Part1: P Funk Majani - Amesema Diamond hawezi kuwa juu milele, lazima abadilike badilike.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 11 мар 2017
  • Hii ndiyo list ya ngoma 5 kali alizozichagua P Funk Majani kwenye THE PLAYLIST Times FM, Jumamosi March 11, 2017
    5. Str8 Ballin - 2 Pac
    4. Utajiju - Juma Nature
    3. Party Flani - Geez Mabovu ft Ngwair
    2. Ant Perfect - Skeme x Wale
    1. Till you are loved - Mr Probz
    Majani alifunguka kuhusu kumshtaki Jose Chameleon baada ya kutumia tena beat yake ya Nikusaidiaje kwenye filamu ya Queen of Katwe bila makubaliano nae.
    P Funk ameshtaki Walt Disney ya Marekani baada ya Copyright society ya Uganda kupokea baruza zai kina P Funk na kukausha na amesema sasa ataenda ngazi zingine mpaka kieleweke.
    Hii ni Part 1, Subscribe channel hii LilOmmyTV kuangalia Part 2.
    THE PLAYLIST ni Show kali ya weekend inayowashusha mastaa kibao ndani ya Studio za 100.5 Times FM kuchagua ngoma 5 kali wanazozikubali na kupiga mastori kibao kuhusu Music, Fashion & LifeStyle, Gadgets & all that.
    Show inaruka kwa hewa kila Jumamosi, Saa 6 - 8 Mchana kupitia frequency ya 100.5 Times FM chini ya Presenter Mkali, the Baddest boi, Omary Tambwe aka Lil Ommy.
    Subscribe, Watch, Share.
    Niguse kwenye social networks:
    / lilommy
    / lilommy
    www.lilommy.com for more interviews, hot news, exclusives, music, videos, artists profiles, gossip etc.
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 127

  • @mwinyishughuli7198
    @mwinyishughuli7198 7 лет назад +23

    p funk ni producer anaejielewa zaidi thanks ommy......

  • @philbertzacharia5081
    @philbertzacharia5081 7 лет назад +12

    When you talk p funk majani, i get you and more appreciating you,

  • @malkavoice2570
    @malkavoice2570 6 лет назад +4

    Unajua ukifanya kitu cha kimamton unatufanya watz tusahau kufuatilia ngoma za mbele.. Majani anaelewa vzr kuwa diamond anatukonga kias cha kusikiliza ngoma zake kuliko ngoma zake kuliko ngoma za nje. Safi sana nimekubali sana P anaelewa hicho kitu. Salut for him.

  • @venanceized9257
    @venanceized9257 7 лет назад +4

    Aaise iyo beat ya 2pac mbona kama katengeneza yeye daaah huyo jamaa noma mungu akulipe kwa muziki wa bongo

  • @francismillinga4591
    @francismillinga4591 6 лет назад +5

    Big up Majani una uwezo mkubwa Sana wa kujibu maswali.

  • @rajabseif2301
    @rajabseif2301 7 лет назад +8

    nakubali kazi yako the baddest lilommy fanya mpango ashuke NIKKI MBISHI kwenye the playlist mzee

  • @Nesphore1
    @Nesphore1 5 лет назад +1

    1.yeah,vijana tujitahidi kujiajiri, p ashasema, yaani unaeza kua na degree ila mtoto wako hatairidhi, ila ukiwa na ujuzi, yaani watoto wako wataridhi hio ofisi na wateja. Ila ukishadondoka, management inaadvatise post yako fasta sana. Big up majani.

  • @emmanuelmsigala1374
    @emmanuelmsigala1374 7 лет назад +25

    well done lil ommy,unacheza fresh na brain za wasanii hasa ktk questions attacks,na hii ndo maana ya Talented and real HOST,BIG UP BRO...

    • @LilOmmyTV
      @LilOmmyTV  7 лет назад +2

      Emmanuel Msigala 👊

  • @vianeyminja575
    @vianeyminja575 7 лет назад +6

    umeua sana majani na lil ommy

  • @bensonfrank9578
    @bensonfrank9578 7 лет назад +6

    Real Talk Big Bro.Majan 🙌

  • @gabrielndauka6346
    @gabrielndauka6346 7 лет назад +4

    thanks last week niliomba umlete huyu jamaa naomba tuletee prof jay if possible

  • @mustafatayebali6140
    @mustafatayebali6140 6 лет назад +6

    It's true broo we need new things everyday.

  • @oscerfrances2510
    @oscerfrances2510 6 лет назад +5

    more Majani

  • @wiseriziki2433
    @wiseriziki2433 5 лет назад

    P Funk Salute bro! mchango wako ni mkubwa sana kweny game ya bongo flavor huwez kuongelea bongo flavour bila kutaja P Funk never....

