Zamaradi: Nimemuua MIMI RUGE? Hakuna mtu aliyemsahaulisha Mimi? Amepita pita Sehemu nyingi!

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 17 апр 2019
  • Hii ni EXCLUSIVE INTERVIEW ya #Zamaradi Mketema kwenye #ThePlaylist Times FM na #LilOmmy | Ameongea mengi sana ikiwepo ishu za Kuondoka Clouds, Wasafi TV, Bongo Fleva, Bongo Fleva na pia kuhusu maneno juu ya kifo cha Ruge Mutahaba
    Follow kwenye mitandao ya kijamii.
    / lilommy
    / lilommy
    www.lilOmmy.com
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 258

  • @hamidafundi-pw1gw
    @hamidafundi-pw1gw 5 месяцев назад +1

    Zamaradi ❤🎉 yupo vizuri sana.

  • @mbegukilindi4611
    @mbegukilindi4611 5 лет назад +28

    She is So Smart & Intelligence.God bless her.!!🙏🙏

    • @tz5454
      @tz5454 5 лет назад +1

      Him or her?

    • @mbegukilindi4611
      @mbegukilindi4611 5 лет назад +1

      @@tz5454 unajua hii lugha imekuja na ndege ✈✈,I mean Her.

    • @AliAli-rx6wu
      @AliAli-rx6wu 10 месяцев назад

      Kakazwa na govi lenye ukimwi binti wa Kiislamu!! Daah govi linanuka!!!

  • @saumukaisi3996
    @saumukaisi3996 5 лет назад +8

    Zamarady unaongea pwent sn nakupenda sn unakitu ndani yako mtu asiekuelewa hato kuelewa lkn mm nakuelewa sn shukrani sn

  • @gabrielambaruku5452
    @gabrielambaruku5452 5 лет назад +21

    She is so smart...halina ubishi

  • @happykessy8246
    @happykessy8246 5 лет назад +73

    Acha niseme nimekuwa nikimfuatilia sana uyu dada Ana akili sana na Ana kitu kibwa ndani yake

  • @georgepetermfalme4600
    @georgepetermfalme4600 5 лет назад +84

    Anajuwa kujibu maswali Zamaradi gonga likes

  • @briannesta2740
    @briannesta2740 5 лет назад +34

    Lilly Ommy anaitambua kazi yake, langu ni kutoa pongezi zangu kwa kazi nzuri na mahojiano ya kutia moyo, kufunza na pia kuhamasisha

  • @saidahj2543
    @saidahj2543 5 лет назад +2

    Love you Zama...wise woman

  • @meryzanke6887
    @meryzanke6887 5 лет назад +2

    Nakupenda sana zama sichokagi kukusikiliza nakufatilia sana

  • @georgeyamo9633
    @georgeyamo9633 5 лет назад +13

    Zamaradi is genious

  • @janethjustin5256
    @janethjustin5256 5 лет назад +22

    kweli Ommy wewe ni King of interview💪💪🙌

  • @severinemabirika2249
    @severinemabirika2249 5 лет назад +6

    Et..kizazi-kizazi sana eeh jamani , Zamaradi is the best radio presenter and motivational speaker

  • @bestchapman2527
    @bestchapman2527 5 лет назад +10

    nimekupenda sana dada, wewe kichwa! hongera sana.., M/MUNGU AWE nawe ktk kila hatua my dada...

  • @mageuzalbogast9180
    @mageuzalbogast9180 5 лет назад +2

    Zama nakukubalii sanaaa

  • @shanimbaruku2071
    @shanimbaruku2071 5 лет назад +3

    Kizazi Sana zamaradi

  • @joycentongani388
    @joycentongani388 5 лет назад

    Mungu azidi kukubariki na kukusimamia ktk yote hakika hupo vizuri na wabaya wako wore hipo sk watakusalimia kwa heshima.

