HAJI MANARA AZICHAPA LIVE NA MANDONGA REFA MWIJAKU AAMUA MPAMBANO CLOUDS MEDIA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • HAJI MANARA AZICHAPA LIVE NA MANDONGA REFA MWIJAKU AAMUA MPAMBANO CLOUDS MEDIA

Комментарии • 114

  • @JPTHESWAGGERBOY
    @JPTHESWAGGERBOY 10 месяцев назад

    Mii kwanguu uchawaa naonaa sioo kazii ngumm nimaneneoo tuu na kua mtu wa kujiongezaa by msanii jp the swagger boy from mbeya kyelaa

  • @SamsonMakunja-eo4xf
    @SamsonMakunja-eo4xf 10 месяцев назад +6

    Na hiyo Pesa kweli kesho anaifuata...Sentensi mbili anakumbushia mpunga

  • @kiya0910
    @kiya0910 9 месяцев назад

    Kusema kweli tz niichi nzur Sana Wana saidiana Sana pia Wana shikana mikono aki wasapotiana Sana mungu awazidishia

  • @godfrey3926
    @godfrey3926 10 месяцев назад +8

    Nyie watu wazima hamna la maana kufanya, especially huyo anayetafuta attention hata usingizini..@ Haji whoever...Jamani, nendeni hata madarasa ya jioni kama mmeboreka..💯💯

  • @oyay2821
    @oyay2821 10 месяцев назад +2

    Mwijaku anatafuta kazi Tigo kwa lazima

  • @TheNichym
    @TheNichym 10 месяцев назад +1

    Mandonva angewekeza kwenye commedian boxing ingemlipa sana. Anaweza kuandaa mapambano ya maigizo na watu mashuhuri na wakapiga hela mingi tu

    • @BenahAnwary
      @BenahAnwary 7 месяцев назад

      Kweli yaani 😂😂😂😂😂

  • @KimbilimaSocial-dy9cl
    @KimbilimaSocial-dy9cl 10 месяцев назад +2

    MWIJAKU K SANA MANDONGO UNAMUITA MDOGO WAKO WE KICHAA SANA MANDONGO ANAMIAKA 45 MWIJAKU
    UNA MIAKA 36 BADO MANDONGO UNAMUITA
    MDOGO WAKO WE WEW
    NIZAM YAKO MBOVU SANA
    KICHAA WEWE

  • @clemenceparokola
    @clemenceparokola 10 месяцев назад +5

    Hii nchi nzuri sana

  • @D-Man.B-Free
    @D-Man.B-Free 10 месяцев назад +4

    Kesho nadaiwa kodi 😂😂😂 ila Mwijaku ni DC daaah

  • @SamiaKiliga
    @SamiaKiliga 10 месяцев назад +5

    Rahaaa ya Tanzania tufurahaa sana mpaka raaa jaman

    • @mropeamadeus54
      @mropeamadeus54 10 месяцев назад

      Ndugu Yanga Yuko katika Inchi mzuri

  • @Abu-Hamza254
    @Abu-Hamza254 8 месяцев назад +2

    Tanzania Kiki na shillinki hamna dini🇰🇪🇰🇪🇸🇴🇸🇴

    • @NYAHURURU_ICON
      @NYAHURURU_ICON 7 месяцев назад

      Wewe ndini unayo kweli you Elephant 😂

    • @Abu-Hamza254
      @Abu-Hamza254 7 месяцев назад

      @@NYAHURURU_ICONWewe dini gani?

  • @rajabushedafa6397
    @rajabushedafa6397 10 месяцев назад +8

    😂😂😂😂😂😂😂 mwijaku na baba levo n vichaa wenye akil

    • @BenahAnwary
      @BenahAnwary 7 месяцев назад

      😂😂😂😂😂😂😂

  • @simbawateranga7020
    @simbawateranga7020 10 месяцев назад +3

    Jamaa Hata hao Tigo kawapiga mzinga🤣🤣

  • @sidesaid4604
    @sidesaid4604 10 месяцев назад +2

    wenye miji yao awo...MASIFA TEEELE

    • @derickcowly6681
      @derickcowly6681 10 месяцев назад

      Ni wamejaa ni upumgufu wa ufahamu

  • @Mundi-oz7os
    @Mundi-oz7os 9 месяцев назад

    Sio "corperate," Mwijaku. Ni corporate. Tafadhali zingatia

  • @sonnyr1899
    @sonnyr1899 10 месяцев назад +4

    Wana Diaspora dawa peke Ya stress ni kusafiri kwenda Bongo wiki 2 tu zinatosha kukuponya😂😂😂

