DIAMOND PLATNUMZ: ATANGAZA NDOA, MCHUMBA?

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 мар 2018
  • (PART2) EXCLUSIVE INTERVIEW NA DIAMOND PLATNUMZ KWA MARA YA KWANZA TIMES FM BAADA YA KUTOKA TU KENYA, KAONGEA MENGI SANA KUHUSU BEEF NA MEDIA, ZARI, ALBUM YAKE, WEMA, ALIKIBA, KUFUNGIWA NYIMBO NK.
    LilOmmyTV channel maalumu ya Burudani na EXCLUSIVE interview kutoka kwa mastaa unaowakubali.
    Fatilia mahojiano ya moto na mastaa unaowakubali kujua kila kitu kuhusu Muziki na Maisha yao, #LilOmmy #THEMVP #KingOfInterviews anakukutanisha nao hapa hapa kwenye #LilOmmyTV
    Let's Connect
    / lilommy
    / lilommy
    / lilommyfanpage
    lilommy.com/
    Hakikisha Subscribe, Gonga Like, Angusha Comment na Share kwenye WhatsApp Groups au Facebook na Twitter..... enjoy!
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 478

  • @nas153
    @nas153 6 лет назад +23

    Fantastic........safi sana na hakuna obvious questions kama wanavyo uliza radio station nyingine....hii inamaanisha unafuatilia sana interview zote za mtu utakae mhoji.....nahii inaitwa kujiongeza.💯/💯✔

  • @heavenluckmongi6161
    @heavenluckmongi6161 6 лет назад +5

    Hongera diamond platnumz kwa interview nzuri sana, umeonyesha kukerwa na baadhi ya maaumuzi na harakati(ftna,kubaniwa) za kukurudisha nyuma nakupongeza kwa kuweza kustahimili hayo yote nakusimama kwenye kile unachokiamini kwa kujitoa hata kua tayari kwenda jela kwa ajili ya bongo fleva. Maombi yangu kwako ukiwa miongoni mwa watu wenye nguvu ,uelewa na hamasa kubwa kwenye bongo fleva naona ni vyema sana ukaweka wazi hzo ftna na watu wanaozifanya pamoja na baadhi ya media kukukwamisha kwani ni wasanii wengi wanapitia kwenye hayo ambayo wewe umepitia na kwa bahati mbaya sana tasnia imekua ikipoteza wasanii wazuri. Kuna baadhi ya watu(wadau wa tasnia) na media wanaaminika/zinaaminika kwa kuwa tu tunajua yale mambo ambayo wanatuonyesha ila ni imani yangu kuwa endapo ukiliweka hilo wazi utakua umesaidia wasanii weng na tasnia kwa ujumla.

  • @fatumaabdallah4429
    @fatumaabdallah4429 6 лет назад +12

    Mond upo vizuri kaka angu we fanya kazi mungu yupo pamoja na we ila zari ni wako tuu,

  • @henrypodolski3652
    @henrypodolski3652 6 лет назад +12

    lil ommy ur the best presenter in town....together with simbaaaaaaa

  • @teddynanyonga2621
    @teddynanyonga2621 6 лет назад +3

    You left Zari now your sober congratulations mama langote now you have your son back

  • @chiefkaitaba.m.9466
    @chiefkaitaba.m.9466 6 лет назад +3

    Diamond nakuelewa sana lkn vile vile LilOmmy ww ni zaidi ya mtangazaji unajua sana hadi unakera,big up.

  • @zainabualtz1455
    @zainabualtz1455 6 лет назад +11

    Diamond alizaliwa kwaniaba ya wa Tanzania Mungu ibaliki Tanzanian na watuwote

  • @mpoloonlinetv1373
    @mpoloonlinetv1373 6 лет назад +1

    Diamond you are very smart artist, Nakuomba muoe shemeji yetu Zariiiiiiii the bos lady, she qualify to be our shemejiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii

  • @ToyTz
    @ToyTz 6 лет назад +7

    KWA jinsi alivyoongea blazza simba nahic mpaka waliokuwa wanajiita team kiba washakuwa mafans wake!! AMEN

  • @lawrencekihura1326
    @lawrencekihura1326 6 лет назад +4

    Musicians bring a lot of revenues in Tanzania, and that includes salaries for the so called politicians, hero kwa Diamond.