  • @annemakaka210
    @annemakaka210 5 лет назад +5

    Mob love Zama...u are very intelligent and wise. I like your confidence

  • @marystephen1183
    @marystephen1183 5 лет назад +19

    hii week imekuwa nzuri sana tumeanza kumsikiliza Elizabeth Michael then Zamaradi, zamaradi km utasoma jua nakupenda mno....I wish vitu vzr vifuate maisha yako mama

    • @janengowi3011
      @janengowi3011 5 лет назад +1

      Hongera sana zama yani huyu Dada na Lulu sichoki kuwasikiliza wanamaakili balaaa

    • @marystephen1183
      @marystephen1183 5 лет назад

      ukiwasikiliza lazima utoke na kitu

    • @Gratefulheart3188
      @Gratefulheart3188 5 лет назад

      She is very smart,mwenye sifa yake apeweee

    • @marystephen1183
      @marystephen1183 5 лет назад

      mary nyaki kwakwel

  • @xaverysunday1886
    @xaverysunday1886 5 лет назад +8

    TOKA TEAM MEDIA MAKAMBAKO TOWN OIOIOI OIOI RESPECT LILY OMMY

  • @venancemwakyoma8735
    @venancemwakyoma8735 5 лет назад +41

    Show la kizazi sana gonga like hapa twende sawa ✅ ✅ ✅ ✅

  • @stevewanga957
    @stevewanga957 5 лет назад +28

    Half men half amazing, king of interview... Much love from 🇶🇦 🇶🇦 🇶🇦

  • @josephinegideon5745
    @josephinegideon5745 5 лет назад +1

    Safi sana

  • @tausimiller9081
    @tausimiller9081 5 лет назад +1

    Strong woman

  • @agneskadzo6105
    @agneskadzo6105 5 лет назад

    True dear zamaradi

  • @luthermushi9699
    @luthermushi9699 5 лет назад

    Big up Zama una mambo mzr sn ya kizazi zaidi

  • @azzamahamdu7039
    @azzamahamdu7039 5 лет назад +6

    Zamaradi ANAJIELEWA ✔🔥❤

  • @fatmachambotanzania9379
    @fatmachambotanzania9379 5 лет назад +6

    Zamarad nakupenda sana ubarikiwe sana

  • @samboy7130
    @samboy7130 5 лет назад +10

    naelew kazi zako Lil Ommy

  • @namsamson3443
    @namsamson3443 5 лет назад +2

    This woman is very smart.. nilikuwa simuelewi ila kila ninavyomsikiliza ...she is very wise

  • @marymashauri4169
    @marymashauri4169 5 лет назад +1

    Zama my roll model nakupenda sana

  • @lowasamollel9852
    @lowasamollel9852 5 лет назад +54

    Sijawahi kumfuatilia #zamaradi but from now nimeona anakitu ambacho mtu yoyote akizikiliza anaweza kupat jamb

  • @andaluabdultwalbu9513
    @andaluabdultwalbu9513 5 лет назад +7

    Personally nime ku appreciate #zamaradi

  • @barkembarak9270
    @barkembarak9270 5 лет назад +6

    Zama nakupenda Sana u are really

  • @jeremiamwankusye9260
    @jeremiamwankusye9260 4 года назад

    Best doctor Mwasapile mzee
    Best mchungaji Mwamposa.

  • @dorcasruth5088
    @dorcasruth5088 5 лет назад +7

    Zamaradi you are so smart upstairs and focused, any questions you know how to go about it.Couragious, intelligent,and so Frank ✓✓✓ watching from 254 but so impressed(learned).

    • @AliAli-rx6wu
      @AliAli-rx6wu 10 месяцев назад

      Daah haya maajuza wanuka kuma!!! We zamaradi Muislamu daah!!! Unavuliwa chupi yako na kafiri Ana govi linanuka mauchafu unaingiziwa li mboro chafuuuu!!@ mpaka unakojolewa mauchafu yananukaas!!@ unazaaa matoto mawili? Daah umetombwa mara nyingi saana!!!

