DIAMOND PLATNUMZ: ATANGAZA NDOA, MCHUMBA?
HTML-код
- Опубликовано: 18 мар 2018
- (PART2) EXCLUSIVE INTERVIEW NA DIAMOND PLATNUMZ KWA MARA YA KWANZA TIMES FM BAADA YA KUTOKA TU KENYA, KAONGEA MENGI SANA KUHUSU BEEF NA MEDIA, ZARI, ALBUM YAKE, WEMA, ALIKIBA, KUFUNGIWA NYIMBO NK.
LilOmmyTV channel maalumu ya Burudani na EXCLUSIVE interview kutoka kwa mastaa unaowakubali.
Fatilia mahojiano ya moto na mastaa unaowakubali kujua kila kitu kuhusu Muziki na Maisha yao, #LilOmmy #THEMVP #KingOfInterviews anakukutanisha nao hapa hapa kwenye #LilOmmyTV
Let's Connect
/ lilommy
/ lilommy
/ lilommyfanpage
lilommy.com/
Hakikisha Subscribe, Gonga Like, Angusha Comment na Share kwenye WhatsApp Groups au Facebook na Twitter..... enjoy! - Развлечения
Fantastic........safi sana na hakuna obvious questions kama wanavyo uliza radio station nyingine....hii inamaanisha unafuatilia sana interview zote za mtu utakae mhoji.....nahii inaitwa kujiongeza.💯/💯✔
Hongera diamond platnumz kwa interview nzuri sana, umeonyesha kukerwa na baadhi ya maaumuzi na harakati(ftna,kubaniwa) za kukurudisha nyuma nakupongeza kwa kuweza kustahimili hayo yote nakusimama kwenye kile unachokiamini kwa kujitoa hata kua tayari kwenda jela kwa ajili ya bongo fleva. Maombi yangu kwako ukiwa miongoni mwa watu wenye nguvu ,uelewa na hamasa kubwa kwenye bongo fleva naona ni vyema sana ukaweka wazi hzo ftna na watu wanaozifanya pamoja na baadhi ya media kukukwamisha kwani ni wasanii wengi wanapitia kwenye hayo ambayo wewe umepitia na kwa bahati mbaya sana tasnia imekua ikipoteza wasanii wazuri. Kuna baadhi ya watu(wadau wa tasnia) na media wanaaminika/zinaaminika kwa kuwa tu tunajua yale mambo ambayo wanatuonyesha ila ni imani yangu kuwa endapo ukiliweka hilo wazi utakua umesaidia wasanii weng na tasnia kwa ujumla.
Mond upo vizuri kaka angu we fanya kazi mungu yupo pamoja na we ila zari ni wako tuu,
lil ommy ur the best presenter in town....together with simbaaaaaaa
You left Zari now your sober congratulations mama langote now you have your son back
Diamond nakuelewa sana lkn vile vile LilOmmy ww ni zaidi ya mtangazaji unajua sana hadi unakera,big up.
Diamond alizaliwa kwaniaba ya wa Tanzania Mungu ibaliki Tanzanian na watuwote
Diamond you are very smart artist, Nakuomba muoe shemeji yetu Zariiiiiiii the bos lady, she qualify to be our shemejiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
KWA jinsi alivyoongea blazza simba nahic mpaka waliokuwa wanajiita team kiba washakuwa mafans wake!! AMEN
Musicians bring a lot of revenues in Tanzania, and that includes salaries for the so called politicians, hero kwa Diamond.
