Part1: P Funk Majani - Amesema Diamond hawezi kuwa juu milele, lazima abadilike badilike.
HTML-код
- Опубликовано: 11 мар 2017
- Hii ndiyo list ya ngoma 5 kali alizozichagua P Funk Majani kwenye THE PLAYLIST Times FM, Jumamosi March 11, 2017
5. Str8 Ballin - 2 Pac
4. Utajiju - Juma Nature
3. Party Flani - Geez Mabovu ft Ngwair
2. Ant Perfect - Skeme x Wale
1. Till you are loved - Mr Probz
Majani alifunguka kuhusu kumshtaki Jose Chameleon baada ya kutumia tena beat yake ya Nikusaidiaje kwenye filamu ya Queen of Katwe bila makubaliano nae.
P Funk ameshtaki Walt Disney ya Marekani baada ya Copyright society ya Uganda kupokea baruza zai kina P Funk na kukausha na amesema sasa ataenda ngazi zingine mpaka kieleweke.
Hii ni Part 1, Subscribe channel hii LilOmmyTV kuangalia Part 2.
THE PLAYLIST ni Show kali ya weekend inayowashusha mastaa kibao ndani ya Studio za 100.5 Times FM kuchagua ngoma 5 kali wanazozikubali na kupiga mastori kibao kuhusu Music, Fashion & LifeStyle, Gadgets & all that.
Show inaruka kwa hewa kila Jumamosi, Saa 6 - 8 Mchana kupitia frequency ya 100.5 Times FM chini ya Presenter Mkali, the Baddest boi, Omary Tambwe aka Lil Ommy.
Subscribe, Watch, Share.
Niguse kwenye social networks:
/ lilommy
/ lilommy
www.lilommy.com for more interviews, hot news, exclusives, music, videos, artists profiles, gossip etc. Развлечения
p funk ni producer anaejielewa zaidi thanks ommy......
When you talk p funk majani, i get you and more appreciating you,
Unajua ukifanya kitu cha kimamton unatufanya watz tusahau kufuatilia ngoma za mbele.. Majani anaelewa vzr kuwa diamond anatukonga kias cha kusikiliza ngoma zake kuliko ngoma zake kuliko ngoma za nje. Safi sana nimekubali sana P anaelewa hicho kitu. Salut for him.
Aaise iyo beat ya 2pac mbona kama katengeneza yeye daaah huyo jamaa noma mungu akulipe kwa muziki wa bongo
Big up Majani una uwezo mkubwa Sana wa kujibu maswali.
nakubali kazi yako the baddest lilommy fanya mpango ashuke NIKKI MBISHI kwenye the playlist mzee
1.yeah,vijana tujitahidi kujiajiri, p ashasema, yaani unaeza kua na degree ila mtoto wako hatairidhi, ila ukiwa na ujuzi, yaani watoto wako wataridhi hio ofisi na wateja. Ila ukishadondoka, management inaadvatise post yako fasta sana. Big up majani.
well done lil ommy,unacheza fresh na brain za wasanii hasa ktk questions attacks,na hii ndo maana ya Talented and real HOST,BIG UP BRO...
Emmanuel Msigala 👊
umeua sana majani na lil ommy
Real Talk Big Bro.Majan 🙌
thanks last week niliomba umlete huyu jamaa naomba tuletee prof jay if possible
It's true broo we need new things everyday.
more Majani
P Funk Salute bro! mchango wako ni mkubwa sana kweny game ya bongo flavor huwez kuongelea bongo flavour bila kutaja P Funk never....
Show kali bro👊 msaada wa instrumental
Naipendag sn brooo🙏🙏
Poa kaka...kazi freshi Ommy
we ga majan right here haaa!! u alredy know heeeh!! dizain kama umesound poa hapa!!
BHALEE ALI 👊
Kiukweli nakukubali kinoma unavyo vaa. Namaanisha kwa presenter
Kawaida hao huwa ni wezi wa kila jambo! Kuanzia fadhila...
Bila diamond kumtaja interview hainogi
i love de talk.......lilly ommy ya incredibly doin gr8 son, keep yo heard up nikka
He looks vervous if you know wut I mean.
Mmemsahau prodyusa Roy.
sawa diamond hawezi kuwa juu milele lakini huyo anaekuja kumshusha ajipange kwerikweri
Nakuelewa sana Majani
Big up kwa P-FUNK majani daaah jamaa namuelewa sana
Majani ni producer imara
Apo kua Diamond hatopaki milele sio kweli kuna wasani weeengi tu na wapo hadi leo so ni mbinu tu
And jama mond anajuw sna iyo hali kitambo
RESPECT P Funk Majani
Good interview
ommy ur the best broo,niletee MR SUGU
halfani majani
Hiphop sana. Cool
Wow!...Dont sleep on your Dreams..
baddest boi .. u deserve to be the best.. kazi nzur .. its gud coz kila msanii aliyekuja kwenye interview ameapriciate xana.. keep it up buda
mkachaa The racka 👊👊👊
p u know what you doing big Up liommy keep it going on
Nuhu Salim 👊
Nakubali p
yes p uko poa...
Kitu kinashi baba unajua lilomy interview zako maswali yako yanaishi hadi leo bonge la int nice none
What was the guy chewing?