  • @zainabualtz1455
    @zainabualtz1455 6 лет назад +7

    Adi rahaha anavyoongea diamond eeee leo na comment sana😂😂😂😂🙆

  • @sandraallen8578
    @sandraallen8578 6 лет назад +2

    Bongo flavour imekuwa kubwa Kwasababu ya chibu (simba Lion) @diamondplatnumz wewe ni kichwa🔥🔥big up

  • @makondefinest
    @makondefinest 6 лет назад +31

    Kuna watu wamezaliwa na akili za ziada,Diamond plutnumz

  • @nickymeel986
    @nickymeel986 6 лет назад +15

    Fanya urudie zari bana she's the best woman you desv to spnd the rest of your life with😢😢😢wengine achia majirani

  • @romanomlanda7184
    @romanomlanda7184 6 лет назад +1

    Huyu jamaa ni noma sana, kwenye kujibu maswali ni mtaalamu na ni mtu ambaye anajitahidi kusema ukweli

  • @mariamsaidi3084
    @mariamsaidi3084 6 лет назад +2

    Wallah diamond nitakupenda zaidi ukifanya kazi na kiba. Simba&king please my brother

  • @nivardbarack4643
    @nivardbarack4643 6 лет назад +1

    Pendeza sanaaa hii interview💟💟💟💟💟💞💞💞💝💝💝💝💝💝💝💝💝
    kizazi sanaani umeongea kiakili saana maswali na majibu vyote viko strong big up

  • @barakaandrea3790
    @barakaandrea3790 6 лет назад +4

    Platinuz umekomaa mzee,Big up sana.

  • @joymondi1760
    @joymondi1760 3 года назад

    That y nampenda baby simba .he is always social and focused .lots of love to you baby handsome ,from joy mondi kenya

  • @goodluckpaschal6134
    @goodluckpaschal6134 6 лет назад +2

    honestly nimekukubali mind now najuwa mm ni funs wa music

  • @nickymeel986
    @nickymeel986 6 лет назад +4

    Lil ommy ur the best presntr😍😍😍big up

  • @tiktokTviral
    @tiktokTviral 5 лет назад +1

    king #SIMBA
    DIAMOND THE GREATEST 💎🎤🌟🌎🇹🇿

  • @pizothe1269
    @pizothe1269 6 лет назад +3

    doh, lil Ommy kiwango chako ni sawa na wale wa BBC. mond pia yupo fit kujeilezea japo mi sio mshabiki wake ila FRESH big up.

  • @mercymusyimi1227
    @mercymusyimi1227 6 лет назад

    I think this is the best interview i have watched in a couple of years,diamond got brains for a whole clan......hahahahaha,i love how he admits mistakes and doesn't give a hoot.WCB forever.

  • @ToyTz
    @ToyTz 6 лет назад

    NASIB ABDUL hapo nimekuelewa sanaa na mimi ntakuwa naachia ngoma zangu ijumaa ili waruke nazo club!! by t.o.y ,,big shoutout to MVP

  • @maryannqueen7356
    @maryannqueen7356 6 лет назад +2

    PREACH DIAMOND..........Preach......Lil Ommy ....your show Kills

  • @andersonmartins7674
    @andersonmartins7674 6 лет назад +3

    Wow the guy (dai) ni mzuri katika responding

  • @madona.1537
    @madona.1537 6 лет назад

    I love this.. Nice guys.. Nice questions nice answers

  • @goodluckymartin334
    @goodluckymartin334 6 лет назад

    Mm ukisemaa wanatoaa ttuzooo lili ommy ur the baddest presenter aseehhhh hakunaaaw kammaaaa ww kwa sasa hapaa tz aiseeehhhhhhhhh 🔥🔥🔥🔝🔝🔝👏👏🔝🔝🔝🌍🌍🌍

