KUTOKA MAKTABA:SAKATA LA MAKAMBA KUMNG'OA RAIS SAMIA LILIVYOZUA GUMZO HIVI KARIBUNI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 сен 2024
  • #UhondoTV #Uhondo

Комментарии • 65

  • @asungushepatrick5414
    @asungushepatrick5414 Месяц назад +17

    Pamoja na hayo,nafikiri Jeshi la polisi mngekuwa mnakamata mafisadi wa nchi hii mkishirikiana na Takukuru, inchi ingenyooka.

    • @noorbazaar9063
      @noorbazaar9063 Месяц назад

      Watakuŵa wanaingilia kazi za wengine.

  • @RaymondZindah-ow7wr
    @RaymondZindah-ow7wr Месяц назад +8

    Polisi mnatengeneza mabo ya uongo Ili kumzuga president. Mme jaa unafki sana.

  • @user-xt3pq4hb2r
    @user-xt3pq4hb2r Месяц назад +5

    Siku jeshi letu la police likitia mafisadi wanchi yetu ambao wanapoteza mabiloni ya fedha nitafurahi sana

  • @Worldunite
    @Worldunite Месяц назад +6

    Makamba hatumpi kura

  • @IsmailLugenge
    @IsmailLugenge Месяц назад

    Ni vizuri sana kwà jeshi la polisi lakini ombi langu taharifa hizi tupate majibu yake pia na kuhusu makosa ya mtandaoni Kuna hitajika namba inayo husiana na tatizo hili namba ambayo ni ya moja kwa moja na kitengo mahalumu Cha makosa ya mtandaoni na sio kama tcra wao namba Yao inafanana na ya mitandao ya simu ya 100 asa hii aisahjdii kitu

  • @fadhilimoshi5754
    @fadhilimoshi5754 Месяц назад +3

    Shida kubwa ni kwamba mapolisi mmekuwa wanasiasa mnaacha majukumu yenu na kulinda viongozi mafisadi ni hivyo tu.

  • @johandavid7389
    @johandavid7389 Месяц назад +3

    iv ana kisikia anachokisoma au ameandikiwa tu

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ Месяц назад

    Kazi nzuri saana jeshi la Polisi, wanatumia mitandao vibaya saaana na kuleta fitna na taharuki

  • @onesmothimos2635
    @onesmothimos2635 Месяц назад +5

    Una nikumbusha rock city Mwanza kamanda jumanne pigakazi bila kuchoka

  • @MichaelNdelema
    @MichaelNdelema Месяц назад +7

    ❤JPM✋

  • @rogerabdallah439
    @rogerabdallah439 Месяц назад +4

    Amna kazi za kufanya

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl Месяц назад

    Kumbe mnajiweza polic kukamata watu je nawale wanoitwa wasiyojulikana vipi msiwakamate maana.wanateka watu watoto nawakubwa. Au hawatumii sim kwa kaxihizi nalaazimatu wanapigiana sim katikakutekeleza uharamia nao wakamateni tuwajue nawahukumiwe kishelia. . Inshaallah. Allah awapenguvu polic wetu mtende haki

  • @SmilingCityMap-xb9md
    @SmilingCityMap-xb9md Месяц назад +1

    Hivi huwa najiuliza mafisadi walishatubu hawaibi tena wametubu kabisa sasa tumebaki na dhambi moja tu ya kuwasema waheshimiwa na naona hiyo ndio dhambi pekee iliobaki naona tuelekeze nguvu zetu zote kupambana maana wezi wote wa mali ya umma mafisadi wameshatubu

  • @kulewamziray9068
    @kulewamziray9068 Месяц назад +5

    Wacha mvua imyeshe tuone wapi panavija

  • @MaxCharles-wj5dg
    @MaxCharles-wj5dg Месяц назад +1

    duh tz yangu

  • @MasterOil-qm6vw
    @MasterOil-qm6vw Месяц назад +6

    Polisi mumeshindwa kudhibiti utekwaji wa watoto kweli? Mpaka mnatupa jukumu hilo sisi wazazi wakati sisi tunatimiza jukumu letu la kualinda wanapo kua maeneo ya nyumbani wanapotoka nje ya nyumba zao linakua ni jukumu lenu polisi kama mnavyosema kazi ya polisi ni kulinda watu na mali zao sasa inakuaje watoto kila siku wanatekwa na kuchinjwa ?

