SAKATA LA MPINA NA SUKARI LAZIDI KUTIKISA, SERIKALI YATOA TAMKO JIPYA, PROF. KITILA AANIKA HADHARANI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 8 июл 2024
  • #UhondoTV #Uhondo

Комментарии • 53

  • @nestor384
    @nestor384 14 дней назад +5

    Luhaga Jelson Mpina aombwe msamaha tena kwenye public media Bashe is supposed not to be Minister even for a second!

    • @BabuGga-td3mg
      @BabuGga-td3mg 12 дней назад +1

      Kwanini kusiwe na hamasa kutoka kwa wananchi iliapate msamaha, mana walioko bungeni wengi wanafki tu

  • @ChristerKoku
    @ChristerKoku 14 дней назад +9

    Kama ndivyo,Mpina asafishwe,haya yote ni baada ya nguvu ya Mpina watanzania tunauelewa.

  • @abdulikilala5902
    @abdulikilala5902 14 дней назад +11

    Nyiye wote machawa tu hamfai hata kuwa viongozi hamuoni hata aibu? Kama aliruhusu vibali sukari ikaingizwa nyingi mbona bei bado 4000? Kwa 3000 ninyi viongozi wahuni tu ccm tutatupa makadi ya ccm pale bungeni viongozi hawataki kujadili hoja za msingi ni kutoa ahadi za uongo uongo kutufanya wananchi hatuna akili timamu mpina ndio kiongozi ninyi wengine makabwela tu

    • @kadokemarco9966
      @kadokemarco9966 13 дней назад +2

      Ndiyo hapo sasa, harafu wabunge wote hawalioni hilo

  • @user-xy6ed7ve6r
    @user-xy6ed7ve6r 14 дней назад +11

    Kwa maelezo hayo, sasa ilikuaje Mh. Mpina akaadhibiwa?

    • @suzysam6002
      @suzysam6002 14 дней назад +1

      Hiyo Ni Sri yao ya kulindana sasa mpina ameweka hadharani rfk yangu , mwenye macho haambiwi tazama wenye masikio halazimishi kusikia

  • @davidmpiluka5224
    @davidmpiluka5224 14 дней назад +5

    Hoja za Mpina zilikuwa very clear. Tunataka kwanza zijibiwe hoja zake zote moja baada ya nyingine.
    Hatuwezi kuwa na utaratibu wa kuwalinda MAFISADI na MAJIZI na kuwakandamiza wanaowafichua hao MAJIZI na MAFISADI.
    RIP, Mwamba wa Afrika na Mzalendo wa kweli wa Nchi yetu, JPM.

  • @imanimahundi8293
    @imanimahundi8293 14 дней назад +4

    Yaani mwananchi wakawaida amekuwa muelewa,kuliko hão wanaojiita wasomi.

  • @janethpallangyo3855
    @janethpallangyo3855 14 дней назад +8

    MPINA ALIKUWA SAHIHI KABISA KWANINI WALIMUADHIBU WAKATI ALIKUWA ANASEMA UKWELI?

  • @gabrieltheodory4090
    @gabrieltheodory4090 14 дней назад +4

    Serikali impongeze Mpina kwa Moyo 7:12 wake wa Kizalendo na apewe tuzo ya Umahiri wa kutetea Umma

  • @matatizonkwera8607
    @matatizonkwera8607 14 дней назад +8

    Mpina was a right man,

  • @wanguwangu34
    @wanguwangu34 14 дней назад +4

    Good ideas, mawazo mazuri sana na ingekuwa akili yangu huyu ndiye angempa wizara ya kilimo maana aliyepo ni msanii sana na huangalia maslahi yake kwanza.