  • @madawakemikali776
    @madawakemikali776 5 лет назад +8

    Watangazaji ndio kama Hawa! Lila kuna wengi Zeros kabisaaaa....hongereni sana....big up

  • @dn.n4983
    @dn.n4983 5 лет назад +12

    Ni mama mwenye hekima na busara na ana wivu na anapenda maendeleo na pia maendeleo jamii na kusaidia jamii ubarikiwe sana pamoja na family yako

  • @ibrahimkhalil9858
    @ibrahimkhalil9858 5 лет назад

    nice talk

  • @mariammapesa1394
    @mariammapesa1394 5 лет назад

    Namkubali sana zamaradi

  • @justinamarwatv8415
    @justinamarwatv8415 4 года назад

    Ommy napenda Sana mambo ya media sijui in nani anisaidie

  • @punguwasasa7975
    @punguwasasa7975 5 лет назад +20

    Allah akupeni mwisho mwema maana muuliza maswali anweza sana na mjibuji anaweza sana tuliyozoea jiji tunasema ngoma droo.

  • @mohamy001
    @mohamy001 5 лет назад +2

    Big up bro @LilOmmyTV you are such a person who have big impact in your country you deserve all the best congratulations you are the King of Interview kwasababu the way you are watu wengi wanakufuatilia na tunajifunza vitu kutoka kwako. One day tutakapokuwa na uhai na uzima I would like to interview you In Kenya or in Tanzania @Tuva ametulia sana. I salute you men.

  • @ahmedwar.f.f5517
    @ahmedwar.f.f5517 5 лет назад +12

    Big up lily omy una kipaji cha kipekee kwenye game ya utangazaji nchi yyte unafanya kazi huforce hii game imekupamba wenyewe big up broo

  • @consesamallya9763
    @consesamallya9763 5 лет назад +3

    Zama ni mzuri sana hata kuongea unanivutia sana

  • @annethwillson8911
    @annethwillson8911 5 лет назад

    good girl

  • @happymushi8197
    @happymushi8197 5 лет назад +3

    Huyu zamaradi anahekima sana ktk kujibu maswali anayoulizwa. Big up zama

  • @juliethrushuli488
    @juliethrushuli488 4 года назад +2

    Maturity , intelligent that how u can discribe Zama

  • @hamidafundi5890
    @hamidafundi5890 4 года назад

    Upo juu Zamaradi, ni mtu wa mwenye hekima tu ndiye aamuaye mambo kwa haki. MWENYEZIMUNGU akufanyie wepesi kwa kila kitu!

  • @aminaomy8139
    @aminaomy8139 5 лет назад +1

    A very wonderful woman Masha Allah

  • @zaitunsaid6703
    @zaitunsaid6703 4 года назад

    nakupenda Sana wee mdada

  • @lilianjeremia1024
    @lilianjeremia1024 5 лет назад +9

    Binadamu tumeumbiwa kusema kil tunachojisikia kusema liwe baya au zuri so zama nakukubli sana your so smart

  • @snoowhite4608
    @snoowhite4608 5 лет назад

    ,Nice

  • @jacqulinemushi5849
    @jacqulinemushi5849 5 лет назад +1

    Beautiful with brain🙌

  • @amenyekibona8730
    @amenyekibona8730 5 лет назад

    zamaradi barikiwa sana

  • @lareineminah1353
    @lareineminah1353 5 лет назад +10

    Akili Kubwa my zama

  • @getrudeedward1988
    @getrudeedward1988 5 лет назад +10

    Mamii uko smart sana

  • @mbasazakalia5833
    @mbasazakalia5833 5 лет назад +7

    Kizazi sana nakubali sana MVP

  • @charlzzesonconsciousness6685
    @charlzzesonconsciousness6685 5 лет назад +3

    Ur Genius

  • @hamisiwakulichombe353
    @hamisiwakulichombe353 5 лет назад +8

    Anajielewa sana huyu Dada respect mno

  • @faulatafahmi7733
    @faulatafahmi7733 5 лет назад

    Nampenda sana sana huyu mdada...nikijaaliwa kwenda nyumbani yaani nitamtafuta pamoja na Lil.Ommy Times Fm