  • @veronicabwamukuru1265
    @veronicabwamukuru1265 10 месяцев назад +2

    Kwa hiyo huyu kaka kazi yake kusifia wanaume wenzie? Na mke wake amekubali mume wake afanye hii kazi? Duh Mungu atujalie mwisho mwema

    • @jombawajo
      @jombawajo 10 месяцев назад

      Angekuwa wako ungefanyaje na maokoto Ndo yanaingia

  • @HossenMgaza
    @HossenMgaza 10 месяцев назад

    Uchawa ni Jambo la kisenge sana

  • @greysonkisinda7390
    @greysonkisinda7390 10 месяцев назад +29

    😂😂😂😂 uchawa ni kazi ngumu kuliko kwenda shamba kulima

    • @derickcowly6681
      @derickcowly6681 10 месяцев назад +1

      Ndiyo ndugu

    • @derickcowly6681
      @derickcowly6681 10 месяцев назад +1

      Inasikitisha sana Tanzania ya sasa malezi mabaya sana waliyokuliya watanzania ayo ni mambo ya aibu sana 🤣🤣🤣🤣

    • @greysonkisinda7390
      @greysonkisinda7390 10 месяцев назад

      @@derickcowly6681 aise ni jambo la aibu sana

    • @derickcowly6681
      @derickcowly6681 10 месяцев назад

      @@greysonkisinda7390 🙏🙏🙏

    • @desolz3809
      @desolz3809 10 месяцев назад

      Painful facts 😢😢

  • @victorianbenardnachenga6839
    @victorianbenardnachenga6839 10 месяцев назад +2

    Ww Manara uliwahi kutuongopea kuwa ww ni Karateka mbona unajambajamba mishuuzi huna hata step za kupigana😀🤣

  • @GeniagustinhoNheka
    @GeniagustinhoNheka 7 месяцев назад

    Njego wa aslay

  • @idrissamadas3101
    @idrissamadas3101 10 месяцев назад

    Daaah aise uchawa noma

  • @ZarunaSinda
    @ZarunaSinda 10 месяцев назад +4

    😂😂😂 ❤ haji bana

  • @dn.n4983
    @dn.n4983 10 месяцев назад +1

    Yaani kazi hipo wewe omba omba rais hataki sio hatuko dodoma tuko dar sasa hivi kuomba wanaume au style siku hizi

  • @Kuminamoja1995
    @Kuminamoja1995 10 месяцев назад +1

    Manara na chawa wake

  • @vero57
    @vero57 10 месяцев назад +1

    Acha makelele wewe fara, tafuta kazi!!!!!! Njooo huku ukate vitunguu pumbavu sana 😂😂

  • @victorjames3730
    @victorjames3730 10 месяцев назад +10

    Kweli daslamu watu hawalimi 😂😂

  • @gbrowngbatz7867
    @gbrowngbatz7867 7 месяцев назад

    Unamndanganya nawakat huo unamzd maisha😂😂

  • @EventElias
    @EventElias 10 месяцев назад +4

    😂😂😂😂😂Tz ukifa kwa stress umejitakia

  • @kitapondatv8709
    @kitapondatv8709 10 месяцев назад

    Kaishiwa kodi

  • @barbaraogolla683
    @barbaraogolla683 8 месяцев назад

    Uchawa kazi ......mpaka mistari iwere😅😅😅😅

  • @derickcowly6681
    @derickcowly6681 10 месяцев назад +6

    😂😂😂😂😂 5 za simba mpe uyo

  • @tumahai157
    @tumahai157 10 месяцев назад +1

    Mwijaku ni ombaomba

  • @Baraka-i2g
    @Baraka-i2g 10 месяцев назад

    Hunijui ckujui but mungu anisamehe ila mwijaki ckupendi

    • @BenahAnwary
      @BenahAnwary 7 месяцев назад

      Humpendi alafu unamfuatilia hii nchi ya vichaa wengi sana 😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @HossenMgaza
    @HossenMgaza 10 месяцев назад