    • @twalibulomy-cd4zd
      @twalibulomy-cd4zd Месяц назад

      Mkundu wako. Acha ufala. Police wapo sawa

    • @handenitakuru6696
      @handenitakuru6696 Месяц назад

      ​@@twalibulomy-cd4zd acha usenge we jamaa kafilwe na baba yako huyo jamaa kaongea ukweli

    • @twalibulomy-cd4zd
      @twalibulomy-cd4zd Месяц назад

      @@handenitakuru6696 ukweli ni Mkundu wako Tafuta kazi.

    • @ilynpayne7491
      @ilynpayne7491 Месяц назад

      ​@@twalibulomy-cd4zd Tanzania nchi ngumu sana😅😅😅😅😂😂😂😅

    • @SmilingCityMap-xb9md
      @SmilingCityMap-xb9md Месяц назад

      ​@@twalibulomy-cd4zdkwa mitusi hiyo huifai dunia wala kuzimu sijui uitwe nani maana upo duniani kwa hasala huna faida

  • @MonicaKaskaz
    @MonicaKaskaz Месяц назад +3

    Kumbe yule mtabiri ni wa kweli jamani

  • @herie16m
    @herie16m Месяц назад

    Sioni titles zikiendana na simulizi
    Anyway
    Sioni tija

  • @jaydon3361
    @jaydon3361 Месяц назад +1

    Ila serikal bana, kamateni watu wenye makosa nyeti, sasa kwel vijana wadogo tu ambao hata chanel Yao ya RUclips Haina wafuatiliji wengi ndo mnna deal nao

  • @MjumbeAgano
    @MjumbeAgano Месяц назад

    Wanahitaji Neno la wakati kwa mjumbe wa agano duniani ili waikolewe na mambo mabaya.

  • @loner_wolf
    @loner_wolf Месяц назад

    Aliyemsaliti mwenzio unamuamini vip ? Wote problem wache wasalitiane .

  • @soka-fx1xp
    @soka-fx1xp Месяц назад +1

    POLISI MNAONEA SANA WATU, KILA KONA HABARI NI JANUARY MAKAMBA KWELI ANAUTAKA URAIS , SASA KWANINI MNAWAKAMATA WATU WAKATI HILO LINAJULIKANA WAZI. UNAFIKILI KWANIN RAIS SAMIA KAMTUMBUA JANUARY MAKAMBA?? ACHENI KUONEA WATU BADALA YA KUCHUNGUZA KAMA TAARIFA NIYA KWELI.

  • @AyubuHeshima
    @AyubuHeshima Месяц назад

    Hamna lolote Kuna mafisadi wanapiga mabilioni mnajifanya hamuwaoni ila vibaka kama hao munawaona halaka. Labda kwakuwa wanakula pekeyao

  • @user-ms1xg1fp4v
    @user-ms1xg1fp4v Месяц назад

    January Alipotaka urais Aligombea live kila mtu Akamuona.Nakua Ameshakua mwanasiasa mkubwa hakuna Anaepinga.Ila namuona haya mambo yanamkataa ni bora Aelekee kwenye mrengo mwengine wa maisha Aachane na Siasa.Maana mwishowe Atajikuta kubaya ima kwa makosa yake ya kweli.Au kwa kuchomekewa na mahasimu wake.

  • @mmarandu2417
    @mmarandu2417 Месяц назад

    Mgeamua kuthibiti rushwa kikamilifu taifa lingekuwa tajiri. Uwezo mnao.

  • @deniccgabriel6153
    @deniccgabriel6153 Месяц назад

    Mnashindwa kukamata wanaoiujumu nchi hiii mnakimbilia kumg'oa rais wakati Kuna watu wanaitwa wasiojulikana nao mlikamata wangapi😮😮😮

  • @BraxedaDomina-xn4zc
    @BraxedaDomina-xn4zc Месяц назад

    Acheni kuzuga bhana kamateni mafisadi

  • @gidongailo7174
    @gidongailo7174 Месяц назад

    Sasa kuna ubaya gani mtu kujipanga ili kugombea Urais. Mbona 2025 wanasisiem wanatakiwa kugombea wengiiiii kama 2015 walipogombea 40+. Tunataka kuona Demokrasia ndani ya CCM inaruhusiwa ili tupate watia nia wengiiii. Wakati sis tukiandaa vichinjio, tunataka kuona watia nia watakaokatwa kwenye michujo ya sisiemu. Ujue raha sana kusikia Nape kakatwa awamu ya kwanza. Makamba kakatwa sasa kabaki Samia😂

  • @user-lt1bi5nr1x
    @user-lt1bi5nr1x Месяц назад

    Inshu ndogondogo kama hizi marekani hua wanamaliza kimiakimia tu. Sasa nyie matangazo kibao mnatumalizia mb