  • @emmanuelymtamaduni2951
    @emmanuelymtamaduni2951 7 лет назад +2

    Show kali bro👊 msaada wa instrumental
    Naipendag sn brooo🙏🙏

  • @MrBloomKenya_NyakundiTheActor
    @MrBloomKenya_NyakundiTheActor 7 лет назад +5

    Poa kaka...kazi freshi Ommy

  • @bhaleeali8459
    @bhaleeali8459 7 лет назад +8

    we ga majan right here haaa!! u alredy know heeeh!! dizain kama umesound poa hapa!!

  • @jacksonbarnaba9088
    @jacksonbarnaba9088 6 лет назад +4

    Kiukweli nakukubali kinoma unavyo vaa. Namaanisha kwa presenter

  • @metalcombat4470
    @metalcombat4470 7 лет назад +6

    Kawaida hao huwa ni wezi wa kila jambo! Kuanzia fadhila...

    • @pendomarco4034
      @pendomarco4034 4 года назад

      Bila diamond kumtaja interview hainogi

  • @emmanuelrichard1598
    @emmanuelrichard1598 7 лет назад +3

    i love de talk.......lilly ommy ya incredibly doin gr8 son, keep yo heard up nikka

    • @user-oq3dd5xj9m
      @user-oq3dd5xj9m 4 года назад

      He looks vervous if you know wut I mean.

  • @leonardsasita4634
    @leonardsasita4634 6 лет назад +2

    Mmemsahau prodyusa Roy.

  • @camposomsasani3894
    @camposomsasani3894 4 года назад +1

    sawa diamond hawezi kuwa juu milele lakini huyo anaekuja kumshusha ajipange kwerikweri

  • @kingsoboropayani5127
    @kingsoboropayani5127 6 лет назад +3

    Nakuelewa sana Majani

  • @ibraboy2381
    @ibraboy2381 5 лет назад

    Big up kwa P-FUNK majani daaah jamaa namuelewa sana

  • @mohamedothman9769
    @mohamedothman9769 5 лет назад +1

    Majani ni producer imara

  • @shebdoukhalifa
    @shebdoukhalifa 4 года назад +4

    Apo kua Diamond hatopaki milele sio kweli kuna wasani weeengi tu na wapo hadi leo so ni mbinu tu
    And jama mond anajuw sna iyo hali kitambo

  • @nestorshentella8114
    @nestorshentella8114 7 лет назад +6

    RESPECT P Funk Majani

  • @saumuhassan1365
    @saumuhassan1365 6 лет назад +6

    Good interview

  • @moodrahdule4435
    @moodrahdule4435 7 лет назад +3

    ommy ur the best broo,niletee MR SUGU

  • @athumanchato3217
    @athumanchato3217 7 лет назад +5

    halfani majani

  • @deepconcept2020
    @deepconcept2020 5 лет назад +3

    Hiphop sana. Cool

  • @makatym6151
    @makatym6151 4 года назад

    Wow!...Dont sleep on your Dreams..

  • @barakakawiche7473
    @barakakawiche7473 7 лет назад +8

    baddest boi .. u deserve to be the best.. kazi nzur .. its gud coz kila msanii aliyekuja kwenye interview ameapriciate xana.. keep it up buda

    • @LilOmmyTV
      @LilOmmyTV  7 лет назад

      mkachaa The racka 👊👊👊

  • @shaphyvuai6805
    @shaphyvuai6805 7 лет назад +8

    p u know what you doing big Up liommy keep it going on

  • @petermgogosi2085
    @petermgogosi2085 4 года назад

    Nakubali p

  • @anwarbabas2032
    @anwarbabas2032 7 лет назад +2

    yes p uko poa...

  • @hassanaloobaidan25
    @hassanaloobaidan25 5 лет назад

    Kitu kinashi baba unajua lilomy interview zako maswali yako yanaishi hadi leo bonge la int nice none

  • @metalcombat4470
    @metalcombat4470 7 лет назад +3

    What was the guy chewing?

  • @bobramaso825
    @bobramaso825 6 лет назад +3

    TULETEE TENA KWENYE PLAYLIST THE SUPER DUPPA TUMSIKIE TENA WIKI YA KESHO KUTWA MZEE BABA LIL'OMMY WE NI NOMA,BADO GEMU LINAMDAI YUPO KIMYA KIMTINDO TOKA BONGOLOS HATUJAONA KITU KINGINE

  • @jettymandizanohainamfano770
    @jettymandizanohainamfano770 7 лет назад +2

    Huyo jamaaa ni kwikwi yani ni
    maaaaadness ting

  • @katarinawilliam9960
    @katarinawilliam9960 7 лет назад +5

    Aliye juu mfate juu kaka.Mkisubiri ashuke, "UTACHINAAA".mabifubifu ya nini?Na kujifanya account ya Harmorapa ime harckiwa kumbe mlimtusi Diamond makusudi.MUNGU ANAWAONA.