  • @kenyoveliog7597
    @kenyoveliog7597 6 лет назад +5

    the best interview ever ever

  • @rashidchembax8383
    @rashidchembax8383 6 лет назад +11

    Lil Ommy uko vizuri,haubaatishi aisee

    • @yasingawaza3087
      @yasingawaza3087 5 лет назад

      ludo kwamolawako achananamziki kunalana uko dogo

  • @fatmafarid5619
    @fatmafarid5619 6 лет назад

    Very Good to be open you're the best musician Wasafi Diamond Platinum

  • @husseinc
    @husseinc 6 лет назад

    Lilommy hii ilikuwa bonge moja interview ongera sn ommy maswali ya mana majib pia mazur sn

  • @allthingdranabeauty
    @allthingdranabeauty 6 лет назад +11

    ❤️❤️❤️❤️tele kwa Diamond,kaka mtangazaji uko vizuri sana

  • @mwaijaramadhani6662
    @mwaijaramadhani6662 6 лет назад +5

    Kiukweli mi team kiba lakini hii interview nimecheka sana ni nzuri mpka unajikuta unacheka kwa sauti

  • @hashimmussa2131
    @hashimmussa2131 6 лет назад +16

    @lilommytv...tumwagie full shoo,sisi wengine hatuishi bongo maboy na hatupati nafasi ya kusikiliza live,,,,,,big up sana homeboy

  • @estherwandia7614
    @estherwandia7614 6 лет назад

    This man got brains....from +254 ..I love u

  • @georgethuita3440
    @georgethuita3440 6 лет назад

    Diamond do your thing, supporting you always.
    🔥🔥🔥

  • @barakavicent7394
    @barakavicent7394 6 лет назад

    Your the best bro genius world records is onto you coz you never fail interviews congrats bro

  • @bonishani8570
    @bonishani8570 6 лет назад

    I'm respect you my brother platinum's your took big points in interview

  • @officialjamhurizachariagos2797
    @officialjamhurizachariagos2797 6 лет назад

    Liomi we ni shiiiiida. Brother diamond uko fire MUNGU Awalinde bana. Gonga like twende Pamoja. Napia gusa picha YANGU kwa gospel makini ndugu zangu. Napia usisahau Ku subscriber kushea na kutia comment yako chini

  • @zainabualtz1455
    @zainabualtz1455 6 лет назад

    Nakupenda unajielewa japo kila binadam ana mapungufuyake so ww pekeyako 😍😍😍

  • @victormkaka8506
    @victormkaka8506 6 лет назад

    time hawana bifu na msanii yeyote nawakubali sana @LIL OMY nakukubali mzazi

  • @mohamedally342
    @mohamedally342 6 лет назад +2

    Hawakuezi Bro Baba Tiffah

  • @samwelnyankena9873
    @samwelnyankena9873 6 лет назад +6

    king of Africa Diamondplatnumz🔥🔥🔥🔥🔥

  • @rahmajuma1647
    @rahmajuma1647 6 лет назад

    Nampendaga huyu kaka omy jamoon anajua kuulizaga maswali hadi raha... Kudos brooo

  • @rotadeeinternational6539
    @rotadeeinternational6539 6 лет назад +1

    Good job Lil Ommy

  • @hamzakwilaula4393
    @hamzakwilaula4393 6 лет назад +18

    if you from +254 you get me when I say diamond speak ngeke datz like octopizo

    • @ghatimuhiri5493
      @ghatimuhiri5493 6 лет назад

      hamza kwilaula 😀😀😀ngeke ni nn dear

  • @latifahissa1114
    @latifahissa1114 6 лет назад +3

    Kumchukia huyu kijana na kumuwekea vikwazo NI kujitesa mwenyewe.....huyu mtoto NI Kama kaa la Moto hakamatiki yaani #hawezekani 🙌🙌🙌🙌

