LEMA AMVAA MAKONDA MKUTANONI, ATANGAZA KUTOKUOGOPA TENA "ANASUMBUA WATU"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024

Комментарии • 231

  • @ALEXANDERELIKADO
    @ALEXANDERELIKADO 3 месяца назад +12

    Rema hapo kwa makonda mtakaa chini tu kushindana na makonda ni sawa na kujilisha upepo hamumuwezi ni mtu mwenye kipaji na karama ya ajabu kutoka kwa MUNGU❤❤❤❤ makonda

    • @irenemollel4363
      @irenemollel4363 3 месяца назад

      Makonda ana karama gani😂 mpuuzi sana wewe. Akili huna wewe

  • @elviswebbo1164
    @elviswebbo1164 3 месяца назад +28

    Bahati mbaya umekuwa mbunge wetu Kwa miaka 10 lakini hakuna Cha maana ulichofanya mzee Lema....hawa wanasiasa ifike mahali mjue tunajua mnawatafutia watoto wenu chakula.

    • @RomanMwinyi
      @RomanMwinyi 3 месяца назад +5

      Wewe jitambue at kifanyaa nn wakati yeye akiomba bajetii kwa ccm awa toi ela Kila ukiomba Wana toa haadii Sasa ata uwe mbunge Ina saidia nn sio lawama zakee izooo vip uliona mpina walicho mfanyia au uwangaaliii

    • @AdorableHalisi
      @AdorableHalisi 3 месяца назад +3

      amnaa kitu hapaa huyuu ni siasaa za njaaa tu

    • @markoshem-ij6cf
      @markoshem-ij6cf 3 месяца назад

      Mujinga ni Gabo hakuna mbunge yure, rema piga misumari

    • @ayoubsanga315
      @ayoubsanga315 3 месяца назад

      Akili yako imeganda yy ilikua kusimamia serikali itoe hela ambayo ni mapato ya kodi za wananchi yafanye utekelezaji wa miundombinu na serikali haitaki inapeleka kwenye misafara ya kichama na kiserikali iliyopo madarakani , mwananchiii amka utajikojoleaaa🎉

    • @isaacmwaseba9972
      @isaacmwaseba9972 3 месяца назад

      Kumbe basi bora apewe mbunge wa ccm ambaye atasikilizwa kwa maneno yako uliyoandika​@@RomanMwinyi

  • @philemonmagesa5548
    @philemonmagesa5548 3 месяца назад +12

    Anasema kwamba et vijana wanakuwa wezi kutokana na maisha magumu kwani marekani wezi hawapo na marekani ni nchi tajiri?? Tabia ya wizi ni moyo wa mtu sio umaskini.

    • @ayoubsanga315
      @ayoubsanga315 3 месяца назад +1

      Kuna tamaa na Njaaa. Wezi wengi wa kitanzania wezi wa njaaa na sio tamaa

    • @ConfusedFrog-lc9db
      @ConfusedFrog-lc9db 2 месяца назад

      Usiupalilie unafki

  • @Lushinge27
    @Lushinge27 3 месяца назад +17

    Maneno mengi hamna hata Cha maana ww si ulikuwa mbunge hapo Arusha ?, umefanya nini Cha maana Cha kutushawishi

    • @emmapaul1766
      @emmapaul1766 3 месяца назад +1

      @@Lushinge27 chamaana kamuulize mamako

    • @markoshem-ij6cf
      @markoshem-ij6cf 3 месяца назад

      Kamuurize mtoto wako mubwa wewe

    • @Kalunirashidi
      @Kalunirashidi 2 месяца назад

      uyujama anawasaidi sana wakinamama mtaji wabisha

  • @JacksonTemba
    @JacksonTemba 3 месяца назад +10

    Makonda mtu na nusu ❤❤

    • @ayoubsanga315
      @ayoubsanga315 3 месяца назад +1

      Huo umtu unaouona wew ni kwa sababu ya umaskini anaousema Lema , unayaona mamb kwa udogo kwa sababu unaangalia kushiba tuu

