GOD YANGA: HATUNA WASI WASI TENA | RAIS KAENDA KUFANYA JAMBO CAF

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 8 окт 2024

Комментарии • 39

  • @naliakafatuma9870
    @naliakafatuma9870 Час назад +1

    MUNGU ni mwema hongera Sana Engineer Hers kazi njema kila la kheri kwenu nyote barikiwa Sana Yanga

  • @farajimnzavas820
    @farajimnzavas820 3 часа назад +4

    mwamba nakukubali sana

  • @LucyVictor-c9c
    @LucyVictor-c9c 3 часа назад +4

    😂😂😂😂😂😂Kuna watu wanateseka sana..... nawapa pole popote mlipo.

  • @Abbasbaro
    @Abbasbaro 2 часа назад +1

    God Yanga 👍🔰🔰🙌

  • @lonesomekabora5547
    @lonesomekabora5547 2 часа назад +1

    Basi tuseme wananchi ni timu ya Party sio Mpira kwa hiyo endeleeni kucheza Dansi sisi tunafanya mazoezi tukutane kwenye derby,, Maneno mengii tunawaachia sisi tunajibu kwenye pitch

  • @bakarimasanga3634
    @bakarimasanga3634 13 минут назад

    😂😂😂😂Godi we nomaa

  • @vivanyboy9743
    @vivanyboy9743 2 часа назад +1

    nakukubali god wakele😂

  • @EmmanuelMrimi-v1r
    @EmmanuelMrimi-v1r 8 минут назад

    Yanga bingwa

  • @careemdulla1629
    @careemdulla1629 2 часа назад +1

    😅😅😅😅😅 Madunduka bado hamjasema mpaka mcheme nabado dawa itawaingia sana tyu.

  • @MwaijaBlata
    @MwaijaBlata 3 часа назад +3

    Rais kula mauwa yko 🎉🎉🎉 Daima mbele nyuma mwiko

  • @zainabsimbamtoro6790
    @zainabsimbamtoro6790 3 часа назад +2

    Hatawewe rofa nawe umeoza Tena kotekote Hujuwi Sasa Mepata Nini

  • @SadiqNangongoo
    @SadiqNangongoo 7 минут назад

    Saf God huna baya madudunduka hawana maarifa zaidi ya uchawi

  • @DenisSanga-bj5ud
    @DenisSanga-bj5ud 4 часа назад +2

    Sijawahi kujuta kukusikiliza God unajua kukera mpaka raha

  • @DoryGeorge
    @DoryGeorge Час назад

    💓💓💓💓💓

  • @emanuelkailas3653
    @emanuelkailas3653 Час назад

    Usitoe siri za timu yetu

  • @zainabsimbamtoro6790
    @zainabsimbamtoro6790 3 часа назад +1

    Hapo umemkomowa falakweli huyu Chura mweusi

  • @careemdulla1629
    @careemdulla1629 2 часа назад

    Madunduka sijawahi kuwaona wanaongea vitu vya maana wao ni kutukana tuu hawana hoja kabisa. Gody 🎉🎉🎉🎉🎉

  • @andreajoseph5859
    @andreajoseph5859 2 часа назад

    Yani nasema hivi Makolo hata waloge vip ana kufa goli mbili kipindi cha kwanza anaebisha baada ya gemu Ani tafute

  • @AlfredRutaguza
    @AlfredRutaguza 2 часа назад

    Mangungu amewakilisha akiri za madunduka yaani wanasimba wengi Wana akiri za funza

  • @AmisiLulacha
    @AmisiLulacha 2 часа назад

    Tangia nianze kufatilia Habari za mpira sijaona mtu kama huyu uwelewa Hana huyo raisi wako ofisi yake ipo wapi na tangia awe mwenyekiti alisha fanya vikao ao mikutano mingapi

  • @NasibuAlban
    @NasibuAlban 31 минуту назад

    Kaenda kupiga picha

  • @abdallahabdul1038
    @abdallahabdul1038 9 минут назад

    Acha ushugwada makalio wew

  • @CHARLESKINYALA
    @CHARLESKINYALA 2 часа назад

    Sasa God mimi hata kama siyo mkereketwa sana wa mahojiano, nina swali kwako kwamba unapomkosoa kiongozi fulani kwamba kaongea kauli isiyofaa mbona hata wewe unaongea kwa kusema watani zenu wana bongo umeoza, mara kiongozi kaenda kuroga je una uhakika?

  • @nicholouskihombo1507
    @nicholouskihombo1507 3 часа назад +1

    Hivi inakuwaje mnamzingatia yule mzee

    • @stevensosipita
      @stevensosipita 3 часа назад +1

      MZEE KAKOSA HEKIMA MPIRA SIYO VITA BALI BURUDANI IWEJEE AFIKE MBALI KUTUSI WANAYANGA?MANGUNGU AJIHESHIMU ILI AHESHIMIWE AKISHITAKIWA ATAONA YANGA TUNA NONGWA KUMBE TUKO SAHIHI

  • @athumanhatibumkombolaguha
    @athumanhatibumkombolaguha 2 часа назад

    Bado hujasema

  • @RamadhanMohamedi-j3d
    @RamadhanMohamedi-j3d 2 часа назад

    Simbac walikua timo ya wakoroni malinga tanganyika kujitawara mikutano yote ya mwalimu nyerere mwenzie ya kuikombowa Tanzania ilifanyika makao maku ya yanga mta wa mafia

  • @NduluLucas-j1t
    @NduluLucas-j1t 3 часа назад +1

    Huo ni ushamba kuarikwa siosababu

  • @GodfreyMwendawila-ff7on
    @GodfreyMwendawila-ff7on 3 часа назад +1

    Sasa kama ni malaisi wote inamaana hata mo pia atakuwepo maana nae ni raisi wa simba

    • @Yassin-z6o
      @Yassin-z6o 3 часа назад +1

      Umesikia wapi kuwa mo yupo?

    • @Yassin-z6o
      @Yassin-z6o 3 часа назад +1

      Simba haina raisi.

  • @gabrielnybala2165
    @gabrielnybala2165 3 часа назад +1

    Kweli lofa ni lofa tu sasa rais wa psg wanaenda kushauriana nini na lofa 😂😂😂😂

  • @athumanhatibumkombolaguha
    @athumanhatibumkombolaguha 2 часа назад

    Wewe huongelei historia, unaongea unachofikiria wewe ubongo wako nusu kijiko

  • @gabrielnybala2165
    @gabrielnybala2165 3 часа назад

    Malofa 😂😂😂😂