  • @farajalwimbo394
    @farajalwimbo394 6 лет назад

    Du,Mondi yuko vizuri sana,big up,amazing interview

  • @foxylo8418
    @foxylo8418 6 лет назад +2

    stop commenting stupid stuff was he born with zari no relationship break up sometime for a reason so stop blaming Dee he had a good thing or life with zari you guys don't no those people and as we talk i have experience too you can't control a men on the media let him be do your work take care of the family he is a celeb...it's only him to control himself to do the right thing for the sake of the family guys let him move on with his life

  • @tatuyusuph212
    @tatuyusuph212 6 лет назад

    interview nzuriiii haichoshi unatamani kuisikiliza tyuuuuuu. nmeenjoy ....

  • @dickwaynemoorey7699
    @dickwaynemoorey7699 6 лет назад +10

    The best interview ever

  • @flaviusmwemezi9961
    @flaviusmwemezi9961 6 лет назад

    Interview imekua tamu kwasababu kwa sasa mond anamaswali meng yanayohitaj majibu yake
    Sema uyo mama mwenyewe kitengo amemkera asee
    Great interview
    Mpaka nimenunua MB mara 2 iv

  • @aliciaisoyi7
    @aliciaisoyi7 6 лет назад

    Waziwaziwazi PLATINUM si si wakenya twwakupenda Sana bro we tu. Kuwait Paris kenyans in France twakungojea kwa maparty different like boat party and Africans clubs come on TANDALEBOY!!!

  • @faridabakari8511
    @faridabakari8511 6 лет назад +1

    nic waallah mabrook broo D big up africa a bóy from tandale

  • @nzisakasau8234
    @nzisakasau8234 6 лет назад

    nice interview big up presenter and diamond

  • @shanihassani352
    @shanihassani352 6 лет назад

    interview hii ni fire,,,,big up modi umeongea ukwel kwa ufupi umewaongelea wasanii wote wanyonge

  • @Manshyne
    @Manshyne 6 лет назад +3

    SIMBA + Lil omy = MOTOOOO

  • @madamfatmamsindi2059
    @madamfatmamsindi2059 6 лет назад

    Diamond , you are good and talented.I like you my son, please keep it up, and be careful before geting married.

  • @teachersamsontv1159
    @teachersamsontv1159 6 лет назад

    Dah mambo ni motoooo

  • @aujenjames4336
    @aujenjames4336 6 лет назад

    thnkx Dmond

  • @SalmaSalma-ub4zx
    @SalmaSalma-ub4zx 6 лет назад

    Mashaallah diamound uwo ndo uwanaume 👏👏

  • @dkensmopainvevo3683
    @dkensmopainvevo3683 6 лет назад

    Diamond is a
    Great inspiration

  • @arafasalum564
    @arafasalum564 6 лет назад

    Interview nzuri kuliko zote zilizowahi kutokea Tanzania.

  • @shangajeanine5957
    @shangajeanine5957 6 лет назад

    nasibu muowe wema achana na malaya amisa kaka muputezee kumbuka maisha yako na wema

  • @nicoledamaris6347
    @nicoledamaris6347 6 лет назад

    Diamond ,jinsi ninavyopenda mziki wako ndivyo ninavyopenda kukuona na Zari.She's the best woman for you.

  • @najma3268
    @najma3268 6 лет назад

    Kaz nzuri sana daimond pamoja na Lilom

  • @veevivi890
    @veevivi890 6 лет назад

    i LOVE diamond i LOVE Lilommy 💗

  • @maurancechuwa5235
    @maurancechuwa5235 6 лет назад

    Appreciate bro, coz unaongea fact mzee

  • @mohammedsalim6398
    @mohammedsalim6398 6 лет назад

    lil ommy uko vizuri kijana big up kwako na mgeni wako mond

  • @mauchamakhjr4493
    @mauchamakhjr4493 6 лет назад

    Daaah!!! Mond umemfanya nipate nguvu za ku haso coz nilishakata tamaa kwa maneno ya watu!!! Tanx sana

