa miti hiyo na mkaa iweje mukurima asivune aricho panda

  • @godsangi4839
    @godsangi4839 3 года назад +1

    Huyu jamaa mbunge hasa hasa

  • @danieltenson4175
    @danieltenson4175 3 года назад +2

    Taifa letu linahitaji watu kama hawa kwa 100%

  • @iddiupepo8449
    @iddiupepo8449 3 года назад

    Kiongozi wa wanyonge

  • @elisantemrita9894
    @elisantemrita9894 3 года назад +2

    Tena utafiti huo mfanye kwanjia ya mitangao alafu mtaona Huyu jamaa anastahili Tuzo ya pekee ili wabunge wengine wajifunze

  • @gasparlubaga5866
    @gasparlubaga5866 3 года назад +1

    Mzee wewe unaelimu dunia iliyoshiba sana

  • @ahmedalhashmy7913
    @ahmedalhashmy7913 3 года назад +1

    👍🔥

  • @alfredlimu3873
    @alfredlimu3873 3 года назад +2

    La saba bungeni wana point kuliko hao wanaojiita wasomi

  • @kilamegroup2968
    @kilamegroup2968 3 года назад +1

    Akili kubwa

  • @williammbuzimai5744
    @williammbuzimai5744 3 года назад +2

    Hujawahi niangusha,

  • @meshacklukumai1165
    @meshacklukumai1165 3 года назад +2

    Mliongelee kwa uzito jaman izo point

  • @stevenmlangai4798
    @stevenmlangai4798 3 года назад

    Weweni mbungeunaeongea ukwelikabisa babakishimba. Hizosheria zaugizaji kishimba anaonazinaleta taabukwawananchi

  • @heridadia9634
    @heridadia9634 3 года назад

    Pin point

  • @bakarikayugwa3295
    @bakarikayugwa3295 3 года назад +1

    Na hio gesi bei ipo juu mh pasua kichwa tunakua nawasomi wanao tunga shelia kandamizi sio kuweka usawa unamchakua mtoto mwenye makuzi ya mboga saba anakua wazili wa kilimo hajui hata jembe linashikwaje

  • @petrojulias930
    @petrojulias930 3 года назад

    Kishimba mmi nakuombea usongembele ikamate nchi kunawapumbavu wanafukuzia adikiroba chakilo50

  • @gladsonkitua145
    @gladsonkitua145 3 года назад +3

    Sijutii kutumia bando kumsikiliza huyu mzee anaongea mambo ambayo hutumii nguvu kumuelewa

  • @shekasalaganda4294
    @shekasalaganda4294 Год назад

    Ukenyenge wilaya kishapu leo gari lapolisi limekusanya mikaa mpaka kwenye familia ndani

  • @jovinanthoni7851
    @jovinanthoni7851 3 года назад +4

    serikali inabidi kuwa makini sana na suala la miti hauwezi kulazimisha watu watumie gesi wakati gesi ni bei kuliko mkaa na mkaa unakaa sana kuliko gesi

  • @henrychacha5592
    @henrychacha5592 3 года назад +1

    Wasomi wengi wana elimu tu lakini hawana AKILI. Wana mawazo ya kushikiwa na wazungu.

  • @charlesbibombe2301
    @charlesbibombe2301 3 года назад +2

    Kishimba apewe degree ya kwanza ya heshima!

  • @benedictmrisho2361
    @benedictmrisho2361 3 года назад

    Watanzania tusambaze gesi asilia haraka tuachane na mkaa na kuni. Angalisho gesi isiwe ghali sana! Huwezi kurudisha gharama ndani ya mwaka ama miaka 5 . Tuache kujifanya tunabiasharisha hata maitaji muhimu ya binadamu hasa Maji, umeme na nishati majumbani. Mamlaka za maji zijitafakari zifanane na anakoelekea Waziri Kalimani ktk umeme. Maji bado ghali sio hitaji muhimu la binadamu Mtanzania wa kawaida.

  • @alanusrespicius1796
    @alanusrespicius1796 3 года назад +3

    Huyu atukukiwe degree ya heshima

  • @yahyamassawe8011
    @yahyamassawe8011 3 года назад

    Mwambie hao watu wa maliasili kuna viwanda vinatumia kuni adi misitu inaomba msamaa lakn mtu wa mkaa wa gunia 2 anaambiwa akalipe ela zisizo na haja

  • @martinkisha6307
    @martinkisha6307 3 года назад

    Yani kishimba nakufatilia sana ila sijajua Yale unayosema yanafanyiwa kazi ? Kwasababu unamawazo ya mabadiliko Kama yakifanyiwa kazi

  • @yes_yes1310
    @yes_yes1310 3 года назад

    Nakuelewa sana

  • @hamisiharuna3099
    @hamisiharuna3099 3 года назад +1

    Ukisikiliza hoja za darasa la saba na hoja za wale wenye madigrii unagundua darasa la saba wana hoja zenye akili sana kuliko za wasomi maana wasomi wanasema waliyokaririr shuleni basi

  • @rapperdx1331
    @rapperdx1331 3 года назад +2

    Shida wanafunzi wetu wanafanya research kupigia Google,
    "Faida za mkaa London na faida za mkaa Tanzania "wasomi msilinganishe.
    Unapinga mkaa kwenu na kwako wote mnapikia mkaa

  • @petrojulias930
    @petrojulias930 3 года назад

    Huyo akili kaacha randan

  • @elisantemrita9894
    @elisantemrita9894 3 года назад +3

    Nipelekeni kokote
    Ila sibadili kauli kishimba mm imbunge mwenye Akili kuliko wabunge wote tanzania

  • @jumamagoma1743
    @jumamagoma1743 Год назад

    Kishimba.una.akili.kubwa.tatizo.ni.liccm.kuja.chadema.akili.kubwa.tuokoe.nchi

  • @carlosn_tz
    @carlosn_tz 3 года назад +2

    Watoto wasome waende kuwa mgambo wa kushika wazazi wao.Hiki kichwa kina IQ ya hatari.Research zetu ni google tu...hata wanachuo wengi ikifika kipindi cha research wana copy na paste hawafanyi research ila wanachukua za waliochukua na ndio hao hao wanaotufanyia research sasa hivi hapo unategemea nini?

  • @gaudenciamallya9779
    @gaudenciamallya9779 3 года назад

    Aisee! huyu mbunge anaongea ya maana na halisi kabisa.