  • @mudrickbarton8911
    @mudrickbarton8911 6 лет назад +2

    Mzunguuuuuu

  • @eddiebilly3475
    @eddiebilly3475 7 лет назад +3

    umeongea fact sana

  • @saumuhassan1365
    @saumuhassan1365 7 лет назад +3

    Good

  • @mwalukasaonlinetv1869
    @mwalukasaonlinetv1869 5 лет назад +2

    majani noma

  • @robartifabiani6572
    @robartifabiani6572 4 года назад

    Nice intavew

  • @metalcombat4470
    @metalcombat4470 7 лет назад +4

    At a high level...

  • @SaimonKalemera-im5dq
    @SaimonKalemera-im5dq 2 месяца назад

    Majani 🙌🙌🙌🫡🏆

  • @herryguy
    @herryguy 6 лет назад +2

    p umetuahidi email vip

  • @kenbaroofficial2422
    @kenbaroofficial2422 7 лет назад +10

    sijaregret kumskiza huyu jamaa.
    huyu ni mkongwe I say

  • @dannylovemramazing6255
    @dannylovemramazing6255 7 лет назад +5

    wacha niseme ukweli nipo mbeya na leo ndo nakuskia mwanangu,unaweza saaana,karibu dream fm 91.3

  • @sashaluciani221
    @sashaluciani221 5 лет назад +2

    If he thinks Kenyans sio wajanja au hatuna akili. Mtoto wake angebaki tz instead of doing music in Kenya. So it's shows we're sharp than u.

  • @isaali9630
    @isaali9630 7 лет назад +3

    Unatisha mkali

  • @benjaminbenedicto2251
    @benjaminbenedicto2251 5 лет назад +1

    Good P funk dr.dree wa bongo

  • @yassinharuna3773
    @yassinharuna3773 6 лет назад +12

    Mbona huyu Diamond anawatoa watu povu sana, Ukipata maendeleo lazma upate wapnzani, wapuuz 2 hao, Mond pga kaz

  • @clemenceolivery9427
    @clemenceolivery9427 7 лет назад +13

    Dr.Dre of Africa%%%

  • @tuwajafar5687
    @tuwajafar5687 5 лет назад +1

    Dimond atabadilia pale washabiki watata abadilike. Kwasasa bado wanapenda style yako kwahiyo hana haja yakubadilika .He is a manufacture , he produces what required by his customers!!

    • @happynjukiz6495
      @happynjukiz6495 5 лет назад

      Kabisa huyo p funk ni haters tu kwa sababu yeye kafeli anataka wote wafeli hahahaha anazidiwa mpaka na t touch

    • @subirajohn728
      @subirajohn728 4 года назад

      tuwa jafar kweli kabisa

  • @malkavoice2570
    @malkavoice2570 6 лет назад +2

    Good sana P funk

  • @patrickKitambo
    @patrickKitambo 4 года назад

    came like a king a left like the legend

  • @ambaranguathuman4446
    @ambaranguathuman4446 6 лет назад +3

    Hu hu hu hu hu hu hu et wasafi unachoka vp bhna P funk nakukubali lakin unataka kwenda wrong 😂😂😂😂

    • @subirajohn728
      @subirajohn728 4 года назад

      Ambarang'u Athuman atasubiri sana ndoto zake za mchana!

  • @naomienos976
    @naomienos976 5 лет назад +2

    mmh

  • @user-oq3dd5xj9m
    @user-oq3dd5xj9m 4 года назад

    🤣🤣🤣Dj looks nervous while interviewee on sun glasses indoor🤣🤣🤣... WtF

  • @bobramaso825
    @bobramaso825 7 лет назад +4

    Super Duppa Producer Kinywele Kimoko

  • @piterndanamba6287
    @piterndanamba6287 5 лет назад +1

    Ndomaan king kiba anaimba mzIki wakipekee mtam mzik elimu

  • @dohabisophicateqatar1742
    @dohabisophicateqatar1742 7 лет назад +4

    u a rite bro

  • @rachelchacha2015
    @rachelchacha2015 5 лет назад +1

    Hiii kwan uyu ndy aliezaa na kajala yule mtoto Mrembo?? Mmmmh mzur ila mbn Ana kashfa kama mwanasiasa

  • @ibrahimmwasp888
    @ibrahimmwasp888 7 лет назад +6

    daaah kaka nakupa gwala sanaaa lilOmmy unaweza kazi

    • @LilOmmyTV
      @LilOmmyTV  7 лет назад +1

      Engineer Ibrahim Hebron 👊

    • @ibrahimmwasp888
      @ibrahimmwasp888 7 лет назад +2

      LilOmmyTV thanks ...interview unafanya kwa wasanii wakubwa tu au na wanaochipukia?

