ACT Wazalendo, CHADEMA Kuungana 2025? Ado Shaibu Afunguka | The Chanzo Podcast
HTML-код
- Опубликовано: 15 сен 2024
- Katibu Mkuu wa chama cha upinzani cha ACT Wazalendo ambacho pia ni mshirika wa Serikali ya Umoja wa Kitaifa kwa upande wa Zanzibar, Ado Shaibu, amesema kuwa chama chao kipo tayari kuungana na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) katika uchaguzi mkuu wa 2025 ili iwe rahisi kukiondoa Chama cha Mapinduzi (CCM) madarakani.
Akizungumzia kuhusu uwezekano wa kumsimamisha mgombea mmoja kwenye uchaguzi wa 2025, Shaibu amesema kuwa suala suala hilo litaamuliwa na vikao vya chama baada ya kutafakari muda sahihi utakapofika.
Unaweza kuyasikiliza hayo yote kupitia mahojiano haya ambayo tumefanya naye ambapo pamoja na mambo mengine amezungumzia kuhusu suala la ACT Wazalendo kujitoa kwenye Serikali ya Umoja wa Kitaifa pamoja na suala la watu kutekwa.
Unaweza kutufuatilia kupitia;
TWITTER: / thechanzo
INSTAGRAM: / thechanzo
FACEBOOK: / thechanzo
TIKTOK: www.tiktok.com....
Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved.
Mnatishia nyau
Waliungana kipindi cha Ukawa waliishia wapi
Msifanye "grave mistake"hiyo...."it's a very big political plan"
Mtulie chadema chama cha zito mjanja anataka awe chama mpizani wa ccm chadema itakuwa namba tatu kataen ccmb hiyo ha
Sasa lengo ni Chadema kuwa no mbili au ni kushika Dola?
Baba umesema Kweli Kabisa serekali jaina utashi
Hawa ni ccm B hawana jipya na wageugeu sana chadema hatuwataki
watu wanawataka sana, sema wewe peke yako huwataki, huna kibali wala mamlaka kuwasemea wengine, hawajakutuma.