@@OmerSuley-gl7gowanzazibar hamuoni faida ya muungano kweli mbona ninyi mnamiliki aridhi huku bara lakini wa bara hawamiliki Zanzibar kuweka na akili basi Mimi binafsi naunga mkono tuweke Sheria ya kulinda watu wa Africa
Mim ningekuwa ndo rais wa Tanzania namim ningeenda kuungana na mrusi mali niger na burkinafasso vile vile ningeleta base ya jeshi la russia nchin mwangu kwaajili ya mafunz mapya kwa jeshi langu kudhibit magaid watakajitokeza nchin mwangu
Nchi za kiafrika ambazo Marais wao Bado wanajipendekeza kwa wazungu inabidi wananchi tuwatoe madarakani kwa nguvu
Kenya tuko hapo kutwa iyo jamaa inaitwa ruto
Kabisa maana wanakele
Inabidi nchi zote za afrika zitengeneze shirikisho la kijeshi na tutengeneze mabomu ya atomic ya shirikisho
I'm very happy and excited for this rebirth of former president and Captain Thomas Isidore Sankara 🙏💪👍
Mungu wetu wa mbinguni na awatangulie🙏🏾🙏🏾
Zanzibar tunatafuta njia ya kutoka ktk muungano usio na maslah na ss
❤❤❤❤❤❤🎉
KABISA KIJANA hivi sasa ni miaka 60 hatuoni faida ya Muungano ❤
Hami j we kula urojo tu Kisha ulale
Wewe jamaa hauna hakili waafrika inatakiwa tuungane ili tuwe na nguvu ili tuweke Sheria zetu zitakazo ilinda Africa wewe unataka tugawanyike
@@OmerSuley-gl7gowanzazibar hamuoni faida ya muungano kweli mbona ninyi mnamiliki aridhi huku bara lakini wa bara hawamiliki Zanzibar kuweka na akili basi Mimi binafsi naunga mkono tuweke Sheria ya kulinda watu wa Africa
Kongole sana kwako brother IBRAHIM
good job❤
Safi sana
Kongole sana umoja ní nguvú,ibra,goita,show show,babylon out,,,,,allahu barik
Mwenyezi Mungu awatangulie
Nimefurahi kupata hii habari
Walichokifanya Mungu wa Afrika awatangulie
Akili nzuri hii
Respect 💪
Nmeipenda hii
Good men for their country
Ruto must go
hawa vingozi wan niazakweli kwa wananchiwoa
Nimeipenda sana
Wametisha sana
Naamini raia hawateswi chini ya uongozi wa kijeshi.
Kwa Africa tunajiwekea vikwazo ajabu kweli
Magharibi na sio mangaribi
Hivi Tannnzania hakuna mwanajeshi wa kujitolea akampindua mama
Rais Rutto ndo Kwanza Kaenda kuwafuata wamagharibi na wamarekani Kuja kujenga base East Africa 😂😂😂 Africa hii sijui nani katuroga
Toa boriti jichoni mwako ndipo uone kibanzi kwa jirani.
Mim ningekuwa ndo rais wa Tanzania namim ningeenda kuungana na mrusi mali niger na burkinafasso vile vile ningeleta base ya jeshi la russia nchin mwangu kwaajili ya mafunz mapya kwa jeshi langu kudhibit magaid watakajitokeza nchin mwangu
eweemola wahaki wajaalie waja wako hawa wenye nia yazati ya kufuua uchumi wa nchizao wafanikiwe
Watu weus tuache kudanganywa na waxungu ili waendelee kutunyonya
Viva sahel
Nimewapende hao wanajeshin
Hii Safi Sana 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Saruti wakuu
Good
All african countrues need army presidents
Freedom to Africa
Congo msaidieni naye ajiondowe huko aliko
Nchi zingine za afrika zijifunze apa
Og sn