TULETEE TENA KWENYE PLAYLIST THE SUPER DUPPA TUMSIKIE TENA WIKI YA KESHO KUTWA MZEE BABA LIL'OMMY WE NI NOMA,BADO GEMU LINAMDAI YUPO KIMYA KIMTINDO TOKA BONGOLOS HATUJAONA KITU KINGINE
Huyo jamaaa ni kwikwi yani ni
maaaaadness ting
Aliye juu mfate juu kaka.Mkisubiri ashuke, "UTACHINAAA".mabifubifu ya nini?Na kujifanya account ya Harmorapa ime harckiwa kumbe mlimtusi Diamond makusudi.MUNGU ANAWAONA.
Mzunguuuuuu
umeongea fact sana
Good
majani noma
Nice intavew
At a high level...
Majani 🙌🙌🙌🫡🏆
p umetuahidi email vip
sijaregret kumskiza huyu jamaa.
huyu ni mkongwe I say
wacha niseme ukweli nipo mbeya na leo ndo nakuskia mwanangu,unaweza saaana,karibu dream fm 91.3
Oi
If he thinks Kenyans sio wajanja au hatuna akili. Mtoto wake angebaki tz instead of doing music in Kenya. So it's shows we're sharp than u.
may be u misunderstood him
Unatisha mkali
Good P funk dr.dree wa bongo
Kabisa
Mbona huyu Diamond anawatoa watu povu sana, Ukipata maendeleo lazma upate wapnzani, wapuuz 2 hao, Mond pga kaz
Dr.Dre of Africa%%%
Exactly bro
Dimond atabadilia pale washabiki watata abadilike. Kwasasa bado wanapenda style yako kwahiyo hana haja yakubadilika .He is a manufacture , he produces what required by his customers!!
Kabisa huyo p funk ni haters tu kwa sababu yeye kafeli anataka wote wafeli hahahaha anazidiwa mpaka na t touch
tuwa jafar kweli kabisa
Good sana P funk
came like a king a left like the legend
Hu hu hu hu hu hu hu et wasafi unachoka vp bhna P funk nakukubali lakin unataka kwenda wrong 😂😂😂😂
Ambarang'u Athuman atasubiri sana ndoto zake za mchana!
mmh
🤣🤣🤣Dj looks nervous while interviewee on sun glasses indoor🤣🤣🤣... WtF
Super Duppa Producer Kinywele Kimoko
Bob Ramaso 🤣
Ndomaan king kiba anaimba mzIki wakipekee mtam mzik elimu
Piter Ndanamba
u a rite bro
hupo sawa majani
Hiii kwan uyu ndy aliezaa na kajala yule mtoto Mrembo?? Mmmmh mzur ila mbn Ana kashfa kama mwanasiasa
daaah kaka nakupa gwala sanaaa lilOmmy unaweza kazi
Engineer Ibrahim Hebron 👊
LilOmmyTV thanks ...interview unafanya kwa wasanii wakubwa tu au na wanaochipukia?
;i;ommy nipe number yako please on facebook (mikesoda)
Jeuri ela
💪💪💪💪💪💪
Don't sleep on your dream.
Hakuna kilicho na mwazo kika kosa mwisho wa daimond uki fika ata pomu zika kwa sbb piya mtu ana kufa ita kuwaje kuimba
Kanumba
Paula amefanana na babaake
When you know...
Nimemsikiliza vizur bro lakin anatakiwa awape promo maproducer wengine....
Kuma ww mtu akiwajuu mnamwekea bifu c uxenge nyie mlishindwa kuipleka bongo flavour mbali mwachieni mondi nyie kaenipemben mikunduuu
MRUDISHE TENA KWENYE KIPINDI HUYU MTU ILI ATEME TENA MADINI,MAANA KAWA KIMYA NA MUULIZE KUHUSU WALE BONGOLOS IMEKUAJE?
Sasa huu jamaa Amekaa Tanzania sana mbona kama swahili inampiga chenga
😂😂😂😂
Chameleone mshenzi dah!!!
peleka ukuma wko huko
Hii background beat ni ya nyimbo gn!!
Pfunk ft dully skyes please for give me
Ivi siku diamond atafaliki Watu wa interview mutauza tena mana diamond ndo biashala kubwa
Md Said kwahiyo zaman walikua awauzi duuu kunamijitu mijinga
Md Said Mawazo yakoty
Md Said siku ukifa wewe watauza tu
akili za nyeto iz
Diamond yupo Miaka 10 ya Sanaa na kabla ya hapo watu walitisua, usijisahaulishe
Copyright huwa ni ya msanii sio producer kwa maana ya economic rights na wewe uko entitled na moral rights
MBONA HUIMBI SIKU HIZI MAJANI.
Kanumba
Restuta Kayombo imba wewe kichaaa wewe
Uyu nimzungu ao mwarabu maani sielewi
Uyu jama nilzungu ao ni kabila gani
Kaburu hilo sawa?
hana lolote
Sonda Lolela uboya uwoo
mimi musani na ishi canada na itaji number ya huyo bro kwajili na itaji promotion ya alubm yangu kama manager ppia twa weza tuka ongeya please kama kuna u wezo nipo free
Stivin,kanumba
SITIVIN,KANUMBA
bona si elewi
Hiyo ngoma ya plz 4give me naisaka sana bt sijapata...km kuna uwezekano DJ nitumie whtsp 0674311571 au yoyote mwenye nayo afanye hayo.
Ii
Maswali na majibu ya kizazi!! big up from +254