Viongozi wa Kijeshi Mali, Bukina Faso na Niger Waunganisha Nchi Zao, Waunda Shirikisho la Sahel

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 сен 2024

Комментарии • 47

  • @user-zz6vf8ry2p
    @user-zz6vf8ry2p Месяц назад +11

    Nchi za kiafrika ambazo Marais wao Bado wanajipendekeza kwa wazungu inabidi wananchi tuwatoe madarakani kwa nguvu

  • @user-it7ih1it3m
    @user-it7ih1it3m Месяц назад +4

    Inabidi nchi zote za afrika zitengeneze shirikisho la kijeshi na tutengeneze mabomu ya atomic ya shirikisho

  • @josephmasanja3728
    @josephmasanja3728 19 дней назад +1

    I'm very happy and excited for this rebirth of former president and Captain Thomas Isidore Sankara 🙏💪👍

  • @rukiamadati336
    @rukiamadati336 Месяц назад +1

    Mungu wetu wa mbinguni na awatangulie🙏🏾🙏🏾

  • @MwigaAdam
    @MwigaAdam 2 месяца назад +10

    Zanzibar tunatafuta njia ya kutoka ktk muungano usio na maslah na ss

    • @Kingstonbagamoyo
      @Kingstonbagamoyo Месяц назад +1

      ❤❤❤❤❤❤🎉

    • @OmerSuley-gl7go
      @OmerSuley-gl7go Месяц назад +1

      KABISA KIJANA hivi sasa ni miaka 60 hatuoni faida ya Muungano ❤

    • @user-cg1vd5jr8t
      @user-cg1vd5jr8t Месяц назад +1

      Hami j we kula urojo tu Kisha ulale

    • @LugomeRisasi
      @LugomeRisasi Месяц назад +2

      Wewe jamaa hauna hakili waafrika inatakiwa tuungane ili tuwe na nguvu ili tuweke Sheria zetu zitakazo ilinda Africa wewe unataka tugawanyike

    • @LugomeRisasi
      @LugomeRisasi Месяц назад

      ​@@OmerSuley-gl7gowanzazibar hamuoni faida ya muungano kweli mbona ninyi mnamiliki aridhi huku bara lakini wa bara hawamiliki Zanzibar kuweka na akili basi Mimi binafsi naunga mkono tuweke Sheria ya kulinda watu wa Africa

  • @wazirihamisi6484
    @wazirihamisi6484 16 дней назад

    Kongole sana kwako brother IBRAHIM

  • @user-ol2vd1zv7u
    @user-ol2vd1zv7u Месяц назад +3

    good job❤

  • @abdullahhashimu2380
    @abdullahhashimu2380 Месяц назад +3

    Safi sana

  • @Kingstonbagamoyo
    @Kingstonbagamoyo Месяц назад +2

    Kongole sana umoja ní nguvú,ibra,goita,show show,babylon out,,,,,allahu barik

  • @damaspmtz1018
    @damaspmtz1018 2 месяца назад +2

    Mwenyezi Mungu awatangulie

  • @TozzyMay
    @TozzyMay 2 месяца назад +2

    Nimefurahi kupata hii habari
    Walichokifanya Mungu wa Afrika awatangulie
    Akili nzuri hii

  • @medsonulendo4221
    @medsonulendo4221 2 месяца назад +2

    Respect 💪

  • @kaguripenina63
    @kaguripenina63 2 месяца назад +2

    Nmeipenda hii

  • @LawranceMatoke-rf7uk
    @LawranceMatoke-rf7uk Месяц назад +1

    Good men for their country

  • @samuelndungukaranja5627
    @samuelndungukaranja5627 Месяц назад +1

    Ruto must go

  • @hizzasheshe3209
    @hizzasheshe3209 Месяц назад +3

    hawa vingozi wan niazakweli kwa wananchiwoa

  • @gervas58
    @gervas58 Месяц назад +1

    Nimeipenda sana

  • @BakariMsoka
    @BakariMsoka Месяц назад +1

    Wametisha sana

  • @dbamwenzaki
    @dbamwenzaki 2 месяца назад +2

    Naamini raia hawateswi chini ya uongozi wa kijeshi.

  • @SuleimanYusuphjuma
    @SuleimanYusuphjuma 7 дней назад

    Kwa Africa tunajiwekea vikwazo ajabu kweli

  • @DrLachi19
    @DrLachi19 Месяц назад +1

    Magharibi na sio mangaribi

  • @yusuphchankwa4759
    @yusuphchankwa4759 Месяц назад

    Hivi Tannnzania hakuna mwanajeshi wa kujitolea akampindua mama

  • @hemedjackson2261
    @hemedjackson2261 2 месяца назад +2

    Rais Rutto ndo Kwanza Kaenda kuwafuata wamagharibi na wamarekani Kuja kujenga base East Africa 😂😂😂 Africa hii sijui nani katuroga

    • @leahmgunda4154
      @leahmgunda4154 Месяц назад +1

      Toa boriti jichoni mwako ndipo uone kibanzi kwa jirani.

    • @godfreyfrugence4176
      @godfreyfrugence4176 Месяц назад

      Mim ningekuwa ndo rais wa Tanzania namim ningeenda kuungana na mrusi mali niger na burkinafasso vile vile ningeleta base ya jeshi la russia nchin mwangu kwaajili ya mafunz mapya kwa jeshi langu kudhibit magaid watakajitokeza nchin mwangu

  • @hizzasheshe3209
    @hizzasheshe3209 Месяц назад +1

    eweemola wahaki wajaalie waja wako hawa wenye nia yazati ya kufuua uchumi wa nchizao wafanikiwe

  • @medsonulendo4221
    @medsonulendo4221 2 месяца назад +1

    Watu weus tuache kudanganywa na waxungu ili waendelee kutunyonya

  • @amournassorsaid7694
    @amournassorsaid7694 2 месяца назад +1

    Viva sahel

  • @user-vf8wv8hi5b
    @user-vf8wv8hi5b 2 месяца назад +1

    Nimewapende hao wanajeshin

  • @islamsultan8563
    @islamsultan8563 Месяц назад

    Hii Safi Sana 🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @EsterPaul-jt5im
    @EsterPaul-jt5im 2 месяца назад +1

    Saruti wakuu

  • @ayubumoha6313
    @ayubumoha6313 Месяц назад

    Good

  • @user-uz8kp6je6m
    @user-uz8kp6je6m 20 дней назад

    All african countrues need army presidents

  • @nunikayuni6394
    @nunikayuni6394 Месяц назад

    Freedom to Africa

  • @nunikayuni6394
    @nunikayuni6394 Месяц назад +1

    Congo msaidieni naye ajiondowe huko aliko

  • @WillyNzowa
    @WillyNzowa Месяц назад +1

    Nchi zingine za afrika zijifunze apa

  • @RajaaRajaa-id5wx
    @RajaaRajaa-id5wx 2 месяца назад

    Og sn