  • @FatnaAlly-go7yt
    @FatnaAlly-go7yt 14 дней назад +3

    ❤❤allah nakuomba rabana ijaze yako fanaka tupe upendo amani na umoja na mshikamano tuondolee kila mwenye nia mbaya na ujaze yako roho ya imani

  • @frankhoffa8356
    @frankhoffa8356 14 дней назад +5

    Sasa kwanini mpina kaadhibiwa? Na kwanini iwe bei juu?

    • @NDEWARA
      @NDEWARA 14 дней назад

      Kaadhibiwa kwa kumdharau Spika na kulidharau Bunge naye anajua hivyo

  • @irenekalinga323
    @irenekalinga323 14 дней назад +4

    Sawa nyinyi kama serikali waziri bashe anachukuliwa hatua Gani kisheria kwa udanganyifu aliyosema?

    • @tashone7884
      @tashone7884 14 дней назад

      Aliyeonekana muongo na kuchukuliwa hatua Mpina

  • @abdulikilala5902
    @abdulikilala5902 14 дней назад +4

    Sukari ya nje ya nini ? Acheni kuwa makambela zalisheni vya kwetu viongozi wazima hata hamtumiii akili

  • @allyhasani3750
    @allyhasani3750 14 дней назад +6

    Bado kuna kuwalinda watu fulan!

  • @SelemanMhana-ol7tk
    @SelemanMhana-ol7tk 14 дней назад +2

    Mpina amefanya hayo kufuatilia

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 14 дней назад +2

    Tatizo ni kutaka wafabiashara wa inje inanguvu serikalini kuliko viwanda na wafanyabiashara wa ndani. Serikali inapendelea wafabiashara wa inje zaidi ya wanainchi. Kwani Bandari alizo hangaikia Nyerere leo mtu anatoka Zanzibar ati anawapa warabu kwa sababu anazozijua mwenyewe na hao warabu na kuwanyang'anya wanainchi Mamlaka siyo miongozo zilizowekwa na waasisi wa Inchi hii.

  • @zobakazizi7637
    @zobakazizi7637 14 дней назад +2

    Sukari ya nje iuzwe kwa nembo za nje...ili tuitambue.

  • @charleslukumai7875
    @charleslukumai7875 14 дней назад +2

    Kulikuwa hakuna mawasiliano kati ya serekali na wazalishaji wa sukari?

  • @MohamedBlanker-jw9qy
    @MohamedBlanker-jw9qy 14 дней назад +1

    Kama sukari no dili Basi ongezeni viwanda ili watu wapate ajira acheni madili mpina Yuko sawa

  • @albinusmkono5887
    @albinusmkono5887 14 дней назад +1

    Sasa mpina alisema uongo wapi.?mpina ailikua anasema haya haya.sasa baada ya kumfukuza bungeni ili mpitishe kirahisi hiyo bajet. Na baada ya kuogopa mpina kwa yeye kusonga mbele akiwa na hoja nzito zenye mashiko.mmeona atapata nguvu na ataungwa mkono.mmewahi kuyasema yale yale aliyokua akiyasema. Mpina.hii laana itawatafuna sana.msafisheni mpina sasa

  • @joaneskailembo4485
    @joaneskailembo4485 12 дней назад

    Maneno mengi utafikiri kuna la maama Proffs Mkumbo hajawai kuaminika

  • @hemedbamja3197
    @hemedbamja3197 14 дней назад +2

    Naamini kwa fukuto hili;haitakaa sukari iadimike tena maana sasa inajulikana kuwa "government intervention" ipo ikitokea upande hautimizi au ukiritimba. Total efficiency=production efficiency+consumption efficiency

    • @jumacristv
      @jumacristv 14 дней назад +2

      Nonesense

    • @hemedbamja3197
      @hemedbamja3197 14 дней назад

      @@jumacristv :it depends your sense is in which side of XY plane.possibly they are in third quadrant

  • @rkcomercialenterprises3209
    @rkcomercialenterprises3209 14 дней назад +1

    Mbona bei ya sukari Dar ni shs 3,500 kwa kilo?
    Shida iko wapi????

