achakujitoa ufaham yanga mpaka leo hawapiti getin kuingia uwanjan ss unasemaje Simba niwashamba tunajuana bro...usitufundishe jinsi yakuish nahaondugu zako kwan unakujua ww niyanga lialia...... Simba nguvu moja 🦁🦁
ACHA KUJIFICHA KWENYE KICHAKA CHAKUSEMA NI YAKIZAMANI, WAAMBIE YANGA WAACHE KUFUATILIA WACHEZAJI WA SIMBA SC KWANZA, JEZI TUTABADILISHANA NA TIMU ZA NJE TU
Mbona mdogo wako apeani mikono akisalimiana na baadhi ya wasanii wenzie ubaya ubwela shiriki zipo mchezaji anaweza kubadirishana jezi kwa nia nzuri upande wa pili wakafika jezi kwa dau kubwa wakafanye shiriki zao hayo ndio yalikuwa mawazo kwani dabi ndio mechi inayofuatia na shiriki zipo kama uamini nenda uwanja wa taifa siku Moja kabla ya mechi uone uwanja unavyolindwa na makomandoo
achakujitoa ufaham yanga mpaka leo hawapiti getin kuingia uwanjan ss unasemaje Simba niwashamba tunajuana bro...usitufundishe jinsi yakuish nahaondugu zako kwan unakujua ww niyanga lialia...... Simba nguvu moja 🦁🦁
Tutabadilishana jez na timu zote ila siyo na hizi timu zinazo zaminiwa na gsm hao sasaivi ni maadui zetu hatana undugu nao
Aziz Aly - Aziz ki😂
Sana Yanga wachawi sana, Wana fadhili timu hewa
Timu za GSM siyo za kupeana Jezi.
Ushirkina wanao na wamezoea wanadhani wote Kama wao susi tuna Allah na hakika muweza wa wote
Momo leo umekua Omo umezingua
Mkolowonyi kazi kufikiria kuwanga tu! Watapotea muda si mrefu wakipoteza muda mrefu makaburini. Makommando ni makupe tu.
Acha kujitoa ufahamu,wew mwenyewe hapo uko na Chale mbili😅😅....mwaka huu ni ubaya ubwela tu lazima tuwalinde wachezaji wetu kwa kila hali
Mikia wanaamini sana ushirikina ndo maana walichoma moto s. Africa
ACHA KUJIFICHA KWENYE KICHAKA CHAKUSEMA NI YAKIZAMANI, WAAMBIE YANGA WAACHE KUFUATILIA WACHEZAJI WA SIMBA SC KWANZA, JEZI TUTABADILISHANA NA TIMU ZA NJE TU
Mbona mdogo wako apeani mikono akisalimiana na baadhi ya wasanii wenzie ubaya ubwela shiriki zipo mchezaji anaweza kubadirishana jezi kwa nia nzuri upande wa pili wakafika jezi kwa dau kubwa wakafanye shiriki zao hayo ndio yalikuwa mawazo kwani dabi ndio mechi inayofuatia na shiriki zipo kama uamini nenda uwanja wa taifa siku Moja kabla ya mechi uone uwanja unavyolindwa na makomandoo
Wanajiingiza kwenye mtego wenyewe hao
SIO USHAMBA MSHAMBA WEWE KWANI WE HAUJUI
Hatutaki.!!
Nikwel unalosemaa mzee wa za ndanii lkn ukifatiliaa kindaniii hayooo mambo ya kuloganaaa kibongo bongo yapooo ndugu yangu
Shida simba wamezidi kuaminia ushirikina tu.
Usitupangie nini cha kufanya kojoa kalale
Acha upuuzi kwani hawarogi
Simba hawajitambui
Mulizeni mayele kilichomkuta kipindi yupo utopolo
ndo hatutaki jezi yetu
iyo timu imekuja hapa au nyuma mwiko ndo kaifata rikado wacha ushamba sio kuwa mpira wa tanzania huujuwi
Ushamba kwako wemwenyew unaweza ukakuta mpaka unapata kazi umeroga kwa mganga na uo nimtazamo wako
Sisi ndio simba hatutaki ujinga mnataka watuharibie Ateba wetu
Deborah
Kwann alitoa mpya harafu yeye akataka ilotumika
musitupangie cha kufanya
Ndo mtajua
Msijifanye kuwa hamjui ushirikina haupo
Fernandez
Nimecheka kwa sauti 😂😂😂😂
Kimataifa na hii usivilinganishe. Na asinge nyanganywa jezi wewe ungetoa wapi stori
Kolo hao
Kolo ndo nn!?
Achana na simba mpuuz ww
mi mwenyew nimefrah nyuma mwiko hawachelewi kwa ilo
Fala weweeeeeee
😂😂atutaki jezi zetu
Kwasababu mmeikosa nyooo
Ubaya ubwelaaa
Wasafi nyie ni Wajinga ongeeeni mambo ya. Utopolo ,Hawa ndo wanaopromote huu ujinga.
😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