RAIS Ibrahim Traore NOMA Akacha Gari la kifahari atembea kwa miguu, Wananchi wapagawa kwa furaha.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 июл 2024
  • #SAUTDIGITAL l #HABARI l #RadioSAUTFm l #sautdigitalupdates#ibrahim
  • СпортСпорт

Комментарии • 86

  • @MatanoTendegwa
    @MatanoTendegwa 7 дней назад +3

    Ingekua anapigika fotokopi tungempiga moja kwa ajili ya apa kwetu kenya mungu amlinde inshallah

  • @samwelshepa8443
    @samwelshepa8443 17 дней назад +18

    Kwa kweli Hawa wamepata Thomas Sankara! MUNGU ajalie nasi Tukipata Magufuli mwingine na sisi tutang'ara kama wao!

    • @abubakarimussa9131
      @abubakarimussa9131 16 дней назад +2

      Magufuri nipigo kubwa sana kwetu Mimi kwasasa hakuna ninae muamini

  • @rashadally6871
    @rashadally6871 17 дней назад +18

    Mungu amlinde huyu mwamba

  • @user-fl3fb5gh6b
    @user-fl3fb5gh6b 16 дней назад +11

    Tulikuwa na moja tu Tanzania,Dr john magufuli

    • @leahmgunda4154
      @leahmgunda4154 12 дней назад +1

      Huyu ni zaidi ya Magufuli.Hataki magari ya Kalahari, anasisitiza upatikanaji chakula kwa kuwawezesha wananchi nk

  • @mugambifredrick-r9s
    @mugambifredrick-r9s 9 дней назад +2

    Ata huku kwetu Kenya 🇰🇪 tulikuwa na rais mmoja tu; Emilio Mwai Kibaki. Mungu ailaze roho yake pema peponi.🙏

  • @EmmanuelGabriel-zm6nv
    @EmmanuelGabriel-zm6nv 12 дней назад +4

    Africa inahitaji viongozi aina ya Ibrahim traore

  • @aloycesamba998
    @aloycesamba998 15 дней назад +6

    Huyu mwamba Mimi huwa namwelewa sana

  • @user-bx3kl4hn6j
    @user-bx3kl4hn6j 16 дней назад +6

    Baada ya Gaddafi Africa ndio kapatikana uyu mwamba hapa anamambo mengi

  • @issamushi6389
    @issamushi6389 12 дней назад +2

    May God bless him,am Writing in english this to show the these evils of western country that we bless Ibrahim because we want Africa to be free and they have to leave us and our resorces,enough is enough

  • @simontamba1285
    @simontamba1285 14 дней назад +2

    Ibrahim Traoreeeeee
    Ubarikiweeee bababbaa

  • @lucasbatano333
    @lucasbatano333 17 дней назад +6

    Rais wa afrika

  • @aboudasilver6541
    @aboudasilver6541 17 дней назад +8

    Huyu mwamba ni kiongozi hasa

    • @issamushi6389
      @issamushi6389 12 дней назад

      Ingekuwa bongo hyu cjui kma angweza

    • @issamushi6389
      @issamushi6389 12 дней назад

      Amewekeza dola milioni 8 kwenye kilomètres sisi dola millions 20 naa,kwenye vx na hku watu maji umeme shida,anachukua asilimia 30 kutoka kwenye uwekezaji wa dhahabu sisi ni asilimia 16 zisizojulikana zinafnya nn maana dawa shida maji sida umeme shida kila kitu shida😢

  • @shabanbisaki
    @shabanbisaki 15 дней назад +2

    Namukubali sana

  • @user-og9jt3mg4c
    @user-og9jt3mg4c 14 дней назад +4

    Nampenda sana huyu Raisi Traole

  • @damaspmtz1018
    @damaspmtz1018 15 дней назад +1

    Mwamba wa tunakukubari sisi waafrika ambao tunaona nchi zetu zilivyo na unyanyasaji wa rasilimari zetu za Kitaifa ambanzo Mwenyezi Mungu wew JPM. Nakuombea Brother Ibrahim Thraole utupe nafasi sisi vijana wa Afrika tufike uko kwako

  • @ameabdalla4697
    @ameabdalla4697 9 дней назад

    Masha allah

  • @DansonMtambi-fq2ff
    @DansonMtambi-fq2ff 14 дней назад +2

    Huku kwetu tuna mama anaoupiga mwingi😂😂😂😂😂

  • @Shehasweet-hy6xn
    @Shehasweet-hy6xn 17 дней назад +4

    Rais anaependwa na watu kwa mioyo yaooo..kama alivyopendwa Magufuri na wanainchi....sio Rais anaefatwa na watu kwa upambeee kama huyu tulienae sasa....hatuna hamuuu kabisaaa

    • @abubakarimussa9131
      @abubakarimussa9131 16 дней назад

      Weacha tu tunaumia ila sasa wapi tutasemeea tuvumilie tu ila tumemchoka wengi

  • @gauchogaucho7583
    @gauchogaucho7583 17 дней назад +2

    Hiii chanelii safii sanaa

  • @EmanuelNicholaus-of1qg
    @EmanuelNicholaus-of1qg 9 дней назад +1

    I see Magufuli spirit in this President

  • @AmadeSalimoSalimo-gw8ij
    @AmadeSalimoSalimo-gw8ij 13 дней назад

    🎉🎉🎉mungo ❤❤❤inusuru 🎉🎉🎉 África kupitiya viyongzi hawaaa.