    Baba levo chawa I huyu chizi

  • @ibvisions4321
    @ibvisions4321 10 месяцев назад +1

    Ila mwijaku mnafki et ( umepotea haji uko vizuri) 🤣

  • @AmraniAmani-zd6jl
    @AmraniAmani-zd6jl 8 месяцев назад

    Kwann una tutu kana wa tanzania kama unaona ss niwashirkina hatuna din kaa kwenye nchi yako uturie acha wenge

  • @BenahAnwary
    @BenahAnwary 7 месяцев назад

    Manara ndo msemaji pekee kuonja ladha ya mafanikio makubwa simba na yanga

  • @VictorBugobola
    @VictorBugobola 10 месяцев назад +2

    Kuna machawa lkn 😂 hiii n chawa kwl kwl😂

  • @MrCovid-md3qv
    @MrCovid-md3qv 10 месяцев назад +1

    Amina

  • @jumarajab5316
    @jumarajab5316 10 месяцев назад +2

    jtatu njoo ofisini 😮wapi huko

  • @salimalesry428
    @salimalesry428 10 месяцев назад +2

    jamaa anaomba huyu yani hata nyumba kumbe hana amepanga sasa ubalozi wote hata kibanda hamna

    • @mwabukamediaofficial
      @mwabukamediaofficial 10 месяцев назад +2

      Mwijanku si mjinga wew mwijaku ananyumba kali saana anajenga kigambon we muone kama kichaa kichaa lakin si kichaa