Adi rahaha anavyoongea diamond eeee leo na comment sana😂😂😂😂🙆
Bongo flavour imekuwa kubwa Kwasababu ya chibu (simba Lion) @diamondplatnumz wewe ni kichwa🔥🔥big up
Kuna watu wamezaliwa na akili za ziada,Diamond plutnumz
Fanya urudie zari bana she's the best woman you desv to spnd the rest of your life with😢😢😢wengine achia majirani
Huyu jamaa ni noma sana, kwenye kujibu maswali ni mtaalamu na ni mtu ambaye anajitahidi kusema ukweli
Wallah diamond nitakupenda zaidi ukifanya kazi na kiba. Simba&king please my brother
Pendeza sanaaa hii interview💟💟💟💟💟💞💞💞💝💝💝💝💝💝💝💝💝
kizazi sanaani umeongea kiakili saana maswali na majibu vyote viko strong big up
Platinuz umekomaa mzee,Big up sana.
That y nampenda baby simba .he is always social and focused .lots of love to you baby handsome ,from joy mondi kenya
honestly nimekukubali mind now najuwa mm ni funs wa music
Lil ommy ur the best presntr😍😍😍big up
king #SIMBA
DIAMOND THE GREATEST 💎🎤🌟🌎🇹🇿
doh, lil Ommy kiwango chako ni sawa na wale wa BBC. mond pia yupo fit kujeilezea japo mi sio mshabiki wake ila FRESH big up.
I think this is the best interview i have watched in a couple of years,diamond got brains for a whole clan......hahahahaha,i love how he admits mistakes and doesn't give a hoot.WCB forever.
NASIB ABDUL hapo nimekuelewa sanaa na mimi ntakuwa naachia ngoma zangu ijumaa ili waruke nazo club!! by t.o.y ,,big shoutout to MVP
PREACH DIAMOND..........Preach......Lil Ommy ....your show Kills
Wow the guy (dai) ni mzuri katika responding
I love this.. Nice guys.. Nice questions nice answers
Mm ukisemaa wanatoaa ttuzooo lili ommy ur the baddest presenter aseehhhh hakunaaaw kammaaaa ww kwa sasa hapaa tz aiseeehhhhhhhhh 🔥🔥🔥🔝🔝🔝👏👏🔝🔝🔝🌍🌍🌍
the best interview ever ever
Lil Ommy uko vizuri,haubaatishi aisee
ludo kwamolawako achananamziki kunalana uko dogo
Very Good to be open you're the best musician Wasafi Diamond Platinum
Lilommy hii ilikuwa bonge moja interview ongera sn ommy maswali ya mana majib pia mazur sn
❤️❤️❤️❤️tele kwa Diamond,kaka mtangazaji uko vizuri sana
Kiukweli mi team kiba lakini hii interview nimecheka sana ni nzuri mpka unajikuta unacheka kwa sauti
@lilommytv...tumwagie full shoo,sisi wengine hatuishi bongo maboy na hatupati nafasi ya kusikiliza live,,,,,,big up sana homeboy
This man got brains....from +254 ..I love u
Diamond do your thing, supporting you always.
🔥🔥🔥
Your the best bro genius world records is onto you coz you never fail interviews congrats bro
I'm respect you my brother platinum's your took big points in interview
Liomi we ni shiiiiida. Brother diamond uko fire MUNGU Awalinde bana. Gonga like twende Pamoja. Napia gusa picha YANGU kwa gospel makini ndugu zangu. Napia usisahau Ku subscriber kushea na kutia comment yako chini
Nakupenda unajielewa japo kila binadam ana mapungufuyake so ww pekeyako 😍😍😍
time hawana bifu na msanii yeyote nawakubali sana @LIL OMY nakukubali mzazi
Hawakuezi Bro Baba Tiffah
king of Africa Diamondplatnumz🔥🔥🔥🔥🔥
Nampendaga huyu kaka omy jamoon anajua kuulizaga maswali hadi raha... Kudos brooo
Good job Lil Ommy
if you from +254 you get me when I say diamond speak ngeke datz like octopizo
hamza kwilaula 😀😀😀ngeke ni nn dear
Kumchukia huyu kijana na kumuwekea vikwazo NI kujitesa mwenyewe.....huyu mtoto NI Kama kaa la Moto hakamatiki yaani #hawezekani 🙌🙌🙌🙌
Du,Mondi yuko vizuri sana,big up,amazing interview
stop commenting stupid stuff was he born with zari no relationship break up sometime for a reason so stop blaming Dee he had a good thing or life with zari you guys don't no those people and as we talk i have experience too you can't control a men on the media let him be do your work take care of the family he is a celeb...it's only him to control himself to do the right thing for the sake of the family guys let him move on with his life
interview nzuriiii haichoshi unatamani kuisikiliza tyuuuuuu. nmeenjoy ....
