May God bless him,am Writing in english this to show the these evils of western country that we bless Ibrahim because we want Africa to be free and they have to leave us and our resorces,enough is enough
Amewekeza dola milioni 8 kwenye kilomètres sisi dola millions 20 naa,kwenye vx na hku watu maji umeme shida,anachukua asilimia 30 kutoka kwenye uwekezaji wa dhahabu sisi ni asilimia 16 zisizojulikana zinafnya nn maana dawa shida maji sida umeme shida kila kitu shida😢
Mwamba wa tunakukubari sisi waafrika ambao tunaona nchi zetu zilivyo na unyanyasaji wa rasilimari zetu za Kitaifa ambanzo Mwenyezi Mungu wew JPM. Nakuombea Brother Ibrahim Thraole utupe nafasi sisi vijana wa Afrika tufike uko kwako
Rais anaependwa na watu kwa mioyo yaooo..kama alivyopendwa Magufuri na wanainchi....sio Rais anaefatwa na watu kwa upambeee kama huyu tulienae sasa....hatuna hamuuu kabisaaa
Hakika magari mazuri Ac,mziki mzuri viyoyozi lakini RAIA hawana huduma nzuri za afya ,chakula na nk inaleta Raha gani? Kizazi cha Afrika kinaanza kuuona sasa uzalendo tuliosimuliwa na kuuona kwa uchache sana
Tatizo bongo tunayumba sana Mangu alivoanza tukarefusha midomo na alisema tutamkumbuka ngoja kwanza akili itusogee vizuri ndo tuwe na heshima apa mji bado hatujasema vizuri
Yani nikiskia au kumwona iblahim taole nikama namuona jpm mana nasisi watanganyika tulitamba sana tulijiona tuna laisi gaflatu jamaa wakafanya Yao tukaingia au tukaludi msoga , Leo nizam ya BURKINAFASO nao wamepata jpm wao naomba mungu alinde huyu jpm wabukinafaso ipo siku ataludi wakwetu
@@abubakarimussa9131 ufanye maandamano burkina faso hujui kufa nn? Yule ni muuaji ww sio kama ruto msomi na mpole wa tabia! Traore anatembea na bastola 4 sasa ww huoni kama ni muuaji huyo
Ingekua anapigika fotokopi tungempiga moja kwa ajili ya apa kwetu kenya mungu amlinde inshallah
Kwa kweli Hawa wamepata Thomas Sankara! MUNGU ajalie nasi Tukipata Magufuli mwingine na sisi tutang'ara kama wao!
Magufuri nipigo kubwa sana kwetu Mimi kwasasa hakuna ninae muamini
Mungu amlinde huyu mwamba
Tulikuwa na moja tu Tanzania,Dr john magufuli
Huyu ni zaidi ya Magufuli.Hataki magari ya Kalahari, anasisitiza upatikanaji chakula kwa kuwawezesha wananchi nk
Ata huku kwetu Kenya 🇰🇪 tulikuwa na rais mmoja tu; Emilio Mwai Kibaki. Mungu ailaze roho yake pema peponi.🙏
Africa inahitaji viongozi aina ya Ibrahim traore
Huyu mwamba Mimi huwa namwelewa sana
Baada ya Gaddafi Africa ndio kapatikana uyu mwamba hapa anamambo mengi
May God bless him,am Writing in english this to show the these evils of western country that we bless Ibrahim because we want Africa to be free and they have to leave us and our resorces,enough is enough
Ibrahim Traoreeeeee
Ubarikiweeee bababbaa
Rais wa afrika
Huyu mwamba ni kiongozi hasa
Ingekuwa bongo hyu cjui kma angweza
Amewekeza dola milioni 8 kwenye kilomètres sisi dola millions 20 naa,kwenye vx na hku watu maji umeme shida,anachukua asilimia 30 kutoka kwenye uwekezaji wa dhahabu sisi ni asilimia 16 zisizojulikana zinafnya nn maana dawa shida maji sida umeme shida kila kitu shida😢
Namukubali sana
Nampenda sana huyu Raisi Traole
Mwamba wa tunakukubari sisi waafrika ambao tunaona nchi zetu zilivyo na unyanyasaji wa rasilimari zetu za Kitaifa ambanzo Mwenyezi Mungu wew JPM. Nakuombea Brother Ibrahim Thraole utupe nafasi sisi vijana wa Afrika tufike uko kwako
Masha allah
Huku kwetu tuna mama anaoupiga mwingi😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂
Rais anaependwa na watu kwa mioyo yaooo..kama alivyopendwa Magufuri na wanainchi....sio Rais anaefatwa na watu kwa upambeee kama huyu tulienae sasa....hatuna hamuuu kabisaaa
Weacha tu tunaumia ila sasa wapi tutasemeea tuvumilie tu ila tumemchoka wengi
Hiii chanelii safii sanaa
I see Magufuli spirit in this President
🎉🎉🎉mungo ❤❤❤inusuru 🎉🎉🎉 África kupitiya viyongzi hawaaa.