    • @JacksonTemba
      @JacksonTemba 3 месяца назад +1

      @@ayoubsanga315 unataka nani akuletee utajiri baba, piga kazi kama unaona boda sio kazi ni umasikini, jikwamue huko ufanye kazi zingine, hata kufuga, kulima pia ni kazi mkuuu

    • @JacksonTemba
      @JacksonTemba 3 месяца назад

      @@ayoubsanga315 jitahidi sana mtu asikufunze kuzarau kazi yako mwamba,

    • @emmapaul1766
      @emmapaul1766 3 месяца назад

      @@JacksonTemba mtu na nusu nyumbani kwenu

  • @frankndendu2570
    @frankndendu2570 3 месяца назад +18

    Pigeni porojo mtuachie Makonda wetu

    • @KingiMakesen-ju9ot
      @KingiMakesen-ju9ot 3 месяца назад +3

      Nchi ambayo CCM ndio maendeleo sasa Kuna haja gani ya uchanguzi

    • @emmapaul1766
      @emmapaul1766 3 месяца назад +3

      Machoko ya ccm

    • @digital-d2t
      @digital-d2t 3 месяца назад

      Mgonjwa wa akili ww​@@emmapaul1766

    • @ayoubsanga315
      @ayoubsanga315 3 месяца назад

      Machawa

  • @hawakazimoto2949
    @hawakazimoto2949 3 месяца назад +9

    We pumbavu sana achana na Makonda WETU pumbavu

    • @emmapaul1766
      @emmapaul1766 3 месяца назад

      @@hawakazimoto2949 mpumbavu ni wewe na huyo mfoji vyeti bashite

    • @elimishanyamoga6797
      @elimishanyamoga6797 3 месяца назад

      Makonda na ww wote wangese

  • @samwellwiza1098
    @samwellwiza1098 3 месяца назад +7

    Lema hakikisha unasoma hizi comment za wenye nchi

  • @mussakiligaliga4348
    @mussakiligaliga4348 3 месяца назад +10

    Wewe muongo na ni mnafiki mvunjifu wa amani kazi zipo watu asie na kaz mvivu wewe unahamasisha vijana wasifanye kaz

  • @Sisopotashiumz
    @Sisopotashiumz 3 месяца назад +10

    Huyuu anaongeaga tu halete tufanyeje? Anaangalia makosa tu! Nilionaga anaongea point kumbe ni ufala tu,nchi hii upinzani mtaisikia tu nchi.

    • @ayoubsanga315
      @ayoubsanga315 3 месяца назад

      Akili yako imeganda na aliyegandisha ni umaskini anaouongelea Lema ndo maana mtazamo wako umekua mdogo

    • @Sisopotashiumz
      @Sisopotashiumz 3 месяца назад

      @@ayoubsanga315 wee unauonaje mtizamo Wang? Wakati mwisho wa mawazo yako ni ilipoishia chupi yako.

    • @jerominalfonce
      @jerominalfonce 3 месяца назад

      ​@@Sisopotashiumz umasikin huo ulio nao mpaka unatukana

  • @neemanziku5403
    @neemanziku5403 2 месяца назад +1

    Kweli kabisa mheshimiwa lema sukar imepanda sh 4000 kilo moja, afu pombe Lita sh, 1000 Bora ninywe pombe

  • @fidahusseinkassim9778
    @fidahusseinkassim9778 3 месяца назад +6

    Lema magufuli huyo kimbia

  • @perpetuamlula8567
    @perpetuamlula8567 3 месяца назад +1

    LEMA IMEKUWA MBUNGE ARUSHA UMEFANYA NINI ACHENI MAKELELE MAKONDA YUPO POA SANA IMEKULA KWENU

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ 3 месяца назад +2

    Hahahaha kimeo kingine hiki zile zama za kuleta taharuki zimeisha, ulikuwa Mbunge hapo nini umefanya Zaid ya mapishano na marumbano, Lema kaaa kimyaaa tena utulie, hivi familia imerudi tokea Canada?