  • @naetwewaziri8421
    @naetwewaziri8421 5 лет назад +3

    love you mama juju ukoviziri sana pia umeongea good🙏

  • @rahmarahyma5339
    @rahmarahyma5339 5 лет назад +5

    zama nakupenda sana nilitamani siku moja tukutane niseme nawe maneno machache tu

  • @tabuabdallah7980
    @tabuabdallah7980 5 лет назад

    Kizazi sana

  • @navyoagrey7523
    @navyoagrey7523 5 лет назад +3

    Ka zamarad ketu ka zur very bright nakupenda

  • @zumbaabiyah3184
    @zumbaabiyah3184 5 лет назад

    Hi Zama' nimefuatilia sn baadhi ya interviews zako,ulisema upo mbioni kuanzisha onLine TV yako, n lini hasa hyo kitu, itakuwa hewani?

  • @angelerasto4316
    @angelerasto4316 5 лет назад

    kizazi sana mambo nimoto

  • @luckydavid7475
    @luckydavid7475 5 лет назад +3

    Issue si kupita pita zamaradi, tatizo ni lile swala la kumrecord Na kuturetea waja wa insta humu mahakama ya insta hilo ndo tatizo ile kukufikilia jinsi alivyokupenda haddi kukufanya ivyo ulivyo then unakuja kumdhalilisha namna ile

  • @kgmillionaire
    @kgmillionaire 4 года назад +1

    Thank you for the story 👏👏👌👌

  • @bensj6856
    @bensj6856 5 лет назад

    Gud

  • @yusuphomar6980
    @yusuphomar6980 5 лет назад

    Nakuelewa sana Dada Angu

  • @janegakio8031
    @janegakio8031 4 года назад +1

    This girl is brains 😍

  • @hawammara5218
    @hawammara5218 5 лет назад +9

    Majibu ya huyu dada yana akili ajabu.zama ni mwanamke na nusu aise..Mungu akufikishe mbali aisee..ili wengi wanufaike kupitia ww

  • @michaelkessy5740
    @michaelkessy5740 5 лет назад +3

    Zamaradi anauwezo mkubwa zaidi ya wanaoliza maswali hadi wanajisahau na kunogewa na maelezo na kujikuta maswali yao yanakuwa dhaifu.....mjipange tena watangazaji kumuuliza Zamaradi

    • @meishaishmu1117
      @meishaishmu1117 5 лет назад

      Remember that zama was also a radio presenter

  • @julianapatrick7911
    @julianapatrick7911 2 года назад

    Aisee

  • @binkhalidame2754
    @binkhalidame2754 5 лет назад +2

    Love you 😘

  • @josephstephen2047
    @josephstephen2047 5 лет назад +7

    Sio kweli

  • @berthamtenga2091
    @berthamtenga2091 5 лет назад

    I lov yu zama

  • @fadhililihinda6491
    @fadhililihinda6491 5 лет назад +1

    Zama ulikwenda shule na ukaelewa ulichosoma, hukurupuki, unatulia na unatoa majibu sahihi sana mama, nimekupenda sana Zamaradi. Keep it up mama

  • @kgmillionaire
    @kgmillionaire 4 года назад

    Thank you for the story 👏👌👌

  • @rafikiasante8186
    @rafikiasante8186 5 лет назад +1

    Respect sisrer.

  • @Kibitiyetu1
    @Kibitiyetu1 5 лет назад +19

    SHOW KALI HOST MKALI ya kwanza hii hapa

  • @allymwazoa3033
    @allymwazoa3033 5 лет назад +26

    Hadhi uzuri uwezo muonekano wako nilazima mtu mwenye Akili kubwa kama marehemu na mwanaume mwengine yoyote alie smart anaweza kuumia hadi hata kufa.hivyo usichukulie poa.wapo lkn si kama wewe

  • @lucyjohn7904
    @lucyjohn7904 5 лет назад +1

    Huyo Kaka anajua kutangaza sn

  • @veronicascottmollel7897
    @veronicascottmollel7897 5 лет назад

    Smart smart girl.