🎉🎉❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉I like this
Watu weusi wanakoswa tu kiongozi mwenye kuwa upande wao,,lkn wapo tayar kutawaliwa na mtu mzalendo 1 tu Africa
Magufuli freva
Kwa mbaali nimeona na Bendera ya Urusi ikipepea
Mwamba huyo hapo
Huyu sasa ndo Mwamba
I salute him from Kenya bravo
Yani mpaka laha
viva afrika
Ruto must go
Shenzi sanaa . He is going no where
Samahani jitahidi matamshi sahihi na majina. Kwa kweli unashida
Wewe rais na kukubari sana endelea na mwendo huohuo
Hakika magari mazuri Ac,mziki mzuri viyoyozi lakini RAIA hawana huduma nzuri za afya ,chakula na nk inaleta Raha gani? Kizazi cha Afrika kinaanza kuuona sasa uzalendo tuliosimuliwa na kuuona kwa uchache sana
Tatizo bongo tunayumba sana Mangu alivoanza tukarefusha midomo na alisema tutamkumbuka ngoja kwanza akili itusogee vizuri ndo tuwe na heshima apa mji bado hatujasema vizuri
Yani nikiskia au kumwona iblahim taole nikama namuona jpm mana nasisi watanganyika tulitamba sana tulijiona tuna laisi gaflatu jamaa wakafanya Yao tukaingia au tukaludi msoga , Leo nizam ya BURKINAFASO nao wamepata jpm wao naomba mungu alinde huyu jpm wabukinafaso ipo siku ataludi wakwetu
Wee Acha tu mungu amlaze pema leo tunachukua asilimia 16 kwenye dhahabu Ibrahim wa juzi t anachukua asilimia 30,sijui ss mwisho wetu nn
Raisi akitembea kwa mguu ni inakuwa ni tarifa??
JPM wetu na alikuwa kama huyu mwamba
Chiz
What i like about Traore he is so BISHOO,,he cant shake hands he only give 5,,,No corona hahahaa young presidents suits the world
Fact said madam respect to you
Us is shetawn
You want him to be poisoned through handshek !!??
Utawala wa mabavu umepitwa na wakati na hautakiwi hivo lazima aondolewe traore na nchi ufanyike uchaguzi mpya wa kihalali
Tulia huwenda wewe ni ccm maana ndio mawazoyenu mgando
Uliwahi kuona wanannchi wakiandamana kiongozi abaki madarakani ama unaropoka jifunze siasa wala ajalazimisha kubaki wanannchi wote hawataki aondoke hata ingelikua ni tz yangu Mimi ngemuunga mkono
@@abubakarimussa9131 ufanye maandamano burkina faso hujui kufa nn? Yule ni muuaji ww sio kama ruto msomi na mpole wa tabia! Traore anatembea na bastola 4 sasa ww huoni kama ni muuaji huyo
@@abubakarimussa9131 huyu traore hamna kitu ataondolewa muda wowote
umekula kande uende ukanye sasa huna akili hata moja
SASA ZAMU YA TUNDU LISSU, 2025 UNDER CHADEMA