  • @yusuphalinani5432
    @yusuphalinani5432 3 месяца назад +3

    Mutuache na makonda wetu

  • @HassanKings-e7u
    @HassanKings-e7u 3 месяца назад +9

    Sasa ww ulifanya nini wakati ukiwa mbunge mbona muongo sana ww

  • @HassanKings-e7u
    @HassanKings-e7u 3 месяца назад +6

    Sasa ww umefanya nini hebu sema na ww ulisho kifanya wakati mbunge mbona unaongea pumba

  • @macksonimwandemele42
    @macksonimwandemele42 3 месяца назад +8

    wakati wako ulisha pita waachie na wenzako

    • @RomanMwinyi
      @RomanMwinyi 3 месяца назад

      Co wakati wao ume pita ayo wanaongea Kwa Wana mnchiinmaisha magu eti au we ume pewa kiajila una pagawa

    • @emmapaul1766
      @emmapaul1766 3 месяца назад

      Machoko ya ccm

  • @Ibrahim-ne3in
    @Ibrahim-ne3in 3 месяца назад +11

    Yan hili lijamaaa kila cku sera yake n boda boda😂😂

    • @Sisopotashiumz
      @Sisopotashiumz 3 месяца назад

      @@Ibrahim-ne3in lema mahubiri yake ni usenge tu haji na chakufanya anakuja na malalamiko tu?

    • @mlayson5281
      @mlayson5281 3 месяца назад

      @@Sisopotashiumz -wanakufa sana hawa boda tunapoteza nguvu kazi ya kesho-nyie hamjui mnafurahia watu kufa wanaacha familia zinateseka..why serikali isitafute vuwanda vya kutosha waka ajiri vijana wetu -acha ung* wewe.

    • @Sisopotashiumz
      @Sisopotashiumz 3 месяца назад

      Unaonekana ww hicho kichwa ni cha kukausha na mafuta ya moto saana,alikuja magufuli kaanza kutafuta umeme wa kutosha kufungua viwanda wakaponda sasa unaweza kuwa ma viwanda bila umeme???? Acha ulimbukeni wa kisikiliza na kubeba kila unachoambiwa mbwa wee

    • @Ibrahim-ne3in
      @Ibrahim-ne3in 3 месяца назад

      @@Sisopotashiumz panya kweli wewe

    • @Sisopotashiumz
      @Sisopotashiumz 3 месяца назад

      @@Ibrahim-ne3in njoo na sera alf niambie umepata nini au kimefanywa kipi na wabunge wa upinzani,alf nipe maana ya kua mbunge?? Malaya mjane ww

  • @MichaelKilinga
    @MichaelKilinga 2 месяца назад

    Lema ,Lema,lema ulitawala miaka 10 ulifanya nini,Mimi ni Chadema Lakin mnazingua,Mnaongea mengi Lakin hamtoi ufumbuzi,Shenzi na Nusu

  • @amonalexander1513
    @amonalexander1513 3 месяца назад +8

    Wape suluhu Cha kufanya sio kupiga porojo zako,watu wanataka suluhisho sio kulalamika kiongozi gan wewe?

    • @Kwelihukuwekahuru
      @Kwelihukuwekahuru 3 месяца назад

      Hujamsikia akisema tuondoe umaskini au unataka aseme nini

    • @khaalidcheo5383
      @khaalidcheo5383 3 месяца назад

      ​@@Kwelihukuwekahuru mavi yakuondoa umasikini.anayo?

    • @khaalidcheo5383
      @khaalidcheo5383 3 месяца назад

      ​@@Kwelihukuwekahuru eti kuondoa umasikini.nitajie nchi moja duniani watuwake wanasema wao matajili kwasababu ya mtawala alie madarakani.

  • @BennihinnyHerman
    @BennihinnyHerman 3 месяца назад

    Jamaaa umechelewa sana, tatizo wakati umepita na ushawishi umepotea!!!! Wanasema kila jambo na wakati wake kama mlitumia wakati wenu kujitaftia basi kwa sasa ni Makonda time.