    • @mikesodaofficiel3682
      @mikesodaofficiel3682 7 лет назад

      ;i;ommy nipe number yako please on facebook (mikesoda)

  • @kinglance6365
    @kinglance6365 5 лет назад

    Jeuri ela

  • @kimz4016
    @kimz4016 6 лет назад +3

    💪💪💪💪💪💪

  • @salmaaman2813
    @salmaaman2813 5 лет назад

    Don't sleep on your dream.

  • @yusufalmamari4236
    @yusufalmamari4236 6 лет назад +3

    Hakuna kilicho na mwazo kika kosa mwisho wa daimond uki fika ata pomu zika kwa sbb piya mtu ana kufa ita kuwaje kuimba

  • @shafirzubailkiharillah3652
    @shafirzubailkiharillah3652 7 лет назад +3

    Kanumba

  • @hawaynatimam982
    @hawaynatimam982 4 года назад

    Paula amefanana na babaake

  • @artemisneoy9596
    @artemisneoy9596 5 лет назад

    When you know...

  • @thedeepgamerdenny5364
    @thedeepgamerdenny5364 5 лет назад +1

    Nimemsikiliza vizur bro lakin anatakiwa awape promo maproducer wengine....

  • @emmanuelpaschal248
    @emmanuelpaschal248 5 лет назад +4

    Kuma ww mtu akiwajuu mnamwekea bifu c uxenge nyie mlishindwa kuipleka bongo flavour mbali mwachieni mondi nyie kaenipemben mikunduuu

  • @bobramaso825
    @bobramaso825 5 лет назад

    MRUDISHE TENA KWENYE KIPINDI HUYU MTU ILI ATEME TENA MADINI,MAANA KAWA KIMYA NA MUULIZE KUHUSU WALE BONGOLOS IMEKUAJE?

  • @MWilly-xu1ki
    @MWilly-xu1ki 6 лет назад +5

    Sasa huu jamaa Amekaa Tanzania sana mbona kama swahili inampiga chenga

  • @maishamagumu1399
    @maishamagumu1399 6 лет назад +3

    Chameleone mshenzi dah!!!

  • @mudimkwata4608
    @mudimkwata4608 6 лет назад +3

    peleka ukuma wko huko

  • @koalaness8921
    @koalaness8921 5 лет назад +2

    Hii background beat ni ya nyimbo gn!!

    • @mcmifukotz7267
      @mcmifukotz7267 5 лет назад

      Pfunk ft dully skyes please for give me

  • @mdsaid4562
    @mdsaid4562 5 лет назад +7

    Ivi siku diamond atafaliki Watu wa interview mutauza tena mana diamond ndo biashala kubwa

    • @jumalove2631
      @jumalove2631 5 лет назад

      Md Said kwahiyo zaman walikua awauzi duuu kunamijitu mijinga

    • @amirysaimon9488
      @amirysaimon9488 4 года назад

      Md Said Mawazo yakoty

    • @mussaagrey5679
      @mussaagrey5679 4 года назад

      Md Said siku ukifa wewe watauza tu

    • @hansyphat2167
      @hansyphat2167 4 года назад

      akili za nyeto iz

    • @hawaynatimam982
      @hawaynatimam982 4 года назад

      Diamond yupo Miaka 10 ya Sanaa na kabla ya hapo watu walitisua, usijisahaulishe

  • @amontv5994
    @amontv5994 5 лет назад

    Copyright huwa ni ya msanii sio producer kwa maana ya economic rights na wewe uko entitled na moral rights

  • @adelaidedaycareprenurseryk6324
    @adelaidedaycareprenurseryk6324 7 лет назад +2

    MBONA HUIMBI SIKU HIZI MAJANI.

  • @sylviemutwale9527
    @sylviemutwale9527 5 лет назад +1

    Uyu jama nilzungu ao ni kabila gani

  • @sondanzingulasondasam4029
    @sondanzingulasondasam4029 7 лет назад +3

    hana lolote

  • @mikesodaofficiel3682
    @mikesodaofficiel3682 7 лет назад +3

    mimi musani na ishi canada na itaji number ya huyo bro kwajili na itaji promotion ya alubm yangu kama manager ppia twa weza tuka ongeya please kama kuna u wezo nipo free

  • @rahimmarions5712
    @rahimmarions5712 5 лет назад

    Hiyo ngoma ya plz 4give me naisaka sana bt sijapata...km kuna uwezekano DJ nitumie whtsp 0674311571 au yoyote mwenye nayo afanye hayo.

  • @isayaabeid6697
    @isayaabeid6697 5 лет назад +1

    Ii

  • @bigboy8508
    @bigboy8508 6 лет назад +4

    Maswali na majibu ya kizazi!! big up from +254