  • @user-ip4zo1mr9z
    @user-ip4zo1mr9z 8 дней назад

    🎉🎉❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉I like this

  • @MasanjaLucas-jf9cg
    @MasanjaLucas-jf9cg 13 дней назад +1

    Watu weusi wanakoswa tu kiongozi mwenye kuwa upande wao,,lkn wapo tayar kutawaliwa na mtu mzalendo 1 tu Africa

  • @suddytele3692
    @suddytele3692 День назад

    Magufuli freva

  • @salehkhalfan7345
    @salehkhalfan7345 16 дней назад +1

    Kwa mbaali nimeona na Bendera ya Urusi ikipepea

  • @athumaniamani9905
    @athumaniamani9905 15 дней назад +2

    Mwamba huyo hapo

  • @lucasngalawa8826
    @lucasngalawa8826 16 дней назад +2

    Huyu sasa ndo Mwamba

  • @dismassmaranga8903
    @dismassmaranga8903 9 дней назад

    I salute him from Kenya bravo

  • @davidmalogo7100
    @davidmalogo7100 12 дней назад +1

    Yani mpaka laha

  • @seifusengondo9170
    @seifusengondo9170 12 дней назад

    viva afrika

  • @gonanzaro5580
    @gonanzaro5580 17 дней назад +5

    Ruto must go

  • @mamohamed1252
    @mamohamed1252 10 дней назад

    Samahani jitahidi matamshi sahihi na majina. Kwa kweli unashida

  • @AlexNikola-ky2dm
    @AlexNikola-ky2dm 11 дней назад

    Wewe rais na kukubari sana endelea na mwendo huohuo

  • @newbornhaule
    @newbornhaule 7 дней назад

    Hakika magari mazuri Ac,mziki mzuri viyoyozi lakini RAIA hawana huduma nzuri za afya ,chakula na nk inaleta Raha gani? Kizazi cha Afrika kinaanza kuuona sasa uzalendo tuliosimuliwa na kuuona kwa uchache sana

  • @basilsimon676
    @basilsimon676 7 дней назад

    Tatizo bongo tunayumba sana Mangu alivoanza tukarefusha midomo na alisema tutamkumbuka ngoja kwanza akili itusogee vizuri ndo tuwe na heshima apa mji bado hatujasema vizuri

  • @davidmalogo7100
    @davidmalogo7100 12 дней назад +1

    Yani nikiskia au kumwona iblahim taole nikama namuona jpm mana nasisi watanganyika tulitamba sana tulijiona tuna laisi gaflatu jamaa wakafanya Yao tukaingia au tukaludi msoga , Leo nizam ya BURKINAFASO nao wamepata jpm wao naomba mungu alinde huyu jpm wabukinafaso ipo siku ataludi wakwetu

    • @issamushi6389
      @issamushi6389 12 дней назад

      Wee Acha tu mungu amlaze pema leo tunachukua asilimia 16 kwenye dhahabu Ibrahim wa juzi t anachukua asilimia 30,sijui ss mwisho wetu nn

  • @NicoleMakaveli-wr6mm
    @NicoleMakaveli-wr6mm 10 дней назад

    Raisi akitembea kwa mguu ni inakuwa ni tarifa??

  • @pacomezouzoua9175
    @pacomezouzoua9175 4 дня назад

    JPM wetu na alikuwa kama huyu mwamba

  • @josepheriah5977
    @josepheriah5977 16 дней назад +1

    Chiz

  • @samiramawby1257
    @samiramawby1257 14 дней назад

    What i like about Traore he is so BISHOO,,he cant shake hands he only give 5,,,No corona hahahaa young presidents suits the world

    • @simontamba1285
      @simontamba1285 14 дней назад

      Fact said madam respect to you
      Us is shetawn

    • @user-rc6tc6dp5x
      @user-rc6tc6dp5x 13 дней назад

      You want him to be poisoned through handshek !!??

  • @maase2023
    @maase2023 16 дней назад +1

    Utawala wa mabavu umepitwa na wakati na hautakiwi hivo lazima aondolewe traore na nchi ufanyike uchaguzi mpya wa kihalali

    • @abubakarimussa9131
      @abubakarimussa9131 16 дней назад +2

      Tulia huwenda wewe ni ccm maana ndio mawazoyenu mgando

    • @abubakarimussa9131
      @abubakarimussa9131 16 дней назад +3

      Uliwahi kuona wanannchi wakiandamana kiongozi abaki madarakani ama unaropoka jifunze siasa wala ajalazimisha kubaki wanannchi wote hawataki aondoke hata ingelikua ni tz yangu Mimi ngemuunga mkono

    • @maase2023
      @maase2023 16 дней назад

      @@abubakarimussa9131 ufanye maandamano burkina faso hujui kufa nn? Yule ni muuaji ww sio kama ruto msomi na mpole wa tabia! Traore anatembea na bastola 4 sasa ww huoni kama ni muuaji huyo

    • @maase2023
      @maase2023 16 дней назад

      @@abubakarimussa9131 huyu traore hamna kitu ataondolewa muda wowote

    • @nizarrama225
      @nizarrama225 16 дней назад +1

      umekula kande uende ukanye sasa huna akili hata moja

  • @richardrenatus9582
    @richardrenatus9582 8 дней назад

    SASA ZAMU YA TUNDU LISSU, 2025 UNDER CHADEMA