  • @yohanajackson4160
    @yohanajackson4160 3 месяца назад +9

    Lema 😂😂😂 comedian

    • @emmapaul1766
      @emmapaul1766 3 месяца назад

      @@yohanajackson4160 choko

  • @SimuliziDhahiri
    @SimuliziDhahiri 3 месяца назад

    Kwa mara ya kwanza millard kuposti upinzani😂😂😂😂

  • @HassanKings-e7u
    @HassanKings-e7u 3 месяца назад +2

    Ww lema usidanganye watu sisi tupo nchi za watu huku ndio hayo hayo tu wacha uwongo

    • @allymusira2153
      @allymusira2153 3 месяца назад

      Liongo sana hili jamaa wanasiasa wanatuona watu wote wajinga maskini wapo kila nchi hata marekani wanalala nje homeless

  • @geey7893
    @geey7893 2 месяца назад

    Humjui mtu unayemuita Boya wewe😂😂umeyanyaga. Makonda ni chizi kuliko wewe, utajamba Moshi kumaninaa...unafkiri Mchaga mwenzio Yule😂

  • @bonifacemeela5247
    @bonifacemeela5247 3 месяца назад

    Ila lema Mtata sana Aisee

  • @HassanKings-e7u
    @HassanKings-e7u 3 месяца назад +2

    Ww lema nchi gani haina wizi mbona unapotosha watu walio kuwa hawajawahi kusafiri nje ya nchi wakajionea wizi huku wanapiga bunduki ijekua huko wacha kupotosha watu ww wacha upuuzi huo

  • @jackxonmollel7984
    @jackxonmollel7984 3 месяца назад

    Mpeni lema arudi aliko toka amwache makonda wa mungu

  • @IssaMatandi
    @IssaMatandi 3 месяца назад +5

    Uhuni mwingi sana.

    • @emmapaul1766
      @emmapaul1766 3 месяца назад

      @@IssaMatandi machoko ya ccm

  • @elimishanyamoga6797
    @elimishanyamoga6797 3 месяца назад

    Una akili sana MUNGU akuweke achana na hao mashoga

  • @ZariaAbdullah-r5t
    @ZariaAbdullah-r5t 3 месяца назад +1

    Watu sasa hivi hawa angalii unatoka chama gani wana angalia jnafanya nn magufuli amebadilisha fikra za watu wengi

  • @mwasavevo
    @mwasavevo 3 месяца назад

    UTATUMIA NJIA GANI KUWAPA WATU AJIRA

  • @hansbukuku762
    @hansbukuku762 3 месяца назад

    Wajumbe ni noma sana aiseee, yaani wale wanaojaa kwenye mikutano ya Mkuu wa Mkoa na wanashangilia kwa kusema “SEMA BABA” na ndo hawa hawa wanaoitikia “PEOPLE’s, POWEEER.”
    Ukiwategemea wajumbe kuanzisha “VAGI” haki ya mama ndo utayastaajabu ya walimwengu utakapojikuta uko pekee yako eneo la tukio 😄😄😄

    • @ziddyziddy2524
      @ziddyziddy2524 3 месяца назад

      Umeona eeee 😅😅😅😅😅 yaani akili mkichwa

  • @ifmknowledgepower7333
    @ifmknowledgepower7333 3 месяца назад +6

    Ni nchi gani ambayo haina maskini Duniani? Hata marekani kwenyewe kuna maskini tena umaskini uliokithiri, wanaitwa homeless, wanalala mabarabarani tu.

    • @allymusira2153
      @allymusira2153 3 месяца назад +1

      Hakika kabisa tatizo wanasiasa wanatuona wananchi wote ni wajinga pumbavu sana

  • @balljmushi9599
    @balljmushi9599 3 месяца назад +3

    Huna loloteee,,,wanaojiuza wapo dunia nzimaaa

  • @DaudiMatage-z7e
    @DaudiMatage-z7e 2 месяца назад

    tnataka makonda awe rais, ukitaka kujua tnampenda Makonda, gombea naye uone moto

  • @allyhasani3750
    @allyhasani3750 2 месяца назад

    Watanzania wengi walinyimwa elimu ya uzalendo ,wengi awaelew maskin awajui wajibu wa selikali

