Basi tuseme wananchi ni timu ya Party sio Mpira kwa hiyo endeleeni kucheza Dansi sisi tunafanya mazoezi tukutane kwenye derby,, Maneno mengii tunawaachia sisi tunajibu kwenye pitch
Tangia nianze kufatilia Habari za mpira sijaona mtu kama huyu uwelewa Hana huyo raisi wako ofisi yake ipo wapi na tangia awe mwenyekiti alisha fanya vikao ao mikutano mingapi
Sasa God mimi hata kama siyo mkereketwa sana wa mahojiano, nina swali kwako kwamba unapomkosoa kiongozi fulani kwamba kaongea kauli isiyofaa mbona hata wewe unaongea kwa kusema watani zenu wana bongo umeoza, mara kiongozi kaenda kuroga je una uhakika?
Simbac walikua timo ya wakoroni malinga tanganyika kujitawara mikutano yote ya mwalimu nyerere mwenzie ya kuikombowa Tanzania ilifanyika makao maku ya yanga mta wa mafia
MUNGU ni mwema hongera Sana Engineer Hers kazi njema kila la kheri kwenu nyote barikiwa Sana Yanga
mwamba nakukubali sana
😂😂😂😂😂😂Kuna watu wanateseka sana..... nawapa pole popote mlipo.
God Yanga 👍🔰🔰🙌
Basi tuseme wananchi ni timu ya Party sio Mpira kwa hiyo endeleeni kucheza Dansi sisi tunafanya mazoezi tukutane kwenye derby,, Maneno mengii tunawaachia sisi tunajibu kwenye pitch
😂😂😂😂Godi we nomaa
nakukubali god wakele😂
Yanga bingwa
😅😅😅😅😅 Madunduka bado hamjasema mpaka mcheme nabado dawa itawaingia sana tyu.
Rais kula mauwa yko 🎉🎉🎉 Daima mbele nyuma mwiko
Hatawewe rofa nawe umeoza Tena kotekote Hujuwi Sasa Mepata Nini
Saf God huna baya madudunduka hawana maarifa zaidi ya uchawi
Sijawahi kujuta kukusikiliza God unajua kukera mpaka raha
Kwasababu we nimjinga
@@Samwel-y4d Na ww huna akili
💓💓💓💓💓
Usitoe siri za timu yetu
Hapo umemkomowa falakweli huyu Chura mweusi
Madunduka sijawahi kuwaona wanaongea vitu vya maana wao ni kutukana tuu hawana hoja kabisa. Gody 🎉🎉🎉🎉🎉
Yani nasema hivi Makolo hata waloge vip ana kufa goli mbili kipindi cha kwanza anaebisha baada ya gemu Ani tafute
Mangungu amewakilisha akiri za madunduka yaani wanasimba wengi Wana akiri za funza
Tangia nianze kufatilia Habari za mpira sijaona mtu kama huyu uwelewa Hana huyo raisi wako ofisi yake ipo wapi na tangia awe mwenyekiti alisha fanya vikao ao mikutano mingapi
Kaenda kupiga picha
Acha ushugwada makalio wew
Sasa God mimi hata kama siyo mkereketwa sana wa mahojiano, nina swali kwako kwamba unapomkosoa kiongozi fulani kwamba kaongea kauli isiyofaa mbona hata wewe unaongea kwa kusema watani zenu wana bongo umeoza, mara kiongozi kaenda kuroga je una uhakika?
Hivi inakuwaje mnamzingatia yule mzee
MZEE KAKOSA HEKIMA MPIRA SIYO VITA BALI BURUDANI IWEJEE AFIKE MBALI KUTUSI WANAYANGA?MANGUNGU AJIHESHIMU ILI AHESHIMIWE AKISHITAKIWA ATAONA YANGA TUNA NONGWA KUMBE TUKO SAHIHI
Bado hujasema
Simbac walikua timo ya wakoroni malinga tanganyika kujitawara mikutano yote ya mwalimu nyerere mwenzie ya kuikombowa Tanzania ilifanyika makao maku ya yanga mta wa mafia
Huo ni ushamba kuarikwa siosababu
Sasa kama ni malaisi wote inamaana hata mo pia atakuwepo maana nae ni raisi wa simba
Umesikia wapi kuwa mo yupo?
Simba haina raisi.
Kweli lofa ni lofa tu sasa rais wa psg wanaenda kushauriana nini na lofa 😂😂😂😂
Wewe huongelei historia, unaongea unachofikiria wewe ubongo wako nusu kijiko
Malofa 😂😂😂😂
Mh huna akili
@@MpondaVivisi-nj8bc lofa anateseka na comment yangu🤣🤣🤣🤣