  • @RehemaSalum-vp6rf
    @RehemaSalum-vp6rf 14 дней назад

    Na spika amuombe msamahaa mh mpina...

  • @user-bx3ko9ft5t
    @user-bx3ko9ft5t 14 дней назад +1

    Kitila miaka mitano ikiisha ukalime tuuu mana ubungo huja fanya chochote umeki kua chawa wa raisi yani sikupendi yani

  • @esronyuba2575
    @esronyuba2575 14 дней назад

    Hii kiongozi iko vizuri tunatamani Kuona hayo yanatokea.

  • @emmanuelmashishanga7141
    @emmanuelmashishanga7141 14 дней назад +1

    Tatizo uchawa

  • @user-oq6to7pf2u
    @user-oq6to7pf2u 14 дней назад

    sasa kosa mpina ni lipi sasa hi nchii hi hamna kitu ujanja mwingi sana

  • @user-ze6lx9ng6s
    @user-ze6lx9ng6s 13 дней назад

    Mbunge mpina alionewa Tulia na bashe wanatakiwa wajiuzuru kama kweli ni wazarendo,

  • @gasparyephraimmwakatuma9542
    @gasparyephraimmwakatuma9542 14 дней назад +1

    Waache maamuzi ya kupiga kwa kisingizio cha maamuzi magumu

  • @paulokateme7615
    @paulokateme7615 14 дней назад

    Umeshawahi kugundua tofauti iliyopo kati ya sukari ya nje na ya humu ndani?
    Je, sukari inayoingizwa ni ya grade gani?
    Nitakuwa nimekosea kama nikisema wanalindwa kuliko wanavyopaswa?
    Nenda majumbani mwao uangalie kama kuna mmoja wao anaitumia sukari kutoka nje?
    Napongeza kusikia NFRA wawe waagizaji ila ubora wa sukari uangaliwe unaweza kununua sukari kilo moja kumbe ina hadhi au ubora wa nusu kilo nikimaanisha sukari ya nje unahitaji kuweka vijiko vingi kulinganisha na sukari ya ndani ambayo unatumia pungufu ya hapo.

  • @user-yw7ud9th2l
    @user-yw7ud9th2l 14 дней назад

    Harafu serekkari ya awamu yasita badohaijafika bbadotupo awamuyya Tano mama anamarizia miaka Yao iriyobakii yeyenammakufuri

  • @daudimwita-bk6mg
    @daudimwita-bk6mg 11 дней назад

    Magufuli aliwafaa watanzania.

  • @NanaMaembe
    @NanaMaembe 14 дней назад

    NYINYI VIONGOZI NI MAFISADI WAKUBWA.... ABDULLY NA MAMA YAKE NDO MNATUKANDAMIZA KWA SUKARI..... IPO SIKU TUTACHOMA KAMA WAKENYA.

  • @EdwardKwiyanga
    @EdwardKwiyanga 14 дней назад

    Kama ni ya kweli huo uprofessa unakufaa

  • @RehemaSalum-vp6rf
    @RehemaSalum-vp6rf 14 дней назад

    Tunataka wazili ajiuzulu basi

  • @dilludillu2747
    @dilludillu2747 14 дней назад

    Brbraa

  • @mlambalazikibira
    @mlambalazikibira 14 дней назад

    Tatizo mkivilinda sana hivyo viwanda ndio wanatupandishia bei ,wana control bei ya soko

    • @FelicianSimon
      @FelicianSimon 14 дней назад

      Hapana Kuna Wala rushwa TU viwanda ni muhimu mno

  • @user-uk3eg3uo7s
    @user-uk3eg3uo7s 12 дней назад

    Dawa ya mfumoko wa bei ya sukari na bidhaa zingine Tanzania na tozo za maumivu ni WA Tanzania kuiondoa ccm madarakani tupate angalau mwenye huruma na wananchi maskini.