  • @johnmalembo6464
    @johnmalembo6464 2 месяца назад

    Kenya imemshinda Ruto wewe Tz utaiweza.,...kwetu smani ni bora kuliko ajira....chakula tumezoea kutafuta wenyewe

  • @selemanisalum7283
    @selemanisalum7283 3 месяца назад

    Hapo kwa wanao jiuza mh umebugi ni tamaa zao Tu wala siyo kwa sababu ya maisha magumu

  • @muksinimbaruku1233
    @muksinimbaruku1233 3 месяца назад

    Rema kweli Ccm wanazngua ila makonda usimguse utatoka maana

  • @BarakaKihongosi
    @BarakaKihongosi 3 месяца назад +1

    Huyu atakuwa alilewa maana ameongea utumbo

  • @seneu.2128
    @seneu.2128 3 месяца назад

    Lema na mwenzako Gambo wote hamtakiwi tena ubunge Arusha mjini nendeni mkagombee mlipotoka maana nikama mnabeba watu ufala, hamna uchungu wowote na jimbo na mkoa kwa ujumla. Unamuwaza Makonda maana unajua anapata ushawishi kwa wananchi wengi maana ni mtu mwenye msaada kwa wengi.

  • @eliudramale5075
    @eliudramale5075 3 месяца назад

    Arusha kaisaidia nn huyu falaa amwachee mtetes wetu makonda kaishiwa sera boyaa huyooo

  • @bushbabytz
    @bushbabytz 2 месяца назад

    Lema ndio Rais wa Arusha

  • @magdalenampanda1426
    @magdalenampanda1426 3 месяца назад

    Acha mambo muda wote mkoa una watu wenye roho mbaya ulikuwa unaangalia tu, . Sema ukweli acha siasa Maya. Mmeshindwaaaaa

  • @jacksonsulle6673
    @jacksonsulle6673 3 месяца назад +1

    Unampigania nani Lema ,acha hizo blablaa.

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054 3 месяца назад +1

    HUYU JAMAA NIMEMSIKILIZA VIZURI SANA KAONGEA VITU VYOTE PAFECT UBALIKIWE KIONGOZI KWA MANENO MAZURI ❤❤❤❤❤😢😢😢😢

  • @Kalunirashidi
    @Kalunirashidi 2 месяца назад

    kweli mmekwisha akuna jipya

  • @musamusa6213
    @musamusa6213 2 месяца назад

    Makonda kaja mda mfupi kwetu kafanya Mambo makubwa arusha wewe ulipo kuwa mbunge ulifanya nn huna jipya kwa makonda.

  • @danielmakelemo2395
    @danielmakelemo2395 3 месяца назад +1

    Lema umepoteza radha umepwaya

  • @leonardgervas7515
    @leonardgervas7515 3 месяца назад

    Amna kitu kabisa ovyoo awa jamaa amna kitu kusambaza tu chuki!!

  • @MohamedRashid-py7ro
    @MohamedRashid-py7ro 3 месяца назад

    Huyo Lema anacho sema ni pumba tupu

  • @venaritovenance9468
    @venaritovenance9468 3 месяца назад +3

    Uyu ana jipya anaongea utumbo ,tafuta sere zingine

  • @HarunaDanielmbanzeofficial
    @HarunaDanielmbanzeofficial 3 месяца назад

    Wew kama unasoma sms hii acha kusema mambo ya utoto kama hayo njaa nikwamtu na iko kila mahari duniani vitu vilipanda bei kote so acha kujichosha tafuta kura kwanjia nyingine mi nakuona uko nanjaa sasa ukipewa chakwanza sikujijenga nawako acha hio siansa niya kitoto

  • @AbutwahiHuseni
    @AbutwahiHuseni 3 месяца назад

    Kwamakonda mkalaletu ukitaka uhalibu chama chako mzungumzie makonda minipo kagera Ila ikitokea makonda au majaliwa wanagombea urais miwakwanza kupiga kurayao

  • @JUSTNEMITOMINGI
    @JUSTNEMITOMINGI 3 месяца назад +1

    Wakati ww ni mbunge arusha hakukua na bodaboda

  • @sasha-ri7tf
    @sasha-ri7tf 3 месяца назад +1

    Huna hoja wewe shoga, Mama Samia ndio chaguo letu wa Tz 2025 - 2530 pamoja na viongozi wasaidizi wake wenye kututatulia matatizo yetu kwa vitendo sio porojo. Umaskini ni wakujitakiamwenyewe kwa kutojiengeza. Arzi kupwa tonayo serikali haiwezi kuajiri raia wote milioni (67) serikali imewapa wakulima mbolea bure kwanini wasiende kulima na kuwapandishia bei mazao yao ?...