  • @kwizerazainabu3804
    @kwizerazainabu3804 5 лет назад +1

    Nakupend da zama Allah akup mwisho mwema

  • @faulatafahmi7733
    @faulatafahmi7733 5 лет назад

    Nampenda sana Lil.Ommy hanaga maswali ya upuuzi..na kampata the interviewer binti Mketema

  • @genophevagasper5006
    @genophevagasper5006 5 лет назад +1

    Uko vizuri zama

  • @worldlyricssongs6141
    @worldlyricssongs6141 5 лет назад +3

    Smart smart smart 😘😘

  • @haipo8949
    @haipo8949 5 лет назад +2

    Yupo poa. Na Ana hamasisha Sana jamii.

  • @emanueltheophilymallya7223
    @emanueltheophilymallya7223 5 лет назад

    Mmm

  • @princespider5854
    @princespider5854 5 лет назад +2

    Zamaradi she's so bright napenda majibu yake napia unavojieleza kizaazisaaana

  • @mankamushi4588
    @mankamushi4588 2 года назад

    Fanya mambo yako Zama achana na story za mitandaoni zitakuumiza kichwa

  • @mathiaschristopher6605
    @mathiaschristopher6605 5 лет назад +8

    Maisha yamtu sio vyema kuanika mtandaoni bila luhusa ya mtu husika onyo

  • @alantonio855
    @alantonio855 5 лет назад +7

    Something like that, I am half Man Half amazing King of interviews... Kizazi saaana...
    Kwa kweli Zamaradi namkubali saaana ila aliposhikana na WCB walimtumia vibaya ili kumdhalilisha marehemu. Ata pale marehemu alitumaga audio voices kumuomba msamaha Zamaradi alizisambaza katika WCB na wenyewe wakazisambaza ikawa kumdhalilisha saaana marehemu...
    Mungu ampokeye salama

    • @koshihadiraabdalla5673
      @koshihadiraabdalla5673 5 лет назад

      Boss Ruge siku zake zilikuwa zishafika lakini kunao walomsukuma akiwepo zamaradi

    • @plaxedangailo4378
      @plaxedangailo4378 5 лет назад

      Amina

    • @sophiamose1328
      @sophiamose1328 5 лет назад

      @@koshihadiraabdalla5673 kweli kabisa mimi nikikumbuka Aibu ZAMARADI alizo mtia RUGE. namchukia zamaradi asilimia mia Sipendi mwanamke Anaye Toa siri za mumewe za kitandani

    • @mpendwamillanzi7166
      @mpendwamillanzi7166 5 лет назад +1

      Nyie mnajuwa namna gani Ruge alimuumiza huyu dada?Mpaka alizaa naye watoto wawili hakumpenda?then akiwa na mwanamke mwingine na mtoto bila kujuwa.

    • @sophiamose1328
      @sophiamose1328 5 лет назад

      @@mpendwamillanzi7166 wanawake Tumeumbwa kuwa chin ya Wanaume

  • @irenebrayan2587
    @irenebrayan2587 5 лет назад +2

    hongera mama juju nakupendaga sana

  • @joojombi4054
    @joojombi4054 5 лет назад

    Zamaradi upo vizury sstr keep it up. Kaza buti sstr

  • @zuberimgawilo2639
    @zuberimgawilo2639 5 лет назад +1

    Zama ubarikiwe

  • @gggjjahhhh9419
    @gggjjahhhh9419 5 лет назад

    Afadhal yko ww unaetaka kuzaa hadi pale mungu atasema bac, wengine mastaa wenyekauwezo kdg tu wanakwambia mmoja au wawili.. kama wewe hapo unao watatu wengine wangesema bac hao wanatosha.

  • @tandisam3670
    @tandisam3670 5 лет назад +4

    Ommy huwa napenda sana kazi yako, sana sichoki kukusikiliza, Mungu azidi kukuinua🙏

  • @zabibunduwimana4612
    @zabibunduwimana4612 5 лет назад +2

    Zama anajielewa sana.Kizazi sana