  • @Josephkp629
    @Josephkp629 10 месяцев назад +2

    😅😅😅eti nmeishiwa kodi,unamwambia mwanaume mwenzip

  • @AziziHassan-ci7qw
    @AziziHassan-ci7qw 10 месяцев назад +3

    Manara bwana

  • @jonasnyanga8167
    @jonasnyanga8167 10 месяцев назад +1

    Msisitizo eti kesho saa kumiiii

  • @solomonadams6337
    @solomonadams6337 8 месяцев назад

    Je unajua nini maana ya kada😂😂😂 auuuu unasema tuu¿

  • @ErickyTz-ku7dt
    @ErickyTz-ku7dt 10 месяцев назад

    Unashangaa mandonga anapigwa hpohpo kwnye utani

  • @BertaliNaida
    @BertaliNaida 10 месяцев назад +1

    El bougatiiiiiiiiii😅😅😅😅😅😅😅😅😅😊

  • @zachaamaster5378
    @zachaamaster5378 10 месяцев назад

    #mwijaku noom san

  • @williamchenjelu3838
    @williamchenjelu3838 8 месяцев назад

    UKIWA CHAWA NAHISI UNAKUA NA TABIA ZA KIKE ....MWANAUME HUWEZI KUWA NA SHOBO NA WANAUME WENZAKO KAMA SIO USHOGA NI NINI

  • @molenicharles9107
    @molenicharles9107 10 месяцев назад +2

    Mandonga mtowe kinyesi huyo chawa🤣🤣🤣

  • @moseskiponda5377
    @moseskiponda5377 10 месяцев назад

    Uchawa kazi kweli. 😂

  • @GeorgeBrasto
    @GeorgeBrasto 10 месяцев назад

    Mwijaku safi sana

  • @roi2554
    @roi2554 10 месяцев назад +1

    Duuh pesa ni ngumu sanaa

  • @wemu4774
    @wemu4774 8 месяцев назад

    Kumekucha

  • @khadijashayo3886
    @khadijashayo3886 9 месяцев назад

    Et anaomba Kodi mme wake nan huyo

  • @AmaniRazalo
    @AmaniRazalo 10 месяцев назад +2

    😂😂😂😂😂 hatari

  • @AlAslanTV1
    @AlAslanTV1 10 месяцев назад +1

    ila bongo bana

  • @prosperabison1368
    @prosperabison1368 10 месяцев назад

    🔥🔥🔥

  • @Ikunji56
    @Ikunji56 9 месяцев назад

    Wendawazimu

  • @josephfrank4446
    @josephfrank4446 10 месяцев назад +6

    😂😂😂😂😂😂❤

  • @MichelJoseph-kz2lu
    @MichelJoseph-kz2lu Месяц назад

    heti wajiitaa msomi warooka tu bure upete soda

  • @sullehtz9327
    @sullehtz9327 10 месяцев назад +1

    Ila mwijaku😂

  • @Zubaiba
    @Zubaiba 8 месяцев назад

    😂😂,😂

  • @laurentraphael5470
    @laurentraphael5470 10 месяцев назад +1

    Ndio matunda ya CCM haya. Nonsense

  • @SalehSalum-p7t
    @SalehSalum-p7t 10 месяцев назад +4

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @mrvixtz
    @mrvixtz 10 месяцев назад

    Duuuh huyu mbwa ni chawa 😅😅😅

  • @iddiamiri7690
    @iddiamiri7690 10 месяцев назад +1

    Ila haji 😅😅😅😅😅

  • @ChirisitianSemu-mo9er
    @ChirisitianSemu-mo9er 10 месяцев назад

    Uchawa

  • @ismailystar-lx7eu
    @ismailystar-lx7eu 10 месяцев назад +2

    ilaa mwijaku daaa!

    • @majormajomjohn3775
      @majormajomjohn3775 10 месяцев назад

      Mwijaku ni nyokooo sana....nilichopenda hasau saa kumi

  • @KelvinMile
    @KelvinMile 9 месяцев назад

    Utakuja kuolewa

  • @anrelyltv3757
    @anrelyltv3757 10 месяцев назад

    Kodi Imeishaaa 😂😂

  • @tumahai157
    @tumahai157 10 месяцев назад +1

    Msomi ombaomba,hakina hata adabu hakijui kinaongea na nani, nini

  • @ticia950
    @ticia950 10 месяцев назад +1

    😂 Tanzania raha

  • @iddiamiri7690
    @iddiamiri7690 10 месяцев назад +1

    tz Bora usile ila upate bando😅😅

  • @WilliamEzekiel-hv9li
    @WilliamEzekiel-hv9li 10 месяцев назад +1

    Ila watu🤣🤣🤣

  • @bakarijuma4158
    @bakarijuma4158 10 месяцев назад +1

    ❤❤❤

  • @molenicharles9107
    @molenicharles9107 10 месяцев назад +1

    Mpige kwenye mapumbuuu🤣🤣🤣

    • @achouraachoura5763
      @achouraachoura5763 10 месяцев назад

      Hahahaha 🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂😂

  • @lvanyDaniel_pw7kk
    @lvanyDaniel_pw7kk 10 месяцев назад +1

    ila nime furah 😂😂😂😂😂😂😂

  • @AhmadRashady-x5y
    @AhmadRashady-x5y 10 месяцев назад

    Bongo sihami

  • @KhamisHaji-pw4jo
    @KhamisHaji-pw4jo 10 месяцев назад +2

    😂😂😂😂

  • @bulilodamian9883
    @bulilodamian9883 10 месяцев назад

    😂😂

  • @Mariam-fm8vq
    @Mariam-fm8vq 10 месяцев назад

    😂😂😂😂😂

  • @frbm1729
    @frbm1729 10 месяцев назад +1

    Hahaaaaaaaaaaa

  • @graceanyungu2774
    @graceanyungu2774 10 месяцев назад +1

    Ovyo huyu umbwa mwijaku

  • @allysaid2297
    @allysaid2297 10 месяцев назад

    Hakuna watu wajinga kama wanao jiona maarufu

  • @allymukhsin2962
    @allymukhsin2962 8 месяцев назад

    😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @anrelyltv3757
    @anrelyltv3757 10 месяцев назад

    😂😂😂

  • @iptisamismaill-f6h
    @iptisamismaill-f6h 10 месяцев назад

    😂😂😂

  • @jacksonmathayo6510
    @jacksonmathayo6510 10 месяцев назад

    😂😂😂