  • @jomba6514
    @jomba6514 3 месяца назад

    Acha kutupigia kelele na chama chenu cha upatu.Muulize mwenye kiti wenu lini atapisha na wengine ukipata ilo jibu endelea kupiga kelele

  • @hawakassimu6120
    @hawakassimu6120 3 месяца назад

    Hamna sera kwani wanao uza michicha hawana miili ya kuuza ?"eti boda boda wanaua watu watu wanakufa kwa ahadi ya Mungu ama kweli mmekosa sera
    Wamekosa ajira kuendesha boda boda ulitaka wakaibe ?ulitaka waje kuomba kwako ?

  • @AustineMosha
    @AustineMosha 3 месяца назад

    Kiukweli nchi hii inatakiwa watu shupavu ilintupate mabadiliko ya kweli. Tuwaombee Mungu sanasana

  • @jomba6514
    @jomba6514 3 месяца назад

    Lema acha wivu wewe uliisha kua mbunge apo ulifanya nini?muache makonda ahudumie watanzaniana.na ujifunze kusifia pia sio kulia lia tu

  • @eliezamashimba4062
    @eliezamashimba4062 3 месяца назад

    Kwa keel siasa ya tz bhana
    Huyu mwamba si alisha wahi kuwa mbuge huko je wananchi aliwapea nn hebu waache watu na ubinifu wao wafanye kazi basi mbona huhu jamaa mtukutu sasa

  • @GilbertGombeye
    @GilbertGombeye 3 месяца назад

    Lema ongea Tena mikopo ya mitandaoni tunadhalilishwa sana kisa benki Wana mashariti ya ubepari tusaidie

  • @MarckyCholla
    @MarckyCholla 3 месяца назад

    Lema hatukuelewi tena maana tumegundua wewe siasa zako ni kutafutia tumbo lako tuu tuache na makonda wetu

  • @gracemwakibolwa7910
    @gracemwakibolwa7910 3 месяца назад

    Lema soma huku kwanza ndio utajua watu wanakuonaje.

  • @IssaMatandi
    @IssaMatandi 3 месяца назад +11

    Lema hakuna kitu.

    • @emmapaul1766
      @emmapaul1766 3 месяца назад +1

      @@IssaMatandi kitu anacho mamako

    • @Sisopotashiumz
      @Sisopotashiumz 3 месяца назад

      @@emmapaul1766 hata mama hakosi ukikiona kwa wazazi wawenzako.

    • @emmapaul1766
      @emmapaul1766 3 месяца назад

      @@Sisopotashiumz kitu anacho mamako choko la Samia wewe

    • @Sisopotashiumz
      @Sisopotashiumz 3 месяца назад

      @@emmapaul1766 umehamia kwa samia sababu ww ndio unamshukuru samia badala ya mungu,choko ni yule baba ako ambae kashindwa kumtomba mama ako kama zamani

    • @emmapaul1766
      @emmapaul1766 3 месяца назад

      @@Sisopotashiumz choko wewe utandelea kuliwa huko ccm huku ukihongwa buku kwaajiri ya bando wakati wenzio wanakula matrillion ya Dpworld jinga wewe

  • @hawaelymaricca7602
    @hawaelymaricca7602 3 месяца назад

    CHADEMA CHAMA CHA MATOKEO. HAMNA CHOCHOTE

  • @joojombi2341
    @joojombi2341 3 месяца назад

    Muongo mkubwa hayo ndo maisha fatani mkubwa huyo

  • @AdamuJuma-tp1xr
    @AdamuJuma-tp1xr 3 месяца назад +3

    Yani wewe huna jipiy mropokajitu

  • @AgnesKaswahili
    @AgnesKaswahili 3 месяца назад

    Mwaga sera zako tu usimuguse makonda.
    Makonda ni tumaini la wanyonge..lema kaa mbali na makonda kabisaaaa

