#zandaaani

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 8 окт 2024
  • 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Комментарии • 49

  • @thomasaugust225
    @thomasaugust225 7 часов назад +3

    achakujitoa ufaham yanga mpaka leo hawapiti getin kuingia uwanjan ss unasemaje Simba niwashamba tunajuana bro...usitufundishe jinsi yakuish nahaondugu zako kwan unakujua ww niyanga lialia...... Simba nguvu moja 🦁🦁

  • @azizially557
    @azizially557 2 часа назад +1

    Tutabadilishana jez na timu zote ila siyo na hizi timu zinazo zaminiwa na gsm hao sasaivi ni maadui zetu hatana undugu nao

  • @josepahatmargwe6504
    @josepahatmargwe6504 4 часа назад +1

    Sana Yanga wachawi sana, Wana fadhili timu hewa

  • @josepahatmargwe6504
    @josepahatmargwe6504 4 часа назад +1

    Timu za GSM siyo za kupeana Jezi.

  • @maliadii4829
    @maliadii4829 8 часов назад +3

    Ushirkina wanao na wamezoea wanadhani wote Kama wao susi tuna Allah na hakika muweza wa wote

  • @AdamYoram
    @AdamYoram 47 минут назад

    Momo leo umekua Omo umezingua

  • @OS-pf6op
    @OS-pf6op 8 часов назад +2

    Mkolowonyi kazi kufikiria kuwanga tu! Watapotea muda si mrefu wakipoteza muda mrefu makaburini. Makommando ni makupe tu.

  • @emmanuelmayunga1518
    @emmanuelmayunga1518 8 часов назад +1

    Acha kujitoa ufahamu,wew mwenyewe hapo uko na Chale mbili😅😅....mwaka huu ni ubaya ubwela tu lazima tuwalinde wachezaji wetu kwa kila hali

  • @FrankFanuel-r3k
    @FrankFanuel-r3k 3 часа назад

    Mikia wanaamini sana ushirikina ndo maana walichoma moto s. Africa

  • @davidjohn540
    @davidjohn540 6 часов назад +1

    ACHA KUJIFICHA KWENYE KICHAKA CHAKUSEMA NI YAKIZAMANI, WAAMBIE YANGA WAACHE KUFUATILIA WACHEZAJI WA SIMBA SC KWANZA, JEZI TUTABADILISHANA NA TIMU ZA NJE TU

  • @Abeid-w4c
    @Abeid-w4c 9 часов назад +3

    Mbona mdogo wako apeani mikono akisalimiana na baadhi ya wasanii wenzie ubaya ubwela shiriki zipo mchezaji anaweza kubadirishana jezi kwa nia nzuri upande wa pili wakafika jezi kwa dau kubwa wakafanye shiriki zao hayo ndio yalikuwa mawazo kwani dabi ndio mechi inayofuatia na shiriki zipo kama uamini nenda uwanja wa taifa siku Moja kabla ya mechi uone uwanja unavyolindwa na makomandoo

  • @MikidadyAbdu
    @MikidadyAbdu 2 часа назад

    Wanajiingiza kwenye mtego wenyewe hao

  • @twazdkkajipangaamir8329
    @twazdkkajipangaamir8329 8 часов назад +1

    SIO USHAMBA MSHAMBA WEWE KWANI WE HAUJUI

  • @JakayaMarco
    @JakayaMarco 4 часа назад +2

    Hatutaki.!!

  • @merickshadrack4509
    @merickshadrack4509 7 часов назад

    Nikwel unalosemaa mzee wa za ndanii lkn ukifatiliaa kindaniii hayooo mambo ya kuloganaaa kibongo bongo yapooo ndugu yangu

  • @MikidadyAbdu
    @MikidadyAbdu 2 часа назад

    Shida simba wamezidi kuaminia ushirikina tu.

  • @ZabibuMwenda
    @ZabibuMwenda 2 часа назад

    Usitupangie nini cha kufanya kojoa kalale

  • @rogerkemibala4328
    @rogerkemibala4328 8 часов назад +1

    Acha upuuzi kwani hawarogi

  • @mbarakasijaona7638
    @mbarakasijaona7638 9 часов назад +1

    Simba hawajitambui

  • @AishshibnShibani
    @AishshibnShibani 7 часов назад +1

    Mulizeni mayele kilichomkuta kipindi yupo utopolo

  • @HusseinHussein-f7n
    @HusseinHussein-f7n 9 часов назад +1

    ndo hatutaki jezi yetu

  • @HusseinHussein-f7n
    @HusseinHussein-f7n 9 часов назад

    iyo timu imekuja hapa au nyuma mwiko ndo kaifata rikado wacha ushamba sio kuwa mpira wa tanzania huujuwi

  • @HamisiMilanzi
    @HamisiMilanzi 3 часа назад

    Ushamba kwako wemwenyew unaweza ukakuta mpaka unapata kazi umeroga kwa mganga na uo nimtazamo wako

  • @aginsagins-jf4vz
    @aginsagins-jf4vz 9 часов назад +2

    Sisi ndio simba hatutaki ujinga mnataka watuharibie Ateba wetu

  • @nichorasjeremiah8821
    @nichorasjeremiah8821 8 часов назад

    Kwann alitoa mpya harafu yeye akataka ilotumika

  • @HusseinHussein-f7n
    @HusseinHussein-f7n 9 часов назад +1

    musitupangie cha kufanya

  • @nshaijatedy5512
    @nshaijatedy5512 8 часов назад +1

    Ndo mtajua

  • @nichorasjeremiah8821
    @nichorasjeremiah8821 8 часов назад

    Msijifanye kuwa hamjui ushirikina haupo

  • @jullygeogre8110
    @jullygeogre8110 3 часа назад

    Fernandez

  • @LeonidasStephano
    @LeonidasStephano 9 часов назад

    Nimecheka kwa sauti 😂😂😂😂

  • @nichorasjeremiah8821
    @nichorasjeremiah8821 8 часов назад

    Kimataifa na hii usivilinganishe. Na asinge nyanganywa jezi wewe ungetoa wapi stori

  • @sirpaza8513
    @sirpaza8513 7 часов назад +1

    Kolo hao

  • @SaidHussein-t8x
    @SaidHussein-t8x 6 часов назад

    Achana na simba mpuuz ww

  • @HusseinHussein-f7n
    @HusseinHussein-f7n 9 часов назад

    mi mwenyew nimefrah nyuma mwiko hawachelewi kwa ilo

  • @GeradGmwambe
    @GeradGmwambe 3 часа назад

    Fala weweeeeeee

  • @kitaraabdi9529
    @kitaraabdi9529 9 часов назад

    😂😂atutaki jezi zetu

  • @HerriThabiti-qd5rr
    @HerriThabiti-qd5rr 6 часов назад

    Kwasababu mmeikosa nyooo

  • @georgeurio7581
    @georgeurio7581 8 часов назад

    Ubaya ubwelaaa

  • @josepahatmargwe6504
    @josepahatmargwe6504 4 часа назад

    Wasafi nyie ni Wajinga ongeeeni mambo ya. Utopolo ,Hawa ndo wanaopromote huu ujinga.

  • @sallyeliya5213
    @sallyeliya5213 9 часов назад

    😂😂😂😂😂

  • @rehemamwasa9657
    @rehemamwasa9657 8 часов назад

    🤣🤣🤣