  • @JamaliAlly-zy1ff
    @JamaliAlly-zy1ff Месяц назад

    Hamna maana kabisa msitufanye wajinga jueni tunawachora 2

  • @hamudshabani7801
    @hamudshabani7801 Месяц назад

    Jeshi la polisi la ovyo coz hawatendi haki katika nchi hii

  • @Kahasija
    @Kahasija Месяц назад

    7:06 Ww Matatizo acha ujinga hakuna Tanganÿika kuna Tanzania mjinga we😊

  • @jumamagoma1743
    @jumamagoma1743 Месяц назад

    Ccm.laana.ya.magufuli.imeanza.kuwatafuna.piganeni.mpaka.ccm.ife.

  • @user-my4dr5oq6v
    @user-my4dr5oq6v Месяц назад +4

    Atoke tu uyo mama

    • @twalibulomy-cd4zd
      @twalibulomy-cd4zd Месяц назад +1

      Mkundu WA bibi yako. Toka magetoni Mkundu wako Tafuta kazi.

  • @warrenmgode1837
    @warrenmgode1837 Месяц назад +3

    Kamanda futiliya wtu kupoteya tuwajuwe wasiojulikana wanapoteza watt wetu tutunze taifa letu,zamani siasa hazikuwepo

  • @davinaheven4794
    @davinaheven4794 Месяц назад +2

    Mama Mama Mama yetu. Hatoki ng'oo

  • @user-yc7xp4fn7x
    @user-yc7xp4fn7x Месяц назад

    Hapa hata sijaelewa

  • @user-ed2gm1xz1v
    @user-ed2gm1xz1v Месяц назад

    Police ni waongo sana. Wanabandika wtu makesi ya kijinga hku wakiacha mafizadi wa mabilioni wa inchi ytu ,

  • @RajabuMkonje
    @RajabuMkonje Месяц назад

    Hawa polisi ni chawa wa ccm mshaanza uoga wa uchaguzi

  • @shaban6644
    @shaban6644 Месяц назад

    Weka Mbaroni wote wanaotumia mitandai ya kijamii vibaya

  • @jackisonmlaari4556
    @jackisonmlaari4556 Месяц назад

    Endeleeni kukamata sindio kazi zenu.na msiangqoie nyuma

  • @deohaule8161
    @deohaule8161 Месяц назад

    Acheni uhuni nyie, acheni kukamata wanyonge badala yake kamateni watu wanao hujumu uchumi wa nchi kwa mabilioni ya fedha na kusababisha umaskini kwa watu walio wengi.

  • @suleimanissa2089
    @suleimanissa2089 Месяц назад

    Kamanda piga kazi, big brain, wewe ndio polisi wa kweli

  • @emmanuelkanyela275
    @emmanuelkanyela275 Месяц назад

    kichwa cha habari tofauti na kilichoandika

  • @PeterNMzee
    @PeterNMzee Месяц назад

    😂

  • @user-lt1bi5nr1x
    @user-lt1bi5nr1x Месяц назад

    Pale polisi anapotaka raia awe mlinzi sasa nyie kazi yenu ni nini hasa

  • @user-po9wi5lh1o
    @user-po9wi5lh1o Месяц назад

    Yani rais akisikia maneno ya propa ganda za wapinzani bila kufanya uchunguzi anawakubali ina mana yuko na wapinzani wanamuingiza chaka

    • @dorothmsuya1686
      @dorothmsuya1686 Месяц назад +1

      Chunguza wewe basi! Polisi wakifanya kazi mnalaumu! Wakikaa kimya mnasema hawafanyi kazi! Lipi jema waja??😢😢

    • @JosefuSwai
      @JosefuSwai Месяц назад +1

      Kakojoe ulale

  • @natafutamatatizo4382
    @natafutamatatizo4382 Месяц назад +1

    WACHE OANDOLEWE NA ARUDI KWAO ZANZIBAR! WAZANZIBARI WAKO NA NCHI YAO NA SIO TANGANYIKA!

    • @hajiameir8688
      @hajiameir8688 Месяц назад

      Na mwinyi na muje mumchukue arudi kwao tanganyika mkuranga huko ndiko kwao zanzibar sio kwao

    • @DativaMbowe
      @DativaMbowe Месяц назад

      ​@@hajiameir8688 kwani kuna nini😢😢

    • @ziadasadiki8196
      @ziadasadiki8196 Месяц назад

      Acha roho mbaya wewe