  • @Kachuba-w9p
    @Kachuba-w9p 3 месяца назад

    Sasa lema sera ya chadema? Ebu tuambieni utafanya nn mbona naona una lalamika sana. 😢

  • @hawakassimu6120
    @hawakassimu6120 3 месяца назад

    Eti nawapiganieni mnanikatisha tamaa nooo thank u unapigania tumbo lako na watoto wako posho yako ya ukimbizi unayopewa huko canada unakula na mtu?si unakula na familia yako na watu wako wa karibu makonda kawashika pabaya

  • @AgnessNesphory
    @AgnessNesphory 3 месяца назад

    Kwaiyo bodaboda siyo kazi kila nchi duniai kuna bodaboda mamantilie kila seem wapo akuna nchi dunian akuna masikini wala watu wa hali ya chini ujatembea dunian kumbe 😂😂

  • @habaccucisrael5328
    @habaccucisrael5328 3 месяца назад +1

    Viwanda 🏭 kwa vijana 2025-2050

  • @personpeter2221
    @personpeter2221 3 месяца назад

    Ww acha uongo kwan ww ukiwa rais utawapa ajila ote ulipokwa mbunge nn ulifanya ???

  • @MarckyCholla
    @MarckyCholla 3 месяца назад

    Milard ayo huyu fala msomee coment zetu maana akili yake imefyatuka

  • @ElishaKasambo-yu5jt
    @ElishaKasambo-yu5jt 3 месяца назад

    Makonda ana karama

  • @AzizMangara
    @AzizMangara 3 месяца назад

    Kwani Lema nchi Ya chadema au ya Ccm?! Nchi hii ni ya wananchi wa Tz, mkiona wananchi ndo tunaochagua, mnavyo sema wananchi wanawaangusha, si muache siasa na kung'ang'ania madaraka kama mbowe, kwani kunautamu gani wa kuwa madarakani !! Make mnataka kwa udi na uvumba. Akuna mjinga, binadamu wote atujakamilika ila tunaangalia mwenye Afazali, ndo tumeona CCM Wananafuu kuliko nyinyi😂😂🎺🎤

  • @Kalunirashidi
    @Kalunirashidi 2 месяца назад

    Kweli mnakosa lakuonge amna oja zamsingi kwann ata izonchizawazungu kama ufanyi kazi uli

  • @TADEUSTEMBA
    @TADEUSTEMBA 3 месяца назад

    iiiiiiiiiii MAKONDA MWACHE KAMA ALIVYO TENA UKOME

  • @hawaelymaricca7602
    @hawaelymaricca7602 3 месяца назад

    Huna point ya kuongelea, tafuta kazi ya kufanya jimbo la Arusha sahau

  • @patricknewguy8189
    @patricknewguy8189 3 месяца назад

    Hivi huyu yupogo

  • @boboonesmo5431
    @boboonesmo5431 3 месяца назад

    Umeferi kk 😂😂

  • @AloneChuga
    @AloneChuga 3 месяца назад +2

    Faraa moja huyu

    • @emmapaul1766
      @emmapaul1766 3 месяца назад

      @@AloneChuga kafilwe na bashite choko wewe

  • @ZariaAbdullah-r5t
    @ZariaAbdullah-r5t 3 месяца назад

    Binafsi sipendi ccm sijawahi kuipenda lakini namkubali makonda kwa kile ninacho kiona siwezi kukizungumzia nisicho kiona lakini huyu leme ni zaidi ya mbwa mnafki kumatu huyu alipata nafasi hata kama nindogo lakini alikuwa ana nafasi yakuonyesha mfano lakini huyu nimbwa

  • @AndrewShiratu
    @AndrewShiratu 3 месяца назад +1

    Kuhusu swala la mlo ukiona nigarama nenda shambani ukalime ili uondokane na garama za kupima robo ya Michele.