The best interview ever
Interview imekua tamu kwasababu kwa sasa mond anamaswali meng yanayohitaj majibu yake
Sema uyo mama mwenyewe kitengo amemkera asee
Great interview
Mpaka nimenunua MB mara 2 iv
Waziwaziwazi PLATINUM si si wakenya twwakupenda Sana bro we tu. Kuwait Paris kenyans in France twakungojea kwa maparty different like boat party and Africans clubs come on TANDALEBOY!!!
nic waallah mabrook broo D big up africa a bóy from tandale
nice interview big up presenter and diamond
interview hii ni fire,,,,big up modi umeongea ukwel kwa ufupi umewaongelea wasanii wote wanyonge
SIMBA + Lil omy = MOTOOOO
Diamond , you are good and talented.I like you my son, please keep it up, and be careful before geting married.
Dah mambo ni motoooo
thnkx Dmond
Mashaallah diamound uwo ndo uwanaume 👏👏
Diamond is a
Great inspiration
Interview nzuri kuliko zote zilizowahi kutokea Tanzania.
nasibu muowe wema achana na malaya amisa kaka muputezee kumbuka maisha yako na wema
Diamond ,jinsi ninavyopenda mziki wako ndivyo ninavyopenda kukuona na Zari.She's the best woman for you.
Kaz nzuri sana daimond pamoja na Lilom
i LOVE diamond i LOVE Lilommy 💗
Appreciate bro, coz unaongea fact mzee
lil ommy uko vizuri kijana big up kwako na mgeni wako mond
Daaah!!! Mond umemfanya nipate nguvu za ku haso coz nilishakata tamaa kwa maneno ya watu!!! Tanx sana
iko quality
very good
nimependa ukweli wa diamond ni kweli mond so mtu wa ugomv hata fanc wake hua hataki wagombane na fanc wa team nyingine
GREAT
Unajuwa mtangazaji
Na simba anajuwa saaaanaaa katika kujibuuuu
Best Presenter In Town
dude anajitambua sana, na atazid kuwaalbia wasanii wasiotaka mabadlko, big up blaza
Umenyonya supu za mastar wakibongo sasa umeamuwa wataka kuowa,,,,😂😂😂😂😂uyo sasa atakae kubali kuolewa na wewe sijui kama atatobowa ata mwaka,,,bwana ni wewe toba ilai roho yangu😂😂😂😂
Uko sawa mond uko makin sana big up xana
🔥🔥🔥
Diamond ni fireee🔥🔥🔥🔥🔥
Wewe ndiyo ulitakiwa uwe naibu wazir wa sanaa na michezo hawa mawazir wangekuwa wanawateuwa manaibu mawazir wenye uzowefu wa kazi za wizala husika
Nice interview bro
Good job ommy👌🏽
Nice
@lilommy why do u let people do copy of your interviews and post on their RUclips channels without your concern as they used to do on sns and Fredrick had to deal with them because it's not right bro. U have all the rights
amazing unajua kujieleza sanaa
❤️
Diamond unaakili sana
Yes
Diamond &wema much love
I preciate you broo simbaaa🐣
Good big up
Hahaha! eti alikuwa anapenda kubaishiana😂😂😂😍😍😍😘
leo bro umeongea kweli mwenye akili bc akufaham
lilommy vs dullah planet ni dunia nyingine
lilomy you're the best
Makini brother simbaaa