  • @veronicaroberth6960
    @veronicaroberth6960 6 лет назад

    iko quality

  • @zenamlanzi3370
    @zenamlanzi3370 6 лет назад

    very good

  • @yusuphmlangali7295
    @yusuphmlangali7295 6 лет назад +7

    nimependa ukweli wa diamond ni kweli mond so mtu wa ugomv hata fanc wake hua hataki wagombane na fanc wa team nyingine

  • @mustafaahmad3585
    @mustafaahmad3585 6 лет назад

    GREAT

  • @lareineminah1353
    @lareineminah1353 6 лет назад +4

    Unajuwa mtangazaji
    Na simba anajuwa saaaanaaa katika kujibuuuu

  • @mariorobert1495
    @mariorobert1495 6 лет назад

    Best Presenter In Town

  • @dotohussein5041
    @dotohussein5041 6 лет назад

    dude anajitambua sana, na atazid kuwaalbia wasanii wasiotaka mabadlko, big up blaza

  • @princessyvetteevedollyisma2586
    @princessyvetteevedollyisma2586 6 лет назад +4

    Umenyonya supu za mastar wakibongo sasa umeamuwa wataka kuowa,,,,😂😂😂😂😂uyo sasa atakae kubali kuolewa na wewe sijui kama atatobowa ata mwaka,,,bwana ni wewe toba ilai roho yangu😂😂😂😂

  • @nicholauspeter903
    @nicholauspeter903 6 лет назад

    Uko sawa mond uko makin sana big up xana

  • @yusuphmwakafwila3431
    @yusuphmwakafwila3431 6 лет назад +3

    🔥🔥🔥

  • @maliharajabu8917
    @maliharajabu8917 6 лет назад

    Diamond ni fireee🔥🔥🔥🔥🔥

  • @godypatrick6485
    @godypatrick6485 6 лет назад +4

    Wewe ndiyo ulitakiwa uwe naibu wazir wa sanaa na michezo hawa mawazir wangekuwa wanawateuwa manaibu mawazir wenye uzowefu wa kazi za wizala husika

  • @zalloannan3521
    @zalloannan3521 6 лет назад

    Nice interview bro

  • @maryschroeder521
    @maryschroeder521 6 лет назад

    Good job ommy👌🏽

  • @robinflower1872
    @robinflower1872 2 года назад

    Nice

  • @mpendwalove4390
    @mpendwalove4390 6 лет назад +8

    @lilommy why do u let people do copy of your interviews and post on their RUclips channels without your concern as they used to do on sns and Fredrick had to deal with them because it's not right bro. U have all the rights

  • @nasramsami3410
    @nasramsami3410 6 лет назад

    amazing unajua kujieleza sanaa

  • @allthingdranabeauty
    @allthingdranabeauty 6 лет назад +2

    ❤️

  • @rashidchembax8383
    @rashidchembax8383 6 лет назад +3

    Diamond unaakili sana

  • @jimmymrimi1054
    @jimmymrimi1054 6 лет назад

    Yes

  • @mariamsaidi3084
    @mariamsaidi3084 6 лет назад

    Diamond &wema much love

  • @godlistenmsophe4719
    @godlistenmsophe4719 6 лет назад

    I preciate you broo simbaaa🐣

  • @ahmedalminshad1211
    @ahmedalminshad1211 6 лет назад

    Good big up

  • @jamilachila6496
    @jamilachila6496 6 лет назад

    Hahaha! eti alikuwa anapenda kubaishiana😂😂😂😍😍😍😘

  • @faridabakari8511
    @faridabakari8511 6 лет назад +3

    leo bro umeongea kweli mwenye akili bc akufaham

  • @danielmwinyi3158
    @danielmwinyi3158 6 лет назад +2

    lilommy vs dullah planet ni dunia nyingine

  • @seifibrahimu5776
    @seifibrahimu5776 6 лет назад

    lilomy you're the best

  • @mostarsaddy9249
    @mostarsaddy9249 6 лет назад +2

    Makini brother simbaaa