  • @kostajoseph5811
    @kostajoseph5811 3 месяца назад +2

    TUNAMSHUKURU RAIS SAMIA , SHULE KILA KATA, HOSPITALI KILA KATA, MAJI YAPO YAKUTISHA, BARABARA ZIMEBORESHWA, AJIRA ZINATOLEWA KILA SIKU, DARAJA LA KIGONGO BUSISI LIMEKAMILIKA, SGR INAFANYA KAZI BWAWA LA UMEME LIMEKAMILIKA NK, NK

  • @mwanajumaomahundumla6504
    @mwanajumaomahundumla6504 3 месяца назад

    Chefuuu

  • @clemencemkondya8561
    @clemencemkondya8561 3 месяца назад

    Huyu mwehu tu anapoteza muda hata huna tofauti na hao makahaba

  • @AloneChuga
    @AloneChuga 3 месяца назад +2

    Wewe ulitaka wafanye nini

  • @mohamedimuhinga9064
    @mohamedimuhinga9064 2 месяца назад

    Leo ndio nimegundua kumbe Lema nae yupo kwenye kundi la waduduu

  • @alfinmbilinyi5985
    @alfinmbilinyi5985 3 месяца назад

    🇹🇿Serikali jengeni mji wa Arusha uwe wa kisasa fly overs na barabara za kisasa magorofa ya zamani ya vunjwe pale kati tuwe na miji mikubwa mizuri mingi siyo dar peke yake tunachekwa na majirani jamani pia reli ya kisasa ifike Arusha Moshi na Tanga pia .Kila la heri serikali ya Tanzania anayosema lema kama Kuna ya msingi yafanyiwe kazi lema pia ni mtz ni mchango wake pia kwa taifa tz tunaishi kwa misingi ya baba wa taifa mzee Nyerere ya amani na upendo tujenge tz pamoja.tuipende tz tusiibie tz tujenge reli,barabara za kisasa za kiwango kizuri Kila Kona ya tz nchi ipendeze.🇹🇿 Kadogosa na TRC yake kazi nzuri tunasubiri reli ya kusini Samia standard gauge railway speed 320km/h itangazwe Ili Lindi mtwara masasi makanga tunduru songea madaba wafurahie utajiri wa nchi ya Tanzania.

  • @jaydenbedas5729
    @jaydenbedas5729 3 месяца назад

    Lema kwa miaka kumi ya ubunge wako umefanya lipi Kama mfano wa kukimbiza umasikini maana Kila mwezi ulikua unakunja m 12

  • @HassanKings-e7u
    @HassanKings-e7u 3 месяца назад

    Huyu msanii sana

  • @DeodatuslivingKessy
    @DeodatuslivingKessy 3 месяца назад

    Bodaboda nikazi kama kazi nyingine achana na bodaboda tafuta sera nyingine mzee umefeli uongozi sio siasa uongozi ni vitendo na utekelezaji wa majukumu chakwanza ni tutambua matatizo ya wananchi na sio kuwaubiria watu bakonda kaja arusha kangundua matatizi mengi ameyajua na kuyatatua

  • @bilid4128
    @bilid4128 3 месяца назад

    Toa kelele hapa tunajua wewe mwenyewe unatafuta ugali kupitia matatizo ya watu kwa ahadi za uwongo kuwa utayatatua

  • @markoshem-ij6cf
    @markoshem-ij6cf 3 месяца назад

    Kwani saizi Kuna kijana anataka rangi ya kijana rabuda mwehuu et,

  • @knowledgeispower1118
    @knowledgeispower1118 3 месяца назад

    Huyu jamaa ni fala sana..ila kwa ishara ya hawa watu wanaomsikiliza huyu pumba..tunasafari ndefu sana ya kuipata kizazi chenye akili..kawa mbunge kwa miaka 15,amefanya nini zaidi ya kuwapitìsha barabara hao wavuta bangi wenzeka alafu wanakufa na kuwa welemavu na kisha kuwaacha solemba

  • @NicholausKalolo
    @NicholausKalolo 3 месяца назад

    achana na makonda boya wewe huna sera kalime kahawa